Sio Zanzibar tu... Tanzania nzima inakupenda... Allah akuhifadhi sheikh wetu kipenzi...akuzidishie kila la kheri... Allahummah baarik
@FamilyVideos-pt1mo
2 ай бұрын
Namkumbuka Sh.Othman Maalim, ndio kwanza hajajulikana sana Zanzibar, nakumbuka Msikiti mabluu pale Alasir akitoa mawaidha watu wachache sana, nakumbuka alitoa kisa cha binaadam (alipowekwa kwenye baridi akalalamika, alipowekwa kwenye joto akalalamika) nadhani miaka karibu 20 na ilopita.Allah akupe umri mrefu na uzidi kutusomesha na sisi atupe ilmu.
@SalmaSalum-qw8yo
6 ай бұрын
Kwenye asilimia 100 ya elimu ya dini nilionayo basi 85 imetoka katika maneno ya othman maalim allah akuhifadhi na akupe qauli thabit inshaallah atupe mwisho mwena
@asilahassan9965
6 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin
@ahz6907
6 ай бұрын
Amyn
@tiemahajimuindi8017
6 ай бұрын
Mola akuhifadhi Sheikh Othman Maalim
@ramadhanyusuf2401
5 ай бұрын
Kama ipi nipe moja tuu
@zaliqueenatibcomatib6755
5 ай бұрын
Amiin Amiin yarabii
@nakundwamkubwe7823
6 ай бұрын
Mash Allah kipenzi changu Shekhe Osman Maalim ni moja wapo ya Mashekhe ninao wapenda . Allah akuhifadhi.
@AIFOSMUGOTV
6 ай бұрын
Masha Allah Alfatah katika siku zote lakini leo nawapongeza saana kwa kumueka Sheikh Wang Othman Maalim,,kipenz chang,,huwa nafaidika saaana kupitia yeye Naitwa Ahmed kutoka Kenya Malindi....team yote Alfatah Allah awajaze...🙏🙏🙏
Tunakupenda kwa ajili ya Allah Shekh wetu kwa hakika usiondoke tena znz mpaka mwisho wa Maisha yako Allah akupe umre mrefu wenye manufaa
@KassimAlly-xp4dz
6 ай бұрын
Allahuma Amin
@fatmasaid9765
6 ай бұрын
Mashaallah leo mimi nimefurahi sana kujua historia ya shekhe Othman Maalim nilikua natamani kusikia historia yake Allah akupeni kila la duniani na akhera
@rahmahamidu9319
6 ай бұрын
Mashallah kipenz cha watu shekh wetu mungu amjaalie kila la kheri
@FamilyVideos-pt1mo
2 ай бұрын
Mashallah yaani sii mashekh wengi tunojua biography zao, Tunashkuru sana maalm wetu Allah akulipe kheri duniani na Akhera
@khaliphaabubakar9466
Ай бұрын
Tunampenda sheikh Othman Maalim. Asante kwa kutuletea sheikh wetu kipenzi.Tunaomba mzime TV hapo studio maana inatutoa kwenye mada. Shukran
@emmanuelahmedbyona2353
5 ай бұрын
Othmaan Maalim kwangu ni mwokozi😢 nilikua musharati, mwongo... nilikua kama umbwa mpaka nikaachwa na mke wangu. Sijui ilikuaje niskie mawaidha yake ya " Mali na Dunia" from that day nili badirika kua muisilamu, nikawa mtu sio umbwa tena. Na pia kila siku jua nakufwatilia kama umbwa yako Sheikh😢 hakuna kipindi kitanipitaka. Hekima na heshima naitosha kwako😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@hanifahnabakiibi6929
6 ай бұрын
JazaakAllahu khair sheikh Othman. We appreciate your teaching. Team Uganda 🇺🇬 😊
@allahisone6386
5 ай бұрын
NYABO, U KNOW KISWAHILI LANGUAGE?
@abalkib2866
6 ай бұрын
Maasha-Allah sheikh Othman Allah akupe pepo kwa rehma zake insha-Allah.
@samiaahmad6182
6 ай бұрын
Ma Shaa Allah ..Umejaaliwa Ilmu..busara..heshma..adabu..uskivu .mara nyingi au zote unajishusha chini kabisa kwa kumuogopa Mola wako mlezi....nahali yakuwa umejaaliwa neema ya ilmu na neema ya kueleweka na kuvutia unapotupatia ilmuu.. pasina na majigambo(majivuno) kwa kujiona mimi ndio mimi.. Nakuombea na kujiombe nafsi yangu na umma wa kiislam Mwenyezi Mungu atupe furaha ya Dunia na kesho Akhera yenye kumpendeza Mola wetu..ameen..ameen Allah humma ameen Allah Ibarik
@ummohammed8380
6 ай бұрын
Amiin yarab
@saidmwakinyezi1360
6 ай бұрын
Amin Yarabi
@asilahassan9965
6 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin allhuma amin
@khalidahmed6900
6 ай бұрын
Allah amuhifadhi Sheikh wetu na amzidishie kheri na baraka katika Elimu yake.
@asilahassan9965
6 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin
@SakinaSakinat-qd9rs
5 ай бұрын
Amiin Amiin Amiin
@hadijagere
6 ай бұрын
Shekh wengi tume ipenda dini kwasababu umekuwa ukifundisha kwa hekma na busara yani mtu asipo kuelewa wewe basi tena Allah akupe umri mrefu wenye manufaa tuna hitaji watu kama nyinyi Allah akuongezee elimu na aiweke nuru aongeze ufaham kwenye kila lakheri akuwekee baraka ❤
@asilahassan9965
6 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin
@ahz6907
6 ай бұрын
Amyn
@mikidadibandu3998
5 ай бұрын
Tunakupenda Sana hata Huku kwetu bara
@SalmaSalum-qw8yo
6 ай бұрын
Nilimjua sheikh kupitia redio zanzibar kwenye visa vyake alivyokua anatoa mwezi wa ramadhani visa vya mitume na qisa nilichokua nakupenda sana ni qisa cha nabii yussuf
@AnwarAli-vs9mp
6 ай бұрын
Mm natoka mombasa kenya hua kila siku mpka nisikilizee mawaidha yko allah akuifahdhi na akuzidihie ilmu uzidi kutuilimisha nimepata faida kubwa sana kwako natamani niwekaribu nawe sazote I WISH WAS IN ZANZIBAR❤❤❤❤❤
@ZaidiShabani-q6y
5 ай бұрын
Mashaallah hakika shekh Allah akupe mwisho mwema ww ndio mwalim wangu bila napokusikiliza uwa nakuelewa moja kwa moja nakupata utulivu wa nafsi nasijawai kuchoka kuludia elimu yako
@FatimaFatima-bx8ez
6 ай бұрын
Mashaallah shekhe othman maalim mungu akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio kheri nyingi na Baraka 🙏 🙏 amin ishaallah. Natamani pia mimi mtoto wangu awe ka wewe ishaallah ❤❤❤asante kwa historia yako nzuri😊
@shamte9musicofficial126
5 ай бұрын
Allah umpe maisha marefu na umbashirie pepo ya darja ya juu Sana.
@sultanaswaleh7813
6 ай бұрын
Masha-Allah. Allah Akuzidishie Umri , Na Akujaze Kula la Kheir ! 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪 Ni Sheikh ni nae mpenda sana ! .na masheikh wote vile vile na wapenda wote. Allah ! Atawalipa kula la kheir. 🙏🙏🙏
@chunanachu2529
6 ай бұрын
Mashaallah Mashaallah nakupenda kwajili ya Allah Allah akuhifadhi...tunafaidika sana na mawaidha yako yanatubadilisha allah akulipe kheri
@HalimaOmar-u5x
Ай бұрын
Ma sha Allah sheikh Allah akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha na darsa tofauti tofauti
@hamisisamuli6055
6 ай бұрын
MaShaAllah, Allah Akuhifadhi Sheikh Wetu Tunajifunza Mengi kutoka kwako.
@hawahamza1085
4 күн бұрын
Hongera kwa historia nzur na Ahsante kwa kutoa taaluma kwetuAllah azid kukuongoza
@aminaabood2898
18 күн бұрын
Mashallah Allah akuhifadh.akupe UMRI mrefu.shekhe maliim Othman maliim.mashallah.mimi nijuamuzanzibar
@slowclimbertothetop4572
6 ай бұрын
Maashallah walitoka watatu kuja TZ yaani Ali, Omar na Othman. Majina yote ya masahaba wa bwana mtume S.A.W
@maymunahomar5016
3 ай бұрын
MaaShaaAllah ❤
@alijuma7674
29 күн бұрын
Mashaallah hakika elimu ya sheikh Othman na masheikh wengine lazima tuzienzi kwa kusoma sana lakini kubwa zaidi adabu ,hekima na busara hapo elimu itapaikana . Mimi binafsi sheikh Othman amenifanya kujuwa vitu vingi kupitia mawaidha yake mfano mawaida yake dunia ni kijani kibichi ,dunia ni dakika tu na mawaidha ya visa vya mitume ni hatari nimetolesha CD zaidi ya 200
@mutaladjasmini4815
6 ай бұрын
Masha Allah Masha Allah sheikh wetu Allah mpe umri mrefu wenye kheri na barka tele ili tuzidi ilimika
@artisthusnatalal3099
5 ай бұрын
*Allahumma baarik sheikh kwa mawaidha zote ulizotufundisha tumefaidika mno. Jazaa yako kwa Allah. Na daima matani yako / comedy ndiyo huzidisha ladha kwa mawaidha yako.😂😂😂 Shukran sana* 💞
@allahisone6386
5 ай бұрын
NDUGU HIZO LETTER ZAKO UMEZIANDIKAJE???? NIME PENDA ULIVY ANDIK
@artisthusnatalal3099
5 ай бұрын
@@allahisone6386 Shukran
@bushraaljadidi7747
6 ай бұрын
ما شاء الله شيخنا نحن نحبك كثيرا 😍
@idrisjumadarusi3037
5 ай бұрын
Masha Allah Sheikh ama kwa hakika chema hujiuza...Allah atuzidishie na atujaalie Kila kheir yake ...Amin
@naimachiza3939
5 ай бұрын
Kipenzi cha Watanzania Nzima ❤❤❤Tunaomba Serekali ikupee Uraiya Kabisa Upate Passport ya Tanzania ❤❤❤
Allah akujalie maisha mema duniani na akhera inshallah babuu uthman Maalim .Much love from wajukuu zako upande huu wa kwale
@muskhaj1230
6 ай бұрын
Mashallah SHEIKH RASHID KWA KUMLETA MWALIM WETU SHEIKH WETU HATA WW NI MWALIM WAKO. KUNA SIKU ULINISABABISHA NIJE MSIKITINI NILISIKIA SAUTI YA SHEIKH OTHMAN MAALIM KUMBE KUJA UPO WEWE SHEIKH RASHID SALIM MASHALLAH ALLAH AKULIPENI KHERI.
@MudymazindeMazinde
2 ай бұрын
ALLAH amjaalie sheikh Othman maalim...ampe kila lenye heri
@nzabahabwanimanaaisha9923
6 ай бұрын
A A W W Othuman Maalim sauti yoko ukisoma Qor an roho yangu inapata uturivu nakupenda kwa ajiri ya Allah.Aisha kutoka Rwanda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ummohammed8380
6 ай бұрын
Asallam aleikum ndugu yangu usiifupishe hii Usiandike kwa kifupi Kwenye salam kuna jina la Mungu haifai kukatishwa
@1nesoch
6 ай бұрын
@@ummohammed8380 Allah atusaheme makosa tunayofanya bila kujuwa ao kwa kusahau. Allahuma Amin.
@GfgGgh-v5z
5 ай бұрын
Maa Shaa Allah Sheikh Othman Allah azidi kukuhifadhi kwa ajili yangu na wengine Allahumma Aamiyn
@saumujumanne8866
6 ай бұрын
MashaAllah, Sheikh Othman Maalim, my best sheikh, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu, afya njema, baraka na mafanikio tele ili tuendelee kufaidika na ilmu yako
@SabraAbdilnasir
6 ай бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah sheikhe wetu nakupenda sana sana kwa ajili ya Allah Allah akuhifadhi akujaliye umri wenye afya akuzidishie elimu zaidi akujaliye uwe miongoni wa waja wake walioridhiwa
@kariuknoor5753
2 ай бұрын
Mashallah nampnda xn shekhe othumani❤ allah amuweke
@NanaHassan-s8x
3 ай бұрын
Masha Allah tabarakallah, mungu akuzidishie 🎉🎉🎉
@hatujuanisalum9354
6 ай бұрын
Mimi nashindwa nimepata kigugumizi kuona historia ya ya huyu baba,nampenda kwa ajili ya Allah simu yangu imejaa maneno yake yake sauti mawaidha mafunzo matamu murua ya visa vya mitume yote hayachoshi kuyasikiliza nimejua mengi kupitia mawaidha yake .nashindwa kuelezea Allah ampe umri mrefu azidi kutuelimisha azidi kuelimisha sisi na vizazi vyetu vijavyo. Mimi dada yako. Nakupenda kwa ajili ya Allah.
@ahmadimahmoud9014
6 ай бұрын
Shukran kwake mwalim wetu kwa yote unayo tufunza sisi ni wanafunzi wake kutoka Congo drc goma
@OmanOman-gu1wy
6 ай бұрын
Maasha allah shelhe wangu nataman sikumoj tukutan nitafurah zaid nampenda shekhe othuman najifunz mambo meng kupitia mawaidha yake allah akuhifadhi
@lamuchidon7643
5 ай бұрын
Asalaam aleikum Mungu amjaze kheri sheikh langu othman maalim. Nakumbuka siku nilipokutana na sheikh Othman maalim Mombasa kenya.nikamuuliza sheikh anipe nasaha mm kama kijana basi nasaha alonipa ni same haya maneno asemayo hapa. Masha Allah 😊 Mungu akujaze kheri
@ZubedaMgalla-tn1df
6 ай бұрын
Maa shaaa ALLAH kazi nzuri walimu zetu...MOLA AWAHIFADHI KWA KAZI KUBWA MUNAYOIFANYA amin
@zabibunyirasafali852
7 күн бұрын
Shekh wetu Allah azidi.kukupa umri mrefu. Ata watu wa Rwanda tunakupenda.
@fatmamohammed9933
6 ай бұрын
Mashallah Mashallah yaani nimefurahi sana kujua historia ya sheikh othman Maalim Allah azidi kumpa umri mrefu mwenye furaha na imani kubwa na ampe afya azidi kuweza kutuelimisha na ampe pepo ❤❤❤❤😊😊
@abdikanzu5261
6 ай бұрын
Allah akujaalie umri mrefu wenye siha na amali njema, ili uweze kutuelimisha na kuwafundisha tuliokuwa hatujui
@katore1982
6 ай бұрын
TabarakaAllah fii nimyenyekevu kujibu maswali Allah azidi kukujaaliya Elmu utufunze dini yetu Islam
@bentybenty2343
6 ай бұрын
Masha ALLAH Tabarakallah ❤ ♥❤.ALLAH akuhifadh sheikh wetu kipenz 4rm Kenya 🇰🇪
@kimarumarwa3464
6 ай бұрын
Zanzibar ni Makka ndogo tangu zamani,
@aishakinia4957
6 ай бұрын
Amiin Yaraab nimeenukia na mawaidha ya sheikh othman maalim Allah ampe umri mrefu
@allahisone6386
5 ай бұрын
😅AL-KAABA IPO? 😅
@SakinaSakinat-qd9rs
5 ай бұрын
@@aishakinia4957.. Amiin Amiin Amiin my dada
@stevewanga957
6 ай бұрын
MashaAllah mm hua najua katokea sehemu ya mjini kumbe katoka Digo ....Mola akuhifadhi sheikh wetu
@zenarajab5104
6 ай бұрын
Maa sha Allah tabaaraka llahu, shekhe unanipa faraja sana kwa darsa zako najifunza mengi awali sikuyajuwa Alhamdulillah mungu akujaalie maisha marefu yenye mwisho mwema ❤
@aishakinia4957
6 ай бұрын
Mashaallah masjid konzi Jamiii inakufahamu Sana sheikh othman maalim Allah akupe umri mrefu. Cha ajabu sijawahii kusikia ukiongea kwa ukali upole na ukarimu ndio miongoni mwa sifa zako. Twakupenda kwa ajili ya ALLAH
@ahz6907
6 ай бұрын
Naaam...Amerithi kutoka kwa babake!
@allahisone6386
5 ай бұрын
💯%🤝
@FamilyVideos-pt1mo
2 ай бұрын
U read my mind
@abeliever6823
6 ай бұрын
MaashaaAllah. Tabaarakallaah. Sikutaka program imalizike. Namuomba Allah Tabaaraka waTa’aalaa ampe Sheikh Othman umri mrefu wenye baraka, afiya, busara, ikhlaas, tawfeeq na mwisho mema. Allah awahifadhi watoto na family wake. Allah abariki killa kitu la kheri akilofanya. Yaa Allah! Tunampenda Sheikh Othman bila kuwonana naye na tunakuomba umpende yeye na dhuriya na jamii yake. Umpe killa la kheri.
@rukiaomar7828
6 ай бұрын
Allahuma ameen
@hamisisaid-zz2ye
5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amuhifadhi sheikh wetu Othman maalim kwa kazi kubwa anayoifanya tunaomba pia aje sehemu za Tanariver county Kenya
@CKMO
6 ай бұрын
MashaAllah tunakupenda sana Shekha wetu na tunakuakia maisha mazuri na kheri na salama Amin
@awatifalghanim1106
6 ай бұрын
Alhamdulilah. Watu wa Unguja na Pemba wamekuvuliya kofiya na ushakuwa mtu wa hapo Unguja mpaka ucheshi wako na lafdhi ya lugha yako tunaipenda. Mashaallah
@bintsalimalbimany287
6 ай бұрын
Mashallah mashallah Mashallah Ama leo mmenifurahisha jaman Nampenda Sheikh Othman Maalim Sana sana Allah ampe umr mrefu wenye kher na yeye Amuepushe na Shari Kwa hakika mim Tangia nimdogo Nimekulia kuskia saut yake bas Ramadhan kila ikifika saa 8 Kuna visa vya mitum mama angu atega sikio Kumsikiliza bas kama mama Amwnirisisha yaan na Mamb haya ya mitandao Mashallah Allah ametupe neema Sasa tunamuona Live🥺Mashallah Wallah katika Masheikh walojaaliwa Vipaj bas mmoja ni yeye huyu Sheikh ninampenda Mpaka bas Halaf Sheikh Rashid ni kwel Saut yako Ukizungumza utasema ni shwilh Othman Maalim Na Nlijua tu utakuwa ni mwanafunz wake Mashallah Jazakumullah kher Allah akupen Umr mref wenye kher Akuhifadhin Dunian na kesh akhera😭🤲🥺😍🌹Ramadhan رمضان مبارك علينا وعليكم🌙🌹☺️❤️😍
@zabibunyirasafali852
7 күн бұрын
Tunaomba na sisi. Sheikh wetu . Kuja huku Rwanda. Tutafurahi Sanaa.
@mikidadibandu3998
5 ай бұрын
Nikimwacha dr sule hakika othuman maalimu ana hekima sana hata wakristo upenda kumsikiliza mungu ampe afya njema amina
@MankooBoy
6 ай бұрын
Mashallah Allah akuhifadhi shekhe wetu
@abdullahamoody1002
6 ай бұрын
Alhamdullillah nimejifunza mengi kuhusu othman mwalim na uisikize mpaka mwisho utafaidika naomba masheikh wote wajitahidi kuheshimiane kupate kuwa adhabu nasisi tufaidike ameeeen yarabeel alameeeen
@AhmedSheikh-v9i
6 ай бұрын
Tafadhali Sheikh, umetueleza juu ya wazazi wako na ndugu zako na tumefaidika sana but pia tueleze juu ya familia yako, yaani mke (au wake) na watoto wako
@rukiashinen7634
6 ай бұрын
MaashaAllah Allah akuhifadhi sheikh wetu...Alhamdulillah kwa ilmu tunayopata kwako
@ashrafkhamis1051
5 ай бұрын
Masha Allah Sheikh Othman Maalim mola akuzidishie kheri
@NimcoSMursal
6 ай бұрын
Mashaallah mashaallah tabarakallahu may❤Allah bless him and happiness umuri tawilli.Allahu ma amini thuma amini
@hodaneymujib6621
23 күн бұрын
Alfatah tv jazakumulaah
@jichokodoabdullatifabdi3995
6 ай бұрын
Masha Allahukana Laahawulla qoywat illa billah jazakallahu kheir'na sheikh Othman na Mwenyezi Mungu atujalie sote kheir ya dunia na ya kesho akhera.
@AishaHamis-r7x
6 ай бұрын
Maa shaa Allah baraaka Allah fika masheikh wetu Allah awalipe kila lenye kher nanyi
@habibiddy8096
6 ай бұрын
MashaAllah hii ni miongoni mwa KZitem channel ambayo hujutii kuitazama Allah akujaalie heri na aikuze zaidi na zaidi ifike mbali
@safinajuma7310
6 ай бұрын
Mashalla barakallahu fii kum wallah nakupenda shekh kwa ajili ya Allah nafurahi sana unapotaja markit shukran sana jazakallah kheyr Allah akupe umri mrefu wa ibada
@halimaomari3415
6 ай бұрын
Mashaa Allah Mashaa Allah,sheikh wetu ndugietu kutoka kenya mola akuzidishie umri uziidi kutuelimisha Raha kukusikia ukijielezea umewatia moyo vijana wengi sana
@rashiddzambo7789
6 ай бұрын
May Allah accept your deeds sheikh. You have done a lot, we have learnt a lot your exemplary behaviour. May Allah bless you more and more!
@ashashaban6484
6 ай бұрын
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIKH WETU ALLAH AKUJAALIE KHER DUNIANI NA AKHER NA SS ALLAH ATUJAALIE TUWE MIONGONI MWA WAJA WEMA NA MWISHO MWEMA INSHALLAH
@mohammedahmed8472
5 ай бұрын
Mashaallah! Mungu amzidishie na ampe Elimu anayoitaka
@abeliever6823
6 ай бұрын
Video yenye manufaa mengi MaashaaAllah. Allah amhifadhi Sh Othman na ambariki. Allah awarehemu wale ambao wamemlea Sheikh Othman na wale wamemsomesha. Yaa Allah! Tunampenda Sh Othman na tunakuomba umpende. Yaa Allah wahifadhi watoto wake na students wake na mlipe malipo mema.
MashaAllah kaka Sheikh Othman maalimu Mola akupe umri
@RachaelvaatiMutuku
6 ай бұрын
Allah akuilhifadhi sheikh wetu kipenzi... akuzidishie kila la kheri....Allhummah baarik
@DON_CARE
6 ай бұрын
Nakupenda sana sheikh othmaan maalim kutoka moyoni 🤝😊
@SaadaSaid-d4k
5 ай бұрын
Alhamdulillah.. Mashaallah.. umetupa Muangaza Mkubwa kwa kweli... Allah akulipe JANNAH.
@IbrahimMussa-g6l
6 ай бұрын
ALLAH (S.w)akuweke sheikh wetu akupe afya njema na nguvu na sifa tunajifunza mengi tunaelimika na mengi kupitia vipindi vyako,mawaidha yako na Elimu yako
@alhilaltvonline
6 ай бұрын
MaashaaAllah. Ahsante sheikh Rashid kwa kutuwekea Sheikh wetu.,....
@DaudaBilikesi
6 ай бұрын
Ni Sheikh mzuri na Mwalimu aliyetimia.Amejaaliwa mvuto wa kusikilizwa na kutochosha masikio ya wasikilizaji wake.Hakika ni mjuzi aliyejaaliwa karama njema ya kufikisha.Allah amhifadhi na kumpanua zaidi ili Ummah uendelee kumfaidi na yeye anufaike pia,Biidhnillah.
@SakinaSakinat-qd9rs
5 ай бұрын
Amiin Amiin Amiin
@Athmanobo
6 ай бұрын
Mashallah ustadh osman amenisomesha Islamic teachers training college mikindani mombasa Allah (sw) amuhifadhi.
@omaromondi7112
5 ай бұрын
Mashaa allah jazaakallah Mungu akujaliye maisha marefu inshaa allah 🌹❤❤
MashaAllah Sheikh Allah akuifadhi na akuzidishie elimu tufaidike.
@GhaniaRashid-p4n
4 ай бұрын
Mashallah Allah atuekee sheikh wetu inshallah
@shakilamasoud2983
6 ай бұрын
Masha Allah. Mwenyezi Mungu akulinde na akupe umri mrefu insha Allah ❤
@mohammedrajabumwamba1322
6 ай бұрын
MAASHAAALLAH TABAARAKALLAH LEO NIMEFURAHI KUIJUA HISTORIA YA SHEIKH WETU KIPENZI OTHMAAN MAALIM WATANZANIA WENGI TUNAKUPENDA SANA ALLAH AKUBARIKI KTK MAISHA YAKO YAWE NI NYENYE KHERI NA BARKA TELE ALLAHUMMA AMIIN🙏
@mohammedhassan-o9s
6 ай бұрын
Mashallah , tungelipenda kuwajuwa zaid mashekh wet kama hv❤❤ kwahiy musichoke kuwapa mualiko na wengine inshallah ili tupate faida
@princesaha3262
6 ай бұрын
Naam
@mohammedkidody5618
6 ай бұрын
Naam
@mosesfakii7422
6 ай бұрын
mfikishie ujumbe wangu shekh mwambie nampenda....shekh wang pendwa mda wote...napenda hejka zake....daawa zake...allah atujalie mwisho mwema kw pamoja \
@saidabdurahman9631
5 ай бұрын
MaashaAllah shekh amepambana sana Allah amuhifadh aendelee kutufundisha visa vya waja wema
@SaidNassor-xj6yp
6 ай бұрын
Mashallah allah Al Fatah kwa history nzr ya sheikh Othman maalim.
@abujassarlimited294
6 ай бұрын
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatu...Sheikh Maalim Othman..nakumbuka ulipokua ukitoa khutba ijumaa masjid Amani maratbu wakikuita jina la kishik Mimi moja wa nakumbuka ukiitwa kishik...Masha Allah Tabaraka Allah..
@CavangaCavanga
6 ай бұрын
My favorite shekhe yani nampenda saana uyu shekhe, namuomba Allah anijalie siku Moja nikutane nae na nnimbusu pia
Пікірлер: 351