Mh. Makonda kuna kipindi Fulani miaka michache huko nyuma kuliwa na gumzo lilianzishwa na mtu Fulani hapa nchini, akadai eti hoo! makonda hajasoma, tena akadai kuwa mnatoka Kijiji kimoja na akataja jina lako la kikabila (Bashite) watu walipiga zoga Sana juu ya tuhuma hizo, ila kwa hekima kubwa ulikaa kimyaa huku wengi wakiendelea kupiga soga Hilo baadhi ya wanasiasa wakavalia njuga tuhuma hizo, lakini pia uliendelea Kukaa kimyaa ukipiga kazi kwa bidii. Kwa Lugha nyingine ulikuwa unasema Elimu yangu nitaionyesha kwa Vitendo siyo mdomoni. Ndani ya Mienzi 6 tangu ujitokeze tena kwenye majukwaa ya Siasa na Uongozi umethibitisha tena na tena kwamba Wewe ni Msomi kuliko wote walitokuwa wanakubeza, unastahili kuwa Professor wao. MUNGU AKULINDE NA KUKUFUNGULIA MILANGO YA NEEMA ZOTE KIAFYA, KIAKILI NA KIROHO. MUNGU AKUKINGE NA MAADUI WA MAAENDELEO WOTE, AAAAMINA.
@Werema3760
2 ай бұрын
●Hao ni wamoja washayamaliza UTAELEWA MBELE relax. Miaka 2 tu utaelewa
@OmanOman-dn6dj
2 ай бұрын
Gwajima Alaaniwe kwa haya yote aliyasema yeye tena kanisani kwake
@istambulahmed6664
2 ай бұрын
Elimu sio makaratasi bali ni matendo mazuri ambayo jamii inashuhudia
@user13375
2 ай бұрын
@@OmanOman-dn6djEt askofu 😮😮😮😮
@ProsistaTarimo
2 ай бұрын
Huyu jamaa amewapita hata wanasheria wasomi. Achana na Mungu kabisa amempa hekima kama Ile ya mzee Suleman kwenye maandiko matakatifu . Big up Makonda
@sarahdeograthias9097
2 ай бұрын
Piga spana wazembe wote,Makonda Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaa..gongs like za kutoshaaaaa
@anitarafa
2 ай бұрын
very good job in makonda, I'm from Kenya but I work in Saudi Arabia but I like the work in makonda and Waziri Silaa God bless mama samia.
@JeanMuzaliwa-bs6qh
2 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda very intelligent and smart natamani kukutana naye siku moja jameni mm nimu congo 🇨🇩 ila tanzania mna bahati kufanyikiwa viongozi wazuri wenye sense of humanity si kama sisi uku tunaumia jameni!
@jumaseif1109
2 ай бұрын
Huyu Mwamba yupo vizuri sana naiona Arusha yenye muonekano mpya
@user-ml5tq8hj2x
2 ай бұрын
Yes wanunue material arusha safi sana waungishe watu ameeeeeeen barikiwa makonda
@ebenezermachange-zp4es
2 ай бұрын
Glory to God kwaajili ya mh..Makonda
@laizermaasai6759
2 ай бұрын
Makonda yupo vizury sanaaaaa. Unajali sanaaa wa nyumbani ndo mana hata tunaanza kuona maendeleo Arusha
@user-br7sf6ey9t
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤ aowatoto wanamuwai mweshimiwa walau wapatepo kumgusa kidogo jamani 😂😂 aseee makonda tunakupenda sana adi malaika nao wanakupenda aseee mungu akutunze ufike kwenye kitikikuuu tunaomba ayo nakuamini aminaa
@kanankirannko6174
2 ай бұрын
Kipindi akiwa mkoa Wa Darsalam walikuwa wanamkataa lakini sisi Arusha tulisema tupeni Makonda manake tutaenda speed ya ajabu subirini muone tutakavyopaa
@KelvinAlfred-rc1hq
2 ай бұрын
Makonda anaakili nyingi sana
@abaskhatoon9425
2 ай бұрын
UKITETEA WANYONGE WW ELIMU YAKO NI KUTOKA KWA MUNGU INAHESHIMA KATIKA USO WA DUNIA NA KHERI KATIKA MAISHA YA BAADA YA DUNIA.KAZI IENDELEE.MUNGU YUKO NA WEWE.
@jivitafoundation450
2 ай бұрын
Hongera sana kwa kuona umuhimu kuwashirikisha vijana katika Ajira
@user-xk7vy4gb6g
2 ай бұрын
Hongera sana Mh Makonda Mungu akulinde
@johpixel4108
2 ай бұрын
Hapo kwenye kununua matirio ndani ya area hiyo ni jambo zuri Kwa wengine watanufaika,hongera Mh
@makamehaji8204
2 ай бұрын
Des 2026 kwa wakandarasi wengi very risk wangepaswa wapewe termination ya May 2026 ili wawe na speed mchana usiku
@user-po3qj8gb7e
2 ай бұрын
Ha haa we huyo ni mdogowake magufuli anafuta nyayo bila kukosea hutua hata Moja mzee wa spana nyoosha Arusha usiogope
@israelimarco6465
Ай бұрын
Ni maombi yangu kwako Kila siku ya maisha yangu Mungu akupe nguvu ya kustahili
@user-cw8jv1jm6n
Ай бұрын
Ongela kazi nzuli mungu akulinde
@patricknyiti5303
2 ай бұрын
local content lazima iwepo kwenye huo mkataba
@hamenyayohanakasase5836
2 ай бұрын
Ametumia lugha ya kawaida kabisa kuelezea Local Content, na ameeleweka sana.
@ShebbyMageta
2 ай бұрын
Makonda mwamba kabisa
@SalomeOmbeni-sg9mp
2 ай бұрын
Asante makonda
@nkundechindwa9654
2 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda naomba kukutana na wewe
@SomagroupAfrica-eh8uh
2 ай бұрын
Brother upo very smart
@ashrafkhamis1051
2 ай бұрын
Kazi njema mr makonda 🇹🇿🇰🇪🇺🇬
@OmanOman-dn6dj
2 ай бұрын
Mh Makonda❤
@dicksonmushi8309
2 ай бұрын
Huyu Mzee sio kama mnavofikiri magufuli amefufuka🙏
@aishaomaryyousefomaryloiru1990
2 ай бұрын
Kabisa my dear,amekivaa hicho kiatu cha magufuli
@tahirnephessalum3678
2 ай бұрын
hivi wakuu wa mikoa mingine kazi yao ni nin? safi sana comrade makonda
@KhmsNsr
2 ай бұрын
😂kula dinner na lunch.😂.
@user-tt7de4kt7h
2 ай бұрын
Kweli kabisa,
@PaskaliEdimundi
2 ай бұрын
Hongera kaka unachapa kz sana mkuu
@oswaldmwita1520
2 ай бұрын
Wawape wa zawa kwenye tofali
@bakarithegeoinformatician7406
2 ай бұрын
Kuna mahali wanakimbilia wawape wazawa alafu wazawa wanakuwa na bei kubwa!
@PhilippeKasim-ut5jl
2 ай бұрын
Hakuna anayejua
@josephnemgosi8804
2 ай бұрын
Makonda kemea mafundi wasije tembea na wanafunzi na mama zao wauza chakula hapo
@PeterNassary-qs5ef
Ай бұрын
Mheshimiwa nenda meru shida sana huko mbunge atusaidii chochote
@ramadhanmahongole9293
2 ай бұрын
Uwanja wa mfalme wa morocco dodoma mbona huyo mfe kaingia motoni ukaishia kujenga msikiti tu lkn uwanja kaukimbia
@josephnemgosi8804
2 ай бұрын
Wapangilie mji kama karatu
@frankkitomary3878
Ай бұрын
apo ndugu yangu sio kwamba sipendi wazabuni wa uku ndani shida wako sawaa awana magumashi maana utasikia pesa aikutosha angalieni vizuri kwa jicho la tatu
@josephnemgosi8804
2 ай бұрын
Babla ya ujenzi watu wafidiwe kwanza
@wingracealfred1978
2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa njoo Barbara ya olasiti inajengwa taratibu Sana tunateseka
@hanifamziray277
2 ай бұрын
Hilo neno vijana wapate ajira hata.wizi utapungua
@user-kg9uz2hh1y
2 ай бұрын
contractors, umeme na ujenzi wawe ndani ya Arusha
@mercyzakariah
2 ай бұрын
Rais wetu WA mkoa jembe letu wewe ni zaidi ya dhahabu isio shuka thamani kwetu tz nzima,
@Jemesjoni
2 ай бұрын
Jamen 2026 ngombea ulais makonda
@LowassaPiniel
2 ай бұрын
Mh makonda piga kazi usicheke na wat wazemb kazn hasa hasa watendaji wa kata wa vijiji na madiwan hawajielew at na kukaribish ngaramton mkuu
@RaphaelSamwel-xb3tm
2 ай бұрын
Hchi kiwango kko wp Arusha sehem gan
@frbm1729
Ай бұрын
Ukuu wa mkoa haukufai kabisa!!!! Ulistanili kuwa PM au VP
@PeterNassary-qs5ef
Ай бұрын
mheshimiwa tunakuomba uende meru seeela kuna shule ya secondary wanafunzi wanaaambia wanunue vitabu vya waaalimu
@user-fn6fs8oy5l
2 ай бұрын
Kwani akitoa mikono mfukoni inakuwaje!!?Naamini unyenyekevu ni jambo la busara sana maana wengi hapo Wana umri unaostahili heshima.
@Niika870
2 ай бұрын
Yule mfalme Tapeli kapiga mskiti tu uwanja hakuna hapo😂
@eddechriss2664
2 ай бұрын
Eeeh mnatest baada ya kuweka jiwe la msingi, mlipotuonyesha site sie tukajuwa kila kitu ni approved
@adelametili2283
2 ай бұрын
Makonda wewe ni mtu mwenye UTU sana... Materials zipatikane Arusha kwanza..Nimeipenda hii sentence.. Penda wewe sana..Mungu akutunze..mzee wa spanner 🔧
@user-sj3wf5vz7l
Ай бұрын
Huo uwanja ujengwe haraka. Wachaga tunausubiri tuje kula mwaka mpya 😂😂
@mbolikop6419
2 ай бұрын
Huu uwanja unajengwa sehemu gani ya Arusha?
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
2 ай бұрын
Njiro
@vintz338
2 ай бұрын
Yan udongo kitest ni miez miwili 😂
@modestusndunguru7183
2 ай бұрын
Of course..kutest udongo sio kama...kutest zari mzee... hiyo ni soil science..ambayo Ina hatuna zake na wanachukua sampuli tofauti tofauti hapo 😂😂😂😂... sio malaria hayo. Na kinachojengwa ni uwanja..unamumuisha vitu vingi..a Na soili laxima iwe vizuri kwa usalama wa baadae
@elibarikimollel7149
2 ай бұрын
Ni kampeni iliyonyooka lakini haitusahaulishi maumivu ya miaka 10, katiba mpya na tume huru ni sasa ili wapiga kura tuchague sio watupitishie bila kupingwa!....
@onelovetz7935
2 ай бұрын
Sema tanganyika
@kilogreekachananawatuwasio4054
Ай бұрын
WAWE KWELI RAIS WA ARUSHA VIJANA WA ARUSHA UTAJILI WINJIWINJI MKITULIA😂😂😂
@MohamedMkota
2 ай бұрын
Ni wp unajengwa jmn tuchangamkie fursa
@emanuelmkama1325
2 ай бұрын
Nhix kisongo
@MohamedMkota
2 ай бұрын
@@emanuelmkama1325 kisongo sehemu gn
@emanuelmkama1325
2 ай бұрын
@@MohamedMkota nkisongo Ila sjui nsehem gan
@user-ml5tq8hj2x
2 ай бұрын
Yani la baba makonda wapitie haswaa akili zimelala pita safari city tujenge tuwe karibu na afcon tuwape watu apatment barabara haipitiki safari city na watu wanataka kuanza kujenga tunashindwa
@MohamedMkota
2 ай бұрын
Naomba kuuliza huu. Unajengwa wp
@MohamedMkota
2 ай бұрын
A rusha sehemu gn
@rasnchimbi
2 ай бұрын
Analolazimisha mwishowe vifaa feki visivyo na viwango,bola mradi eti viko Ars,zile chuma hazina ubora wa kudumu!zinaoza haraka.😢
@hamenyayohanakasase5836
2 ай бұрын
Ni heri feki ya nyumbani kuliko feki ya kutoka nje.
Пікірлер: 79