MASHAA ALLAH ....nafurahi sana kuwaona mkiwa pamoja Madebe umepata mke mzuri MASHAA ALLAH Chanuo ni mzuri na pia nim2 anajielewa sio kama wanawake wengine wa Bongo movie ...nawatakia ndoa yenye baraka INSHAA ALLAH....
@stanleytango7012
4 жыл бұрын
Mungu awazidishie kwnye ndoa yenu... More Love Madebe +254 tunakupnda.
@PiliSaid-do1bx
Жыл бұрын
Mashallh nawaombea kwamung usiachane yaan mbk kifo kiwatenganixhe nawakubal madebe na chanuo.
@khadijaangore4408
4 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah . Hongera kaka madebe na dada chanuo nawapenda sana😘😘
@makamekombo2593
4 жыл бұрын
Mimi makame Kombo nakusalimia sana
@thuraiyahhassan6190
4 жыл бұрын
Nampenda sana. chanuo jmn love you kila lakher na. watakia ndoa njema💋♥️♥️ hongereni
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Hata mimi nampenda chanuo na madebe halafu inaelekea alikuwa mapepe kweli halafu waliendana kweli walivyokuwa wanaigiza wote. Namjuwa madebe alishawai nishauli niende kwenye mazoezi yake ya kuhekt
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Chanuo kavuma
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
😄Walisema kiki kumbe hawakuamini kwasababu si waliona labda hekt tu vile walivyokuwa wanahektig wote
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Kuna mtoto mchaga anaitwa bosi
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Madebe anachekeshaga eti wenye roho mbaya hawatamwita
@sjfamily8121
4 жыл бұрын
Mashaa Allah nimefurai Sana kuwaona mume funga ndoa Allah awalindie ndoa yenu
@lydiamuli3328
4 жыл бұрын
Alaa....kumbe nyinyi ni mke na bwana ki asilia🤔na vile munaigiza vizuri, hiyo kali ya bb na bwana kutengeza na kuigiza kwa movie moja kwa upendo na umoja, hongereni Mungu awazidishie
@hafidhabdallah6292
4 жыл бұрын
Ebwana weee Mr madebe and Mrs chanuo nice wedding and good luck with your family to be big up wanaartist I'm your mshabiki
@tinnaebunka8848
4 жыл бұрын
Madebe unalembua duu haya maisha mema mpo vizuri sana nawapenda 👏👏
@sarafinahmasha548
4 жыл бұрын
Hahahahahahaa umeonaeee kurembua
@kimbakari1495
4 жыл бұрын
Ndo alivyo macho yake
@aminaseleman5147
4 жыл бұрын
Afu kmb madebe mzuri😁
@OmanOman-gc1zu
4 жыл бұрын
Mungu awajalie ndoa yenye kheri na baraka tele🙏🏻🙏🏻ongela san chanuo Mungu akupe subil kwa kil jambo
@mariamtaffe2783
4 жыл бұрын
Hongera Sana l really like chanuwo she is very cool l really like you guys keep it up 👌👌👌👌👌
@albymkatoliki3097
4 жыл бұрын
Hongera nabii kwa kufuga Toto sasa(Mke)Mola awazidishie na kitandani usizembee....kutoka Kenya heri njema kwenye ndoa,pia nami natafta
@nurafedrick378
4 жыл бұрын
Siku xote naangalia move ilasikujua mumiliki halali kumbe chanuo hongereni ndoa yataka uvumilivu lkn kwakuwa mmeoana ma str sio shida mwajuana vile mtabebana muonyeshe umarufu wenu kuwa mastr mmefunga ndoa halali sio wengine mastr lkn ndoa hamna watoto kila pembe🤣🤣🤣🤣 ya inchi 🤝🤝🤝🤝🤝madebe hongera from🇰🇪🇰🇪nimekupendaa bure
@abdulrahmanbakar5416
4 жыл бұрын
Mm nampenda yule mwenye macho mazri sana mweusi dah ananimaliza simjui ata jina lake #NAMPENDA 😅😅😅 mwenye mawasiliano yake nayaomba
@rehemshehoz8704
4 жыл бұрын
Kweny mov y madeb anaitw nongwa
@hassniharuna3667
4 жыл бұрын
Maisala
@zaisule9533
4 жыл бұрын
Hidaya
@saudaomary9363
4 жыл бұрын
Hongereni sana chanuo na madebe nawapenda sana na nazipenda sana muvi zenu
@bimenyimanahidjadjabiru6264
4 жыл бұрын
Mimi naitwa Bimenyimana Hidja Djabiru kutoka uganda hongera Sana madebe kwa ndoa yenu
@theblessedone7526
4 жыл бұрын
Hongereni sana.Mungu awatangulie kwenye ndoa yenu
@filothiasirizabongo5767
4 жыл бұрын
Hongereni sana mnafanya kazi nzuri Mungu awazidishie baraka kwenye ndoa yenu
@saidahlizwilly3835
4 жыл бұрын
MA Shaa Allah tabaraka Allah.....Madebe Ongera Sana na Mola abariki DOA yenu
@lisangiadidja342
4 жыл бұрын
Yeboooo wenzangu na Mimi munao tizaga sura kwanza na si akili tujuwane apa😂😂😂😌
@davydany9648
4 жыл бұрын
Kuoa make mwenye motto ni sawa na kuanza mechi mkiwa gori moja bila,hahajajaja wee keel madebe sio debe
@bijumakassim3697
4 жыл бұрын
Mashaallah hongera dada kwa uamuzi wako.madebe hongera kaka huwa napenda sana kazi zenu wallahi
@yusuphubakari2694
4 жыл бұрын
Ongeleni kaka madebe na wifi mungu wabaliki muishi na amai kwenye ndoayenu
@mulshidiabbas751
2 жыл бұрын
Mr Madebe mbona mke wa kwanza humrushi mitandaoni, mbona haonikani?
@fadhilplatnumz6209
4 жыл бұрын
🤣🤣Kuoa mchumba mwenyenye mtoto nisawa naMechi kuanza Moja bila🤣 MADEBE kalikubali hilo.
@saidyssaley1509
4 жыл бұрын
Miaka 9, miaka 9 miaka 9,,,,, unazidi na kuitisha Arshi ya Mwenyezi Mungu 😭😭😭" MTIHANI HUUU " YA ALLAH TUNUSURU NA KILA MAOVU NA VIZAZI VYETU VYOTE
@saidyssaley1509
4 жыл бұрын
Zinaaa mbaya
@issaissa7528
4 жыл бұрын
Usiwajaji maana kuna watu wamefika miaka mingi ya maasi lakini dakika moja tu imetosha kusamehewa cha msingi tuwaombee dua wawe na ndoa njema huwez kujua Allah ameamua nini baada yakuhalalisha uhusiano wao
@bbykiss6365
4 жыл бұрын
Ameen ameen
@salimdiabyonlinetv4873
4 жыл бұрын
Ungewaombea Dua kwa Hili La Halali la Sasa, Wapo Walotenda Makosa Makubwa Miaka yao Wote, Na Wakatubia Siku ya mwisho, Na Allah (s.w) Akaikubali Toba yao, So Kazi ya Hukumu ni ya Allah (s.w) na Tumuachie yeye Mwenyewe.
@petershayo2064
4 жыл бұрын
hongera sana madebe Love u guys
@emmyyahya8358
4 жыл бұрын
Mashallah madebe kachukua jiko woow chanuo mzur sana
@chancekambale3498
4 жыл бұрын
Madebe unasema una vision mwenzio ana television yaani nakukubali
@aquillaalexander4697
4 жыл бұрын
Nampenda sana CHANUOO😘
@najmanajma-4765
4 жыл бұрын
Hongera madebe na chanuo mmependeza sana
@jankarais1981
4 жыл бұрын
Hongera na ww
@omarbosiomar8608
4 жыл бұрын
Mtangazaji Nawe mdaku sana angalia maswali yako
@salmalukindo5796
4 жыл бұрын
Madebe sichokii kuangalia CD zako kakaa
@bintihassan6534
4 жыл бұрын
Mashaallah❤️💕💋 nmependa kuwaona mko pamo1 mungu hawape kheir na baraka tele ktk maisha yenu na kaz zenu Allah hawajaalie kizazi kilicho cha kheir chenye kupendeza na chenye akili🤲
@mabebyb6427
4 жыл бұрын
Hongera mzee babaa
@siwemasalehe192
4 жыл бұрын
Nimeamin ulivyosema ukioa mwanamke aliekuzid umri Ni sawa na kununua gazeit jion.... Naona kweli uyo Ni mdogo kwako .. Nani anaamin hilo
@franklinkatana8526
3 жыл бұрын
Hongera kaka
@fedrickmelita2031
4 жыл бұрын
Kaz nzur
@shidabundala8984
4 жыл бұрын
Hongereni sana
@aishasabuni7164
4 жыл бұрын
Nakupenda binti unajiamini mashaallah
@aminakulwa8605
2 жыл бұрын
nzuri kaka
@jsaidjsaid
4 жыл бұрын
aisee nimependa hiyo ,nakukubali sana madebe. Mola awalinde ktk ndoa yenu.
@jumamnyamani7898
4 жыл бұрын
Ongeleni sana inshaallah allha awafanyie wepesi katika ndoa yenu
@kalvinmalisa1204
4 жыл бұрын
Daaa nc capple nimeipenda
@fettrishanurdini3260
4 жыл бұрын
Penda sana nyinyi watu ndoa njema mungu awabaliki muishi nyema katk ndoa yenu
@samashabani8464
4 жыл бұрын
jmn hongereni tunawapenda sana namwenyez mungu awape maisha marefu
@harunamusa3930
4 жыл бұрын
daah kweli kak pambana uko vzr xana
@afdaa946
4 жыл бұрын
Nyie mnao sema anamke leo chanuo chakushangaza kipi madebe mtoto wa kiislam mathna paka 4 sioni tatizo apo
Ila kaka madebe usipende kuowa na kuacha mungu hapendi maan hii ndoa ya tatu nasikia unatambulisha
@aishaawadhimalokimaloki9953
4 жыл бұрын
Mashaallah wazaz wa bosi kila lakher ndoa iwe yenye baraka milele
@agnessstephanoagness2371
3 жыл бұрын
Ongeren wazaz wa boss,nmewakubal?
@nasmiashabir3729
4 жыл бұрын
Nakuaminia...Madebe na Chanuo..Mashallah
@rayamohd4410
4 жыл бұрын
Kwenye maisha ya zinaa mmedumu ndani ya miaka tisa jee kwenye ndoa mtadum miaka mingap dah hakika uwo ni mtihani
@abdul-jalil6478
4 жыл бұрын
@ Raya Mohd comment pekee iliyosimama iliyobora zaidi ya comments zte zilizopo hapa, Mashaallah Allah azidi kukupa ujasiri zaidi ya huu kuwa mkweli kila penye batil..aamiin
@rayamohd4410
4 жыл бұрын
Asante sana
@abdul-jalil6478
4 жыл бұрын
@@rayamohd4410 Comment yko imeni-inspire sana wallah
@rayamohd4410
4 жыл бұрын
Tunatakiwa tuwe wakweli tusifurahie zinaa
@saymarsaymar4654
4 жыл бұрын
@@rayamohd4410 Raya you make me cry! Waislamu kuziniana tunaona kama sio kosa hivi. We just do and do then we are proud of it. Namuomba mola nisizini mpaka nioe
@emmyyahya8358
4 жыл бұрын
Madebe umeniacha Hoi et boss 😂😂😂😂😂😂 we kiboko
@rvzawadi154
4 жыл бұрын
Mungu awatangulie kwenye ndoa yenu. Bg up Madebe 👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪
@ramadhanibashiru561
4 жыл бұрын
Mashalla mungu awalinde na mabalaa pia nawatakia kila lakher
Nabii mswahili mimi nat0kea kenya nina kipaji ya kuandika wimb0, filamu na pia kuicheza kwa ustadi Sana, unaeza nishika mk0n0 ndugu yangu
@salamahamadisudi1912
4 жыл бұрын
Wow hongereni Mola awape maisha mema
@dorylaisery5673
4 жыл бұрын
Madebe ww jicho jicho washukul wazazi nakukubali sana kaka angu
@amirzamir483
4 жыл бұрын
Huyu madebe ni nomaaaa
@kijolysahaly1323
4 жыл бұрын
Yani huyu madebe anavitukosana. Ila hujatukomoa hua tunaita herufi 1 tu so tutamuita B
@eliabamayi4344
4 жыл бұрын
Haahaaa na nilijua tu hawa watu lazima wapendane koz walikua wamezoeana
@susansimiyu821
2 жыл бұрын
N kweli kabisa
@vanilamahuja8120
3 жыл бұрын
Nimewapenda xana mungu awaongoze
@superwoman6180
4 жыл бұрын
Ongereni 254uwa napenda kuangalia move ikiwa na uyu demu
@janethjoseph5240
4 жыл бұрын
Kupumzika chumba cha baba na mama hahahhaha
@moonashariff9309
4 жыл бұрын
Mmmmh madebe hayo macho kulikon ni heri?
@mwanahawahamisi3111
4 жыл бұрын
Masha allah ongeleni jaman
@bakariyusufujuma
4 жыл бұрын
Mko vizuri chanuo na madebe
@zabibunduwimana4612
4 жыл бұрын
Mansha Allah hongereni sana Allah awadumishiye ndoa yenu
@mohdjuma8603
4 жыл бұрын
Hongereni faida mbili hizo mubarikiwe
@mohdjuma8603
4 жыл бұрын
Hongereni faida mbili hizo mubarikiwe
@ukhtyzainab7254
4 жыл бұрын
Aamiin
@olivermick3215
4 жыл бұрын
kumbe kulamba midomo kawaida yako bi chanuo😂
@ganganainfochannel
4 жыл бұрын
Tunashukuru kwa kufuatilia Gangana info channel, tunaomba sapoti yako kwa kwakusubscribe channel hii.
@sadakhamis1261
3 жыл бұрын
Oky tuko pamoja
@solomonsamuel3584
9 ай бұрын
We ngurue Poli Kama ngurue wengine tu
@aininzoo6858
4 жыл бұрын
Hongera Madebe
@favourspapatv
4 жыл бұрын
Mimi huyu jamaa kati ya vitu vingi vinavyonifanya nimkubali sana,ni mkweli,yaani huyu ana akili za kirasta.Mrasta ni nani?,sio mnati,wala mwenye kufuga minywele.Mrasta ni mtu asiyeionea aibu hali yake,wewe fikiria ni wasanii wangapi wenye jina kubwa kama la kwake na wakubali kufanya kazi za hadhi ya chini?.Madebe,nakukubali sana mkuu.
@alfredgilipa7611
4 жыл бұрын
Habari naitwa ALFRED JOHN GILIPA nipo kahama ninakipaji cha kuimba na kuigiaza naomba msaada wa mawacliano director madebe naomba nisaidie
@sudysaidykamonongo7549
4 жыл бұрын
Kalime
@Bettingwinner1
4 жыл бұрын
🤓🤓🤓
@sitysaidmwachipanga198
4 жыл бұрын
Mabroq kwenu ndungu zangu Ktk iman
@mohdabdi4157
4 жыл бұрын
Asant madebe lidai nakukubali
@huwanamnahizo3129
2 жыл бұрын
Mabrook kwa ndoa yenu
@mariamabdallah3535
3 жыл бұрын
Wachaawee boss linamaana kama Zote
@zabibukivyele7407
4 жыл бұрын
Mke wangapi uyo madebe?
@davydany9648
4 жыл бұрын
Mhh na yule mke ulienda nae kwenye tuzo USO mweupe mikono rangi ya ugolo yuko wapi,ama ndio mmoja wa wanawake wa mjini wengi wao hawana sehem za siri kama anavyolalama stamina,wasanii hadi maisha halisi ni movie
@rosesamwelitenga4648
4 жыл бұрын
We ni chizi ..😅😅et uso mweupe mikono meusi🏃
@davydany9648
4 жыл бұрын
Nisamehe bure ndivyo on livyoona samahan naweza naulizia hvyo kwa kuwa naamin cha kale dhahabu japo mjomba madebe aliwah kusema vya kele vyaweza kuwa na kutu kama bati,cjui ndio kathibitisha msemo wake maana mdomo huumba
@celinamgundoi5601
4 жыл бұрын
Mmependeza sana Mungu azidi kuwapigania katika ndoa yenu ikawe ndoa ya baraka
@zhuraab7223
4 жыл бұрын
Mashallah munqu awajalie ndoa njema
@rachelmbeyu4385
4 жыл бұрын
Hongera zenu
@gagalinodenatrick1652
11 ай бұрын
MADEBE namkubali kichiz yaan
@ilhamhaji933
4 жыл бұрын
Mashaallah brother kwa kumuoa chanuo Allah awajaalie kilalakheri
@msamgunda7684
4 жыл бұрын
Hairuhusiwi kuanza kuzin halafu ndoa.tubia kwa mola haraka sana.
Пікірлер: 347