Mzee uko sawa make Kuna watu wanapenda kuwaona wenzao kama mataila kama nyie mme teseka kwaajiri yanga mpaka mnalala njaa Leo timu inafika kwenye mema wanataka waatamie sio poa wenyewe warudi mezani waache janja hasa hivi vizazi vya mwaka 20000 vinaongea sana wakati havijui chochote
@CONSTANTINEBUKOMBE-ii7zh
Ай бұрын
Hili linaitwa jiwe lakizani au mbinu za kivita tatzo kubwa hapa ni tarehe,8 huyu mzee ametumwa kupoteza midia kuiongelea young africa nawazee wetu wenye busala zao wapanic kwaajili yahuyu mamluki naviongozi wetu pia wapanic kumfatilia tu huyu mamluki ili wasahau mambo ya ushindi wa tar,8 simba mpaka sasa anahaha afanyeje ili tar,8 wawaflahishe wanachama wao maana kunaaibu hiyo sku yakusambalatika viongozi ote wa simba ndoomaana wameanza mapema kutafta mbinu za kivita
@user-nn2dk7zm9n
Ай бұрын
Manara alikua tapeli?
@subirajohn728
Ай бұрын
Ebu tuachie Yanga wewe Mzee!
@mariammbwana9018
Ай бұрын
Wanakufa watu wa maana wanabakia wapuuzi
@JulianaMushi-nq3kc
Ай бұрын
Meno kaa vijiko vya wachina au rato
@noelbryson7840
Ай бұрын
We mangi tulia mpira hujui, Halafu huyu mzee ni baba yako..
Пікірлер: 26