Kazi nzuri sana...ninapenda nyimbo zako mtumishi...usichoke ata mimi huku Kenya napambana na kuzimu hadi kieleweke.haturudi nyuma
@mamy1605
Жыл бұрын
Amen amen 🙌🙌🙌
@geofleyfreenwelluka
Жыл бұрын
Mtumishi mi Niko nyuma yako ata Mimi sijawayi fulahia uongo ao wanaotaka kkunyamazisha tambua wako pamoja nawo wewe songa mbele na mungu atakushindia mungu akubaliki Sana amen
@jerryminenewtony9665
Жыл бұрын
MATHAYO 7, 20-23
@millicentakinyi5504
Жыл бұрын
Mungu atupoye😥😥💘
@juhudykahulo
Жыл бұрын
Bado Mungu anakutazam,,
@vickness5403
Жыл бұрын
Sina lakusema zaidi ila Mungu wa Mbinguni Akusimamie katika safari yako. Uzidi kutuinua katika Imani,🙏
@vickness5403
Жыл бұрын
Sina lakusema zaidi ila Mungu wa Mbinguni Akusimamie katika safari yako. Uzidi kutuinua katika Imani,🙏
@yonamsamba4464
Жыл бұрын
Nyimbo nzuri ujumbe mzur sana
@williamwasafi61
Жыл бұрын
May God bless you,,,,nyimbo zako zilifanya nikaokoka aki ubarikiwe xana
@justuslibese6014
Жыл бұрын
good to here that
@personpeter2221
Жыл бұрын
So glad
@patrickmunishi2277
Жыл бұрын
ongera sana kwa kupokea Yesu, hapo ume pata vyote
@mwalukochimwaga3303
Жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kuchagua njia ya kweli na uzima.
@Minsirerickjuniorofficial1272
Жыл бұрын
Wow let God bless you sir sana sana sana
@davidmathew1714
Жыл бұрын
Ubarikiwe mpedwa mtumishi wa BWANA
@Evangelist-Joseph-sikanyika
Жыл бұрын
Nayipenda sana hiyi nyimbo Mungu azidi kukuinua nakukurinda Man of God, sio hiyi tu ila uduma zako zote nabarikia nazo
@davidjackson448
Жыл бұрын
Mungu akulinde na akutie nguvu
@godwinambani
Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa wimbo mzuri
@alexmwakikambako4743
Жыл бұрын
Baba HAKIKA MUNGU akukumbuke Sana MUNGU akuondolee madui wote wakusogeleao awtawanye kwa njia7 kaka nakupenda sana uBARIKIWE sana sana sana sana sana 🙏🙏🙏🙏👏👏🤲🔥🔥🔥
@msumbaalihappytokenyan5714
Жыл бұрын
I always blessed with your songs,,, powerful song
@Mussa-f6e
23 сағат бұрын
Mussa greyson tupo pamoja kazi nzuli
@LindaelIbrahimpanga
4 ай бұрын
Vishawishi vingi sana duniani majaribu ni sehem ya kipimo Cha Iman zetu hakuna kukata tamaa mtumishi nyimbo inabariki sana MUNGU akutie nguvu katika huduma yako
@petromsomba4523
Жыл бұрын
Yaan narudia tena na tena wara sichok kuisikizia hii nyimbo
@sophiamakani6133
Жыл бұрын
Amen Amen barikiwa sana Mutumishi wa Mungu akika tunabarikiwa sana na nyimbo zako
@petromsomba4523
Жыл бұрын
Nmeisikiliza hii nyimb nimekosa cha kukommenti zaiid ya kusem ubalikiwe mtumishi
Alicho kihadi katika Maisha yako Nani mwanadamu akipangue Haya n mapito yanapita Shika Imani usiche ukamkifuru Mungu Kwa ajili ya watesi wako songa mbele Kwa ushindi wako hata Ayubu alijaribiwa hata we hilo n jaribu tu utasinda kitambo kidogo tu mtumishiii utaingia Kwa Baraka zako
@JohnsonMpinga
9 ай бұрын
Mtumishi kiukweli nakupenda katika Kristo Yesu ila ombi langu Mungu akupe kibali ufike kwetu
@geofleyfreenwelluka
Жыл бұрын
Kweli mungu akutie nguvu mpaka uvuke ukavikwe taji mbingun
@mrmhenipm
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu,,vumilia utavikwa taji ,,,lazima ujue vita kwa aliyeamua kumtumikia Mungu sawasawa lazima viwepo,,,,hata mitume waliyapitia hayo
@GiriadyMsumle-jw1ek
Ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wangu nyimbo zako zinanibariki sana
@asminmakoha6889
Жыл бұрын
Mungu Yuko tunakumbea yataisha kaza mwendo ndungu yangu mungu wanezareti Yuko nawe
@jackabanga2958
Жыл бұрын
Amina, jamani Yesu tutie nguvu tu tumalize safali
@rmaryp6269
Жыл бұрын
Barikiwa kwa kz nzuri Mtumishi wa Mungu.
@janethmwihumbo1289
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu,mtumishi ,hata waasisi wa injiri waliyapitia haya ,ukimkiri kristo kwa Nia umetangaza vita
@maulidmustapher3819
Жыл бұрын
Mungu akubaliki sana napenda nyimbo zako zote n za uhakika ameni
@happey2878
Жыл бұрын
Amen, endelea mbele ndugu mungu yuko pamoja nawe .
@user-ee9ye3qt6l
10 ай бұрын
Mchungaji Paschal,nipopamoja nawe na hii habari njema naitwa Emmanuel kutoka Mombasa Kenya.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@reginakimaro
Ай бұрын
Yaani mtumishi una karama kubwa kila wimbo ni mzuri hongera sana❤
@mastajabudekula4828
Жыл бұрын
Kwanzia leo Mimi takuita UWEZO.nyimbo zako huwa zina nikosha nafsi yangu.the love from the DRC Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩.God bless your hard work.UWEZO
@ReginaFaida
3 ай бұрын
Huu wimbo nasikiliza unanifariji sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu Paschal
@AllenMgogo-hc6wb
10 ай бұрын
Wimbo wako unaniliza pia unanitia moyo mungu akubariki sana
@user-ql7xh2tt8m
Жыл бұрын
Barikiwa sana baba mungu akupe nguvu zaidi ushinde zaid ya kushinda Yuko pamoja
@dottosahani3973
Жыл бұрын
Bwana akutie nguvu
@supremacyent2547
Жыл бұрын
Nyimbo nzuriiii
@alfredngongi7509
Жыл бұрын
Kazi hii si bure Bwana atakufuta machozi barikiwa mwinjilisti. Paschal
@simonlaizer6261
Жыл бұрын
Tuko nawew bab jipe moyo safari hii ya kutumika Ina miba nyingiii sanaaa😥😥😥😭
@reginakimaro
Ай бұрын
Songa mbele mtumwa wa yesu mungu amekupa sauti nzuri
@TumaKelvin
Ай бұрын
Umenigusa sana mtumishi
@homebest9258
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe nguvu
@marrybahati4927
Жыл бұрын
Usiwasikilize wanadam msikilize mungu tu kumbuka neno la kuwa mtatupwa wengi gerezani kwa ajili ya jina langu .songa mbele yesu anakuja
@pettybrown2655
Жыл бұрын
Ongera sana The son of Zion keep it up Brother
@alicebeautiful4114
Жыл бұрын
May the LORD PROTECT YOU MAN OF GOD 🙏🏾🙏🏾
@killakadudu5589
Жыл бұрын
Endelea kutuelimisha pascal Mimi nilipigiwa simu Toka kuzimu why because niikuwa naelezeasana ufreemason NAMI sikuwa mkamilifu kiroho. Ukiwaelezea wanaumia Sana na kutangaza vita juu yako. Amina Mtumishi
@gesabdanyambane-fr8je
6 ай бұрын
😊@@killakadudu5589
@beatricemdoe7192
Жыл бұрын
Songa mbele mtumishi wa mungu
@macklynesayo493
Жыл бұрын
Mungu naomba unipe neema yakushinda hizi vita
@childofgoddorsila5338
Жыл бұрын
Sincerely wokovu ni ghalama but tukaze mwendo😭😭😭
@namtiticomedy1675
Жыл бұрын
Mungu mwema kila wakatii TUZIDI kumwomba Mungu wapendwa
@millicentakinyi5504
Жыл бұрын
Tunakutegemeya ee,mungu😓😓🤝
@amondaud9319
Жыл бұрын
Mungu anajua ariko kutoa na hauwezi kufa Kama haujaimarza kazi yake Mungu atakusaidia Majaribu ni mtaji wa kuongeza Imani kwa Mungu
@Leonarnk3
Жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa kipaji chako, Songa mbele ...
@TheresiaLucas-vo4wz
Жыл бұрын
Wimbo nimeupenda sana mtumishi umenitia moyo sana
@remigiusrwechungula7047
Жыл бұрын
Bado hajajua karama yake ilipo...Ana nyimbo nzuri sana zinazohubiri neno,, kuliko kukaa akiwasakama watumishi wa Mungu
@barakampambwe9791
Жыл бұрын
barikiwa sana mteule unatubariki sana na ujumbe mzuri😇😇
@prince001tv5
Жыл бұрын
Watanzania wakikutesa karibu Kenya
@sarahsambaya5284
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu
@ReboMikeBernadette
4 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu na akuzidishiyee,hii nyimbo inanibariki kila wakati ninapo isikia🙏 Yesú atusaidiye
@mozeselisha8963
Жыл бұрын
Hakika wimbo huu umefanya niwe na furaha ndani ya moyo wangu ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@eliashibundabalinze2217
Жыл бұрын
Endelea songa mbele, hata Yesu alipingwa na waliojifanya ni wasafi kumbe rohoni ni wachafu mno. Tuletee video ya "Waacheni watu wamrudie Mungu" huu wimbo umewagusa wengi na hakika lazima wajirekebishe wakishupaza shingo zao watakatwa. Matendo 12:20-30
@KarenKetura
11 ай бұрын
New fan from tiktok am blessed mateso ya mwenye haki ni mengi ila Mungu humtengenezea njia yakuondokea Mungu akutie nguvu zaidi na neema iwe juu yako milele na milele much love from 🇰🇪 🇰🇪
At last nimepata hii nyimbo it's nice song it's teach me
@Joseph-qk4vq
Жыл бұрын
Neno langu kwako ni moja2 mtumishi wa mungu jicho la baba likutazame ameen
@alicejuma3739
Жыл бұрын
Good song my brother mungu akupe nguvu
@christinasebastian9546
Жыл бұрын
Ee Mungu wa mbingu na nchi mtie nguvu mtumishi wako Ili azidi kuihubiri kweli Yako🙏
@alicejuma3739
Жыл бұрын
Good song my brother mungu akutie nguvu kwa imani
@yvonneamulabu7902
Жыл бұрын
Utukufu kwa mungu, kaza mwendo mtumishi na taji yako ya ushindi na furaha utavikwa na mungu
@ubuzimabwaclaudine9798
Жыл бұрын
nikweli kumutumikiya mungu siyokazi laisi mungu namipia nisaidiye
@naomidickson4748
Жыл бұрын
Songa mbele mtumishi wa MUNGU.usiogope
@paulpastory1193
Жыл бұрын
Kaka Paschal bibilia Inasema Ufalume Wa Mungu Unatekwe Nawenye nguvu kaka Pambana Hata mimi Niko nyuma yako Mungu Atutie Nguvu
@oscarmkumbo7451
Жыл бұрын
Kaza mwendo Mtumishi
@edgaredmund3692
Жыл бұрын
iko good sana
@alexonesmo1753
5 ай бұрын
Mungu akujaze nguvu ya roho mtakatifu ameni
@ezekiamwafumba6232
Жыл бұрын
Daa nimependa sana uo wimbo maan unaujumbe mzr
@gib3888
Жыл бұрын
mtumishi wa mungu usiridi nyuma wewe fanya kazi ya mungu hizi n nyakati za mwisho,naomba mungu apikane nao
@alfoncelissu9019
Жыл бұрын
Mungu akulinde na maadui pia awape na watumishi wengine ujasiri kama wewe watumishi wa bandia waishe kabisa
@emk6360
11 ай бұрын
Amen , mungu gusa mtoto wangu aache madawa ya kulevya, nakutegemea maana vita imenisonga😭😭😭😭😭
@faithmekulu9595
Жыл бұрын
Song of the year it fit my situation 🙏🙏🙏God fight for me 😢😢😢
@GambumDilla-tu7fw
Жыл бұрын
Amen what a message jamani.. 🙏🙏
@reginaapualotome-hk8ui
Жыл бұрын
Kaza mwendo you are not alone mungu wako Yuko na wewe,am hakika Mimi nayaona jinzi watu wengi wanapitoshwa inchini Tanzania na kutokuwa na maarifa waa
@pastorbarakangata606
Жыл бұрын
duniani kunayo dhiki lakini jipe moyo ueshinda na utazidi shinda kama yesu alivyoshinda
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
4 ай бұрын
Amen amen very Good song usually Show that God will help us
@naomichawala8701
Жыл бұрын
Mwimbo mzuli mungu akubaliki sana nivukengambo mwimbo umekua falaja mtumishi
@estermgoma7451
Жыл бұрын
Ww upo karibu na MUNGU mana ulie mwamin walimtenda hayoo
@quintaanyango9114
Жыл бұрын
Tukonpamoja na wewe Hadi mwisho you are very powerful man of God
@user-uy7ys4in8g
Жыл бұрын
Safiii Nimeipenda Hii Tena Sana Munguu Akupe Uzimaaaa
@clairemakotswi9666
Жыл бұрын
Be blessed the man of God 🙏 actually wimbo huu umenikumbusha mbali sana tangu nilipo jua neno la mungu Asante sana barikiwa Wacha tuendelee kupikania ufalme wa mungu kuliko wa hapa duniani
@annambilinyi4753
Жыл бұрын
Amina majaribu ni mtaji lakina tunajaribiwa Kwa ajili ya ule ufalme wa mbinguni kama twastahili kuumiliki ndomana tunapitia haya. Maana mmepewa Kwa ajili ya Krisro si kumwamini tu ila na kuteswa Kwa ajili yake.( Wafilipi. 1:29 Amina sana Mungu atusaidie tuwe watakatifu kama yeye alivyo mtakatifu)
@claudinebatamuriza4936
Жыл бұрын
Mungu yuko nawewe usiwogope wanadamu Mungu atakupinganiya
@justuslibese6014
Жыл бұрын
nafurahia sana nyumba zako mtumishi shikilia hapo hapo tu
@johnalagwa3585
Жыл бұрын
Wimbo una ujumbe mzito. Mungu akubariki mtumishi wa mungu.
@gracemutono5023
Жыл бұрын
Amen Asante mtumishi wa MUNGU wanimbariki sana Asante MUNGU wa BINGUNI akuie ngufu
@mapendomonique9719
Жыл бұрын
Mungu akutiyaguvu yakwendelesha kaziyake hatakama misukosuko itakusoga pamojana Mungu atakuteteya wedoga tu
@janethmwihumbo1289
Жыл бұрын
Manabii wa uongo mnamtesa mtumishi wa mungu akiwataja tu ndo anapata matatizo,
@jafeti-ut7gq
Жыл бұрын
AMEN BARIKIWA SANA HAKIKA MAJARIBU NI MENGI MNO ILA MUNGU PEKE YAKE NDIO MTATUNZI NMEFURAHI SANA
@miriamdanda6830
Жыл бұрын
God bless Pastor Paschal ....May your life be a testimony all over the world
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Piga injili mtumish Mungu Yupo pamoja na wewe
@fideleemmanuel3035
Жыл бұрын
Amin mtumishi siku zote ukweli unachoma, ila na kukubali sana, endelea kusema kweli maana ndo utakuweka huru.
Пікірлер: 367