Mch. Mubarikiwa wewe endelea kuyanyosha mapito ya Tanzania. Kati ya watumishi wa Mungu waliobaki Tanzania wewe ni miongoni mwao. Mch. M. Mwakipesile Ktk Kristo Yesu Ahsante
@paritsaruni5019
10 күн бұрын
Viongozi wa dini Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ya kuelimisha taifa
@HamisiSamweli
10 күн бұрын
Mbarikiwa on fire point
@JohMwita
11 күн бұрын
point sana mbarikiwa
@JaphetJairos-n4l
11 күн бұрын
Anton anaongea ukwel ila anaogopa
@emilyKassiano-oo5iy
11 күн бұрын
Serikali ijitahidi ikomeshe utekaji waweza vuruga amani ya nchi
@zedyabdulrwabilingo9042
10 күн бұрын
Hatali sana ila bora kidogo huyu mzee wa upako leo kaongea vizuli
@amosdickson6318
10 күн бұрын
ukweli wanajua shida wauseme wapi, maana UHAI ndio zawadi pekee tuliyotunukiwa na Mungu, lakini wenzetu wanatupora UHAI wetu. Tuwe makini taifa halipo mikono salama Hata kidogo. Bali tupo kwenye mikono ya Wahuni wa ajabu sana. Tunahitaji Mioyo ya Mbarikiwa ya kutosha I'll TZ ifunguke ufahamu Tuanze safari ya ukombozi
@DannyAbraham-vj4fc
9 күн бұрын
Nikweli huyu tulia mhuni
@RizwanAbdallah
10 күн бұрын
Nikweli kwanza pale bunge hakuna kitu mzee samweli sita yule alikua kiongozi bora sana mungu amjalie
@henrymligo2440
9 күн бұрын
sawa wa upako
@christinenyagiro6662
10 күн бұрын
Raisi kutekwa kwa watu kwake siyo tatizo ameenda kutalii China bila hata kutamka cho chote anaona raha. Nyerere tunaonba urudi hata kwa roho yake tu. Ee Mungu utuletee Raisi aluye ba roho y Nyerere.
@Hapomwanzo
10 күн бұрын
Bila shaka Mungu amejibu maombi, niko mimi hapa nilie na hiyo roho, kikubwa tu nipate njia ya kupenya kufika kwenye hicho kiti.
@zebedayokatamaduni9676
11 күн бұрын
Mzee wa upako ameongea mambo sahihi,
@helenarhobi1250
10 күн бұрын
Hulifuatilii bunge la tulia sababu ni mnyakyusa mwenzako. Hivyo shida yako ni hiyo.Nabii hakosi heshima isipokuwa katika nchi yake na nyumbani make!!!
@NtamamiloGibson
7 күн бұрын
Wasiofuatili ni wengi ndugu yangu. Bunge la Samwel Sitta na Anna Makinda ulikuwa ukipita mitaani muda wa Bunge TV ziko on TBC leo uliza au zunguka uone.
@christinenyagiro6662
10 күн бұрын
Kuishi tumepewa na Mungu kwahiyo ukitoa haki ya mtu haki aliye pewa na Muumba wake. Wewe unsjifurahisha kwa kitambo tu Mungu atashughulika nao siku moja
@user-cx1xz2is5d
9 күн бұрын
Amen
@neemanziku5403
11 күн бұрын
Pamoja na haya yote eti spika wa bunge yy eti hajui
@user-zw7ln4iy3g
10 күн бұрын
mimi nikiwekatu bunge huwa najikuta nawaonea aibu😂😂
@MusaOgwoko
10 күн бұрын
Ni mkweli sana
@ugalidona-cs2yn
10 күн бұрын
Binadamu aliumbwa kwa Mfano na Sura ya MUNGU.
@ugalidona-cs2yn
10 күн бұрын
Binadamu waliumbwa kwa Mfano na Sura ya MUNGU, hili kufanya kama MUNGU wanavyofanya pamoja na jeshi lake lote.
Пікірлер: 25