Majira ya Mungu yanawakati wake, hakika kuna wakati wa kufurahi, wakati wa huzuni, wakati wa kutafakari matendo makuu ya Mungu na kadhalika. Kwaya ya Mt. Agustino, inakuletea ujumbe huu kupitia wimbo huu. Karibu kuutazama na kuusikiliza. Mungu aendelee kukubariki na kukupa miminio kubwa la baraka na neema.
Негізгі бет MAJIRA YA MUNGU
Пікірлер