Subhana Allah M Mungu atuepushe na mitihani hii ya shirki huyo mzee kwa milo nae karibu hebu mpeni dawa Kabla umauti haujamkuta
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
Kasome dini kwanza
@alhabibsudi7997
Ай бұрын
Mnafiki wewe
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
@@alhabibsudi7997 mnafiki baba ako na mama ako wasiokufundisha adabu
@maninisamwel8657
Жыл бұрын
😢😢😢 waomba wafu wakuomba ni Allah pekee
@rukiafaraj1400
2 жыл бұрын
Hao waliomo makaburini wanahitaji dua ya waliohai! SubhanaAllah waliohai wanawaomba wafu!
@aishahashim.5079
2 жыл бұрын
Hao huenda walikuwa kweli ni watu wema isipokuwa waliofuata baada yao ndio waliozama katika shirki kinyume na Mapenzi yao
@mwawekomiuda9779
6 ай бұрын
Hapana aliezamishwa ila ndipo ulipokua mji Bahari inatabia ya kujisogeza. Kinachiniudhi ni watu kwenda kufanya ushirikina.
@hamzakimaro3764
Ай бұрын
kuomba maiti ni haifai ni kumshirikisha ALLAH
@mamyh5738
4 жыл бұрын
Subhanallah hii ni shirki ya hali ya juu Allah atustiri na shurki
@muhaajiryhassan4325
3 жыл бұрын
allah awasamehe woote wanaokwenda kuomba na awaongoze hawajui watendalo
@sihamjamal2234
Жыл бұрын
SubhanaAllah Astagafirullah watu wamepoteya yarabby tuongoze umaa wako
@Mashkuramuhidini
29 күн бұрын
Assalaamu A'laykum warahmatullaahi wabarakatuh wa kuombwa na kuabudiwa ni Allaah Subhaanahu wataa'la na si vingine kwani tofauti na hapo kumshirikisha ALLAAH SUBHAANAHU WATAA'LA. Tunamuomba ALLAAH atujaalie uongofu na mwisho mwema
@Izonecommunity
Жыл бұрын
Hii ni shirki iliopindukia, kikubwa wanahitaji daawa kubwa.... Maana kma umesikiliza vzr anasema, wanakuja kuwaomba masharifu kama wanavyomuomba m/mungu... Innalillah wainna ilyhi rajuun....
@msarama5406
Ай бұрын
Ndumi yetu tuliyoondolewa na mkapa kwa ajili ya ujenzi wa bandari mpaka leo hakuna kinachoendelea inatuuma sana maeneo walikozikwa mababu zetu😢
@saidhamad6065
Жыл бұрын
Dunia mataau,kwa Allah atupe husni njema
@nureenshamba8243
2 жыл бұрын
Subhana Allah! Hio ni shirki kubwa mno! "Allahumma Inn wa Min dhuuriat Audhubika minal Mushirikina"
Mnaomba dua njema kwao ili allah awape maghfira ila kutawasl sio mbaya lakini watu kutawasl Hawa jui wanachanganja kuomba na kutawasl
@rahurselektor9850
Жыл бұрын
Shirki akbar mzee Allah akuongoze
@ashuramhandoashuramhando6798
10 ай бұрын
ALLAHU AKBAR Allah anamlipa Mema Kila mtenda Mema ❤🔥🙏🙏🙏🙏
@SalmanRazaKhanTz
5 ай бұрын
Subhaan'Allah! ❤❤❤
@issaomari7244
3 жыл бұрын
Subhanallah allah awaongoze huo niushirikina allah awaongoze
@amanafi1288
Жыл бұрын
Nawe Sheh Issa yako ni siri yako
@paulwambua4956
2 жыл бұрын
Waliokufa hawana sehemu katika walio hai... Yesu Kristo Ndiye njia kweli na uzima wa milele
@emmanuelmichael8019
2 жыл бұрын
We nae hujui chochote kaa huko
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
@@emmanuelmichael8019 hahaaaa
@sabihahamadi2287
Жыл бұрын
Subuhanallah mtihani
@muhammadiabassi656
10 ай бұрын
Subuhana Allah WA kuombwa ni Allah pekeake ndio anaetoa kumuomba kiumbe mwezio HAIFAI NA NI USHIRIKIA HUO MUOMBENI ALLAH PEKEE NDIO ANAETOA
@cornelytv2839
8 ай бұрын
Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉
@valenakomba7686
23 күн бұрын
INAWEZEKANA HAYO YALIINULUWA YAKAWA JUU ZAIDI YA MENGINE. HAKUNA CHA AJABU HAPO.
@AsiaKassim-vb5yl
Ай бұрын
Kweli Hao masharifi
@Kimochatv
6 ай бұрын
Allah waongoze wasiombe makaburi
@AbassJYahya
2 ай бұрын
Sadakta aamin aamin yaa rabbal a'lamin
@samwaoo995
2 ай бұрын
Sasa unashida alafu unaweka ng'ombe kwa nn tusimuombe asie itaji ujira uo ni ushirikina hakuna sharifu anae ombwa kama allah huo mi uzushi
@AmerdaKavishe-pu3cf
5 ай бұрын
Mungu kwaza kwani dua zote utoka kwa mungu
@halmahashim2864
Жыл бұрын
Subhanallah Allah peke ndio wakuombwa hiyo ni shirki
@ShamimWanjiru-bm6ve
Ай бұрын
Hao Masharifu walienda zao kwa kuwa walikwisha kumridhishaAllah but hilo la kuwenda makaburini kuwaomba ni shirki kubwa,Iblis alikwisha kuwapambia wamsahau Allah,Subhana Allah
Mungu awahurumie,ila waislamu mnavitu vya ajabu hv mifupa mikavu ndani ya kaburi inaweza kukusaidia nini jamani badilikeni huo ni ujinga mashetani yamewavaa nyinyi
@user-xr5wg3hm6p
5 ай бұрын
Ww amn unachkijuwa nyamaza wewe kafili
@annamussa185
5 ай бұрын
@@user-xr5wg3hm6p wewe na Muhammad wote ni 🐕
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
@@annamussa185 mbona unatukana
@aliseif2691
2 жыл бұрын
Kutembelea makaburi na kuwaombea dua marehem wako ni sawa.lakin kwenda kuomba shida zako haifai ni shirki kubwa.
@user-qv8uo3bc6o
2 ай бұрын
KAMA KUKOSEA BASI ILO NIKOSA KUBWA KUMSHIRIKIAHA ALLAH NA MASHARIFU HAKIKA ALLAH HUAKBAR NDIO WAKUOMBWA KWANI ALLAH NDIO ALIE WAUMBA HAO MASHARIFU NA MITUME MA WALII NA VIUMBE WOTE DUNIANI NA AKHERA NDIE PEKEE APASAE KUABUDIWA.
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Inalillah wainailahi rajuun Babu kamabodo hupo Hai rudi kwa Allah Acha shilki nawe jitahidi ufanye mema iliupate mwishomwema
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
Hakuna ushirikina someni dini hapo haombwi sharifu anaombwa Mungu
@swalahuomar9654
2 жыл бұрын
MMI ni twalabul ilm niko kenya inaruhusiwa kutwasal ndo mana mtu akienda makka unamwambia akuombee na wwe dua akifika sababu ile n sehemu bora ssa dua inaeza kubaliwa sababu ya mji wa makka na kwa masharifu n hvo hvo sababu n watu wema
@Wastara001
2 жыл бұрын
Kama uko Kenya ndio tuamini hizo shirk.
@SleepyBeach-qs9mf
4 ай бұрын
Hapo nimekuelewa na ninakushukuru sana.
@allyabdallah4679
22 күн бұрын
Wewe Acha kupotosha watu
@user-tf3vs4bl8c
6 ай бұрын
Sio watu wamepotea ila wafrika ndo wamepotea kwa kufata Imani na asili tamatulin desturi za kiafrika izo ni asli ya wafrika sema wafrika wengi ni jinga Afrikaans maana asili yao wanaona niushezi kama walivyo potoshwa Kwa ile Iman ya kuaminishia waache chao wafuate visivyo vyao mungu ibariki Afrika
@adorchmassimba4413
6 ай бұрын
Shetani anambinu nyingi sana yakuwapoteza watu nakuwaanisha vitu watu nakuanza kuvifanyia ibada kanakwamba ni mungu watu wanaamini makabuli ya masharifu nakuanza kufanya ibada na maombi makabulini duu hii ni hatali
@mohamedabdiyussuf3874
Жыл бұрын
Shirki kubwa sana hio allah awaongoze njia ya haki
@mamanabdoul4397
Жыл бұрын
Inna lillah wa inna ilayhi rajiun.uwo ni ushirikina.awo ni watu.siyo Allah
@SAMA-jw4fr
9 күн бұрын
Washirikinaaa haooo
@ibn_maleeqqeibraheem_188
Жыл бұрын
Omba alafu mungu nae akupa uzidi kumshirikisha,acheni ushenzi wenu huo ,shirki tupu hizo zenu sharifu ndo nn wacheni kupotosha umma hpa
@muhammadiabassi656
10 ай бұрын
SHARIFU SIO WA KUMUOMBA HUYO NI MFU TU WA KUMUOMBA NI ALLAH PEKEYAKE
@HabibuUrasa
2 ай бұрын
Pelekeni ujinga huko badala ya Mungu unaomba maiti km walikuwa Wacha Mungu ni wao na ww tafuta ucha Mungu wako acheni shirki
@sofiahassani5185
Жыл бұрын
Tunawaomba mashehe na masharifu watupe elimu ktk ya kutosha kuhusu Jambo hili limetuweka njia panda je lafaa au halifai kuabudu makaburi hayo kWa namna yoyote
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
Ndio linafaa hakuna ushirikina yani haombwi maiti anayeombwa ni Mungu yani mfano ww unaweza kuomba km wazee wako wamefariki ukaomba Mungu nina shida hii niondolee kwa baraka za wazee wangu au sharifu au swahaba au shekhe fulani hakuna ushirikina ni halali inaitwa taswaufu
@assaasharif963
3 ай бұрын
Jamani anaesitahiki kuombwa ni Mungu tu pekee
@stanleymhozi7590
Жыл бұрын
Mapepo hayo jamani
@zulekha3028
Жыл бұрын
Astaghfirullah...mnaacha kumuomba mungu..mnawaomba binadamu mwenzio yeye mwenyewe kaumbwa kama wewe..Allaah awahid..inshllh mumuombe yeyetu asiye na mshirika.
@hasaniabdalah6148
7 ай бұрын
Tena anaomba maiti
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
Sio ushirikina kasome dini kwanza
@OmanOman-hf1hz
Ай бұрын
Hapana bana maji kipindi hicho maji hakukuepo😂
@salumahmadasalum1556
11 ай бұрын
FANYENI YOTE TUMUOGOPENI ALLAAH KWENYE NAFASI YA KUMSHIRIKISHA ALLAAH
@alifakimati9614
Жыл бұрын
Hiyo ni shirki kubwa sana haifai kabisa kumuomba binadamu.
@chayogasperi9783
3 жыл бұрын
Cameraman mbona huoneshi hayo makaburi ??
@jamuhurialiwazir4685
Жыл бұрын
INNALiLAhi WA INNA ILAhi RAAjiuna. SS ndiyo tuwaombeee dua siyo ss Tuwaombe waoo apana, Kwani wao na manabii Nani nani zaidi kipenzi chá alha?
@ramadhaniomary9241
6 ай бұрын
Kweli kiyama kipo karibu nyote wachangiaji mmeshindwa kuelewa kwa Nini Hawa watu wameacha makaburi yote wakaelekea hayo makaburi mawili .halafu mmewaingiza moyoni hao wanaokwenda kutawasal nyinyi mnaita kuabudu haya hivi ni kweli hao watu wameshindwa kutofautisha baina ya mungu na masharifu waliokufa.kwa Nini mnatoa fatawa Hali ya kuwa nyinyi si wajuzi.Na pia kwa Nini hamuendi kuwanusuru badala yake mnawatia moyoni ndiyo Nini Sasa hiyo
@simbaomar3405
5 ай бұрын
huo ni ushirikina sharifu anapaswa kukuombea kwa mungu amiwa hai akishafariki yake yanaishia hapo
@SilaMinanda
5 ай бұрын
Mtangazaji hujielew fungua kipingi kwa kueleza upo wapi, kuanzia mkoa, wilaya, kata mpka kitongoji, tujuwe ni wap
@tvdawuurobarawe7846
2 жыл бұрын
Please hiyi message kama huyo mze Yuko hayi basi umambie Rudi Kwa Allah akusamehe madambi yako Kwa Sababu umemshirikisha allah na niyeye mwenye anae stahiki kuabudiwa na kuombwa na hawo wenginewe kama Bado wako wanao muomba mayiti bas Kwa hisani yako wafikishie hii message shukran
@khamissalum9285
2 жыл бұрын
Walio kufa hawana makosa wenye kuomba wanakosea
@marypartson8409
Жыл бұрын
Yako wapi
@nyenyeonlinemedia9543
2 жыл бұрын
Mzee alikosea kidogo.c kuwaomba hao masharibu.bali ni kutawassal kupitia hao masharifu.YAANI UNAMUOMBA MUNGU KUPITIA HAO MASHARIFU KWA MAANA WAO WALIKUA WATU WEMA,WALIPOKUA HAI WAKIOMBA MUNGU HUKUBALIWA HARAKA DUA ZAO.INABIDI NASI PIA TUKIWA NA HAJA ZETU TTUMUOMBE MUNGU KUPITIA WAO. HATA UKIKUTA MTOTO WAKO AKIOMBA MUNGU,DUA ZAKE HUKUBALIWA HARAKA.BASI FANYA KUTAWASAL KUPITIA YEYE
@sajumahege4903
2 жыл бұрын
Unachanganya haki na batili
@mariamshaban4518
Ай бұрын
Hata ww umekosea pia unamuombaje allah kupitia maiti?
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
@@mariamshaban4518 sio ushirikina
@mpwani3523
2 жыл бұрын
Shirki ya wazi kuomba hivyo wala sio tawasul
@mdungimdungikhamis7779
2 жыл бұрын
Acheni kutupotosha
@abdisalan7515
2 ай бұрын
Nyiye mawahaabi hawa elewi diini kila kiitu shirki ndio mna hawaja sooma diini hiyo mzee an seema maitwa tawasul nyinyi mawahaabi nim jiinaga saana
@Khanmkulu
7 күн бұрын
Tupeni elim
@HaruniHaruni-jy7hw
Жыл бұрын
Ndumi hiyo
@lisaamosi7297
2 жыл бұрын
Mimi Bado sijaelewa walichimbaje hayo makaburi ndani ya Maji?
@nimbetebwangabwa8521
10 ай бұрын
Wajukuu wa mtume .ni Hassan and Hussein,, hizo zingine shirki,,
@hamadrashid5140
3 жыл бұрын
Ushirikina tu
@omarjumaan3061
2 жыл бұрын
Nimakosa kuomba sharifu bid3ah
@abdulhamidhaji5056
Жыл бұрын
Sasa mpitaka yafunikwe na maji wakati hayo makaburi yapo juu na maji yapo chini kulingana na kina cha maji ?? Pumbaavu zenu
@aminatanzanya7475
2 жыл бұрын
Najiuliz kabur walichimbj ila km iliwezekn bas ni watu Wema
@yusufsadic2930
Жыл бұрын
Lakin hamon kuw kuomba kuwaomb waliokuf ni Shirk uslm Haukubal hay mnayatoa wapi jaman
@SwidikiKabemba
2 ай бұрын
Tujikingeni na Jambo la shirki
@ibn_maleeqqeibraheem_188
Жыл бұрын
Wacheni kudanganya watu na shirki zenu izo
@umnadyaful
2 жыл бұрын
Inna lilahi wa inna ileihi rajiun, jamani mambo ya kusikitisha.Mashekhe wenye kufanya da'wa nawaomba mwende kutoa hawa watu masikio taka muwarudishe kwa Allah sio kukaa kutukanana wenyewe kwa wenyewe.Hawa watu hali zao mahututi kidini...Allah mustaan
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
Hawana kosa ushirikina upi hapo
@jailaninkya8978
3 жыл бұрын
Kuto kujua kwako ww isiwe sababu ya kuharamisha mambo
@stanleymhozi7590
Жыл бұрын
Mh mizimutuu na mashetani
@assfzainab912
2 жыл бұрын
UKOSEFU WA AKILI UTAMUOMBEJE BINADUMU MWENZAKO AKILI POTOVU NA UJINGA TU SASA MWAJUWA MWENYEZIMUNGU ALIWAPA MAUT MBONA MWAOMBA MAKABUR YAO TUACHENI UJINGA
@AmerdaKavishe-pu3cf
5 ай бұрын
Yakawaida
@muhamedjaffar5653
Жыл бұрын
Wakuombwa ni Allah .tuache shirki
@jailaninkya8978
3 жыл бұрын
Kutawasal kwa masharifu siyo ushirikina
@sajumahege4903
2 жыл бұрын
Ushirikina ni upi ss
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
Huo ni ushirikina
@salummohd4971
Жыл бұрын
Hao msimbe wanadam
@moshimartin7860
2 жыл бұрын
Iyo ni bida. Wakuombwa ni allah
@jailaniramadhan1788
2 жыл бұрын
Mzee amekosea kuongea siyo wanaombwa Bali tunatawasali kwao
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Haram
@hamadsaburi3569
Жыл бұрын
Astaghfiru llwahul adhiiim
@ashourahsaleh8958
3 жыл бұрын
Napajua hapo jaman mbon wanasema hayo makabur n mke na mume sio masharif ila nshafika had hapo yapo kwel
@salhamadabida6786
Жыл бұрын
Khaa kama kitu ukijua jitulize mi ulikurupuka ukadanganywa ni mtu na ndugu yake mji wetu wa Wana Zahara huo home sweet home Kuna mengi ya kukwambia ukiwa tayari
@msarama5406
Ай бұрын
ndumi yetu
@fahmisaid7364
2 жыл бұрын
Hii ni shirki
@saidhamad6065
Жыл бұрын
Acheni shirki
@muhiddinrashid5049
Ай бұрын
Kuomba asiyekuwa Allah ni shirki Allah awaongoze na awafahamishe kabla ya umauti
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
Sio ushirikina kasome dini kuomba dua kupitia utukufu wa mtu au kitu sio ushirikina yani unaomba Mungu naomba unikubalie duwa hii kwa utukufu wa swahaba au fulani hapa hakuna ushirikina
@mohammedmataucar66
10 сағат бұрын
@@AbdullahOmar-be4wyacha ushirikina kijana Allah haitaji msaidizi muombe yeye
@AbdullahOmar-be4wy
10 сағат бұрын
@@mohammedmataucar66 nenda kasome dini ww acha kuropoka nani kakuambia ushirikina unamuomba Mungu kupitiya kitu au watu wanaokubalika kisheria hii inaitwa tawasuli mfano mm namuomba Mungu anipe kitu fulani lkn kupitiya ww yani Mungu nijaliye kipate kitu fulani kwa baraka za muhamedi au maswahaba au watu fulani au kw baraka ya myama fulani hii haiitwi shirki unamuomba Mungu kupitiya
@mohammedmataucar66
10 сағат бұрын
@@AbdullahOmar-be4wy kwaiyo wewe uliesoma inaruhusiwa kutawasuli kupitia maiti ?
@AbdullahOmar-be4wy
9 сағат бұрын
@@mohammedmataucar66 ndio nikwambiya usome uislamu unaruhusu kumuomba Mungu kupitiya kitu au watu wanaokubalika kisheria kuna watu wanaomba duwa Mungu nijaliye kitu fulani kwa baraka ya watu ahalu badri au maswahaba au mtu yeyote mcha Mungu hii haina shida hawa washakufa lkn unaomba baraka narudia tn baraka baraka zao sio yeye maiti upo kijana kuna tofauti kumuomba maiti maiti unasema tu naomba fulani nakuomba hii ndio ushirikina lkn tawasuli hata ukienda kaburini kuzuru unaomba ewe Mungu nakuomba nipate mtoto kwa baraka na utukufu wa mjawako huyu mwema au shekhe huyu nipate mtoto huu si ushirikina kasome dini utaelewa sio kufuata mkumbo
@hamidomar7474
Жыл бұрын
MGOJA NIPATE MDA NIKAPACHIMBE NIUONDOWE UTATA
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
We ndio huna akili hutaki kusoma unahukumu watu
@amirymapemape2700
3 жыл бұрын
Inalilahi wainnailahi rajuul hiyo ni shirk kubwa na huyu mzee ni mshirikina mkubwa na kofia lake
@chichimloli5926
3 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaaa
@hawamvao8691
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kabisa Huyu babu ni mshirikina hakuna anaye faa kuobwa isipokuwa Allaah.pekeee.
@kareemesmael2265
2 жыл бұрын
Tatizo ni elimu
@rngsplif9484
2 жыл бұрын
Huo ni ushirikina wa hali ya juu.hawa watu natakufundishwa Tauhidi
@RashidJuma-t7j
Ай бұрын
H
@abdisalan7515
2 ай бұрын
Mzee ako sahiihi anelewa dini nyinyi ni ma wahaabi khawariji
@AbdullahOmar-be4wy
Ай бұрын
😂 hawataki kusoma kazi kuwasemea watu washirikina
@salummohd4971
Жыл бұрын
Makepeace shirki
@user-tf3vs4bl8c
6 ай бұрын
Sio watu wamepotea ila wafrika ndo wamepotea kwa kufata Imani na asili tamatulin desturi za kiafrika izo ni asli ya wafrika sema wafrika wengi ni jinga Afrikaans maana asili yao wanaona niushezi kama walivyo potoshwa Kwa ile Iman ya kuaminishia waache chao wafuate visivyo vyao mungu ibariki Afrika
Пікірлер: 137