Pastor kwa kweli acha Mungu akubariki tu saaaana kwa kuwa unafariji roho zetu zilizojawa vidonda sugu😢...may He bless you and use you more and more na neema Yake ikutoshe in Jesus Name Amen Amen 🙌
@RachelManyanda
2 ай бұрын
Pastor na shauri mahubiri tv iwepo kwenye tv ili internet isitukoseshe mafunzo kama haya
@daudnyore4696
Ай бұрын
Tuliombee Swala Hilo na Tulikabidhi Mikononi mwa Mungu, ili Yeye Mwenyewe alifanikishe Kwa Utukufu wa Jina lake
@Joycependopendo-dv2tb
2 ай бұрын
Amen Glory to God happy Sabbath day to everyone
@gelardjames2595
Ай бұрын
Barikiwa Pastor Nabarikiw san na mafundisho yako 🙏
@weahfeint3406
2 ай бұрын
naomba wimbo wa mwanzoni tumesikia mbiu, naamini wengi wanaupenda, asante
@farajamumangi2809
2 ай бұрын
Mbeba agano ni mshindi, na jina tu la mbeba agano ni ishara ya ushindi. Barikiwa sana Pr. 🙏🙏
@user-vm8sb7sr1d
Ай бұрын
Asante mchungaji niko Kenya miriamkageha
@jonacemanyama4858
2 ай бұрын
Pastor umesema kweli kabisa,mm naishi mbali sana na mama yangu mzazi,lakini kunasiku nilimuwaza sana hadi nikatamka jina lake, lakini sikumpigia simu,jioni ya siku hiyoyo MAMA YANGU alinipigia Simu.Nilishangaa sana.
@jdhbaziyakadamascene6888
2 ай бұрын
Hamjambo Pasta. Ninayofuraha ya kukusalimu na kukujulisha ya kwamba mimi ni Mzee wa Kanisa la wasabato la huku DRC, Nord-Kivu, Rutshuru, Bugara. Nafuata hubiri zako ambazo zimeimarisha imani yangu. Nahitaji namba Yako ya watsp.
@JosephMpangala-wd5mp
2 ай бұрын
Àmina, Mungu akubariki sana.
@fatumachagudadui3138
8 күн бұрын
Amina nimetuma maombi ya ajira serikalini naomba Mungu anibariki nipate hiyo ajira nikawe baraka kwa taifa langu. Ee Mungu nisaidie nisiwe mbinafsi nina uhakika nitarudi mahubiri TV kushuhudia SMS yangu hii maana naenda kuajiriwa sasa Mungu anisamehe
@shadrackamos3331
2 ай бұрын
Pastor nabalikiwa na mahubili Yako Ila naomba uniombee uchumi wangu hauko vizuri ili nikawe mibaraka kwa wengine
@rahimajuma5306
Ай бұрын
Mungu akubariki sana
@RahimaShujaa
2 ай бұрын
AMEN
@roselineombati670
2 ай бұрын
Mungu nisaidie kupitia roho wako nijifunze kuisikia sauti yako
@roselineombati670
2 ай бұрын
Happy Sabbath,
@yakobofumbuka-ry4mh
2 ай бұрын
Amina pastor
@ElizaBeth-fc8bu
2 ай бұрын
Amen
@RozaNicole-me9zm
2 ай бұрын
Ninase asante kwakuwa nilikuwa na uvivu wakusikili neno la mungu kwasasa sisikiye uvivi tena asante mungu❤
Aliye juu akutunze poster kwa ajiri ya watu kama sisi tuliyo kuwa tumekata tamaa lakini kupitia masomo haya tunaamka upya, CK moja tuje kushuhudia hapa ukuu wa MUNGU
@shaniachanceline2751
2 ай бұрын
Amen!❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@tulikifrimbagga722
2 ай бұрын
PR MMBAGA UNANIBARIKI MNO ,MUNGU AKUBARIKI ZAIDI UNAPOPONYA MIOYO ILIYOPONOKA
Пікірлер: 31