Sio mambo ya jadi sema unapenda sana mambo ya kichawi.
@jjmoku8875
3 жыл бұрын
kizazi cha jeje hakiwez kuamini😁. mzungu katupotezea asili ila mm nakubali💪💪
@yessecharles3155
3 жыл бұрын
Sana hawawezi kuelewa kabisa wanaona maluelue tuu
@whatisthetruth.8793
3 жыл бұрын
Kaka wazungu wametupoteza , akini hayo mazumwi ya mababu yalitupoteza zaidi maana mpaka wanakuja wazungu hatujui kusoma wala kuandika , wazungu tayari kwao wanajenga majumba ya kupendeza na mpangilio mkubwa , sie tulukuwa na nyumba za nyasi na udongo , tazama hilo baraza la chief halina wa meza ya mikutano wala viti , watu wamechuchumaa na kukaa chili , sura watusimechoka kama wanakula udongo .
@immanuelmwaipopo1605
3 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 hiyo ndio asili yetu majumba makubwa na masofa unayotaka ww sio utamaduni wetu ikubali asili yako acha utumwa wa akili
@whatisthetruth.8793
3 жыл бұрын
@@immanuelmwaipopo1605 kuma utamaduni na kuwa kwenye kiza , (ujingani) , tulikuwa gizani , sasa utamaduni gani jamii asiyokuwa na maandishi , wala kujua kusoma na kuandika , wala mahesabu yoyete , eti chief watu wake wamekalia makumbi . Wachoka kama wanaishi kwenye ukame , Vibwego vya mababi viliguweka gizani kwa muda mrefu mno , na kutuziba macho.
@whatisthetruth.8793
3 жыл бұрын
@@immanuelmwaipopo1605 hakuma asili ya uamisiki kahuna anapenda awe masiki acha kusema uwongo , hakuna asiyependa chakula kizuri , hakuna asiyetaka nyumba nzuri , niliona chief anasema gari mbovu sana akienda inaweza kuzimika wakati wowote , hana pesa angekuwa pesa angenunua v8 milioni 400 , hapana cha utamaduni .
@djblacktz1512
3 жыл бұрын
Kama unaangalia video na kusoma comment gonga like
@omarykindaile6451
3 жыл бұрын
Wakwanza like apa twende saw ayo tv
@biteswai3163
3 жыл бұрын
Milard ayo mungu akubariki san bro
@hyasintndimbo2998
3 жыл бұрын
Falsafa ya kiafrika tunaamini katika Familia Pana,, chief wa Kwanza kafa ila bado anaishi,, Nashukuru Sana Doctor Sanga nmeelewa somo lAko🤙🤙
@wilonjabikey8274
3 жыл бұрын
Story nzuri lakini fupi kabisa hakuna part 2????!!!!
@marwawilliam3648
3 жыл бұрын
Asante Mh. Rais kwa kutambua jadi zetu
@alexloningo6740
3 жыл бұрын
Wale wa Arushaaa tujuane apa
@LugomboMaKaNTa
3 жыл бұрын
Hizi stories tamu sana sio kila siku tunaongelea mababu wa wenzetu tu
@aziziamimu6011
3 жыл бұрын
Nzuri sana hii...napenda kupata mwendelezo.
@costvangazazaidi6208
3 жыл бұрын
Kumbe na anko anamjua chifu kingaru 🏃
@michaelsamson9663
3 жыл бұрын
Uchawi upo wanyabi mmh awa wazee wanopenda mila na destul kam presdar tujuane
@marwawilliam3648
3 жыл бұрын
Tupende vya kwetu
@wamoroboy8963
3 жыл бұрын
@@marwawilliam3648 ni kwel
@leonceuwandameno6378
8 ай бұрын
Daa, kazi kweli kweli!! Eti anaongea na chifu aliyekufa!!! Inasikitisha sana na uelewa wetu mdogo. Huyo anayeongea ni pepo aliyechukua sura na sauti ya huyo anayeitwa chifu wao wa kwanza. Mapepo huwa wana tabia ya kuchukua sura, sauti au wajihi za marehemu waliokufa katika dhambi ambao wako kuzimu. wanapochukua vitu hivyo, hurudi kwa kwatu na nkujifanya kuwa mtu fulani aliyetangulia ngufa na sasa anaishi bado. huu ni udanganyifu wa shetani - unaoaminiwa na waaafrika wengi sana. Haa watu ni waabudu mizimu - mapepo yaliyochukua sauti na sura za watu. wahubiriwe na waokoke. wakishaokoka hata huyo anayedhaniwa ni chifu wao wa kwanza, hawatamwona na hawatamsikia tena.
@Iam_stansTz
3 жыл бұрын
Wabena tujuanee
@erickmatovu9533
3 жыл бұрын
Naomba interview pia ya Prince Katega wa II
@kurejeakatikamaandiko558
3 жыл бұрын
Yesu KRISTO MSAIDIE HUYU NDUGU AOKOKE AKUABUDU WEWE AMBAYE UNASTAHILI KUABUDIWA KWANI UTUKUFU NI WAKO YESU.. Isaya 42:8... KINGALU OKOKA NA HAO WAZEE YESU ANAWAHITAJI SASA..
@mwl.timothysangayoni2137
3 жыл бұрын
EE YESU WAKOMBOE HAWA WAPENDWA JAMANI WATU WA MOROGORO HAYA NI MIZIMU MUOMBEENI AOKOKE..
@peteradriano2353
3 жыл бұрын
Wamekufa akina Farao na simbuse yy
@byamungukiza4874
3 жыл бұрын
iyo ndo Mila ya wa Africa, magufuli ongera sana unafata mila kweli, utaona wengine wa raisi wana tia wangu tu dash
@radabuoy1117
3 жыл бұрын
Hii ndio uzalendo tulikewa tunategemea Rais kudhamin asilia zetu machifu nakuweka majina yao kwenye hii ni dalili sawa
@kato_tz
3 жыл бұрын
Hana kaburi vipi tena jamani wakati umesema anaishi chini ya ardhi?? Chini ya Ardhi si ndo kaburini sasa ah ah ah
@marymfugwa847
3 жыл бұрын
Yupo chini! Hata biblia inasema Yesu alishuka chini akanyang'anya shetani funguo inaonekana aliye nyang'anywa ni chifu kingalu. Na tunajua kuzimu ipo chini.
@chrispinjohn144
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@radhiasalum7156
3 жыл бұрын
Kumbe🙄yupo wa kwanza. Tilijua kashakufa
@bilaliramadhani4934
3 жыл бұрын
Hakika hizi nikufuru za inje inje W waalahi Allah tujaalie mwisho mwema
@ireneassey753
3 жыл бұрын
Kizaz cha digitali huwez elew hizi ni asili za kabila la mtu
@abdihq4228
3 жыл бұрын
Yoyoyoyo weit there .......... This is magnified image. zoom again
@user-ln9vx3sh1u
3 ай бұрын
Tuwaachie wenye mila zao maana sisi tunaongozwa labda yupo kweli😢😢😢😢
@abbydabby783
3 жыл бұрын
Dah kufuru hii eti hafi mpaka kiama yeye nani? Mitume wangapi wamekufa
@husseinkonz5192
3 жыл бұрын
Story naomba iendelee
@mwambietv7614
3 жыл бұрын
Haaahaa hana kaburi amekufa huo ni uongo nadhani 😂 Ko ana mchango gani ili soko liitwe jina lake
@BONGOINMOTION
3 жыл бұрын
We nawe ko unatakaje na una mpinga Nani we neenda kaulize
@magulugupu5739
3 жыл бұрын
ujingatu ulishindwa kumusaidia baba etyu 😢 asiuwawe😓😓😓😓😓😓😓😓😓
@meshackmganga6948
3 жыл бұрын
Stori za maaana mnaweka nusunusu lkn za kina kajala rayvany mnatuwekea mpaka wanavyokojozana🙋
@zigzag4487
3 жыл бұрын
Hahaha
@issahmawee7096
3 жыл бұрын
Hahahahahahaa
@wizbob7207
3 жыл бұрын
Achen mmb yenu asiekufa na hatokufa ni MUNGU pekeee na co kiumbe hai
@proscoviamwambi3165
3 жыл бұрын
Aisee nitakwenda huku
@shabanimaulidy240
3 жыл бұрын
Karibu
@simonsweka7305
3 жыл бұрын
Season 2 leteni
@sallamck
3 жыл бұрын
Maajabu mtu gani?? Hafii uyoo
@alimbarouk9353
3 жыл бұрын
watuache
@wazirikhamisi4828
3 жыл бұрын
USHIRIKINA
@firemanmwenyewe
3 жыл бұрын
watu wangu wa mbeya tujuane apa
@ramadhanyusuph7633
3 жыл бұрын
🙄🙄kumbe bado machifu wapo kwaza Leo nasikia nilijuwaga kwamba hawapo tena wame kufa wote
@kingalumpole4243
3 жыл бұрын
kuna mengi ya kujifunza kwenye hili
@givenmhabuka5953
3 жыл бұрын
Wabena wa Njombe tujuane😂😂😂
@geraldmhagama1055
3 жыл бұрын
Mm hapa
@junioryasin5306
3 жыл бұрын
Hahaha
@goodluck6552
3 жыл бұрын
npo
@eddyeddy2907
3 жыл бұрын
Wale wa kinole tujuane hapa.. Chief kingalu huyo ni hatari alkuwa na kinyago cha kale kiliibiwa na wakoloni enzi na enzi mwaka juzi kimewasumbua wazungu huko kinataja Tanzania morogoro ikabidi Rais Magufuli apigiwe sim kimya kimya na wazungu kilishaanza kuleta mabalaa. Ikakodiwa ndege kimeletwa hapa kikarudishwa morogoro tena kwake!
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Noma Sana
@janekikoti2179
3 жыл бұрын
🤔🤔 Ya kweli hayo?
@eddyeddy2907
3 жыл бұрын
@@janekikoti2179 amini
@mariamwakabuta1034
3 жыл бұрын
Nataka nikamuone huyo chifu nipe anuani zake tafadhari
@teklajoseph5091
3 жыл бұрын
Mimi cyo mwanakinole ila kinole nmeishi na habari za kingalu nishasimuliwa
@mpajiramadhan3507
3 жыл бұрын
Mbona imeishaa tena jamani
@latifamkulazi8378
3 жыл бұрын
Mitamba iko vingunguti mingitu
@Kingswed-x6t
3 жыл бұрын
Mwandishi leo alikuwa anaongopa sana
@JoshuaMartin-qk3ev
3 жыл бұрын
Ndo nachukua kigoda nikae niisklize vzur at nashangaa inaisha gafla...
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Umeona ee
@neemakassan6538
3 жыл бұрын
Hd nimecheka kwa sauti daah are wish nikirundi Tanzania niende hao wazee wanasiri nzito sana na lazima rais yeyote apite hapo
@majengombeyale4672
3 жыл бұрын
Wa nne
@nasrasway7143
3 жыл бұрын
Anauwezo gani wa kukaa yote je ni jini?? Je story uliipata ukaendeleza? Davista hii story inamuusu
@hizim6699
3 жыл бұрын
Uwizard
@henryabisalami4646
3 жыл бұрын
🙇♂️Naufahamu huo mtamba ni mti upo kama kamba ukiukata unavuja maji mengi sana, Maji yake unaweza kuyatumia kwa kunywa kama una kiu.
@amour5535
3 жыл бұрын
Ndio nyumbani tulikuwa tunakunywaa
@JKGJICHOMAKINIONLINE
3 жыл бұрын
Duu 🙄
@wanderaothumani4919
3 жыл бұрын
JASIRI HAACHI ASILI
@nduyehgechanel8476
3 жыл бұрын
Lupembe kwetu NJOMBE, nimesikia
@jesuslove2205
3 жыл бұрын
Usoliwaya
@victorwiketye2461
3 жыл бұрын
@@jesuslove2205 😀😀😀 Whenyu husoliwaya. Hwesu hwilembula. U bibi yangu munya hu Lupembe
@nyangepoor5226
3 жыл бұрын
Naona kama sanaa tu hiz, hakuna uharisia wa hil
@derickshady5590
3 жыл бұрын
Nenda moro! Nauli elfu kumi na tano tu! Mtafute halafu kamtukane , uone kama hujaanza kubweka au miguu yako haijahamia masikioni!
@hamisimloka105
3 жыл бұрын
Stori za maana ammalizii Bali zakijinga mnaweka adi mwisho nasonsi kwakweli
@pamelauwera3830
3 жыл бұрын
Na utanzania wangu wote huu haya nilikua siyajui🤔🤔🤔🤔🤔🤔lazima nije moro ili kujua zaidi💃💃💃💃💃💃💃
@zedjoza
3 жыл бұрын
Wapili
@Josephtarimo-oo9ls
5 ай бұрын
Mtamba matombo bwana
@marconzilankoma7581
3 жыл бұрын
Naona Tumesha anza history ya Tanzania Tunaendelea sasa ili iwe ndefu zaidi aisee
@agustinodamiano6436
3 жыл бұрын
Ety Hana kaburi,huo mzimu Tu.
@williamsongoro7252
3 жыл бұрын
Upo sahihi
@abdalahabdalah7853
3 жыл бұрын
Hiki kizazi cha rayvany hakiyajui haya, kwanza watakutukana, wameaminishwa kua asili ni uchawi, na uchawi ni kitu kibaya, kumbe ni utaalamu wa hali ya juu kabisa, wazungu walikua wakifanikiwa kuua wazee wetu wanabeba vichwa kwenda kufanya utafiti kujua walikua wanatumia teknolojia gani kupambana na vita, lakini sisi wanatuaminisha kuwa ni uchawi na haufai
@whatisthetruth.8793
3 жыл бұрын
Kama wana utaalamu mbona mpaka wanakuja wazungu hatujui kusoma wala kuandika , hayo mapepo yalituweka ktk hali ya ujinga wa kutupwa , tembea ujionee , wanadamu wanzetu walifunguka macho maelfu ya miaka iliyopita , chief wenyewe na watu wake wamechoka kama wanakula udongo, ipo wapi meza ya mikutano na viti vyake , huyu Kingalu utukufu wake upo ? Hana dhahabu wala almasi, umaskini umewazonga mpaka kwenye nyusi . Masheta yaliyopo chini ya ardhi ni ya daraja la nwisho kabisa na hayana elimu yeyote , ni uasharia wa maisha yetu ya asili , mzimu unaepelekea kangara na tongwa ... so pathetic.
@mayaally2512
3 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 reyvanny yupo bize kusogeza chupi ya paula
@abdalahabdalah7853
3 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 andika tena sijaelewa
@saitawilson7307
3 жыл бұрын
😳😳
@PrinceAbduli
3 жыл бұрын
Wa tatu
@rashidyyusuph4386
3 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo ila Imani ya washirikina hizo kwhy hakuna asie kufa hapa Duniani
@abrahamfarahani4949
3 жыл бұрын
Huyo Kingalu ni mwehu.Rais kabugi kulipa soko nina lake .Bora lingeitwa Soko kuu Morogoro..Huyu Kingalu wa kwanza alikufa kitambo sana.Huyu anajitangazia ushikirikina na anataka aonekane mganga baab kubwa.Fala huyo.
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Uko Mkuyuni Kinole usifanye mchezoo ng'ambo take ndo matombo kwa kina mkude Simba kuna mizimu baalaa,,, ukitembea na mtoto wa mtu bas utaoaa
@abdillaahirichardkasisi8691
3 жыл бұрын
Kule ni balaa mizimu sio mchezo ju ya milima
@samsonhaule3647
3 жыл бұрын
Sisi Waafrika, tunge fuata mifumo ya mizimu ya BaBu zetu tungefika mbali Sana. Maana mizimu Kila kitu inaweza hata ukiomba mvua itanyesha.
@kacherosimba5762
3 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄tunge msahau mungu sana kama inge kua hivyo
@anuaryally6177
2 жыл бұрын
Mbona mtamba ipo pwani wilaya ya kisarawe uzaramoni uko kuna mtamba kisiso mayai na mtamba ni mti
@sylvesterjose3286
3 жыл бұрын
Hadithi tata, dunia ina maajabu yake, nashuhudia usemi "ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni!
@mutalemwamarcelventure.mae2058
Жыл бұрын
Umbalikiwa Aminaa
@bebebebe5677
3 жыл бұрын
Leta muendelezo story iko nusu
@amissesalimo814
3 жыл бұрын
Chif muongo huku Mozambique mtamba vipo vijiji vingi tu vnaitwa mtamba
@jacksondeonat4624
3 жыл бұрын
🤟nani kaona🤟🤟🤟🤟🤟🤟🤟🤟
@nasrasway7143
3 жыл бұрын
Ni mtu au shetani au ninani uyo uwiii davista please nenda kaoji hii kesi ni kubwaaaaa
@vicentmlumba591
3 жыл бұрын
Tunaisubiri
@stn4873
3 жыл бұрын
Awape hela.
@Officialshadrackjohn
3 жыл бұрын
Chief kingalu mwana mbena ni wa ngapi-Story haijanyooka sana-Tupate msimuliaji mzuri
@swalehejeilani8112
3 жыл бұрын
Kibwaru ndani nimemuona
@makovoice
3 жыл бұрын
Huku Msumbiji kuna kijiji kinaitwa MTAMBA DOS MAKONDES
@daimonkafyulilo4226
3 жыл бұрын
Wabena mbona sehem nyingi machifu haya Moro manyara tanga eeee inamana Wabena hatumjui Mungu? Mbona njombe yenyewe Hakuna chifu ?????
@herikaniugu
3 жыл бұрын
Wanawapiga ela, utapeli mtupu
@nasrasway7143
3 жыл бұрын
Davista aje hapo tungeelwa
@ashooraashoora1180
3 жыл бұрын
Hatujakinai jaman tunataka iwe kwa uref wake tuone
@charlesjoseph2092
3 жыл бұрын
Chochote kitakachojiinua dhidi ya Mungu lazima kife kwasababu Mungu wa mbinguni ni Mungu mwenye wivu
@jeremayageremy9882
3 жыл бұрын
Jamani mbona haijaishaaa...
@rickoboy4907
3 жыл бұрын
Wekeni full interview acheni ubabaishaji Millard
@samirnah
3 жыл бұрын
Daah.. Yaani mimi nawapenda wazee kama hao.. Yaani mungu akinijaalia uzima na hai lazima nimtafute akanioneshe huyo mzee wa kwanza.. hua natamani sana kuwasikia hao majini na watu wasionekana. na kama siku hio itakapo fika mimi kusikia na kuona mwenyewe basi nitaamini.. ila hizo hadithi za kusikia nitawaachia wengine
@abrahamsnoopdog5929
3 жыл бұрын
Nenda ukajionee mwenyewe maana Sio poa
@elizabethmwandu6937
3 жыл бұрын
Hahahaha waandishi buana mnammulika hadi miguu chifu kingalu ili tuone miguu yake. Mmmhu huyo ambaye hatakufa mpaka mwisho wa dunia ni nani?Mm najua kila mtu atakufa ktk hii dunia kitakachosalia ni miti na milima pekee yake.Hapa chifu katudanganya🏃🏃🏃
@yohanamuumbe4628
3 жыл бұрын
haujamalizia epsod no2 na naitwa kingalu
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
We Chifu kwetu Lindi kunakijijikinaitwa Mtamba
@frankyeye
3 жыл бұрын
Ntamba bna
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
@@frankyeye unakujua?
@pigapesa9352
3 жыл бұрын
Do!
@sanisani5266
3 жыл бұрын
Tupo sie wa bwanza kingalu kulukundundu
@telaamtauta2227
3 жыл бұрын
Mmmhhhh hiyo lakini mmhhh kitu kinaendelea hapoo huyo mzee mbona anaonekana ngangali sanaa
@lawagustino1887
3 жыл бұрын
Imetajwa chita yetu
@OmarAli-zp6yu
3 жыл бұрын
Mmmh hafi
@brayanphilipo1851
3 жыл бұрын
Story hii endele
@kamanda007
3 жыл бұрын
Mbona chifu mwislam? Dini zetu zimeenda wapi 🤔😁
@fahmy3hamed799
3 жыл бұрын
Ushirikina tu
@mnegaamina6085
3 жыл бұрын
Tunaishi namarais kube kuna marais wengine wa mikoa kweli watangazaji mna kazi
@loner_wolf
3 жыл бұрын
Mtambani Tabora, hawa wanaorithi hawajaandalika kurithi walivyorithi.... Nimesikia Yeah, Enjoy ah imekata, but cjaona uchief ndani ya huyu mwamba
@mtukufusafari5535
3 жыл бұрын
Walioangaria mpaka mwisho Kisha kurudia bila kuamini kinachotokea duh.
Пікірлер: 223