Ustadh mm nna swali nimetatizika mm nafanya biashara na hapa nlipo wabara wengi ndio wanunuo na ndio inaonipa rizki jee kwa hii Ramadhan nafaa huuzaa
@RamadhaniAthumani-d5h
6 ай бұрын
Biashara gani sasa mbonaa hujasemaa
@AishaMohamed-v8f
6 ай бұрын
Kma biashara yko n ya halali unaruhusiwa lkn sio kuuza chakula ilhal ww umefunga aikubaliki biashara hio pili kma n chakula unakubaliwa kuuza baada ya muadhn wa magharbi
@hamidahamidu16
6 ай бұрын
Weye kuna watu wanauza ftari bara barani ambao awawezi kufika kwao mapema wananunua basi tusinge kuwa tuna pika adi tufungue kwanza @@AishaMohamed-v8f
@musaabudibahero4558
6 ай бұрын
Fzxzzxzźxxzxz
@musaabudibahero4558
6 ай бұрын
Fzxzzxzźxxzxz
@ummuhammad7571
6 ай бұрын
Suala langu Mzee ambaye anapoteza fahamu mara anafahamu mara hafahamu na hatambui kufunga jee alipiwe fidia ya sawm?
@ZainabuMlyatangu
6 ай бұрын
Wayuwa
@MSELLEMSWELUMYAHYA
6 ай бұрын
As Salam aleikum y sheikh mm nimeposa lakini nk mbali je yafaa kuozeshwa online
@remiomar7154
6 ай бұрын
Kama uko na kakako muliozaliwa tumbo moja anawezakuolea Kisha wewe ukienda ndio akaandikisha cheti cha ndoa au babako anaweza kukuolea pia
Пікірлер: 16