Askari wanakuanga wakenya kweli coz wakati wakati wa maandamano wao utreat wako ni kama hawajui mashida zenye ziko na wakipelekwa kudeal na bandits wanashindwa hii nguvu si wapeleke huko coz ni kama maisha kwao iko sawa
@BORDERSSAFARISTRAVEL
3 ай бұрын
OUR POLICE 🚓🚨 🚓🚨 THEY LACK TRAINING
@sarahnambuya5818
3 ай бұрын
Police wanakaa kana watoto wadogo wao wanadanganywa na pia wanaumia tumieni akili kwani ninyi sio wakenya?? Hii kenya ata heri Mungu amwange gadhabu ya moto kule state house ichomeke kapiza kweli utateza wakenya vipi tax maisha iko juu mbona usikii kwani ww nikiziwi uzikii mbona unyanyase wakenya uwongo mutubu mbona Mungu anakuona
@JuliusMureithii
3 ай бұрын
Askari wa Kenya ni wa jinga coz sisi wananchi wachini Hua Tunatumia Vitu Sawa Wao ,
@limojepkorir3352
3 ай бұрын
Peaceful demonstrations is our Right.why are police doing this to us??
@licious4633
3 ай бұрын
Gen Z waingie kwa Ballot box 2027 hatutaki story za jaba mambo ya future leaders imeisha
@joshmedia3368
3 ай бұрын
Maandamano ni haki ya kila mkenya,lakini kuna shida moja,wananchi wanapotoka nje kujiunga na wengine kutetea haki zao mara mingi na wengi huwa na akili ya fujo na kuelekea mahali polisi wako kuwaprovoke ndio mafurugano ianze,Kwa mswada na wakati kama huu,kenyans should behave professionally and come out in big numbers,let them not provoke police am pretty sure if the police sees this they will also cooperate and demis will be held peacefully and the voice of the common mwananchi be heard
@abizzabizos8719
3 ай бұрын
Let's overturn this government
@fridabalike3355
3 ай бұрын
Walaani polisi wa Kenya kwa sababu ni mashimo
@AlanWafula-yk8qr
3 ай бұрын
We totally reject the 2024/2025 finance bill
@husseinbakromar5865
3 ай бұрын
Mtoto wa shetani ni? Tuacheni kuchagua viongozi Kwa kabila flani hay ndio maradhi na bado Kenya uza kila mmoja apewe chake akafee mbele ya safari
@henrymumbo2977
3 ай бұрын
Reject the finance bill
@mirzah117
3 ай бұрын
ruto mwambie biden wako akusaidie se unaona america ndio rafiki mzuri kwako
@epifaniamilinga2848
2 ай бұрын
Kenya.mnashida kubwa.kwani Raisi amegoma kuwasikiliza.mpaka mchome moto,muiibe, na kuua.
@geoffrynatembea4441
3 ай бұрын
2027 let's learn a lesson from this
@JosphineMudavadi
3 ай бұрын
Wakuu nimekua live parliament uweee nimesikia mkuu akisema tulisema "wewe kataa tu"😅😅😅😂😂😂
@JuliusMureithii
3 ай бұрын
A leopards with sheep's skin s
@mercyjashons2139
3 ай бұрын
Kenyans are tired. It is high time things changed.
@Roziialex-v1t
3 ай бұрын
Citizen endeni pale pariament nje.akina eric omodi wako hapo
@ashleyluyai3509
3 ай бұрын
Mm nasema karibu Kenya republic of china
@serahmohamed6513
3 ай бұрын
Ruto aende tuu tuchague mama Martha Karua tumechoka na wa baba
@estherwanja1907
3 ай бұрын
I love the revolution
@epifaniamilinga2848
2 ай бұрын
Njia hii si nzuri.kuna vijana wamejizira.
@eshasaid3258
3 ай бұрын
Reject the finance bill😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤😅😅😅
@vincentmurimi3553
3 ай бұрын
Thenkiu madam hio speech iangaliwe sana
@napukuoscar659
3 ай бұрын
U are saying like that because you are not a leader
@alexnyaga406
3 ай бұрын
we are done ishapita
@LucasAyoub-fu9wl
3 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@shoymwangi558
3 ай бұрын
Nanyuki my city my town❤️
@AbasiMadege-ot2of
3 ай бұрын
Serikali ya kisenge sana hao sio manyani ni watu kama ninyi waacheni wandamane
@kevinmiles1189
3 ай бұрын
Uyu mschana tumexoea tear gas
@NiyonkuruAdamu-e4q
3 ай бұрын
Sasa wasoda hao si wa kenya ao
@doteaorwa9523
3 ай бұрын
POLICE MEN THIS ARE MY AND YOUR CHILDREN AND THEY NEED TO BE HEARD, TEARGAS IS HARDENING THEM
Пікірлер: 40