KILIMANJARO/TANGA: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip
Mpango amewapongeza viongozi wa Wizara ya Maji kwa kusimamia na
kufanikisha vema utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Same -Mwanga - Korogwe.
Makamu wa Rais ametoa pongezi hizo alipokagua Mradi huo na kushuhudia
wananchi wakianza kunufaika na maji yanayotokana na Mradi wa Maji wa
Same - Mwanga - Korogwe ambao umefikia asilimia 95. Aidha ameipongeza Wizara ya Nishati kwa kufanikisha ujenzi wa Kituo cha kupoozea Umeme cha kuhudumia mradi huo.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: instagram.com/....
SpotiLeo: instagram.com/....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: twitter.com/Ha...
Негізгі бет MAKAMU WA RAIS AKAGUA MRADI WA MAJI SAME - MWANGA - KOROGWE
Пікірлер