I'm from kenya but really love the way muheshimiwa Makonda doing his work
@kenedyjoseph1044
20 күн бұрын
Katika jina la Yesu kristo aliye hai akulindi na kilahila za mwovo Damu ya Yesu kristo ikulinde na familia yako katka jina la YESUKRITO AMENI
@TitoMbembati
20 күн бұрын
Mama yetu mpendwa Samia tunaomba Kila mkoa upeleke akina makonda Yani Kila mkoa awepo mtu commando kama makonda na afanye KAZI kama hii
@simiongasirigwa6316
15 күн бұрын
Sidhani Kama Kuna mwingine Kama makonda c dhani kabisaaa
@geofkabo7843
10 күн бұрын
Mungu ni wa ajabu sana utakuta makonda mwingine alizaliwa nchi nyingine daa!
@OthmanMsitu-ru9tz
17 күн бұрын
Mzee nakuombea mungu akuhifadhi naasikufanye uishie hapo yani akuandae siku uje kua mkuu wa nchi kabbisa
@deogratiusyudatadei5658
21 күн бұрын
Magufuli alisema nchii inaweza kujiongoza watu wakaongea ujinga Sanaa haya ona Sasa kutoka13m Hadi m 102 kweli rais kila siku yupo angani tu na kukopa kila siku anashidwa kutafuta chakula ndani ya nyumba yake
@donaldmwahalende4841
21 күн бұрын
kweli kabisa
@hajihassan5433
7 күн бұрын
@@donaldmwahalende4841 Sasa Rais afanyeje kwa mfano. Kila Mkoa kateuwa Mkuu wa Mkoa, Wilaya, Mkurugenzi wa Halmashauri, Wabunge, Madiwani, Viongozi wa Serikali za Mitaa.
CCM ROHO ZAO M'BAYA HAWATAKI MTU ANAETENDEA HAKI WANANCHI HIVYO BAC AANZISHE CHAMA CHAKE TUTAMUUNGA MKONO DUNIA ITASHUHUDIA
@user-gn8ny8yw3u
17 күн бұрын
Hta Mimi
@Commentsplus
17 күн бұрын
🔐
@benither.richard5704
6 күн бұрын
Hata mimi
@elit0vagonze560
4 күн бұрын
Namimi pia
@bonaventuramesai1508
21 күн бұрын
Mwenyekiti apewe ulinzi huyo tayari maisha yake yako hatarini.
@geofkabo7843
10 күн бұрын
Nauona urais juu yako ila mungu azidi kukulinda na akufanye unyenyekee mbele zake. Naona unaupiga mwing kuliko dada. JOHN. alitaka hii kazi uifanye co uwe mbunge
@machujamathias7165
22 күн бұрын
Mwenyezi MUNGU akupe uhai, kumbee Kuna upigaji mkubwa hivi serikalini
@user-nx7qv1hg2e
22 күн бұрын
Asante mungu umetuletea maguful mupyaaaa mungu akutunze mh makonda
Yaani kwamba binadamu akisha pata tu kanafasi bora basi anajiona yeye ndio top na anasahau kuwa mungu yupo. Yaani wanakua wanyanyazaji kweli jambo ambalo ata mungu aipendi. Na ndio maan mungu anafikia sehemu anateuwa wakombozi kama wakina magu na wakina makonda e mungu tusaidie daima
@rithamatiko4952
12 күн бұрын
Wakiwepo viongozi 20 km Mh Makonda Hakika nchi itakuwa vizuri itakaa vizuri kero za wanainchi ziapungua sana ,Hakika mama Yuko juu ,hongera Mama yetu unajua kupanga safu ya viongozi
@franciskajessy4468
20 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akusimamie Mh Makonda,big up
@user-gx4gt2pe4w
22 күн бұрын
Mh makonda piga kazi na huyo mzee mpatie ajira baba anaeleza vema sanah na ni jasiri
@TitoMbembati
20 күн бұрын
Tangu sasa Nita kuombea sana mkono WA Mungu uwe pamoja nawe daima
@PASCHALCHARLES-dc1yd
16 күн бұрын
NACHO AMINI WAKUU WA MIKOA WAKIWA KAMA MAKONDA MIKOA YOTE, KIUKWELI NCHI YETU INAPIGA HATUA KUBWA SANA MAPEMA TU.
@silaskapala262
16 күн бұрын
Unafanyakazi nzuri sana kiongozi respect kwako poul makonda God bless you,, silaskapala from S.A cape Town
@MaoSantiago-kz6hy
12 күн бұрын
Angalia uzembe huo hii nchi Ina wezi na wazembe kibao jamani viongozi wetu muogopeni mungu cjui viongozi Kama makonda watapatikana vp
@geofkabo7843
10 күн бұрын
Kilichomundoa mwenda zake na kukosa hata dondoo kwa majilan yaan wapinzan nnje ya chama ni kuwazib na plaster wapinzan. Makonda mungu akupe ufaham uishi vizur na majilan mungu akulinde
@RoseNzyungu
18 күн бұрын
Asante sana mama Samia Kwa kumwona huyu mtoto wa mpendwa wetu Mh. Magufuli ukamtumia huyu ni jembe pia Ni Musa atatuvusha waibue wengine kama Makonda maana wapo wanaoumia na nchi hii kutetea wanyonge.
@ezekielgenja3912
18 күн бұрын
Makonda kazi njema kaka, watanzania tuhurumiane sote hii nchi ni yetu na rasimali ni zetu. Hawa majizi wanaiangamiza jamii yetu na kuifanya kuishi maisha magumu kweli kweli.
@MariaDaniel-dr4js
22 күн бұрын
Loo we mako🎉nda hebu gombea urais maana we n jembe Kama magufuli
@PauloMhagama-ld8xq
20 күн бұрын
Mwache Paul afanye kazi alipewa na mama yetu🌺🥀🌸🌷
@serahmohamed6513
7 күн бұрын
Hongera sana mheshimiwa Makonda na naomba Mungu akuhifadhi daima.
@martinakyoo148
9 күн бұрын
Hii nchi inapigwa!!! Dah!!,mil 13 hadi mil 100 kwa mwezi kwenye kaeneo tu ka mkoa je mikoa yote?,kuna haja gani basi ya kukopa nje?. Mh Makonda hongera sana na Mungu akulinde,M/kiti awekewe ulinzi jmn anawaumbua majizi ya fedha za wananchi.
@RazakiMstafa
17 күн бұрын
Huyo mwenyekiti Yuko vizur Tanzania kungekuwa na wenyekiti Kama yeye wananch tungekuwa tuna Amani
@OthmanMsitu-ru9tz
17 күн бұрын
mungu akuhifadhi mzee hii nchi ije kua chini yako itanyooka
@mnyongeiddi2454
22 күн бұрын
Hizi kazi za kupeana ni hatari sana yaani MTU hata kujieleza hawezi 😄😄
@rahabnkya8276
18 күн бұрын
Inapendeza sana, maswali kama hayo ili mwenye akili ya hesabu akae mkao mzuri kusaidia vyama vya msingi rasmumi vilivyoko MUNGU akubariki sana MH MAKONDA RC, Ars. Baaba!
@tresphorymvulla363
Күн бұрын
Mheshimiwa mkuu wa mkoa Makonda Mungu akupe nguvu uendelee kupambana na maadui wote!
@bahativellomugisha-lr5ri
21 күн бұрын
Kura yangu Kwa makonda nitarudi kutoka Uganda
@hafsasuleimanp1226
19 күн бұрын
Kweli kakaa makonda anaupiga mwingi xanaa
@user-jm3ub6kj1j
20 күн бұрын
Makonda unafaa kuwa Wziri mkuu ukiwa Waziri mkuu usipunguze spidiiiii songa mbele Kwa Damu ya Yesu utakuwa
Hivi wakuu wote wa mikoa wafuate kama Jembe Makonda Tz itakuwa kama Usa
@chandeyusufu9570
19 күн бұрын
Kwanini watu kama hawa wasiende jela iwe fundisho. Kwa wengine
@Renatus-fk5lr
18 күн бұрын
Mh makonda sichoki na kuona kama magufuli mungu akusaidie hata urais gombea wanyonge tukupigia kula matajili najuwa watakupinga lakini masikini niwengi
@fred000peter
20 күн бұрын
Huyu anafaa kuchaguriwa kuongoza taifa🇹🇿
@mossesezekiel7862
20 күн бұрын
MUNGU akulinde mweshimiwa Mkuu wa mkoa!!! Piga kazi Baba MUNGU muumba mbingu na nchi akulinde
@khalidally3588
20 күн бұрын
Aibu kubwa sana viongozi hawajuwi hata kazi yao hapo kuna wizi mtupu
@MatronaThomas-wz5si
18 күн бұрын
Kazi za Polisi Takukuru Mahakama wape
@MaryWuantet
7 күн бұрын
Am from kenya lakini jamani mungu wa Israeli akulinde daima ..
@sospeteralex378
18 күн бұрын
Wasukuma huwa ni watu wema sana na wamenyooka sana mambo yao
@kelyne861
22 күн бұрын
Aah kumbe hata barabara zetu za mitaa zinatakiwa ziwe za rami au zenge, Kaka makonda nakuelewa hawa jamaa wanatuibia ulaya lami ustani za maua kila maharishi kumbe inawezekanaaaaa😮😮😮
@chandeyusufu9570
19 күн бұрын
Wezi haoooo kimbiza
@user-wm4nd3dk1t
20 күн бұрын
Mueshimiwa mkuu wa mkoa uyo ndugu mwenyekitu anakufaa kwenye kazi yako mtu wamaana sana
@chandeyusufu9570
19 күн бұрын
Siwapendi wezi
@NGAMBAKIMTEI
20 күн бұрын
Ni kweli Mheshimu Makonda Spana Spana !!! Tenda Haki Haki Ee Mwenye Mungu akulinde na akubariki.
@LenardDaudi
20 күн бұрын
ukitoka Arusha njoooooo mkowa wapwani
@user-uk9qi7ll7s
20 күн бұрын
Kwakwel mungu akutunze unanikumbusha Baba magu daar
@liverpoolfootballclub9985
21 күн бұрын
Twende kazi the magufuli style
@user-ij2pp9xx9w
20 күн бұрын
Mheshimiwa mungu akulinde sana
@paulmulupi1432
18 күн бұрын
Makonda am from Kenya but he can become the president of Tanzania he understands the people problem now that's the leader born natural not inheritance
@mussabuhe8881
20 күн бұрын
Mimi nahisi wengine sio watanzania
@Elias-gy8qu
12 күн бұрын
Akiamungu kumbe mungu yupo na afanya kazi yake kwa wakati atakama atachelewa lakini kazi atafanya kwann nasema ivyo sababu wametuondolewa baba wetu wa taifa lakin mungu kateuwa mmbadala kwa mukoa tu, na bado ata rais kama mugu atatuletea tu atakama sio makonda atapatikana tu mwingine asaidiane na mueshimiwa wetu makonda. Na mungu ataximama na wao kidete
@sosmakanya4901
22 күн бұрын
Fanyeni kazi kwa uweledi mtakuja kufa kwa presha, MIKOA mingine hamjui siku wala tarehe ni lini atakuja hebu Jiandaeni kungali mapema,
@section8ight174
22 күн бұрын
Lol facts!!
@adelinelyaruu3036
22 күн бұрын
Mheshimiwa apewe fursa ya kuongoza mikoa mingine on "rotational basis"
@DieuodonneNtizoyimana
2 күн бұрын
Ww makonda mungu agupe kuukumu inci Uwe president
@MaduhuMhuli
20 күн бұрын
Pga supana kamanda
@stanleyfocas8250
21 күн бұрын
Ase makonda apitishwe kila mkoa asaidie waitaji maana sio kwa uchafu huu
@busangivideo1129
9 күн бұрын
Uko vizuri kiongozi
@AbdallahSadock-r7i
6 күн бұрын
Makonda asante mzee pia ww nikijana wamaguful haya unayoyafanya kama niuzalendo wakwel kutoka moyoni ww nishujaa watz naafrica mung akutangulie
@RASHIDIALLY-ew3ww
9 күн бұрын
Makonda nakukubali sana piga kazi wanyooshe 😀😀😀
@wisdomMojaHalisi
20 күн бұрын
MUUMBA WA VYOTEE NA YOTE AKULINDE UMILELE WOTE
@elit0vagonze560
4 күн бұрын
Kwakweli nampenda.Makonda . ASANTE sana Rais Kwa kumpa Makonda nafasi hii
@EmanuelHosea-mo5bm
9 күн бұрын
MUNGU akulinde RC MAKONDA maana kazi unayoifanya Ni ngumu Sana na inagusa maisha ya watu.
@noorululaatv8973
21 күн бұрын
HII INCHI INA MADUDU MENGI SANA TENA NI KILA MKOA ILA WAKUU WA MIKOA MENGINE WAMEKAA OFISINI TU
@songeza
21 күн бұрын
Sipana ikaze Buti makonda hoyeeeee daaah haki a Mungu walai
@hajihassan5433
22 күн бұрын
Mwenyekiti wa Kijiji mitano tena.
@DEBORAHMASANJA-yz3go
20 күн бұрын
Mungu amlinde na kumtunza
@edsonmwanyika4416
20 күн бұрын
awamu hii mtanyooka
@stephanorubondo
3 күн бұрын
ukweli mheshimiwa inafaa kuchukua kijiti cha mzee wewe unafaa, unawafaa watanzania. usihofu amua inawezekana Mwamini Mungu piga kazi.
@Deograsias
9 күн бұрын
Wewe ni mwamba tunakuombea kwa MUNGU azidi kukubariki
@HaniphaIssa-md4mb
6 күн бұрын
Mungu azidi kukulinda hakika upo vizuri
@user-rs9nb1ez3r
12 күн бұрын
Mpe maua yake huyo mwenyekiti mkuuu wamkoa yukovizuri sanaaaaa
@yaceenmohamed858
22 күн бұрын
Big up makonda
@sudymohamedy9717
13 күн бұрын
Mwenyekiti anajitambua sana
@elikanaernesti8440
18 күн бұрын
Kumbe hela zipo Kama kiongoz mkuu wa inchi afanye Kama makonda tusinge kopa
@PeterChonya-ju8oo
18 күн бұрын
Make changes ma brother for what you are doing for our nation
@eliasLaizar-gv4fe
22 күн бұрын
mweshimiwa makonda tunaomba uje meru
@JosephuSwai
22 күн бұрын
Hao ni watu wa ccm ndio shida
@joscamwoshezi2986
22 күн бұрын
Swala sio watu wa ccm,hiyo ni tabia ya mtu binafsi chama hakiusiku
@pastormichaelkayombopendec2497
20 күн бұрын
Mimi si mwanasiasa lkn kwa makonda ameubariki moyo wangu
makonda uko vizuri sn naomba tu. hatama kama miezi mitatu tu uje kimanjoro mafisadi ni wengi mno kam rombo tarafa ya ussri tunateseka sn juu maafisa wa polisi kutunyanya juu pikipiki ili Hali kuna matajiri wengi wanamiliki pikipiki za mwizi kutoka inji jirani lakini hashikwi. hawashikwi juu wanasuirikiana na TRA kusajili pikipiki hiso lakini wananji wanao miliki pikipi halali washikwa kuambiwa serekali hai makaratasi ili ha wanao miliki siso halali wanalindwa na na maafisa wa polisi unaishia wapi kama rombo yetu tunayo ijifunia tulilie nani
@section8ight174
22 күн бұрын
Inji - Nchi*
@norbertharumukiza6574
19 күн бұрын
Huyu ni next president, mimi si Mtzd, ila natamani siku moja tupate kiongozi bora kama huu kwenye inchi yangu. Tzd muko na viongizi bola kbs
@user-sw7tf1ob1b
22 күн бұрын
Huyo mkulugenzi atafute kazi nyingine
@section8ight174
22 күн бұрын
MkuRugenzi*
@PeterMalunde-pn4rf
22 күн бұрын
Nakweli unatisha hata siku moja hawakushindi
@JohnMashamba
17 күн бұрын
Ubarikiwe mhes Makonda
@charlessentiyongo8484
10 күн бұрын
Sarut kwako mkuu wa mkoa wa Arusha, ungekuwa uko mbeya binafsi ningefurahi sana, na nakuombea siku moja uteuliwe uwe mkuu wa mkoa wa Mbeya
@mangashajunior242
22 күн бұрын
Kwa hili gombea urais 2030 tutakupa...
@yassindeffu88
21 күн бұрын
Huko mbali sana 2025 au unasemaje
@user-wm4nd3dk1t
20 күн бұрын
Mkuu wa mkoa piga chini ao mafisadi
@AsanteRashidi
21 күн бұрын
Mungu akuzidishie uksili
@silaskapala262
16 күн бұрын
😂😂😂😂 Angalia kiongozi wangu bongu sio kuzuri unatenda haki lakini binadamu awaoni utaenda kama rais wetu magufuri iyo inch imejaa na mambo mengi na yanaongonzwa na viongozi wenyewe ukisema utende aki watakuchukia nawatafanya mambo ya ajabu tunakupenda na tunapenda huongozi wako poul makonda ❤🎉
Пікірлер: 249