Asante sawa from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 in Cape town south Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@muhitiraamissy7198
Жыл бұрын
Burundii ndioo nyumbaniii respect we love 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@msangazimsangazipapaandomb8761
2 жыл бұрын
Iran na Iraq mpaka ni mto Basra. Mnapopita na Meli kwenye mto mnapita katikati ya Wavuvi wa Iraq na Iran. Ni kawaida hiyo.
@rinaldaoman7892
2 жыл бұрын
IDD AMIN WA. UGANDA KUMBE alikuwa sahihi mpaka ni mto
@ibrahimmaroa1894
7 ай бұрын
nikabila iko karibu Sana na Burundi naomba kujua my brother 👍
@simamiaTV
7 ай бұрын
Ndio mpakani hapa na Burundi pia na Rwanda,asante kwa kutuandikia ujumbe endelea kufuatilia vipindi vyetu 2024
@richardlawrence9177
2 жыл бұрын
Mto Ruvuma tanzania and Mozambique
@majidsleyim1185
2 жыл бұрын
Mto wa RUSUMO baina ya Tanzania na Rwanda. (Mimi naishi Muscat, Oman lakini mzaliwa wa Mugoma, Ngara. Ngara nzima naifahamu sana. Mipaka yote hiyo naifahamu Vizuri sana. Ndahakunda chane ingara yachu)
@simamiaTV
2 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/rKVuqmhusGqYkoI
@alphoncehanura3255
2 жыл бұрын
Yaani nyie vijana Geographia yenu huo ndiyo ukomo wenu? Malagarasi Ruvuma Jadilini mjue mipaka hiyo pia.
@bitarihoautorepair8736
2 жыл бұрын
Tupo kila sehemu, angalia kazi mbali mbali zilizopo kwenye channel yako pendwa. Wewe tuelekeze na tutafika, tunauweza wa kubeba na kupeperusha kazi yako moja kwa moja (live) - ili uweze kufatilia shughuli inayopepeperushwa kutokea popote kule ulipo - ama recorded na upload. Maelekezo yako is an order to us. Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi. Asante sana kwa kuendelea kutufatilia and we are committed to serve the community by promising you "... na kazi iendelee".
@polytarimo324
2 жыл бұрын
Daaah kweli tu kwa kutazama ni kivutio cha utalii
@bitarihoautorepair8736
2 жыл бұрын
Kwa kweli huu ndio utalii na urithi wa nchi yetu tulio nayo. Tuweke mazingira sawa ili tuendelee kutunza mazingira ili vitukuu vyetu viweze kushuhudia na kunufaika na mazingira yaliopo. Tunashukuru kwa kufurahia kazi zetu.
@bitarihoautorepair8736
2 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa comments na kwa ushiriano wenu kwa ujumla. Kama kuna sehemu mgependa muone kamera za SimaimiaTV zimulike, tafadhari msisite kuwasiliana nasi. Tupo hapa kupeperusha kwa ulimwengu hali ya Ngara na kwingineko. Tunaamini kuwa ulimwengu umeshakuwa kijiji, kwa hiyo tuendelee kutumia technology zilizopo kutengeneza ajira kwa wale waliokuwa tayari kuonyesha ujuzi wao na sio kueneza blah blah. Kama upo tayari kuonyesha ujuzi wako kwa matendo, Simamia inakuhiji. Mpango wetu ni kufika kila sehemu za Ngara na kutangaza yale yaliyopo na kuleta yale yanayoendelea ulimwenguni kwa wana Ngara ili mtazamaji ashuhudie na aamue mwenyewe. Next time tutafika mpakani mwa Tanzania na Rwanda na hata kuonyesha mto Rusumo. Ngara ni yetu na Kagera ni yetu. Tutaendelea kuiweka Ngara kwenye sura ya ulimwenguni. Na kama una shughuli yako ungependa tuipeperushe, tuko tayari kwa kazi. Utaweza kuona shughuli yako live (peperusho la move kwa moja) ama recorded na tukaipandisha hapa kwenye channel yako pendwa. Maelekezo yako is a command to us as we are to serve everyone. Msisahau kubonyeza subscribe kwneye channel yetu, kutufatilia kwenye mitandao ya kijamii. Kama timu simamia tunasema Na Kazi iendelee.... na shukrani sana, Baraka Bitariho
@alvingodfrey5747
2 жыл бұрын
Duuh kabla hujaposti chochote fatilia kwanza. Yaan ni kama hujaenda shule kabisa
@alexjos7625
2 жыл бұрын
Presentor usiseme mmh mmh sio sawa
@davidmathayo9403
2 жыл бұрын
Hawajielewi hao
@burundishallsmile1day109
7 ай бұрын
Umesahau kusema Kama Bugufi mpaka Ngara ilikuwa Falm ya Burufi wakati wa Mjerumani 😊 Good show🎩
@hemmysaleh3521
2 жыл бұрын
Songwe ni mto unatenganisha Malawi Na Tanzania
@ijumaakuu3898
2 ай бұрын
Hivi Burundi bado vita vipo mpaka leo?
@simamiaTV
2 ай бұрын
Hakuna vita
@msangazimsangazipapaandomb8761
2 жыл бұрын
Hata Mikoa (iliyo mingi) mipaka yake ni mito.
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Mbn zipo nchi nyingi tuu
@bitarihoautorepair8736
2 жыл бұрын
Zipo nyingi sana na tutaendelea kukuletea habari mbali mbali zinazofundisha na kuburudisha. Asante sana kwa kuendelea kufatilia huduma zetu.
@savannahservice
2 жыл бұрын
Mto Ruvuma, Mto Kagera yote ni mipaka
@songamberetv2219
2 жыл бұрын
Ndio lakini uyu mu paka na burundi siwezi kusema ni mto maana unaweza ukaruka
Пікірлер: 34