Kama Mungu kakubariki na mume wewe tuliedhani hautaolewa mbaka umezaa mwana,naamini pía mimi atanipa.all the best.
@joanesijoviti8809
3 жыл бұрын
mambo vp lilian
@bintimohammed3233
3 жыл бұрын
Amin ... Kwa sote ambao hatujaolewa
@Ryoof-qo7if
3 жыл бұрын
@@bintimohammed3233 amin
@bintimohammed3233
3 жыл бұрын
@@Ryoof-qo7if thumma amiin
@hanifawere6419
3 жыл бұрын
One is Darleen is blessed.. Na ametulia kwa ndoa yake MashaAllah
@nuura9347
3 жыл бұрын
Nakuombea kila la kheri na furaha daima from kenya
@zainathcuwimigishazchelsea2113
3 жыл бұрын
Mama B wangu weuweee mnarbainika 😍 nimefurahi umenijib Snapchat. Arbaini ya kheir INSHAALLAH Mama B😍
@faridaabdallah7424
3 жыл бұрын
Nakupenda sana da dareen yaan hujickii hata kidogo ni mcheshi mno tulikutana siku moja kwenye msiba wa mama yake rukiaruky tukazoeana kama tulisha wahi onana ni mcheshi sana ww ndo mana unapendwa na watu wengi mno❤❤❤❤❤❤❤
@hawamgalla1436
3 жыл бұрын
Hajisikii hata kidog yaan
@hawamgalla1436
3 жыл бұрын
Hajisikii hata kidog yaan
@zainabundomi4730
Жыл бұрын
Nakupenda sana
@katemurey169
3 жыл бұрын
Congratz darling...mungu azidi kukubariki na ampe afya na maisha marefu ua bby..mob love from kenya🇰🇪
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
inshaallah dada mungu akukuzie mlee kwenye maadili ya dini aijue din yake
@aoman5214
3 жыл бұрын
Nakupenda Sana huwa hujickii kabisaaa
@aishajafa4139
3 жыл бұрын
uzazi umempenda huyu dada umekua na kirangi flani hivi
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
Haswaa kanoga
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
Haswaa kanoga
@beautyibrahim8428
3 жыл бұрын
Kawaida hiyo ukitoka kujifungua unakuwa na kangoz flan soft wengine mpaka miez mitat ndio wanabadilika
@zayrahashbah7367
3 жыл бұрын
Woooow Allah awakuzie ❤❤❤❤
@munirashughuli7224
3 жыл бұрын
Alfu mabrook Dada mola akuwekee mwanao
@maryamjuma9816
3 жыл бұрын
Maa shaa allah mungu akulindiee bintiyy yako na ndoa piaah ln shaa allah 😍😍😍😍
@fatmahamisikipindura6640
3 жыл бұрын
Hongera Sana Da Dareen Allah atukuzie kichanga chetu insha'Allah
@jabuali2501
3 жыл бұрын
Mola akulinde na akupe umri mama B
@diarukiamohameddiarukiamoh1989
3 жыл бұрын
Maasha allah
@rhamamhmod5221
3 жыл бұрын
Mashallah
@saadiaali5609
3 жыл бұрын
Mashaallah
@johnmwadime4590
3 жыл бұрын
Queen..dalini..mwenye matashtiti. Zake..👌👌
@fatimamowa8166
3 жыл бұрын
Mashaallah kutoka uk 🇬🇧 kila lakhery
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
Mashaa allah mungu akukuzuie binti yako inshaa allah umlee kwenye maadili ya kumpendeza mungu aamina ❤️🙏
@alibell5246
3 жыл бұрын
Mashaallah hongera sana dada unahekima sana unapoongea nafurah sana
@salhamrisho8138
3 жыл бұрын
Umependeza mamy😍😍😍😍😍😍😍😘
@pamelaemmy8180
3 жыл бұрын
Mungu akukuzie mama ako barqis isiac
@bnbnbnbbnvbn9006
3 жыл бұрын
Hakuna kitu ninacho kupendeya vile unavyo mthamini Baba ako Mzazi na Mme wako Kikweli uwa do nazidi kukupend Daa Hawa 🥰🥰🥰 Allah akulipe kila la khaire na barkaa kwako pia Allah akupe subra na Uvumilivu katika ndoa yako 🙏🙏🙏 Pia Allah akukuziye katika misingi bora
@rithakuyala9951
3 жыл бұрын
Mungu atawajaalia sio kwa vishindo ivyoo
@rukaiyahassan6170
3 жыл бұрын
Kila la kheri
@nunulv3934
3 жыл бұрын
Masha Allah mungu akuekee mwanao na awajalize kheri na amani ❤️❤️
@mrsruweidaabdallah8704
3 жыл бұрын
All the best my dear qeen Darleen n Happy 40th Days baby BALQIS.fr KENYA
@bumeplatnumz8445
3 жыл бұрын
Nice💖
@sadakhamis6684
3 жыл бұрын
Nampenda huyu dada mashallah
@du8284
3 жыл бұрын
NAKUMBUKA NYIMBO ULIOIMBA NAKIBA DA! PENDA SANA WW💕💕💕
@princessattush1145
3 жыл бұрын
Mashallah nakupenda sana jmn mungu awatangulie kwenye shughuli ya mwana wenu inshallah
Mashallah dadangu mtoto wa baba mana kwa huo mguu umechukua wa baba kabsaa 🤣🤣🤣 mungu akulindie ndoa yako, sema nmependa Sana upendo uliouonyesha kwa babako ni wa thaman sana kwake mpaka rahaaaa
@justinekataya4880
3 жыл бұрын
Mi nakupendanga unaga skendo wewe dada 💋💋❤❤
@sadajuma7592
3 жыл бұрын
Hongera sana Allah awakuzie🙏
@tunusefu2018
3 жыл бұрын
Allah atukuzie mtt wetu inshallah
@adolphinajalala6454
3 жыл бұрын
Congratulations
@agmayory81
3 жыл бұрын
hongera
@hadijakabona955
3 жыл бұрын
Love you so much ila ujanipa mualiko Shangai wa b
@khdijaahmed8458
3 жыл бұрын
Jamani kumekuchaa kumekuchaa 🏃♀️🏃♀️
@salhamrisho8138
3 жыл бұрын
Queens kama queen
@billylovebilly6301
3 жыл бұрын
ongera mamy Allah awakuziye
@editherkigabo9541
3 жыл бұрын
Mam b maisha mema mam penda San💓💕💓💕
@chantalmulasi5663
3 жыл бұрын
Congratulations to you mama B
@aishafrancis7714
3 жыл бұрын
Umependeza mama akeee B
@zuuzuundotterz4032
3 жыл бұрын
Uwi
@tatuathuman104
3 жыл бұрын
Dada dareen mungu akurindie ndoa yako 🙏 mm nakupenda sana
@zainabzai5320
3 жыл бұрын
ALLAH atukuzie mtoto wetu insha ALLAH
@aishamohamed8268
3 жыл бұрын
Queen Darling anampenda sana kaka yake diamond, hicho shanga alichovaa mkononi kimeandikwa Naseeb
@shushu8105
3 жыл бұрын
na mimi nimeona kabisaa
@nagmynamahin2463
3 жыл бұрын
Kuna mtu atakosa kumpenda mtu mwenye hela
@tyquiannh4888
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
@du8284
3 жыл бұрын
Sura yakz🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@SaraSara-gi9he
3 жыл бұрын
Mungu alete kheri in sha Allah
@mumangelkenya3952
3 жыл бұрын
All the best queen..
@anitakamene5073
3 жыл бұрын
Nice
@mwanaishiaomar5695
3 жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰
@chrissjoel7752
3 жыл бұрын
Ko sisi tufanyeje na umaskini wetu sherehe zenyewe za kiboss hizo tukija mnatusimanga 🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒
@aminaomar4073
3 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️
@massimilianoraffadali5482
3 жыл бұрын
1
@nadiakatende7440
3 жыл бұрын
All the best ma diva Darleen Happy 40th baby Balikiss may Allah bless you wen u grow up
@shaaqlassique6644
3 жыл бұрын
Umekua mrembo daa kuini
@mgeniali7489
3 жыл бұрын
Hina pambee
@nadiamohamed2548
3 жыл бұрын
Punguza difa
@iipeaxhyixy4528
3 жыл бұрын
Huyu dada anasura mbaya jamani
@halimaaa3860
3 жыл бұрын
♥️♥️♥️♥️💃💃
@Lisajos
3 жыл бұрын
Camera inazingua bana 😭ila uko POA Queen
@priscaoscar9263
3 жыл бұрын
Mmmmmmmmmmmm
@lynlynlynlyn8404
3 жыл бұрын
Jani iyo piko usiwe wachorea shuuli tu mpakie mumeo kila wakati
@justinjoshua1059
3 жыл бұрын
Ongera ndugu ila uso unakushuka kbs.uzee unapiga hodiiiiiiiiiiiiii😁😁😁😁😁😁
@mwanahawaomarimashaka197
3 жыл бұрын
Kuzeeka nako nimajaliwa
@zabibunduwimana4612
3 жыл бұрын
Cameramani mbona unahonesha giza ni usiku Hawa hongera Allah akukuziye
@mariatuku359
3 жыл бұрын
Queen darling umevumilia sana kwa hiyo ndoa ukiachilia maneno yamitaani
@hadijasaidi7709
3 жыл бұрын
Kuvumilia. .?kadumu miaka.mingapi kwenye ndoa .?
@mariatuku359
3 жыл бұрын
@@hadijasaidi7709 nasema mambo ya mitandaoni ukiyachukulia na yy ni msanii waeza acha ndoa... angalia dada yake esma hata miezi mitano bado
@hadijasaidi7709
3 жыл бұрын
@@mariatuku359 atulie kwenye ndoa yake nilikua sijawahi mbona akiwa hivo kimama tena bila makeup yupo kawaida tuu atulie aache ya mitandaoni yuda acha yamkute anajitia kiherehere sana yeye na kibibi Sandra nayule kibenteni
@mariatuku359
3 жыл бұрын
Live saa ngapi
@ibrahimjoseph9417
3 жыл бұрын
Sasa queen hicho kikombe cha nin hapo
@fatmahobah1042
3 жыл бұрын
Camera imeniudh
@halimahalima5802
3 жыл бұрын
Miguu hizo?
@gresitimoth4142
3 жыл бұрын
E
@salmagungurugwa6854
3 жыл бұрын
Make up kiboko daring mtu mzima hivi duuhhh
@mosadibronze
3 жыл бұрын
Kama wewe ni msanii unae chipukia link hii nimuhimu sana kwako utajifunza meng kutoka kwa jamaa 👇👇👇👇👇👇kzitem.info/news/bejne/lWOrz5h9cpFopYI
@yusufmwangichannel6692
3 жыл бұрын
Arubaini ya nini? Mtoto usherehekewa sherehe inaitwa HAKIKA na hio ufanywa baada ya siku 7 na ndio siku upewa jina, hio ndio Mtume Muhammad (S. A.W) katufundisha sisi waislam. Sasa hayo mambo ya arubaini ni nn?
@sabihasalim942
3 жыл бұрын
Akiki ni kwa boy sio baby girl. Na hiyo akiki ya boy kwa ajili ya kuchinja na unaweza kuchinja until at the age ya mwaka kama huna uwezo.
@yusufmwangichannel6692
3 жыл бұрын
@@sabihasalim942 😀😀😀, ndugu yangu mtoto ni mtoto na wote wana haki ya kufanyiwa hakika na ispokua kuna utofauti kidogo, mtoto wa kiume anafaa kuchinjiwa mbozi wawili na wa kike ni mbuzi mmoja Lakini mambo ya kua mtoto wa kike hana haki ya kufanyiwa hakika hio ni kutoelewa tu wewe na kama unataka kujua zaidi juu ya hilo mtafute mwalimu mwenye na elmu zaidi atakujulisha. But naona waislamu wengi Tanzania mnafanya mambo ambayo ayaambatani na mafunzo ya Bwana Mtume Muhammad (S. A.W) kwa sababu nkasema hivyo, naona mpaka watoto wanafanyiwa matambiko yasiyo ambatana na dini ya kiislam kama vile maulidi, eti maulidi ya arubaini ya mtoto wakati Mtume Muhammad (S. A.W) hakufundisha wala hakufanyia hata mtoto wake mmoja. Kwanza maulidi yenyewe ni bidaa
@sabihasalim942
3 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 Thanks for the knowledge but mimi sio mtanzanian.... My late Dad nilifanya a Kiki bila sherehe nikachinja and that's it!!! arobaini Henna a bit of make up. Na usiku jigijigi. 😂😂🙈
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Wewe nae ungekua mzuri tungepata shida sana maana shepu una sura una mguu mbaya tunamsema tu Sesi walukamba ila na ww umo samahani lakin
@ritalissu1123
3 жыл бұрын
Una mguu mubaya kama mboo ya mumeo
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
subuhanallah🤭🤭🤭uo uchi wa mumewe umemuona mungu akusamehe bure
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
😳😳😳😳😳😳😳we huo uchi wa mume wake uliuona wapi 🤔🤔🤔🤔🤔
@eliphaslaizer1294
3 жыл бұрын
Nilijua tu wakina lissu wote hakili zao hazipo sawa
Пікірлер: 122