Kwel kabsa ila babu seff hana taluma ya kumuhoji mtu yy anajua kumkatisha tu halafu babu seff unakua mkal
@bobboris4859
10 ай бұрын
Huez bdlsha lafudh y mtu ambayo anaitumia maisha yake yote we skizia iishe utapatia watu wakat mgumu n lbda wamezoea mabaharia lugha zao ndo hizo
@lamarshibu5800
11 ай бұрын
bab seif kumbuka hao unaowahoji ni mabaharia na wanaongea kwa hisia kwa yale waliopitia neno( unaona bwana ) kwao wao ni kawaida kulingana na jinsi anavyosimulia fatilia inteview za mabaharia wengine neno hilo hilo limetumiwa zaid ya mara zote so usimkatishe kauli mwache atumie tu.umeona bwana 😀😀
@treyvissy9854
11 ай бұрын
Alafu hilo neno halina shida yoyote … muaache mtu aongeee
@user-wf5sm8cu6h
11 ай бұрын
Kibangubangu ni lugha ya kireno inaitwa Portuguese ambayo inaongelewa Mozambique Unaona bwana 😂
@saidomar6610
11 ай бұрын
Asante kwa kufafanua maana mombasa kenya bangubangu ni mtu mvivu
Пікірлер: 20