Makonda na Magufuli ni kitu moja. Nawapee heshima sana ❤
@devaxtz
Ай бұрын
Makondaaaa ni kiongozi mzr sana ipo siku atakuja kuiongoza hii nchi hata kama watamtoa kwenye uongozi ila siku akiwania uongozi wa ngazi ya juu kamaraisi atapata wafuasi wengi sana 🎉🎉🎉
@EmanuelMinja-fv9dn
22 күн бұрын
Na MUNGU mkubwa atasaidia tu huyu Ni mtu na nusu
@joelyngomuo7441
Ай бұрын
Mungu akulinde kaka yangu makonda ww Ni kiongozi Bora sana
@ivonaevarista4654
Ай бұрын
Utukufu kwa Bwana Yesu kwakweli Mungu umlinde mtumishi wako makonda
@kwontec
Ай бұрын
Kwa ukweli Mwenyezi Mungu amulinde
@sarahpendo515
Ай бұрын
Mungu akutetee kila kukicha baba usichoke kutetea watu wa Kiwango cha chini🙏🙏
@OmaryLupange-yd3cw
Ай бұрын
❤❤ unanipaa Raha sana Paul makondaa. Nakupendaa buree.. 🎉
@user-bv1ns3cf2r
Ай бұрын
Jamani Makonda Kila unapopelekwa unafanya zaidi. Unastahili kupewa nafasi kubwa zaidi siyo ngazi ya mkoa mmoja tu. If not a president kuwa waziri mkuu
@anoldamkumba3208
Ай бұрын
Chapa kazi,Wanafiki wakae pembeni.Makonda ni mti wenye matunda Mungu amlinde
@mgosimkome9242
Ай бұрын
Daaa Mh Makonda Mungu akulinde, Yaani hawa watu wa Halmshauri wakija wanajifanya sheria sheria utasikia funga duka au biashara zako sasa unafunga duka au biashara muda huo huo unataka mtu alipe, ila wezi wa pesa Wao wanapewa muda au kurudisha pesa. Nchi hii jmn
@oscarmisiru9725
Ай бұрын
Kitenge ubaya wa Makonda uko wapi!!!
@gbbuku4714
Ай бұрын
Namtaka Mganga wa Makonda kama ni huyuhuyu Mungu wacha niendelee kulia nae
@israelimarco6465
Ай бұрын
karibu sana makanisa Yako wazi
@Joshuayusuphmahonge
Ай бұрын
Hongela makonda unachapa KAZI ilio tukuka mungu akulinde na maadui wote
@hawaelymaricca7602
Ай бұрын
Mtasema safari hii safi sana mama yangu mh Rais kwa kumpeleka makonda Arusha
@leokamil6284
Ай бұрын
Wanasahau ugonjwa ni chama chakavu cha kusifiana na walevi wa madaraka. Tufanyeje watanzania?
@MalickSaid-qv9qd
Ай бұрын
Piga kazi kaka wewe ndio tumaini tunaomba mungu uwe rahisi kaka
@mnyongeiddi2454
Ай бұрын
Harafu MTU anasema makonda anawanyanyasa kijinsia kumbe watu wenyewe hawajielewi hawajui hatawanafanya Nini 😄
@mgosimkome9242
Ай бұрын
Hawa watu wanalindana wakubwa hawaguswi kibisaa Ila sasa mtu mdogo wanakupeleka mbioo
@leokamil6284
Ай бұрын
@@mgosimkome9242Yaani ni viongozi wengi wameoza huwezi kukata vijani ukaacha mizizi .
@Sumaiyafisoo
Ай бұрын
Hongera 🎉🎉🎉🎉wasiokuèlewa hao wezi
@alexanderdustan8872
Ай бұрын
I, strongly stand with you Makonda
@user-yp1od2pp5c
Ай бұрын
Bando langu litaisha kwaajili ya kumfatilia huyu Jamaa
@user-ze6lx9ng6s
Ай бұрын
Makonda piga kazi,hawa wa haki za binadamu ndiyo wametuletea ushoga nchi hii, wameharibu mila za nchi hii
@allydamas3832
Ай бұрын
True leader Mungu akulinde sana na akuweke makonda
@mothedon202
Ай бұрын
Mamma Samia and Prime minister Majaliwa are not true leaders because they don't act like this WHY!!! BECAUSE THEY FOLLOW PROTOCOLS dispite occupied highest office in the country let that sink in.
@polloz77
Ай бұрын
Very funny Bongo bongo mmm ni hatari Makonda fanya kazi msadiye mama Samia kusaficha watu wasyo kuwa wahaminifu
@marianmartin7483
Ай бұрын
Makonda ni kiongozi mzuri sana, anawatetea wanyonge, mwenyezi Mungu akupe heri. Siku moja utakaa pale juu.
@pastorchristiansaley2656
Ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu damu ya yesu kristo ikufunike
@drgeraldcubwa481
Ай бұрын
Makonda for presidency 2030,au 2040!!
@rahmarama5669
Ай бұрын
Sema usiogope semaaaaaaaa sisi Tunakuombeaaa Tupo Nyuma Yako Mungu wa Mbinguni Akuzingire Kwa Damu Ya Yesu au na hyu ni miongoniii
@agnesslaizer3966
Ай бұрын
Mkuu wa mkoa hongera sana kwa kazi nzuri hakika mungu atakukumbuka kwa kuwatetea wanyonge kidumu chama cha mapinduzi
@user-ji1mq4sk1n
Ай бұрын
Mungu anaona
@albertbunyinyiga7581
Ай бұрын
Ndiye Mkuu wa Mkoa Bora Kwa sasa wakuu wa Mkoa jifunzeni Kwa huyu
@sospetermigera685
Ай бұрын
Msijesema akasema vibaya DED. MAKONDA is going the great job
@Esterkomba-ef7eb
Ай бұрын
Hongera sana makonda
@MsafiriSaid-wk4ny
Ай бұрын
Mungu akubariki sana mkuu wangu wa mkoa unafanyika baraka sana kwangu
@samwelnevele7796
Ай бұрын
Chapa kazi kaka hongera sana
@youngdevismsodock
Ай бұрын
Makonda miaka buku 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@valenakomba7686
Ай бұрын
Naona walipeana tuu..hata yeye huyo mkurugenzi anagungu lake hapo. Ndo maana wamepewa mda.
@leokamil6284
Ай бұрын
System yote hovyo huwa wanagawana kuanzia juu mpaka chini
@user-eu6ql9zl7n
Ай бұрын
Umeona eeeeee
@leokamil6284
Ай бұрын
@@user-eu6ql9zl7n Na huyu hiyo mikusanyiko ni kujitengenezea umaarufu tu kwa wasio na upeo.Fedha huanzia rushwa toka kwa makambale ila yeye hao hawathubutu analeta maigizo na vidagaa kupumbazana tu na kufanya watu wasifanye kazi kujaa kuskiliza miujiza ya chama tawala
@SuleAmber-lw2tx
Ай бұрын
Hv bila Makonda haya tungeyajua vp sasa Viva Makonda
@hawaelymaricca7602
Ай бұрын
Haya sasa sh ml 52 mmekula pesa za umma ndo maana mijitu inajitokeza kumchukia makonda, nasema jiandaeni safari hii hadi mseme.rudisheni hiyo pesa mapema. mtasema tuu
@esthermwikali5403
Ай бұрын
Makonda sijawai kuona mtu mzuli sana watu wote wangekua kama yy atunge pata shida
@HussainMaula-wr5co
Ай бұрын
Mungu akulinde muheshimiwa na macho ya hasad
@KhamisNahodah
Ай бұрын
Tunakuombea mungu akuwezeshe na akulinde wewe nikioo kwa wengine
@golebenson4597
Ай бұрын
Tanzania mkuu wa mkoa ni mmoja kama alivyo makonda🎉🎉🎉🎉
@rugijofrey3685
Ай бұрын
Ni kweli inauma sana kama nchi kua tunapoteza fedha za umma kizembe, ila tusichekelee kwa Kila tunachokiona ni muhimu sana kuheshimu binadamu wengine kwa namna yoyote Ile, na Sheria ziliwekwa kwasbabu yakubalance maamuzi yangu Mimi na wewe na mwingine!
@user-wb8zd3oi6f
Ай бұрын
Maua yako mkuu wa mkoa wa Arusha
@profs.a5412
Ай бұрын
Wew ndio kiongoz Sasa , umezaliwa upyaa;!😂
@Kidd11168
Ай бұрын
Bw Makonda ndio hali yenywe hio, wezi, mizigo, na madudu ya wahudumu WA idara za serikali yetu hao. Tutapona kweli, Sisi wananchi??????? Mungu tusaidie, na pia akulinde wewe mwenyewe.
@allyabdul7569
Ай бұрын
Mi binaries nakuombea dua iliyo njema kwa mungu uzidi kufanya kaz daima , mungu akulinde.
@meshackmwangiministries.1748
Ай бұрын
Kiongozi bora ni huyu sasa MAKONDA OYEEE
@HemedMnyambwa
Ай бұрын
Hicho kicheko kaa nayo mbalii Ila sheria ndo haikuruhusu mzee baba Lati ingekuwa inakuruhusu huyuu mama n wakutwanga risasi hapoo hapo
@user-sj9ob8vb3s
Ай бұрын
hakika tuna kuombea kwa mungu akupe afya njema kiongozi kwa kazi unazo fanya
@shaabanramadhan2045
Ай бұрын
Piga kazi kazi mdogo wangu Mungu yu pamoja nawe hakika utashimda ukiwapigania wanyonge
@user-uw1fs5mj9l
Ай бұрын
Nduki wametimka ,hakuna hata mmoja
@GreysonMheni-ln9rm
Ай бұрын
Daah nchi hii ina viongozi wa ajabu kiukweli,yaan hata huamini watu wamesoma kuiba au kutumikia wananchi 😂😂😂
@SayyidAhmadBaalawy
Ай бұрын
Mpaka sasa hana kazi huyo akwende nyumbani akaanze kulima ama nikitendekeza akidhani utamuhurumia.....18 hatoki huyu! Mbele ya makonda hana msamaha kamwe yeye ni muhusika wa kwanza wa hiyo kanda yao ya wizi
@sumaidgasto4721
Ай бұрын
Yaani mtu wa hivi akiuawa au hata akifa kwa mpango wa Mungu jamii yote inamlilia. Mkurugenzi anajikanyaga tu mambo ya kuakaa na kuongea juu makosa ya jinai.
@PhilipoMwita-wc1ku
Ай бұрын
Mm naona makonda amefanya arusha kua nchi halafu yeye ni rais wa nchi hiyo Hii nchi inataka mtu kama makonda..sio mama yake abduli
@MosesMwakasefula
Ай бұрын
Anzisha chama aiseee,tuko wengi sana tunakuelewa, hofu yangu uko kwenye tenga la vilivyooza utanuka waalaaah.
@hawaelymaricca7602
Ай бұрын
Na mikoa mingine mjifunze kama makonda jamani wananchi wanateseka sana na wez ni wengi kila sekta
@wamburasungura6812
Ай бұрын
Huyu mama mwizi sana yaani mwizi sana
@leokamil6284
Ай бұрын
Usimlaumu yeye wengi wanarithi muozo ni system almost yote ya wakusifia sifia hovyo
@sylvanjosam3402
Ай бұрын
Makonda hana utofauti na J P M Mungu akulinde tunakhitaj uwe rais🎉
@fikirimwakibibi9383
Ай бұрын
Mungu akulinde Sana Makonda
@yusufsong7993
Ай бұрын
Na uyu tumuite ofisini tumuelekeze tukiwasema oooo uzalishaji kuna kina mama wanafki sana
@martinabayyo9982
Ай бұрын
Wale ni wanafiki tu na ni wezi wazoefu so waliona makonda atawadhalilisha na wao wanamnyamazisha lkn hili jembe ni hatari kawajibu vzr Hadi wamekaa kmy
@magnusnkomola5950
Ай бұрын
Huko ni kulindana kwani Hilo ni KOSA la jinai au? Basi iwe haki kwa wote. Mwizi ni mwizi tuu
@PauloLeonard-ol5oo
Ай бұрын
Kumbe wezi wa serikali ni wafanya kazi wa serikali ndo nastuka.
@mathahosea6783
Ай бұрын
Wakomalie hao wanatabia ya kubebana hyo mkurugenzi apelekwe kituoni ataeleza vzri usikute hata na yy yumo..
@mohamedykabwanga1647
Ай бұрын
Ipo siku utamuelewa makonda kidogo kidogo
@israelimarco6465
Ай бұрын
hakika Roho ya suleman nabii wa Mungu
@AmneAlRiyami-zp4ri
Ай бұрын
Makonda oyeeeee oyeeeeee unapambanaaaa piga kaziiiiii mungu akuweke
@NimahNchina
Ай бұрын
Mweshimiwa mwenyekiti hahaha😂😂😂😂😂
@lovestudiotz9084
Ай бұрын
Makonda juu
@ponsianomnyaru9140
Ай бұрын
Mama samia hii nchi haiwez
@timothymoshi5800
Ай бұрын
Mwizi mkubwa anapewa muda wa kurejesha hela aliyoiba. MUNGU tuhurumie.
@robertzingu9889
Ай бұрын
Mtu kaiba halafu unasemaje atachukuliwa hatua za kinidhamu? Si akamatwe na kufunguliwa kesi ya jinai ya wizi ili wakalipie huko mahakamani? Huyu Mkurugenzi, Hapana labda na yeye ni sehemu ya wizi huo?
@EnockMgaya-jm8hu
Ай бұрын
Ahhh kiukweli ameyakanyaga huyo
@user-rt7vz3oq8r
Ай бұрын
Huyo mama akamatwe awekwe ndani
@daudiniyonsaba1113
Ай бұрын
Magufuli tutakukumbuka baba. Angalia wanavyochezea mali ya ummah, mijizi mikubwa na serikali haina nguvu. Makonda for president.
@gladistaemanueliy6336
Ай бұрын
Awamu hii mtatapika pesa za serikali itatoka kwa sehemu yoyote ya wezi, fisi nyie makonda fukuza wote
@valenakomba7686
Ай бұрын
HII NI TANZANIA. WAKUBWA WAKIIBA WANAHAKI NA WANAHESHIMIWA. LAKINI WATOTO WETU SISI NDO WAKUPIGWA MAWE NA KUWEKWA JELA. YAANI NI WEZIWASITARAABU. TANZANIAN HIII. MUNGU AWALAAANI KWA KWELI.
@DavidJosia
Ай бұрын
MWESHIMIWA RAISI HIZI SHERIA ZA MWIZI ZILEKEBISHWE MWIZI WA PESA ZA UMMA AHUKUMIWE KIFO
@jahululamasunga
Ай бұрын
Hao walibebwa bila sifa utachoka RC
@vumiliaangomwile4076
Ай бұрын
Good Malinda!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!¡!!!!!!!!!!
@CharlesMasanja
Ай бұрын
Hiyo operation ingefanyika kila Wilaya. Bado tuna safari ndefu kuweka nidhamu katika utumishi wa umma hapa nchini. Kuna matatizo sugu mawili kwa watumishi wa umma. La kwanza ni wizi wa mali za umma, la pili ni Umungu mtu (zero customer care) utumishi wa umma wanauchukulia kama hisani, na siyo wajibu kwa wananchi.
@user-hj8sc7jv5m
Ай бұрын
Huyo mama nae ni mwizi huwezi kutetea mwizi kama wewe sio mwizi
@gladistaemanueliy6336
Ай бұрын
Mailid kitenge funga mdomo mwache makonda wetu
@VivianRashid-ek7vl
Ай бұрын
Uko sawa kaka
@allydamas3832
Ай бұрын
MUNGU MFANYE HUYU BABA SIKU MOJA AWE RAIS WA NCHI HIII
@rehemakiula
Ай бұрын
Wasikudanganye chapa kazi mheshimiwa
@wesleyrono658
Ай бұрын
🎉
@ntangiregemfuruki5478
Ай бұрын
MH MWANANGU MAKONDA.WATAKUZEHESHA.ILA MUNGU AKUPE NGUVU ZAZIYADA
@golebenson4597
Ай бұрын
Huyu mama kashirikiana na wezi kauli zake sio nzuri
@Esterkomba-ef7eb
Ай бұрын
Mwizi unampa muda aibu sanaaaaa
@johnmwambasi2299
Ай бұрын
Hapo nimegundua kuna education gap
@LusekeloMwaipopo-rm1uc
Ай бұрын
Kaka nakuombea ufike mbali mungu akuongoze
@RobartShello-qj4vr
Ай бұрын
Hivi wewe makonda ni mbegu ya magufuli au Nini? Nitoshe tu kusema mungu amulinde Sana Tanzania bado inanafasi Tena kupata kiongozi Bora na mwenye hofu ya mungu
@user-ut8po7nt6o
Ай бұрын
Wewe mama ni mwizi
@barakanjagila6305
Ай бұрын
nikweli muheshimiwa hi uku nilipo wanakuja migambo na kukamata watu kuwapekeka office za halimashauli na kuwaiga faini tena bila kontronamba za hapo hapo kwa vitisho vikubwa.
@RamsoEdward
Ай бұрын
Makond ukitoka alusha mama yetu samia. Akulete katavi mheshimiwa
@HashimuAbubakar-ej8gc
Ай бұрын
Nikimuona makonda namuona magufuli
@MusaOgwoko
Ай бұрын
Huyu mama hanayumba sana na maswali ya makonda
@simonmartin5358
Ай бұрын
Yan Tanzania inaongozwa na mataahila japo sio wote mfano hili kurugnzi
@severianchebile8688
Ай бұрын
Sina la kusema zaidi ya kukuombea paulo makonda ww ni mtume wa kweli ndani ya nchi ya Tanzania japo watanzania kulijua ni vigumu sana ila ujumbe unawafikia wote
@gabrielzakaria2810
Ай бұрын
We makonda mung akubark
@estakapufi7582
Ай бұрын
Huyu mama ukimuangalia tu kuhusu hizo pesa zilizopotea hata yeye yupo kabisaaa wanakuwaga wanagawana halafu wanazibiana huwa wanakopeshana hao viongozi wanafanya miradi yao binafsi.
@kasongoIDDi-mx7gz
Ай бұрын
Wanataka haki wanazaririshwa wanachangia wizi saizi Wanawake wanatumiwa na mwanaume kuiba ili aseme wanazaririshwa
Пікірлер: 220