Poleni ndug zangu, mnaonaje mkizungushia bwawa hilo ukuta wa zege ili hayo maji yatumike kipindi cha kiangazi. Kam haiwezekn tegenezen njia ya maji upande wa pili ili bwawa likijaa maji yasirudi kwenye makzi y watu.
@chriske8837
4 ай бұрын
Wah I thought this is happening only in Kenya but it all over east Africa ndugu pokeni pola zangu kutoka KENYA let be safe
@HASSANBAKARI-q9c
4 ай бұрын
KAMA UNAPOLALA HAPAJAI MAJAI HATA TONE,,MSHUKURU SANA MUNGU,,TENA SALI SANA,,IZO MAMBO MSIKIE MWENZIO TU
@AishaIddy-bt3rl
4 ай бұрын
Yaani Nikweli
@user-xj8lc6jb1c
4 ай бұрын
Hakika, tunapswa kutoa shukran
@MaryAlberto-f1q
4 ай бұрын
Ee Mwenyezi Mungu turehemuu,,,, Watoto wako tukoo chini ya miguu yakoo 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@mamamikuwa4991
4 ай бұрын
Poleni sana Mungu awape wepesi
@zainabmussa3521
4 ай бұрын
Mungu atufanyie wepesi katika majanga kama haya
@majaliwabwitonde6900
4 ай бұрын
Poleni sana
@rosenyenyembe4698
4 ай бұрын
Mungu utusaidie
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
4 ай бұрын
Maombi ni muhimuili kwa Mungu wa kweli muhimu mno acha kutambikia
@KhamisiHaruna-wp7kk
4 ай бұрын
Polen sana ndugu zangu
@JohnMahu-f1g
4 ай бұрын
Pole ndgu zangu. Hlo bwawa ijengwe ukingo ili yatumike kwa faida ya kilimo kiangazi
@stephanoeneshi9960
4 ай бұрын
Poleni
@user-xj8lc6jb1c
4 ай бұрын
Mungu jmn, tuhurumie watt wako, tusamehe tulipokukosea, sisi ni binadamu si wakamilifu hata kidg, turehemu bb watt wako tunaumia
@veronicajohn7645
4 ай бұрын
Mama tengeneza safina
@FabianAndrew-pp7rv
4 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu mungu yu pamoja nanyi
@abelbaran4190
4 ай бұрын
Poleni sana jamn MUNGU aingilie Kati
@zakiamsafiri-ux5vh
4 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu wa karatu
@ScolasticaAndrea
4 ай бұрын
Mungu tusaidie na janga hili
@zizuzidu9803
4 ай бұрын
Hizi zote ni dalili za kiyama, mvua za mafutiko mwezi huu April kumekua na matukio mengi sana, kupatwa mwezi, Mauaji ya halaiki palestine, Vita vya Nchi kubwa, vinavyoelekea kua vya WW3, Mafuriko ya Kutisha kuanzia Dubai, China, Jangwani tz, kenya, burundi, leo hii karatu sijui panafuatia wapi... turudini kwa Allah kwa kumpwekeshea ibada pasina kumshirikisha na chochote, kabla hatujachelewa ikatukuta kifo au jua kuchomoza magharibi na kuzama mashariki (hiyo itatokea kwenye zama hizi za mwisho)
@zizuzidu9803
4 ай бұрын
Namuomba Allah awape subra na awaondoshe majanga haya yaliyoyapata.
@audifacejosephat7071
4 ай бұрын
Mungu awaokoe katika janga hili
@hassankumba6938
4 ай бұрын
Inna Lillah wa Inna Illayhi Raj’uun. Allah SWT atunusuru.
@claratango9262
4 ай бұрын
Poleni sana jamani 😢😢😢
@joshuakitunzi9500
4 ай бұрын
Pole sana kwa majanga haya
@MtotoHumbi
4 ай бұрын
Mungu tusaidie
@khadijayusuph2634
4 ай бұрын
Ee Mungu tuokoe
@pennymahombo9528
4 ай бұрын
Mabadiliko ya Hali ya nchi ndio sababu ya kitaalamu,lakini tukisimama kama wale watu Wa Ninawi na Kutubu maovu yetu? MUNGU ni Wa rehema, atatunusuru na kupisha hasira yake.Isaya 57:14-21, 2Nyakati 7:12-15, Yona 3:1--
@MathiasDaniel-ud1kp
4 ай бұрын
Mungu aisaidie karatu yetu
@robertphilip385
4 ай бұрын
Poleni sana Irqw
@cristinajeremiah2450
4 ай бұрын
Utani mwingime siyo mzuri lia na wanaolia
@amosmachibya1800
4 ай бұрын
Mungu wanusuru hawa wajawa wako
@CorneliaPotini
4 ай бұрын
Poleni jmn
@SalomeMollel-hv1dx
4 ай бұрын
Ah pole ndugu zangu wa manyara dhhh😢
@souvenirweber7169
4 ай бұрын
Yesu anakaribia kurudi tutubu
@mataypanga5262
4 ай бұрын
Dah,hali ngumu 😢
@nicksonclinton5842
4 ай бұрын
Wewe hakun maji yanayotoka ngorongoro stop this madness
Пікірлер: 43