Nadhani wali mdhulum kwa sababu ina onyesha vipi hapa wa Zanzibari wanavyo mlilia subhana Allah Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia. Allahumma ameen yaarab. Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun
@zahrahemed9171
3 жыл бұрын
Allah akusamehe makosa yk na ukulaze mahali pema peponi Amin ya rabil alamin
@mohamedmande3958
3 жыл бұрын
رحمه الله
@yahyashaib5116
3 жыл бұрын
Innalilahi waina ilahi Rajiun Allah akupe safari njema tutakukumbuka kwa mengi
@mahfoudhcalender2747
3 жыл бұрын
Maali chaguzi zote alishinda ila hakupewa tu, na ccm wanajua ilo
@aizaksportsfirst6562
3 жыл бұрын
Pumzika maalim daima tutakukumbuka
@lelarubea6405
3 жыл бұрын
Innalillah waina lillah rajiun
@geofreymwaijonga
3 жыл бұрын
😭😭😭 Pumzika kwa amani Maalim Seif Sharif Hamad.
@maryamomar8972
3 жыл бұрын
Inna lilah wainna ilah rajighuna mungu akulaze mahali pema peponi amin amin
@khalidhassan906
3 жыл бұрын
Unauma cn kwa msiba huu duu Allah atufanyie wepes ktk safari yetu ila kusema ukwl inaumaaaaaa inallahi wainnaillah rajiun
@nassirabdy4503
3 жыл бұрын
mutatoa story nyingi za kumuhusu Maalim seif ila ukweli hamutousema
@mohamedmande3958
3 жыл бұрын
Historic
@mohamedsheikh6618
2 жыл бұрын
Ni nani jasiri wa kusema kweli katika wa gombea wote wa ccm walioshindsna na maalim, jee ni kweli hakuwahi kushinda, na kama alishinda hakupewa Leo mnajiskiaje baada ya kumaliza mihula yenu ya ulaji
@mohamedsheikh6618
2 жыл бұрын
Umeongea kwa wasio elewa wataamini hivyo lakini kwa wsnaojua ukweli inakera kupitia maelezo kusema uongo
@briansancedo9336
3 жыл бұрын
Huyu ndie mpigania haki wa kweli, katka siasa, pumzika kwa amani
@mussamc641
3 жыл бұрын
Hahawah kushindwa ila zulma tuu ..na wataenda kujibu mbele ya Allh ..maana najua . Ss nafsi zitawsokota wenyewe ..maana ndo mungu ashamuhitaji ..
@kassimhemed349
3 жыл бұрын
Saf
@MohamedAli-ds8uz
3 жыл бұрын
Ccm hawajawahi mshinda huyo hata sikumoja
@bakariahmadi9645
3 жыл бұрын
Walimdhurimu 2 alishinda chaguzi zoote
@mohammednassor3081
3 жыл бұрын
Madhalim mutamlipa haki yake
@hamidomar7474
3 жыл бұрын
ALISHINDWA KAKWAMBIYA NAN
@chamyluna8030
3 жыл бұрын
Anaogopa kusema ukwel
@wazirhussein3751
3 жыл бұрын
...nenda kwa mzee, mzalendo, jasiri, msomi mwanadrosia...sote niwa mng na kwake tutarudi...
Пікірлер: 25