Moyo wangu unaumia sana lakini kwa fraha hongeleni mnaoandamana kwa niaba ✌️🖐️✌️✌️✌️🖐️👏👏👏
@PeninaMaduhu-j1z
2 сағат бұрын
Mungu awabariki sana sana sana mnaoandama kwani wengine afya zetu mgogoro kazi yetu iliyobaki ni kuwaombea Mungu awalinde
@marwakisyeri3501
Сағат бұрын
Hiyo ndo demokrasia Rai Samia.Chadema big up!
@AnnaFelix-p1z
Сағат бұрын
Aposawa namshukulu mungu Kwa maandamano haya tungefeli isingependeza ccm wangejivuna sana
@PeninaMaduhu-j1z
2 сағат бұрын
CHADEMA HONGERA HONGERA SANA KILA MPENDA HAKI LAZIMA ATAANDAMANA GOD BLESS ALL
@rajabumngombe2922
2 сағат бұрын
Safi sana ,lakini hatuna jeshi la kulinda raia,hawa ni polisi wa ccm ambao hubaliki mauaji
@DorikaKitamara
56 минут бұрын
Ahsante Samia Kwa utulivu wa nchi yetu,kama ungezuia hii ungejiletea shida,AchA watoe kero zao zitakazokuhusu rekebisha kazi iendelee
@drisakamwakitalima1937
22 минут бұрын
Safi
@samsonrusagira5168
Сағат бұрын
Hongete kwa maandamano.Mungu awatangulie.
@BarakaTutito
2 сағат бұрын
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️ mungu yupo pamoja nanyi
@SaidHassan-g9u
Сағат бұрын
Wana umeee awoooo mungu awasaidieee nikiwa DRC congo
@DavidMsigwa-qh5ze
2 сағат бұрын
Hii channel safi sana
@gabrieljohn6422
Сағат бұрын
Hongereeni sana watu wote mlio tuwakilisha Dar tuko pamoja
@libandaonline5358
Сағат бұрын
Sio ya leo hiyoooo muongo huyooo
@RajabuMussa-h5n
37 минут бұрын
Mungu awatangulie maandamano mema
@MwanaidHamad
Сағат бұрын
Muongo sio leo hayo😂😂
@emanuelKarei
2 сағат бұрын
Mungu yupo pambaneni kudai haki kikubwa msivunje sheria za nchi
@MonicaMushi-z8s
55 минут бұрын
Hongereni sana makamanda nilisubiri kwa hamu kubwa siku hizi. Hakuna kurudi nyuma mpaka Soka na wenzie wapatikane.
@NtuliSuzan
Сағат бұрын
Mungu awatie nguvu chadema, you're the only hope! Let blood of Jesus covers you
@godfreymjuni6752
Сағат бұрын
Hii siyo leo 😂😂
@Said13Mashakaog
8 минут бұрын
Kila lakheri watanzania maandamano mema 🙏🙏
@glorymiko6830
2 сағат бұрын
Hii sio ya Leo.
@zulachama1067
Сағат бұрын
Bigup never give up,haki lazima hipatikane,watching from mombasa kenya. Acha ss tupumue ndipo kazi kwenu watanzania 😂😂😂😂.
@bishopjacobomwaigaga
2 сағат бұрын
Mheshimiwa rais Natamani Nikushauli kama utapenda Mungu Akusaidie kujua washauri ulio Nao wengi siyo salama wanakutengenezea BOM kubwa sana Ukishauriwa Ongeza Na Zako utakuwa salama
@mvitaali8608
Сағат бұрын
Hii nchi acha kutishia nyau
@Anandezi
Сағат бұрын
Kuandamana ni haki ya mtanzania yoyote, kwanini watu wakamatwe kwa hilio
@TreyCarlos-p2i
47 минут бұрын
Weee jamaa una dhambi umepost maandamano ya mwaka juzi 😂😂😂😂😂😂 Hongera sana kwa kumaliza bando letu
@juliusloishiye-y6k
Сағат бұрын
hii sio leo bana
@AhamadiAlly-z6v
Сағат бұрын
Sio kweli
@AthanaseKiyoja
2 сағат бұрын
Ni aibu kutawaliwa na mzanzibar tena Mwanamke
@MettodMarco
2 сағат бұрын
❤❤
@nabimanyafesto5014
2 сағат бұрын
Yaani Acha tu
@mohamedomar-cm9sy
Сағат бұрын
Nyinyi wanawake ndio maana munatawaliwa na mwanamke.Lakini hamumuwezi Mama Samia.
@SamahyraOmarKassimSamomar
Сағат бұрын
😅😅😅😅 mbona nyinyi mmetupa mwinyi ila sio mbaya kwa vile mmetupa mwanaume
@SamahyraOmarKassimSamomar
Сағат бұрын
Nyinyi uwezo wenu wakufikiri mdogo ndio mana tumewapa mwanamke tulieeni
@TarimoMangi
3 сағат бұрын
Tunataka haki zetu.... nchi imeuzwa malizetu zinatapanywa kwann????
@Ibrahimmeshilieki
Сағат бұрын
Chademaa oyeeeeeeeeeeeè saf sana wenzetu tunawapata kutoka 🇰🇪 tuko pamoja hongereeni sana
@maksoudyasini4661
Сағат бұрын
Acha udanganyifu sio li ve
@annafredinandmatandiko8438
2 сағат бұрын
Safi kabisa tuacheni tutoe kilio chetu😢
@wahurumasibale6155
46 минут бұрын
Hayo ya zamani
@ibrahimgwasma1223
57 минут бұрын
Hahahahhahaahha Kwa hiyo leo wananchi watafute barabara zao za kupita kuwapisha chadema?
@AndrewKasanda
2 сағат бұрын
Amani kwenu wapende amani wengine wanaichezea kama awa ccm
@HumphreyNkya
Сағат бұрын
Ni haki kabisa kufanya maandamano juu ya hili taifa letu ,mambo hayaendi vizuri kuuwawa kwa watu ,kupotea kutekwa ni shida kweeli.
Watanzania kama nyumbu tumekaa kwa kweli, watu wanafuat mumbo tu
@Veni584
58 минут бұрын
Hii sio ya leo, Mbowe, Lisu na Lema wamekamatwa
@RaibebeBebe
Сағат бұрын
Amani huletwa Kwa busara sio Dola na maguvu mengi
@ndimimaskati3641
23 минут бұрын
Kudai HAKI ni jukumu la kila MTANGANYIKA,.
@RegnardiCharesi
24 минут бұрын
Pamoja sana Niko njiani nakuja
@JemaMhagama-oz6me
Сағат бұрын
Haha maandamano ya mda mrefu sio leo
@Oman-p8x
Сағат бұрын
✌️
@AndrewKasanda
2 сағат бұрын
Dua kila atua watanzania arisi
@Bquality
2 сағат бұрын
Unauhakika ni leo hii mbonaaaa kamaaaa mmmmh😢
@Byondorujulika17
12 минут бұрын
Sina lakisema ila ni furaha, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸
@EmanuelyMalugu
Сағат бұрын
Ubaya ulio fanyika kuwakamata viongozi wakuu si wangewasindikiza kama hivyo
@henrybovick93
2 сағат бұрын
2007 na support chadema in 💯
@RoseMayige-gn9qb
Сағат бұрын
Ccm siku zenu zimeishaaaaa! Watu wamechoshwa na uovu!
@MasweMaswe-s5s
Сағат бұрын
❤
@goodsonlucian2906
Сағат бұрын
Usitoke nnje mpaka nifike hapo twende wote
@marwakisyeri3501
Сағат бұрын
Muda wote nalisema na na nasimamia ukweli na haki daima kuwa CHADEMA wataandamana na wataungwa mkono na wananchi na hatimaye polisi watawalinda tu kwani si uasi bali haki kisheria na kikatiba.Hadi usiku nalirudia msimamo wangu huo.Sasa yametimilika
@glorymiko6830
2 сағат бұрын
Wacha kupotosha watu. Sio ya Leo hii.
@elardurasa67
Сағат бұрын
Hii picha sio ya leo jamani haya niyale yaliyopita
@williamboniphace5887
Сағат бұрын
Mungu mkubwa ❤❤
@JemaMhagama-oz6me
Сағат бұрын
Habari za uongo
@SarahEdithchambo
Сағат бұрын
Lazima wafanye maandamano siwanamaagano na hulo wanakoenda kuishi
@barnabaslushenshe523
Сағат бұрын
MIMI NASEMA MAMA SAMIAH KAMA AMEFANYA HIVI ...KWELI HAUSIKI KATIKA WAUAJI MAMA WA WATU. SHIDA NI SPEAKER TULIA ACKSON NA MENGINE NDO MAUAJI YANACHAFUA SERIKALI YA MAMA NA
@TarimoMangi
3 сағат бұрын
Mheshimiwa usitoke makamanda wako tupooo
@mkude
Сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂 hayo si ya leo watu wengi wajinga kweli
@user-xy8kl9wd2i
Сағат бұрын
Hii vidio pengine niya mda
@NtuliSuzan
48 минут бұрын
Kipindi Gani?
@maksoudyasini4661
Сағат бұрын
Wewe ni muongo hayo sio ya leo
@TomasiklistophaMwinuka
2 сағат бұрын
❤❤❤
@hassannuru7399
2 сағат бұрын
haya maandamano sio ya leo. leo haiwezekani kuandamana tz
@HajiManara-y7u
2 сағат бұрын
Lini iyo
@AshaMwamba-i7g
6 минут бұрын
Lini hiyoo jamaniii
@NixonJohnson-zn8nk
Сағат бұрын
Hii ni lini acha ujinga
@soudmaulid1924
10 минут бұрын
Hii sio leo
@kagetaabdallah3712
59 минут бұрын
Sio leo acheni kuongopea watu
@AntonyDova
53 минут бұрын
Si ya leo haya
@SarahEdithchambo
Сағат бұрын
Ccm jipangeni kukamata vitu na wajumbe
@MichaelJoashi
20 минут бұрын
Hii ya zamani sio leo
@OmanOman-bx5du
Сағат бұрын
Woooo. Nawakibali. Ndugu zangu
@JaphetJackson-p6b
3 сағат бұрын
Amani, mama anapenda amani sote n wake mitano Kwa mama
@MaulidNdunda-cl3gz
2 сағат бұрын
Hamna shida hapo unayasambaratisha yote hayo
@DavidSoka-b7h
Сағат бұрын
🎉🎉🎉
@godfreymjuni6752
Сағат бұрын
Mungu nu mwema
@hansmutta2549
43 секунд бұрын
Mbna media hazi posti hii kitu??
@Justinamwakajumba
51 минут бұрын
Tunataka ya leo sio iliyo pita
@FATUMABACARCADANGE
Сағат бұрын
Acha unafki kusapot wangekamatwa
@HamisiMakasara-hb3nt
2 сағат бұрын
Msitudanganye waandishi kwa kutuwekea maandamano ya mwaka Jana, we need current event
@FadhilaKhamis-xe6hg
Сағат бұрын
Kabsa
@FadhilaKhamis-xe6hg
Сағат бұрын
Maana wamekamatwa
@mohdkidarasa
31 минут бұрын
Serikali inaogopa maandamano wanaoña kama wakifañikiwà kuandamàña mpaka mwisho nchi inachukuliwà Akili zao ndivyo zinavyo wàmbiya kumbe wala
@QasammaMachibya
Сағат бұрын
chenel chonganishi ifungwe
@mussakilo4916
2 сағат бұрын
We muandishi pumbav haya maandamano ya sikunyingi
@Kabeya410
38 минут бұрын
😅PUMBAVUUU MAANDAMANO YALIOPITA NDIO UNAPOST LEO MBWA KWELI MBWA TU 😅 ACHA UCHOKO KENGE MMOJA UMEAMUA KUIBA ZA WATU ZA BANDO ZAO
@yusuphally6420
Сағат бұрын
Duh jamaa anwalisha matango poli aya maandamano yale ya zamani yalioruhusiwa kipindi kile
@RosesekwaoSekwao
Сағат бұрын
😢😢
@MartinJohn-eu5qr
Сағат бұрын
Hii xio ya leo
@AndreaNzunda-f7o
Сағат бұрын
samia umewekwa apo ikulu km kivuli tu lkn wapo wanaokupa maelekezo nn cha kufanya na hao wanataka watutawale ad 2035, samia ikulu amewekwa km kivuli tu baada ya kutuulia Magufuli wetu
@SarahEdithchambo
Сағат бұрын
Huyo watautubiwa na nani
@RoseMayige-gn9qb
Сағат бұрын
Ogopa nguvu ya umma!
@AlexMkwama
Сағат бұрын
Daniel mwasha USIWADANGANYE WATANZANIA
@meshackanord976
3 сағат бұрын
Wanaelekea wapi ?
@MohamedKalatula
Сағат бұрын
Safisanaaaaaa
@mariaanthoniangowi9376
45 минут бұрын
Mzungu hathiakiwi
@RoseMayige-gn9qb
Сағат бұрын
Wameahindwa kuwakamata coz ni wengi, watamkamata nani wamqache nani!? Yesu naomba uwatangulie maana tuko na uchungu kwa watu wa CHADWMA waliopotea na kuuwawa ni ndugu zetu hao, ni damu ya wa Tz wenzetu! Wanaopinga wote wachawi!
@jonijoogabriel3728
26 минут бұрын
Wewe jamaa ni fala sana unatuletea mambo yaliyopita
Пікірлер: 200