Asee mimi huu wimbo naupenda sana Jaman una kiradha yake hv amazing 😍😍🤩
@shamteabeid2026
9 ай бұрын
Daaah!! Yaani mavoko kipaji chetu hiki sijui kapotelea wapi, huyu jamaa anajua sana
@koroboi0069
5 ай бұрын
Even in 254
@henrypodolski3652
6 жыл бұрын
mtoto mzuriii pia mziki mzuriii wala siyo sebenee.....like za #lulu diva hapaaa kama unamkubalii🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@karaniomoit5259
6 жыл бұрын
wasafi tv ujinga uko nayo shabikia mziki acha utimu sio lazima sote tunyue beer sisiwengine tunapenda wine alikiba is sweet and long-lasting wine ndo mana ameka game all the time take that to the bank and nenda shule acha kumaliza muda kutusi musani wajamii
@myriamjay
6 жыл бұрын
wasafi tv 🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
@isackbaton9759
6 жыл бұрын
Wewe Karan onot acha kutuletea habar za huyo kibamia kwenye ngoma za kjanja kasikilize masebene yenu kule au mshaurin kiba afanye biashara ya machup makubwa makubwa Kama ile ya nandi manake mzik awaachie kwangwaru mamaee povu ni luksaaaa
@tzchannel6314
6 жыл бұрын
wasafi tv makini 💯💯😂😂✔
@olofjohn2504
6 жыл бұрын
Nyimbo kaliii saaana aise,Luludivatz & Richmavoko mme funika mbaya humu
@middlesimba
6 жыл бұрын
Kama unamkubali rich mavoko aka Messi wa bongo fleva ngonga like hapa
@rojaskimwaga4078
6 жыл бұрын
Middle simba 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
@middlesimba
6 жыл бұрын
Rojas Kimwaga noma sana mzee baba
@rojaskimwaga4078
6 жыл бұрын
Middle simba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@rojaskimwaga4078
6 жыл бұрын
Middle simba hatari sana kaka mkuu
@bukaone7507
6 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@samainainverstment8132
6 жыл бұрын
mavokoooooooooo we no nyokooo aseee sio kwa ufundi huoo messiiiiii big up broo MPE hai beby diva mwambie nimeonaaaaaaa
@youngkillermsodoki7664
6 жыл бұрын
Rich mavoko mzee baba hachia kitu kama #KOKORO Ustue watu tena ....____nakukubali kinoma noma aisee big up sana kwa wimbo huu mzuri kama vp Gonga like tukutane sheli..👉🏻👉🏻👉🏻💪🏻💪🏻💪🏻🌴🌴🇹🇿
@junioursalum3505
6 жыл бұрын
Ngoma Kali Sana Aisee Sijapata Kuona Mjini Ona Sasa Ona Sema Nini Diva Tunyoooshee Mambugila Wasiojitambua Kwenye Game La Mziki
@tricebite8175
6 жыл бұрын
Nimpenda ur song lulu diva & rich uko n mambo ni 💥💥moto mko vizuri wapendwa 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
@joh255tv4
6 жыл бұрын
Trice Bite kweli eeeh
@kiamakinuthia3445
6 жыл бұрын
Trice Bite niceee
@sharomresa1581
6 жыл бұрын
Ona Sasaaaaa ona ngoms kali video kali sanaaa luludiva bby washaa moto kituuu kimbaaaaa
@stephanozibe2740
6 жыл бұрын
mavoko rich ww an nakukubal sana naweit mzigo wako iy video nimeipata still in wasafi umwaaaaaaaaaaaaaaaa
@jei_maimu6957
6 жыл бұрын
akii saut kama ya giggy mapesa...kumbe mchumba ndo huyu😍😍 bonge lakitu
@slimdadybaishe8948
4 жыл бұрын
2juane apa 2020 wanaoangalia hii nyimbo ya diva ft mess wa mzki"
@user-qm5qf1si5j
3 ай бұрын
Rich Mavoko unaweza Big Up Félicitations
@frowinfocus5641
6 жыл бұрын
Bonge la jam yaani mtoto mzuri na mziki mzuri basi mpaka raha yaani na mavoko utadhani katumwa na kijiji...🔥🔥🔥🔥🔥
@saumusilvia5752
5 жыл бұрын
Wazi
@youngzubelyzubely2288
Жыл бұрын
Huu moto nahis mwez ukipita bila kuichek daah sizisikii kama ninamood yan.. bonge la HIT SONG
@makondefinest
6 жыл бұрын
Lulu una enjoy saaana kiasi unashindwa kuficha kama mko na mahusiano you act as really
@emmanuellugoye4237
6 жыл бұрын
nice
@shabbyofficial_
6 жыл бұрын
Makonde Finest umeonaee
@austineambrose361
6 жыл бұрын
Noma
@mwibevascoobedi1814
6 жыл бұрын
rich umetisha kama umkubali rich like ndo na ngojea apa
@trainerkasim1721
6 жыл бұрын
rich mavoko unaweza gonga like twende sawa
@muddysalehe3281
5 жыл бұрын
Siopouwa
@didashassan3678
5 жыл бұрын
Yupo vzr sana mzee baba rish
@jamesmahatane2723
4 жыл бұрын
Lulu diva uli faam vipi kuwa uki mweka hapo rich mavoko uta tisha! Mbuzi kafa kwa bucha
@roseenock2166
6 жыл бұрын
Ona sasa onaaaa😍😍 kazi nzur jomoni
@anthonym2542
6 жыл бұрын
Hili dude noma sanaaaaaa... Richie weka huyu Mtoto mimba yaishe
@bongonewstz
6 жыл бұрын
From USA Sijui Kiswahili Vizuri Ila Hii Ngoma Ni Kali Sana Asee
@neemadenis31
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣sijui kiswahili 🤣
@josephinejoseph8092
6 жыл бұрын
Sasa ilo linyoka la nini khaaaaa kuiga iga huku nako na ayo marangi ya kijani mdomoni mmhhh wimbo ata sio mzuri mnatiwa tu moyo
@titishara
6 жыл бұрын
Hii Ngoma unaweza ukaombea msamaha kwa mke wako na yakaisha kabisa bila shida #ONA ni bonge la ngoma aisee
@fatumakombo5499
6 жыл бұрын
TITI SHARA 😂😂😂😂😂 kbsaaaaa ona sasa ona
@swabrinamasoud106
6 жыл бұрын
😂😂😂😂 yategemea n kosa gan
@judithmapunda5137
6 жыл бұрын
hahahaa
@cathylaban5651
6 жыл бұрын
TITI SHARA 😂😂😂😂fala ww
@abbasmlawa9112
6 жыл бұрын
TITI SHARA mi nshaombea msamaha umekubaliwa
@kennedykibutu938
Жыл бұрын
Great song..shida ni iyo nyoka .....pu!
@aureliebeatrice5952
6 жыл бұрын
Team Lulu? Uuh mommy Nakubali sana❤️😍🔥 From USA 🇺🇸 ❤️❤️ #onasasaonasasaona
@derickrichard5875
6 жыл бұрын
hii chemistry! yakibabe
@salmasalum6911
6 жыл бұрын
Aurelie Bma waooooo
@FarhatYummy
6 жыл бұрын
Aurelie Bma 👌🏼👌🏼👌🏼
@issahmkigomastars3479
5 жыл бұрын
kaka mavoko nimeipenda sana hiyo nyimbo ona sasasa ona ona sasasa ona happy brother
@ayubuhenry5426
6 жыл бұрын
Hapo kwa Richard ndo pana nifanya nikae nanunu kifurushi daaa, ona sasa, ona sasa, ona sasa mb zangu zina kata
@ruwaidamohd1965
6 жыл бұрын
Ayubu Henry ona sasa ona
@ayubuhenry5426
6 жыл бұрын
ruwaida mohd yaaap Ona sasa ona, nimeingia tena youtube ku watch
@fatumasalum8912
6 жыл бұрын
waaao
@jankletion580
4 жыл бұрын
Ayubu Henry good
@lovemanzacharia2112
6 жыл бұрын
Ngoma kali kinoma mpaka naugulia, yaan mbuz kafa kwa bucha ni shidaaaa!
@directormktz
6 жыл бұрын
hahahaha NGOMA kaliii mzee baba ndo maana nmekoment kama unaungana nami ngoma kali gonga like.....................
@boldwalkclassy7656
6 жыл бұрын
Nyoka jamani nyoka...sijapenda kabisa....ila rich mavoko part yako iko kabisa
@joycefilbert370
6 жыл бұрын
kama umerudi kuangalia kama Mimi like isikose
@balelemashiku5314
6 жыл бұрын
Joyce Filbert poa
@ibrahdahasrah4131
5 жыл бұрын
Joyce Filbert uko safiiiiiii
@sumaiyanduwimana6960
4 жыл бұрын
Nzurisana
@albanbalayingwa4425
11 ай бұрын
Daaah hawa wanawake hawaeleweki baada ya kuona dhihaki ya lulu kwa mavoko ikabidi nije you tube kwanza, any way mungu amtangulie jembe letu mavoko
@leunammeleunamme6019
6 жыл бұрын
huyu diva anampenda sana rich.......sema messi km anampotezea hv......sema kumamake goma n kali...
@worldlyricssongs6141
4 жыл бұрын
Still best song to me in 2020🔥🔥🔥
@k-radtz7633
6 жыл бұрын
Mbona si iichoki huu wimbo mtamu hatar ila lulu diva ujue mie ndio shabiki wako namba moja Akia mungu tena I love you
@mrmwakai3586
6 жыл бұрын
kalii sana rep kenya here💪💪
@kakulumajara7257
5 жыл бұрын
Kama kipofu Mimi sioni,uchungu wa mepnzi unakaba koo,s tukale mamba mtoniii. Daaahhh diva ur voice is soooo lip...
@bolizozoshirima8088
6 жыл бұрын
Mwamke hawezi hata kidogo mavoko juuu
@watejawetu8276
6 жыл бұрын
saaaa baby simamiia lulu diva ndo nn sasa mziki mzur ivy
@hajistshariast6335
6 жыл бұрын
Kama Unaipenda Huu Wimbo gonga Like
@dannykembo7214
6 жыл бұрын
hongera Mama... bonge ya pin #lulu diva =ona
@kekuugodwin8712
6 жыл бұрын
aseee ume uwa divana salute you bae😍😘😘😘😘😘😘
@saumusilvia5752
5 жыл бұрын
Diva baeby,umeshika ndipo wallai,umependezana na mavoko sana,tupatieni tena collabo inginr na mavoko...,Nina wapenda bure tuu..peace
@juniorlyatuu710
6 жыл бұрын
Hongera sana kaka yangu mavoko hujatuangusha WCB
@athumaniaolo2064
6 жыл бұрын
wasafi bhana,hahhaha we acha tyu
@deusdedityaugustino6784
6 жыл бұрын
on aaah. .sasa on aaah. .on aaah sasa. ngoma hatar iiiii. ..!
@AzmaMpondaMUSIC
6 жыл бұрын
Kazi poa.. keep it up.. 💪💪💪
@zulhairatimazengo7739
6 жыл бұрын
nipe hata kimoja nisimamie ukucha ona sasa ona ona sasa ona hatariiiiii sana weka mbali na mwanangu hiyo remont hatariii sana diva mwenyewe
@chusseboywcb2808
6 жыл бұрын
Nimebaki kiwiliwili basi simamia tishaaa sanaaa🔥🔥🔥🔥
@halimamoyo3631
6 жыл бұрын
ona sasa ona bonge la nyimbo mdogo wangu umefunika mbayaaaaa
@benimagaya7966
6 жыл бұрын
Iko Vizuri Sana Good Music ✔✔
@tashakhantz3959
6 жыл бұрын
lulu diva😘😘wew ndo Lady gaga😎😎😎 wetu Tz
@rahmaqas2532
4 жыл бұрын
Pena sana Lulu diva
@joytz4401
6 жыл бұрын
Lulu dv nixhakutoleaga mahali uclixahau hlooo😀😀
@MrMbwelwa
6 жыл бұрын
Wakati watu wanateletea ngoma Kali mwana Fulani anatuletea maboringo
@dicksonndunguru7002
5 жыл бұрын
2019 nimekuja kusikiliza sauti ya mavoco alafu naondoka by
@saumujuma6561
4 жыл бұрын
Nice song 👌👌
@genovevawinga9471
6 жыл бұрын
Ngoma iko mwaaaaaaaaaaa hongereni sana kwa kazi nzuri
Hatar wcb hakuna kilaza rich noma ngoma kalh xana wote wameimba vzr
@franklinekiptoo7565
4 жыл бұрын
Wakenya wenzangu mko wapi june 4th 2020?
@romwardyrevokatus6955
6 жыл бұрын
bonge la ngoma mmetisha kinoma yan♥♥♥👍👍👍👍👆🛂💟💟👍👍
@magekajulius6964
6 жыл бұрын
Big Up saaaana @lulu diva @rich mavoko
@celinelawrence3417
6 жыл бұрын
jaman umenipa mimeomba poooo 😀 🔥
@catherinejacob3449
6 жыл бұрын
Huyo nyoka bwana nice song
@idbhirwanda2384
6 жыл бұрын
Mageka Julius gf
@jamesmahatane2723
4 жыл бұрын
Naona mafundi mme kutana safi sana kazi nzuri mavoko bana
@Infinity855-k4o
5 жыл бұрын
Mwafulani ...anauliza amenipa nini? 😍😍😍
@mussambare4230
6 жыл бұрын
mwambh mganga wako kniweza,nzur xana Dada diva 😍😍😍😍
@FarhatYummy
6 жыл бұрын
Happy Mbare 🔥🔥🔥👌🏼👌🏼
@wesleyringo6979
6 жыл бұрын
Nzur kwa kulia Daku msimu huu wa ramadhani..
@omaricyrilysaidi3718
4 жыл бұрын
Support cha kwetu kilosa mojaaaaa hiyooo rich
@moubilly7703
6 жыл бұрын
nzuriii sstr
@janejames1899
6 жыл бұрын
Ona ona sasa ona sasa ona sasa ona sasa ona l swear believe that umenikata kichwa nimekua mlevi kwa penzi lako mwambie mganga wako aogeze 😍😍maneno yao kma choo 🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎵🎵🎵🎶🎶big up lulu and rich
@sharomresa1581
6 жыл бұрын
Nilipokuonja nikaomba poooooh
@teddyassanirashidi5000
2 жыл бұрын
Who's here 2022? Congoleses never get tired listening to this masterpiece from Tanzania ❤️❤️❤️❤️
@ahmedmubarak228
6 жыл бұрын
Perfect husband and wife Keep it up mashallah
@shadidababy1033
6 жыл бұрын
Uwiii hii ngoma ni baraa jmn we lulu wewe
@mickidadiigali3858
6 жыл бұрын
Naona born to shine wamekata jingle ya wasafiiii, ha ha ha dozen nae kijiba roho, sikiliza audio na video hapo anapo Anza mavoko utaona.....
@RamazaniMulongeca
6 жыл бұрын
mickidadi Igali #WASAFI imetolewa, but why is that?
@mickidadiigali3858
6 жыл бұрын
Ramazani Mulongeca hata sijui
@mickidadiigali3858
6 жыл бұрын
Dozen ndio snitch pale clouds
@moshatony4929
6 жыл бұрын
mavokooooo hatari sanaaaaa anajuaaa muzik kiukwel
@aureliebeatrice5952
6 жыл бұрын
Your voice is unconditional ❤️❤️❤️😍I love you so much
@rabanmkoma948
6 жыл бұрын
Broo mavoko umetisha sanaaaaaaaaa
@domydocta.
6 жыл бұрын
ngoma Kali Sana sema Richard najua umeuchangia ukali wa wimbo
@japhetkyarukambaaristides8698
6 жыл бұрын
Kali sanaaa... Ona sasa ona ona sasa ona🏅🎯
@jamily_.99
6 жыл бұрын
Number one bad gal ft Messi Was bongo
@summahthedon3511
6 жыл бұрын
hakiya bb wallah ningejua ningeimba na wewe mapema ila lulu na wewe siwa polepole etee by prod summah the don
@sharomresa1581
6 жыл бұрын
Nimekuwa mlevi wa penzi lako
@ianilomo9505
6 жыл бұрын
Mavokkoo🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@silvianyambeki1170
6 жыл бұрын
I love this song so much. Tanzania always coming through with bangers
@abiolakenedy6685
6 жыл бұрын
Kalii lulu mweny diva yakee
@vickyalkayda2056
6 жыл бұрын
MAVOKOOO!My all time.nice work bro
@francismwita7203
5 жыл бұрын
Nipe hata kimojaaaa nisimamie ukuchaaa tamu kama embe za kibaba mbuzi kafa kwa buchaaa.....ona sasa ona
@williambahoza9511
6 жыл бұрын
rich forever good job with you girl freind
@seifdisail3007
6 жыл бұрын
Umetisha saana hii ngoma bidada, binafsi nakukubali kinomanoma..
@Emmanuel-gs1vk
3 жыл бұрын
One of my favorite song right now!!
@salumumkwanda368
6 жыл бұрын
Tutafika mbalii sana Dada tupambane tu amnaga Dada kama wewe kwenye game hii
@emmanuelanthony3496
6 жыл бұрын
Perfect combo...gud chemistry...gud music
@mwitamatete8039
3 жыл бұрын
I DEEPLY GET TOUCHED WITH MAVOKO'S BREAK DANCING
@godfreychita3546
6 жыл бұрын
Rich mavoko messii unajua sana ndugu yangu
@victormalley9135
6 жыл бұрын
hii video ni moto it must bn#1 on trend
@sangijamadukwa1486
6 жыл бұрын
Yan mnapenda kiki nyie alaf za kijnga jnga tu! Simuwe mnasema ata kua lulu diva amekufa! Mziki wenyew mbaya kama nn
Пікірлер: 1,3 М.