mhandishi wa habari uko vizuri katika kuuliza maswali
@bonimasero649
4 жыл бұрын
Hongera biti
@bensonkaile9606
3 жыл бұрын
Aisee! Astonishing bravery
@StellaLazaro-c6f
6 ай бұрын
Naitaji kusoma jmn mkosem gani
@salimkhamis3638
4 жыл бұрын
Maajabu gani wakati hakuna Lugha rahisi kuifahamu kama Kichina! Mimi nilikua nipo CHUO hapa Zanzibar miongoni mwa Walimu wetu walikua wamo Wachina na nimejifunza Kichina kwa miezi mitatu tu! Na hapo Chuoni Wanafunzi wengi wakitoka hua wanafahamu Kichina. Hapo Chuoni ambaye hajui hua hataki
@maryammaram2612
4 жыл бұрын
Mashallah
@goldenpanga7876
3 жыл бұрын
Nipe namba yako bro 🙄
@mariammpoma3906
Жыл бұрын
Naomba namba yako kaka
@IbrahimuTwaha-xn9iw
Жыл бұрын
Mkuu nahitaji kukufahamu nashida kdg
@SafiaHamadi-vi4xv
Жыл бұрын
Me ni mwl kabisa
@IbrahimuTwaha-xn9iw
Жыл бұрын
Hakuna group mkuu
@jamesassanga9220
4 жыл бұрын
Wuu jiao James,wuu hen gaooxhing shuoo chines. Wuu shi laoo shi
@yuvencepatrice8956
3 жыл бұрын
Natamani na mm nijue kam wew ufungue kabisa ya WhatsApp
@harrietmwanyae4778
4 жыл бұрын
Chaa ajabu ni kipi??
@jumamohamed3168
2 ай бұрын
Hakuna cha ajabu ,lakini sio jambo nyepesi kujua lugha nyingine tofauti na lugha ya kwako ,ona tu wengine wakiwa wanaelewa hizo lugha .sio kitu rahisi kama unavyofikiria wewe.
@michaeleustach9352
4 жыл бұрын
Nkajua tu kwa jetri fasta
@rahimaaaaa8699
Жыл бұрын
Ha ha ha
@harmonymattondo4042
4 жыл бұрын
In order to colonize people easy, They must know your language also. How many mwalimu nyerere universities are in China? I think Zero,but we have Dozens of Confucius schools in our country. Folks, we are prepared to embrace Chinese culture and forget ours. We are prepared to buy every dumbing product and yet forget to create ours. Tuweni makini na Wageni hawa
@zhangshuai8839
4 жыл бұрын
hata wewe ueandika kiingereza hapa huoni kama una chembe za ukoloni ndani yako?? kubali mabailiko ndugu. samahani kwa makwazo ila ni ushauri tu
@kalombokalusenselwamadyese3599
3 жыл бұрын
@@zhangshuai8839 Nafikiri unajua kuwa kiswahili ni lugha imeyoathiriwa sana na kiarabu, hilo linamaanisha kwamba kiswahili kina upande wa ukoloni ndani chake ? Nafikiri ndiyo. Sisi waafrika tunahitaji kuungana, si kugawanyana. Tukizingatia kuhusu matatizo hayanayo na umuhimu tu, hatutasonga mbele kamwe, tuungane mbele.
@malongoisack5811
3 жыл бұрын
Mbona ukoloni umelala kichwani mwako,labda ungeandika kiswahili ningekuelewa lakini sasa tukubakiane na hali ilivyo.
@kwesinjoku8940
3 жыл бұрын
Lakini wale waChina wanakujaga Afrika bila kuzungumza lugha zetu. Mbona sisi tuna ongea lugha zao???
@jkagoso
2 жыл бұрын
Wakenya hata kiswahili ni shida "wanakujaga" ?
@DonDallas
Жыл бұрын
Kwa sababu tunataka kuwaibia
@charlesigogojr5539
Жыл бұрын
Nani kakudanganya hawa jamaa kama wamekuja kufanya longterm investment cha kwanza wananunua kamusi ya China - Swahili
Пікірлер: 26