Asante Mzee MAGORI UMEWANYOOSHA..... HII NDO SHIDA YA KUTOKUWA NA KAZI..... na kutaka kuongea kila kitu ...mradi uko kweny viti vya ac kulipwa kwa uzushi tu!!!!!!!!
Huyu Jemadari anapotosha kama mchezaji Alisha sign mkataba na alikubali signing fee ya 90m Hapo hakuna tena sababu ya kulinganisha alichopata na anachotakiwa kulipa mana mwenye maamuzi hapo ni club kuhusu fee ya kumuuzia
@williamwarioba6099
13 күн бұрын
Magori hongera hawa hawajui mpira
@modestzacharia8939
13 күн бұрын
Wachambuzi wangi hawataki Ukweli wanafurahia migogoro. Ufafanuzi ulioutoa J. Bin Kazumari big up sanaaaaaa
@IbraMwakipesile
13 күн бұрын
Katika wachambuzi wa ovyo ni jemedari ajuagi mpira 😅😅😅
@barakamwantolwa4336
12 күн бұрын
Magoli... Safi sana hawa wachambuzi wapuuzi sana
@hassanabdala7383
13 күн бұрын
Lkn kama Israel alikua hjasign Simba kipi kiliwafanya mdai kwamba alitozwa riba hizo hela inaonesha wazi alisign Simba na walikubaliana ndio alivo taka kutoka ndio hapo Simba wakadai hela zaidi
@stanleymavurastanleymavura9295
12 күн бұрын
Jemedar umeonyesha udhaifu mkubwa sana
@petermwachali8764
13 күн бұрын
Yaani mtu kafanyiwa fair lakini Bado mnaleta kutuvuruga kwani mtu anamkataba na ameomba kuondoka sasa kwanini mwenye mchezaji anamuuza mchezaji kwa gharama zake Kuna kosa Gani
@Swedi-fn1hl
12 күн бұрын
Hii Redio Hovyo Kabisa, Vikoba, Ribs Sio Lugha Za Mpira
@jumajuma-qz9mf
12 күн бұрын
Jemedari hamjui kiswahili riba inatokana na mkopo yeye hakukopeshwa hio ni biashara
@AbasiHassani-td7li
12 күн бұрын
Tatizo waandishi uchwala na waliokosa miiko ya kazi yao na isitoshe hawatambui heshima ya kazi wanayo ifanya
@sekrommbaga6234
13 күн бұрын
msibadili maneno alisajiliwa akakamilisha usajili akataka kuondoka wakajadiliana wakakubaliana kiasi cha kulipa. baba yake isra hajui kilichojadiliwa hakuwepo kwenye majailiano.
@hassanabdala7383
13 күн бұрын
Upo sahihi
@MchungajiNzelani
13 күн бұрын
Leo umewaweza kiongozi wanatukana sana wachambuzi hawa
@songorosongoro9927
12 күн бұрын
Kama mkataba haujakamilika kwann aliomba kuruhusiwa
@hamadmohammed311
13 күн бұрын
Mbna hapo simba wametumia uungwana sana
@prosperidinya5864
11 күн бұрын
Uchambuzi wenye chuki ndani yake. Chuki chuki tu, hakuna kingine. Kuna sehemu watu wameshindwa kunufaika kupitia simba, sasa kinachofuata ni chuki.
@JumaBagelle
13 күн бұрын
Magori alikuwa kwenye simu wewe Jumadari mbona huku zungumza nae Magori ameondoka wazunguzungumza wajuaa
@philemonsula5401
12 күн бұрын
Kajamaa kasenge sana yani magori anaongea kakimbia
@shilladickson3852
12 күн бұрын
Hasira ya Manula inapitia hapo
@leusissa3855
13 күн бұрын
Kazumari acha sanaa mchezaji hawezi kusaini ikiwa bado wako kwenye mazungumzo. Mkataba ambao haujakamilika ni upi ikiwa mchezaji tayari alishasaini mkataba? Huyo kisoki naye kachoka akapumzike
@ahadimahenge3845
10 күн бұрын
Jemedari Saidi sivii zako zinashuka Kaka angalia dunia ni Kama kiganja kwa sasahivi😂😂😂
@madatadesigner2412
12 күн бұрын
Kwa kusikiliza tu hii interview unaweza kugundua kuwa wachambuzi wa soka hawana upeo wa mambo ya mikataba ya wachezaji.
@AwesoMohammed
12 күн бұрын
Hawa wanfki sana karibu miaka mitatu ilio pita wali ishi maisha yakuichafua simbatu kuna ma bwana zao walikuwa wakitoa pesa ili waichafuwe simba kudadek myama karudi upya mtakula wapi na makashfa yenu?
@edwardkishiwa3296
13 күн бұрын
Mzee Magori, Hawa Watu Waliozuka Siku Hizi Wanaojiita Wachambuzi, Wanajifanya Wanajua Kila Kitu Katika Mpira Wakati Hata Mpira Wenyewe Hawajawi kucheza, Na hata Kama Walicheza basi hata hawakufikia ngazi za kitaifa,
@barakamfilinge6943
13 күн бұрын
Magoli amewaambia ukweli kwa lugha zao za hovyo
@ZahoroHamisi-l2d
11 күн бұрын
Wachambuzi nanyie km hamnazo iv angekuwa Hana mkataba wowote wangekubali kulipa zaid kiSa wamingiziwa pesa kwenye Akaunt nakwanini alichongea baba mzazi munakubali anachongea magori tena kisheria hamtaki au,munachambua mpira kimaelekezo
@MichaelMayemba-pc5cp
13 күн бұрын
Sio riba ni replacement cost ya another player na wameshtukizwa na walishajua atakuwepo
@EdwardMhando-hn8hz
11 күн бұрын
Huyo mchambuzi anaasira kwasababu mchezaji wake manura hana namba,Na amnula atakaa benchi mpaka aseme ameAchana na meneja wake
@saidipc7400
13 күн бұрын
Yaan hawa watangaz ni wanataka tu kuwakosanisha kati mzee mwenda na Simba
@klinikiyabiashara
12 күн бұрын
Waweza kuwa 'mchambuzi' wa mpira unavyochezwa lakini hili suala ni zaidi kiutaratibu na kisheria; shida ni pale kila mmoja anapojifanya anafahamu yote halafu hataki kuelewa mambo tofauti kwa sababu tu eti ni 'mchambuzi'
@JILBERTDaniford
13 күн бұрын
MAGOL UPO GOOD WEWE NI KIONGOZI MZURI SURE. SIMBA WAJIVUNIE
Wachambuzi wengi ni wa mchongo wanachochea migogoro, mbona mtu amedhamini timu 8 hamsemi?
@saimonrodgers8262
13 күн бұрын
Hivi hapo hiyo Nembo ya Uto inafata nini wakati inaongelewa Simba
@omarkhamis3909
13 күн бұрын
Jemedar sasa ameanza kutokujielewa
@AnaniaKyando
13 күн бұрын
Kwann mnaijaji sana simba mbona singida ambayo hadi leo mwenda hajaenda kambini hamuijaji ? Acheni upuuzii
@user-pf3ko5pp1k
9 күн бұрын
Jemedari nakuamini sana ila katika hili nahitaji mjadala nawewe tuwekane sawa
@yusuphnundu6113
13 күн бұрын
Sasa simba inahusika vipi wakati dogo kavunja mkataba na karuhusiwa kwenda huko kwenye team yake
@edgarmbegu1974
13 күн бұрын
Mzee mwenda kasema ameshamalizana na Simba. Ninyi mnang'ang'ania Simba. Huyo Mwenda si ana mgogoro na Singida, Simba inaingiaje?
@yusuphnundu6113
13 күн бұрын
Jemedari said ni mshamba sanaa anakomaa kama pesa katoa yeye
@heimkon7236
13 күн бұрын
😂😂😂 mnajiaibisha sana asee!! Sasa hapo kuna ubaya gani? Yaani Simba wameamua kufanya uungwana nayo pia ni shida!! So kama mnasema mkataba haujakamilika wa Israel na Simba so imekuaje baba yake anasema waliomba pesa wapunguziwe!? Ndio mjue mnafanya utangazaji wa kihuni sana!! Kama mkataba haujakamilika kwanini waliomba kupunguziwa? Mnaijua mikataba nyie?
@angellomarcel5677
9 күн бұрын
..Hapo hakuna Riba bali Magoli kasimama kwenye Release Close so mkifanya kwa Lengo la kuichafua Brand ya Simba mtachelewa sana..
@KassimuAbdallah-g9h
13 күн бұрын
Wachambuzi wanakula mlungula ili waichafuwe SIMBA TU!
@hamzarumela1784
Күн бұрын
Wachambuzi wa hovyo sana aise
@alisuleiman303
12 күн бұрын
Hilo msilete unazi simba hawana tatizo na hilo
@jonathansirkintungi3440
12 күн бұрын
Yaone yameshindwa hata kujibu hoja. Baba yake kaingia vipi ninyi ndio maana mnaitwa waandishi uchwara. Uchwara haya hayana haya.
@JumaSaideAbdala-b4k
11 күн бұрын
Hyo Jemedari Saidi hana akili ujue mm cmuelewagi hata kidogo yani kama chawa.
@nicholausmukoji9720
13 күн бұрын
Sasa Jemedari kama mkataba ulikua haujakamilika aliendaje kuomba avunjiwe huo mkataba? Mbona mnashindwa kuelewa mambo?
Hiki kituo kumbe ni Cha wasenge kiasi hiki mamae zenu
@moviekaa
13 күн бұрын
Mpeni simu jemedari mbona ansongea kwa mbali sana😂😂😂😂
@philemonsula5401
12 күн бұрын
Ahahaha anasikika kwa mbaliii
@philemonsula5401
12 күн бұрын
Ahahaha anasikika kwa mbaliii
@NimlaMbangu
13 күн бұрын
Ni kweli umekosea sana,yaonekana hukijui vema kiswahili,ila pia waandishi mnavijimambo sana,naona hata mijadala yenu haina tija.
@BakariSelemani-fh6xo
10 күн бұрын
Japo mm sio Simba ila ktk suala la Ezra. Walikuwa waungwana mnoo. Hawa waandishi wanakurupuka bila kujua sheria na utaratibu. Simba ilikuwa sawa kabisa.
@IbraMwakipesile
13 күн бұрын
Wachambuzi mahewa hawaaa hawajui mpira
@JumaSaideAbdala-b4k
11 күн бұрын
Tatizo Saidi kama ni penati ww umepiga yani umefeli uchambuzi rudi kwenu Lindi ukaangalie cha kufanya. Kwenye mpira umefeli kuanzia uchezaji uchambuz mpaka ukocha.
@HassanMdimu-d3f
10 күн бұрын
Waandishi wa tz mnaiharibu mpira wa tz na sio kuujenga,hamna chochote zaidi ya umbea
@AbdulaziziPacha
9 күн бұрын
Leo nimeamini jemedari ni mjinga kwani inatakiwa ipitesikungapi baada ya kumsaini mtu ili riliziclos ianzekutumika
@janethelly4986
10 күн бұрын
Kumbe kuna watu akili hamna eeh😂😂kwaio mlitaka mrudishe hela ile ile na mmeomba kuvunja mkataba mmefanyiwa favor bdo mleta pumba pumba😅😅mngeambiwa mlipe iyo $1M mngelipa pumbavu nyie hamna shukranii 😂
@saidsuleiman1753
12 күн бұрын
Mwenda alikuwa mchezaji wa Simba kwa hiyo bei ya kumuuza ni Simba ndio waliamua, mnakwama wapi watangazaji
@SolomoniDenis
12 күн бұрын
We Jemedari siku hizi mnapambana sana kuivuruga Simba kwa kujaribu kuichafua lakn hamtafanikiwa
@leonardlunguya7112
12 күн бұрын
Wachambuzi wa mpira Nchi hii Wana mambo ya ajabu saña,timu ikimpa ruhusa mchezaji aende anakoenda shida,akizuiwa kuondoka shida ooh waangalie busara Kwa manufaa ya mchezaji.Yaani huwa siwaelewi ninyi wachambuzi. Huyo jemedari juzi juzi tu Manula alikuwa na changamoto yamemtoka maneno mengiiii kisa ana maslahi na mchezaji wake
@HassanMdimu-d3f
10 күн бұрын
Niwachanga kweli kwenye mpira
@hafidhnzota2142
13 күн бұрын
WEWE mtangazaji ni msenge KWELI hujuwi kuhoji ni mnafanya kazi kwa pressure za TIMU nyingine
@sallyeliya5213
7 күн бұрын
Mbona Magoli anaeleza vzr tu,Jemedali jitafakari,umeng'ang'ania mzee wake kasema mzee wake kasema kwa hiyo mnamuamini mzee wake kuliko kauli za viongozi!?
@allenmhando8443
7 күн бұрын
Jemedari nilikuwa nakuheshimu,lkn sasa basi.
@nuru.simkoko
12 күн бұрын
Jemedari tulia bwana! Bado hujaelewa tu😅😅
@MorriceRusasa
12 күн бұрын
Hebu pelekeni wachambuzi wa. aina hii mahakamani kwa kuchafua bland ya simba itasaidia kuomdoa wachambuzi wa mchongo.
@kornelyndadila2869
9 күн бұрын
Nyinyi watangazaji muende shule kidogo mpate ethics kidogo hivi kweli unaweza kutamka Money Laundering live huku huna ukweli wote mnatumia rumours tu...km mnalipwa kuichafua Simba si mseme Tu, mnatumika mpaka mnakera
@rehemamejja8342
10 күн бұрын
Tania za manara anazo saidi.. Hana maajabu
@yusufufikiri5005
11 күн бұрын
NYIE MABWEGE MSIANGALIE UPANDE MMOJA. MWAMBIENI HUYO MZEE ALETE USHAIDI WA MANENO ASIBWABWAJE KAMA MWANAMKE MWENYE MIMBA BWANA
@JILBERTDaniford
13 күн бұрын
UTANGAZAJI WA UCHOCHEZI HII NI KUTOJIELEWA WAJIBU WENU. JEMADAL HUNA FACT WEWE KIFATA UPEPO.
@martinkabazo8412
12 күн бұрын
Hala ya ziada inaweza kuwa Faida kama ikiwa kwenye mzunguko wa kibiashara
@nuru.simkoko
12 күн бұрын
Huyu mzee nae haelewi, na hawa wachambuzi hawaelewi kitu kwa kweli japokuwa Magori amefafanua!
@yusufuhassan6524
9 күн бұрын
Sasa mbona mmemuacha magor aondoke halafu mnaendelea kujadili ....manaake bado mnawaacha wasikiliza wakiwa na maswali
@KassimuAbdallah-g9h
13 күн бұрын
Muache upumbavu wachambuzi maandazi
@MboneaKidee
13 күн бұрын
Mzee Mwenda amesema Wamemalizana na Simba, Nyie mnashikilia vitu visivyo na msingi
@ibadimohamedi9756
13 күн бұрын
Hao Kina Kisoki, Ayo hamusaidii mpira kama mnaamua kuchafua upande Fulani badala ya kunyoosha. Kwanini msifuatilie kwanza ndio mkaja hewani. Mbona mwishini Jemedar amekuja kuwa kati kirahisi tu.
@johnmollel6915
11 күн бұрын
Kwan Isra hakuongeza mkataba na ikatangazwa rasmi na Simba kabla msimu jana kuisha!?
@johnmollel6915
11 күн бұрын
Mzee mwenda sio kiongoz wa mpira, anaweza kuteleza namna ya kuuzungumzia mpira. Waandishi mnakuza jambo bila sababu
@jonathansirkintungi3440
12 күн бұрын
Mpira ni biashara. Kama mikataba ulikuwa haujakamilika hizo pesa alichukua simba za nini? Ninyi waandishi gani? Mtu akipewa pesa maana yake mikataba ulishakamilika.
Hivi vyombo vya Habari vinavyotumika + Kisoki na JEMEDALI ni Kuwapiga Marufuku ku link na Simba sc
@ishe_ngo8926
10 күн бұрын
Kama maongezi yanaendelea sasa mkataba unakubanaje huku haujaingia mkataba maongezi yanaendelea?
@user-qz6eg6gx9i
10 күн бұрын
Kwani pesa kariba mwenda? Au timu inayo mtaka?
@geofreynkyami5626
12 күн бұрын
Kwa uchambuzi wa kukurupuka lazima mpigwe mawe tu
@ubayamsemwa5639
11 күн бұрын
Waandishe jitahidini kuwa a akili, mchezaji akitaka kuondoka lazima alipe na klabu ikimwacha mchezaji lazima alipwe pia. Ndiyo maana timu zetu mara nyingi zimekuwa zikiwalipa sana wachezaji kwa ajili ya kuwaacha. Waandishi msitamani kuwe na migogoro pasipo na migogoro. Mnazitegemea habari za michezo badara ya kujenga mpira mnajikita kuubomoa, kuweni na akili.
@JumaaBoriKidogo
9 күн бұрын
Mcmu uloisha kunamchezaji kacheza uto bila taratibu hamkuwahi kujadili ila kilacku simba
@MchungajiNzelani
13 күн бұрын
Wamebambwaaaa safi saaana hawa utopolo
@dr.allyahmada
13 күн бұрын
Yaani Simba mwaka huu imevunja rekodi ya kuwa na migogoro ya usajili na wachezaji watano (5) ni Aibu kwa kweli. Awesu, Israel, Lawi, Kagoma na Kibu hii inaonyesha Magori anaudhaifu katika taaluma ya uongozi. Simba ni wahuni tu ila kwa jambo la Yanga hujifanya kama wao ni wasafi hamna lofoten 😂😂😂😂😂
@edsonruhasha2003
6 күн бұрын
Wachambuzi wetu, siyo kila pesa ya ziada ni riba.. tufanye homework zetu vizuri
@mashtv5103
12 күн бұрын
Kwani huyo baba ndie alieingia mkataba na simba na ukimsikia baba amekiri ili aachiwe mchezaji basi alipe zaidi ya Dola laki .. Ss km anakubali hv si tayari ni mkataba alishasaini
@ekimnkande2873
13 күн бұрын
Huyu mchezaji alikuwa ni simba na alikuwa aendelee kucheza tafuteni data
@mwasunga
12 күн бұрын
Miarikiba nshakuambiaga juma ayo atakiwi apo urimreta wanin
Пікірлер: 260