Allah atuzidishie Elimu tuzid kubainikiwa ili tusifanye bida'a Na hawa Masheh zetu Allah awape umri mrefu wazid kuzungumza Hakki
@nasirshekhi6070
3 жыл бұрын
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️
@abdulrahmantalib5637
2 жыл бұрын
Maa shaaa Allah. Allah akuzidishie ufasaha wa kuongea Sheikh. Allah atubainishie haq tuweze kuifuata na atubainishie batil tuweze kuiacha
@as-habul-himma
Жыл бұрын
MashaAllah sheikh...Allah yahfadhuk
@cholochiidi5927
3 жыл бұрын
Jazakallahulkheyr Ya Sheikh Allahu Bareek
@saidahmed2081
4 жыл бұрын
"وقل جاء الحق وزهق الباطل ان الباطل كان زهوقا" MaashaAllah yaa Sheick Namuomba Allah akuzidishie nguvu upate kuielimishe Umma zaidi
@user-zg3ns6rz6o
11 ай бұрын
Allah atuepushe na bidagha na atustir
@abuuuruwatally3902
4 жыл бұрын
Masha Allah , baarak llah fiyk..
@mikidadhussein8350
Жыл бұрын
Subhaanallah ALLAH atusamehe makosa yetu
@ABAELECRTONICSAR-ok5xf
3 ай бұрын
sheihk issa bin maryam hakuacha dini ya kikristo hapo umechemsha
@abdallahsaid1968
Жыл бұрын
Bahthi ilio nyooka maashallah
@nassorochura7838
Жыл бұрын
mashaallah ilimu muhimu
@Uthman_Muhammad
2 жыл бұрын
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatu. Ma shaa Allah.
@jaykay8983
4 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah, wazi kabisa, kwa hakika ukweli ukija uwongo hukimbia
@yahyaahamad2434
3 жыл бұрын
masha Allah
@sharifukaila8313
2 жыл бұрын
Uko sawa shekhe
@abdallahhalifa5860
Жыл бұрын
Sheikh kwanza ningependa kukushkuru kwa mafunzo yako uliyotupa ela niko naswali ningependa nikuulize ili unifahamishe nami vzr kwakifungu cha hiki cha wazazi wa Mtume kuingia Motoni,Swali langu ni hili kwakosa gani wazazi wa Mtume kuingizwa motonii na hali yakua kuna Aya katika Suratul Israi inayosema Wamakunna Muadhibina hata nab atha rasula na nnavyofahamu mm Mtumi alipopewa Utumi wazazi wake walikua washakufa Sheikh vipi hapoo Shukran
@as-habul-himma
Жыл бұрын
MashaAllah tunepata part 2 inshaAllah
@as-habul-himma
Жыл бұрын
Tungepata*
@wardaismail654
3 жыл бұрын
Waambie
@twalibsaid2614
9 ай бұрын
Msema pweke hatolewi makosa wapoteze waislam utasimamishwa mbele ya hukmu siku moja , unasema haifai kutoa dhikri kwa pamoja wakati mtume asema inna Allaha malaikatan sayyaratun fudhlaa yabtaghuna majaalisa dhikri faidha wajuu kaaduu maahum wahafa baadhuhum baadha biajnihatim , mungu asema Yadu Allaha maaljamaa ,wewe unataka kutenganisha mpaka watu wasishirikiane katika mungu Yaani mawahabi sera zao ni kutenganisha kutetesha mpaka ibada pia watu wawe mbali mbali
@maawymuhammad6779
11 ай бұрын
Mungu akuongoze sheikh maana naona wapotea sasa
@abdirahman_hasn
11 ай бұрын
Ww ndo unahitaji kuongozwa
@abdirahimsiko6795
3 жыл бұрын
Assalamu aleikum Part two please
@abdallahhalifa5860
Жыл бұрын
Kwa kumalizia swali langu sheikh vilevile ni kwa Qur an tukufu pale Mola aliposema tumbo liombemba Mtumi kuanzia la mwanzo hadi la mwisho lakuzaliwa Bwana Mtumi ni Twahara vipi liwe litaingizwa Motonii naomba Sheikh kufamishwa
@abdallahhalifa5860
Жыл бұрын
Then tena Sheikh kwenye sura Dhuha Allah vilevile amwambia Mtumi wala saufa yuutwika Rabuka fatardhwaa kweli Mtumi Moyo wa Mtumi utakua na waswaa iwapo wazazi wake watakua Motonii
@neemafatu471
2 жыл бұрын
Inaingia akilini kabisa Bila SHAKA. Ila sijui Hawa watu wa bid aa wapo vipi wallah.
@MrAmissi
3 жыл бұрын
Assalam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh mnaweza kunipa sehemu ya pili. Shukran
@khalfanikishki3609
4 жыл бұрын
Watajua wenyewe na Bid'aah zao
@twalibsaid2614
9 ай бұрын
Muhamad ibnu wahab na ibnu taimia asema mashia na watu wa bidaa ni waovu kuliko mayahudi na manaswara jee sheikh ni sawa kuamini hivo?
@RamadhaniMussa-xs5uk
8 ай бұрын
Mtu wa bidaa anazua jambo halafu anasema hii ni ibada Tena ibada kubwa itakua amemzulia uongo mtume
@Buddy9072
9 ай бұрын
فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي. Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi??? Na hii hadithi Bafana ataidhoofisha vipi ama ataifahamisha vipi, ama hakuwa ameiona? Bafana huna heshima na Mtume Muhammad wewe. Waongea nini
@Sidrasidra636
2 ай бұрын
Aaaah kumbeee jina la Wahabi walilitowa huko! kumbe sio mbaya! Basi wanajiona wame tutusi kumbe wala wala
@maawymuhammad6779
11 ай бұрын
We sheikh utasemaje kwamba wazazi wa mtume wako motoni! قال تعالى وما كنا معذبين حتى نبعث رسولا وقال تعالى لتنذر قوما ما أنذر ءاباءهم فهم غىٰفلون وقال تعالى ولسوف يعطيك ربك فترضى Allah ashasema kwamba hawezi kuwa yeye ni mwenye kuadhibu mpka atumilize mtume. Kisha yeye allah akasema kwamba mtume alitumilizwa kwa qaum ambayo hawajamhofishwa baba zao ndo wakaghafilika kwa maana hawajatumiliziwa mtume kabsaa.kisha allah ashamwambia mtume kwamba atampa mpaka aridhie.sasa allah akimtilia wazazi wake motoni ataridhia kweli. Hadithi ya kusema kwamba mtume alimwomba allah azuru kaburi la mamake akakubaliwa kuzuru tu ila akakatazwa kuomba msamaha hadithi hii ina mushkil.Aloipokea alikuwa i mtu (thiqah)yaani ambaye hupokea makosa makosa. Na pia ingekuwa ni kweli ankatazwa kumwombea mamake msamaha maanake labda mamake hakuwa ana madhambi maana alikua ni miongoni mwa ahlul-fatrah.Watu ambao hawajapata kabsaa mafundisho ya uislamu. Hadithi ya pili aloisema ambayo iko katika swahih muslim ati mtume alposema babake na babake yule swahaba wako motoni ni kwamba alokusudiwa hapa ni abuu lahab maana neno ABII kiarabu maanake si baba tu bali hata amii,babu waeza kuitwa hivo. Kwa hiyo tuweni makini kwenye mazungumzo yetu ili tusije tukasema yasostahiki kwenye dini ikawa ni balaa kwetu sisi wenyewe. قال تعالى إن ٱلّذين يؤذون ٱللّه ٱللّه ورسوله لعنهم ٱللّه في ٱلدّنيا وٱلئاخرة وأعظ لهم عذابا مهينا Allah asema Hakika wale watakao muudhi allah na mtume wake,allah amewalaani katika dunia na akhirah na amewaandalia wao adhabu kali. Sasa kuwahukumiwa wazazi wa mtume moto ni kuwaudhi allah na mtume wake ama sivo?Bila shaka ni kuwaudhi maudhi makubwa sana.
@abdirahman_hasn
10 ай бұрын
Kulikuwa na mitume kabla ya mtume Muhammad (saw) wazazi wake walikuwa wanatakiwa kufuata mitume hao
@HabibaMussa-mf3ny
8 ай бұрын
Asalaam alykum.allah akuongoze na akupe maisha malefu.yenye mafanikio
@maawymuhammad6779
8 ай бұрын
@@abdirahman_hasn wajua kuna tafauti baina ya nabii na rasuul. Manabii ni wale walokuwa wakija wakati ambapo diin haijasahaulika na Marasuup ni wale walokuwa wakija time diin insahaulika wakija na scripture ya uislamu mpya kama kina Nabii Nuuh,Muusaa,Isa na Muhammad na wingineo. Sasa mtume yy alikuja time ambayo hakuna mtume kabsaa kwa zaidi ya miaka 570+. Sasa wakati wote huo ilkuwa dini ishapotea kabsaa sasa mtume ametumilizwa kuja kuifufua na ushahidi uko ndani ya quran pale allah alposema لتنذر قوما مّا أُنذر ءابآئُهم فهم غىٰفلون ili ukawaogopeshe wale ambao hawajaogopeshwa baba zao wakawa ni wenye kughafilika Hii ayah yatuonesha wazi kwamba wao hawakupata mtume wa kuwaonya wala hakuna hata watu wowote wasokuwa mitume ambao walkuwa wakiwaonya Na pia Allah ashasema kwenye quran kwamba hawezi kuadhibu mpaka atumilize mtume وما كنّا معذّبين حتّىٰ نبعث رسولا Hatukuwa sisi ni wenye kuadhibu mpaka tutumilize mtume na ayah nlotangulia kuitaja yaonesha kwamba hawakupata mtume Hii ni dalili tosha ya kuonesha kwamba wazazi wa mtume walkuwa ni ahlul fatrah na hawakupata wa kuwaonya na hwatokuwa na hisaab yaumul qiyaamah. Ikiwa hadith ametoa huyu sheikh kuonesha kwamba zaonesha kwamba ni dalili tosha ya kuwa wazazi wa mtume wako motoni basi twafaa tujue kwamba Quraan ina nguvu kuliko hadith Hadith kuna baadhi zimetungwa na kuna baadhi si za kweli ila Allah ajua zaidi Tumwombe Allah atuongoze sote Amiin.
@maawymuhammad6779
8 ай бұрын
@@HabibaMussa-mf3ny Amiin
@twalibsaid2614
9 ай бұрын
Shida bi kwamba wewe wanazuoni ulotegemea sio hao pekee kuna na wanazuoni ambao wewe wafikra zako hukubaliani nawo wenzako wanakubaliana nao, mfano kusoma juzu mzima kila swala ya tarawehe kisha ramadhani ikiisha kuhitimisha juzu 30 mtume hakufanya nyinyi mnafanya fanya , imam kuswalisha huku ameshika spika na quran huku yuwaswalisha nyinyi mnafanya mtume hakufanya , mashindano ya musabaka ya quran na kulipa washindi pesa mtume hakufanya nyinyi mawahabi mnafanya , bidaa mzuri mtakazo nyinyi mnafanya lakini wakifanya wengine ni bidaa mbaya vipi nyinyi hamueleweki
@user-zl5mt6lk4n
4 ай бұрын
ndugu yangu yaan unaelekezwa maana hlo jna lkn bado unalirejea? tumuogope Allah
@mansoormannix1753
Жыл бұрын
Wahabi ni wale wanaofuata mafunzo ya Sheikh Muhammad ibn Abdulwahhab. Lakini Sheikh kuna mambo mawili yananitatiza. 1. mbona waislamu timepuuza dua za jamaa? 2. Mbona Masheikh wamepuuza kutamka Bismillahi Rahmani Raheem?
@lidmaulito
Жыл бұрын
Huyu sheikh wakiwahabi akubali kuwa wafuasi wa ibn wahab ni wahabi m.kzitem.infomTF8QWEBFwI
@abuuaisha6110
10 ай бұрын
Hiyo clip ya sheikh ibnu baaz imekatwa tunataka ikiwa full plesae
Пікірлер: 44