Yaani sura za kifisadi zinaonekana tu cheki iyo misura yao JPM oyooooo ❤️🇹🇿🙏
@stn4873
2 жыл бұрын
Hakuna aijuae Kesho, ona Mama Samia kakaa zake hapo hajui kama ndio atakuja kuwa Rais
@ambakisyejeremia4204
2 жыл бұрын
Kwakwer ndg
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Yaani,,,
@MwigaKatumpula-mi3zt
11 ай бұрын
Sio kweli ukisha kuwa makamu wa raisi Tyr lazima uwaze kua raisi at any time kwa Mujibu wa katiba ya nchi
@jedidahbintidaudi8241
Ай бұрын
Ni kweli yaani...
@yusufuheri6524
4 ай бұрын
Eh mungu maisha yana maswali magumu sana
@stn4873
2 жыл бұрын
Mama Samia.😍😍😍
@BBCFintl
8 жыл бұрын
Peaceful, void of pomp...down to earth!
@onesmoasenga266
2 жыл бұрын
Rip jpm
@metrom8009
Жыл бұрын
Ma afisa wa uhamiaji mji funze kuaongelesha vizuri wageni wa afrika Kama nyinyi kwa upendo. Utu ni Jambo muhimu
@yusufuheri6524
2 жыл бұрын
Asante studios
@amanikazinja4855
5 жыл бұрын
"dhana ya hapa kazi tu inakamilika haraka" maono yako yalianza mapema na sasa tunashuhudia yakikamilika kupita ata haraka yenyewe. Mwenyezi mungu azidi kukusimamia,Wana wa Nchi tu nyuma yako
@jumakapilima5674
5 жыл бұрын
Yajayo yanafurahisha,,,,,!
@MatronaThomas-wz5si
Ай бұрын
Mwamba tutakukumbuka mbunifu
@Nufaila442
2 жыл бұрын
Dah
@johnsebastian4868
Ай бұрын
JK mbona alikuwa anacheka kinafiki sana
@pastorrusagarajosephsolo8692
2 жыл бұрын
Yesu alisema, "Niliwachagua ninyi Thenashara na mmoja wenu ni shetani..." Wenye akili ya kupambanua wamenielewa!
@kingwatabata4230
5 жыл бұрын
Naomba tafsiri ya kicheko iki jamani plz🙏
@jamesmgimba4755
2 жыл бұрын
Umeona
@winfordmwangonda5375
2 жыл бұрын
Duuh nimeelewa ,kicheko cha dharau na kebehi
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Yaani, we Acha tu
@user-un5bo6ks1q
2 ай бұрын
Kicheko kina mambo mengi yasiyo salama
@frankfabian543
Ай бұрын
Niwatu wapwani tu ndowaelewa hiki kicheko 😢😢😢😢
@sultanjunior8910
2 жыл бұрын
Hilo limama halifai na mungu amzidishie misukosuko ktk utawala wake
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Wewe unafaa acha kutumia majina ya kiislamu hivi mkitumia majina yenu Kuna ubaya gn au ukitumia hili jina linakuoa nn ktk ushawishi wako wa kijinga .!
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Namkumbuka Antony Diallo Sana kila nikimuangalia sipati picha..!
@modestwenceslaus9
Жыл бұрын
Kwa hiyo wewe ndiyo unafaa,uandishi wako waonekana wewe ni chokoraa na mkora maana huna nidhamu.
@BilaliNuhu
Ай бұрын
Kumbe wewe ni fisadi na husda. Mama anafanya kazi wewe unamuombea misukosuko
@farajastudioandstationery5798
3 жыл бұрын
KIKWETE hafai kabisa kwenye hii Nchi
@Eldiablo_69
2 жыл бұрын
We unaefaa umetuletea nn?
@abi-onlinetv4181
2 жыл бұрын
Si bwege tu huyo.
@ramadhanimtetu7246
Жыл бұрын
sababu si Msukuma kama ww
@hassankurwa464
Жыл бұрын
Naunga mkono hoja Na sijui kwanini yupo
@kallahassan4896
5 жыл бұрын
unacheka chekann?
@farajastudioandstationery5798
3 жыл бұрын
KIKWETE hafai kabisa kwenye hii Nchi
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Mm bado namkumbuka Antony Diallo Sana kila nikimuangalia sipati picha huyu mtu
Пікірлер: 38