Msiangalie alivyovaa wala mwili wake you guys get serious she is a star lazima avae ki-star hayupo msikitini wala uarabuni hapa .... Lulu Diva sex lady endelea kuvaa ki-star big up
@zaiiomary8970
3 жыл бұрын
LuLu kumbe niwakwetu Tanga pole saan dadaangu na mazito uliyo nayo kwa mama Allah amfanyie shufaa mama Aponee nadua yako mungu ataijubu kwa wakati dadaangu
@ashoasho6542
3 жыл бұрын
Amiiin
@jamilahathumani4222
3 жыл бұрын
Lulu diva nakupendaga Sana mim lulu mungu atakusimamia nani Kama mama
@beautywithnay5974
3 жыл бұрын
Pole sana darling diva mungu atamsimamia atapona inshaaalh
@thexoshowtira
3 жыл бұрын
Amen🙏🙏ni binti mwenye upendo kwakila mtu
@queenandchill91
3 жыл бұрын
Some people are so wicked.....Mnachoona ni alivyovaa tu!!!! Anayoyasema kuhusu maisha yake hayana maana kwenu...kazi yenu ni kutafuta kasoro iko wapi...Nyie mmekamilika? Mnayoyafnya kwny maisha yenu nani anajua? Au 7bu sio spotlight kama LuLu...Acheni kujiona Hakimu kwny maisha ya mtu hamgharamii chochote
@allthingdranabeauty
3 жыл бұрын
Yan watu wanamambo kha
@allthingdranabeauty
3 жыл бұрын
Kam wamezaliwa na nguo vile kha tumwache Mungu kazi yke
@barutiabuu9492
3 жыл бұрын
Sindio nyie maya wote nyie mnaovaa ovyo msio kuwa namalez ya wazadh msio waogo wadhaz mpaka mungu mpia ham muogop kaz kutuonesha tu mitako yenu ndomaa had sasa mmetuharibia vijana wanaenda sehem ambayo mung hajaiweka itumike kaweka sehem maarum itumik lakini kwakukaa uchi nakuonesha mikundu yenu ovyo ndomaana leo hii vijana wengi wana wafanya sehem ambazo mwenyez mung kazilaani dunia inamwisho nyie endereeni nahayo maisha ya kifuska siku ya msiba wako ndo utajuwa huko unakoenda kukoje🙏
@zaifatishengoma2364
3 жыл бұрын
Lulu pole sana ila swali langu ni je huyo mtangazaji anakunywa #mirinda au #Dompo! Amenitamanisha.
@thexoshowtira
3 жыл бұрын
🤭🤭 hata sio nikahawa
@husnanandonde4034
3 жыл бұрын
Du maisha bhana 😂😂😂 sichrk kwa furaha maana Mimi mama yangu nimeanza kumlea nipo form two na amelala kitandani miaka mingi 2018 amefariki so naona familia nyingi zinapitia haya kikubwa dua tu kwa wazazi wetu maana tunapitia magumu
@alineolivia2392
3 жыл бұрын
Pole sana my dear
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Pole
@ashoasho6542
3 жыл бұрын
Pole mamy
@leaderofpatriotofcongopatr4385
3 жыл бұрын
Pole sana dada mungu akupe nguvu
@elizabethsakina9987
3 жыл бұрын
Lulu diva we ni mzuri acha mambo ya kujichubua ona jinsi miguu imeharibika but I love you❤️
@zalhatamakange2627
3 жыл бұрын
Nilitaka kusema nikona mh yani anheacha
@kuruthumibrahim6393
3 жыл бұрын
Kivuli tu hko
@leaderofpatriotofcongopatr4385
3 жыл бұрын
Kma mutu anataka kumusaidiya mama lulu tunafaza je
@queen.christelle1
3 жыл бұрын
Mungu amusaidie mama luludiva apone 🙏
@halimammary7398
3 жыл бұрын
Pole sana Dada mung atamponya mama inshaallah
@safmarwa2977
3 жыл бұрын
Samahani sana MUNGU NI moja lakini dada tukotafauti na dungu zetu wakrito hata maombi tukutafauti
@asiliyetu
3 жыл бұрын
Pole sana luludiva Mungu atakusaidia
@ashoasho6542
3 жыл бұрын
Inshaallah mngu atamponya🙏🙏
@alisalim1785
3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akutoe kwenye wakati ngum
@sekelamwangosi3289
3 жыл бұрын
Ila lulu mzur sana
@frederickkimweri1899
3 жыл бұрын
Mpare wa Tanga , haya dada na mimi ni msambaa wa upareni 😂🤣😂🤣
@thexoshowtira
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@yvonnepeter8696
3 жыл бұрын
Sasaa shostiiii unavaaa alafu unajifisha na mtoo wa kochiiii ...😂 ahahhhah girls sisi tunakaziii🙆kweliii.. hatujielewi
@maryammhina2268
3 жыл бұрын
akili yako ilivyofupi umeona nguo tu sio maneno anayosema ww unamabaya mangap kwakuw sio msanii watu hawakujui shenzi
@mtmlevel2001
3 жыл бұрын
insha'allah atasimama mtengemea Mung
@fatmaali4921
3 жыл бұрын
Hivi hiii miguu meusi au sijaona mie uzur au kivuli tu ndo kimeleta weusi
@kwizeraasma6344
3 жыл бұрын
Kkkkk kivuli
@aminasaid7657
3 жыл бұрын
😂😂😂😂Bora umeongea wewe
@stumaymussa7127
3 жыл бұрын
Ni kivuli cha meza
@azzamahamdu7039
3 жыл бұрын
MKOROGO huo
@nammanjeanafi9002
3 жыл бұрын
Yaani wanawake wa ajabu Sana, utamkuta dada Ni mweupe kabisa, halafu anapiga mkorogo huu Ni ushamba
@julianacharles6014
3 жыл бұрын
Unampenda mwanaume Mwenye Hofu ya Mungu wewe Mungu unae Kazi kukaa uchi nyoo 😏
@faudhiajuma7340
3 жыл бұрын
Kwakweli😆
@aminasaid7657
3 жыл бұрын
Hilo nao neno
@zaynabyusuph4414
3 жыл бұрын
Usimuukumu binaadamu mwenzako maana wewe siye Mungu wewe nimja tu kama yeye
@aminasaid7657
3 жыл бұрын
@@zaynabyusuph4414 hpo cjaona hukumu ameambiwa tu
@saumumrisho2532
3 жыл бұрын
Hyo mikono Sasa kwel anahofu ya Mungu anavyojchubua hvyo
@gracesafi9791
3 жыл бұрын
Pole sana
@joshuamwijonge7677
3 жыл бұрын
Lulu mbona unaendana ata na ukirsto karibu
@faithfulphilemon9890
3 жыл бұрын
Tunapaswa kuwasaidia wazazi wetu sana ,lkn kiubinadamu kuna muda unafika unamuona mzazi wako kama anakuletea kero fulan ,kiukweli tunapaswa kukumbuka kuwa wazaz wetu wamehangaika sana kipindi tukiwa wadogo mpka kufika tulipo hivi
@neemapatrick8281
3 жыл бұрын
Daaar pole sana dada mungu yu pamoja nawe ndo maana anakupa nguvu ya kupambana na kukuonyesha njia
@neemalipembe1929
3 жыл бұрын
Wapi ndizi choma
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Pambana tu
@Qtep-eb3og
3 жыл бұрын
Mikono ka ndizi za kuchoma
@empresslulu9775
3 жыл бұрын
So the interviewer has her pajamas on with messy hair ...my Tanzanian people
@thexoshowtira
3 жыл бұрын
Yes kwani kuna tatizo kipenzi
@thexoshowtira
3 жыл бұрын
Is there a formal dress code?
@marygaspar6429
3 жыл бұрын
Huyu Uisilamu hauwezi kwanza, aolewe tu na *Wakristo
@ashoasho6542
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😅😅🤣🤣eti uislam huyu hauwezi aolewe na wakirsto🤣🤣😀nimecheka Kwa sauti kubwa aloo Aya Lulu wetu mtanga mwenzetu waambiwa uislam umekukalia Lushoto😅😅😂😂
Пікірлер: 58