👈Naomba kwa yeyote alie na moyo wa upendo na kujali kazi ya Mungu 'naomba aguse picha yangu ili kusikiliza nyimbo za injli.naomba usihau ku subscribe na ku shere kwa wengine asante na Mungu awabariki 🙏🙏🙏
@loyceoduki1180
4 жыл бұрын
thanks pastor kwa mafundisho mema nakuskiza nikiwa 254 nairobi shukran sana
@jonasamuri8454
4 жыл бұрын
Asante sana mchungaji wangu... Mimi nakubali sana mafundisho yako.. Naitwa Jona Niko Nairobi kawagware.... Kwasababu ya mafundisho yako namimi nahitwa mwinjilisti wakanisa langu ninayo shiriki hapa...
@kahindoheritier4688
4 жыл бұрын
Tunashukuru pastor kwa mafundisho ma zuri saaana
@helpinggames8726
4 жыл бұрын
Thanks pastor
@nizigamabosco2095
4 жыл бұрын
Nashukuru san god bless you
@emmanuelbethord4951
4 жыл бұрын
Asante San pastor🙏🙏🙏
@fabianlucas3594
4 жыл бұрын
Ahsantee pastor kwa busara zako na maono unayotueleza vijana. Nimekuelewa sana swala la kuwekeza. Mungu akubariki sana.
@numbeshabani9981
4 жыл бұрын
Amin mchungaji
@salomemukani1627
4 жыл бұрын
Nikweli kabisa sio vizuri kuka2 chini ukingojea bwanako kwa kila kitu hadi kiberiti na pia kuna wana ume wengine awapendi bibi kufanya kazi . Akae2 kwa nyumba . Hogera muchungaji. Haya mambo yote nime yaona kuna siku nime pata kijana yangu mdogo2 wakat huo. Ame toa Redio yangu kubwa2 ameka kwa mulango ametoanisha yote nika kasirika sana nika muliza mbona umetoanisha redio ivio. Alisema alikua anataka kuona wa2 wenye wana sungumza mule ndani.. ndio ume nielewesha muchunaji .nilikua nikitoka asubuhi na mwambia nime enda kazi sasa Towanisha Redio tena.
@nicholasnyamwaro8775
4 жыл бұрын
Umbarikiwe pastor na penda mafundizo yako una tueleweza
@edwinonsombi
4 жыл бұрын
Asante sana kwa advice nzuri.
@MmMm-eh6nl
4 жыл бұрын
Asante pasta kwasomo lako nzuri mm nipo Oman Muscat nakufatiliaga sana masomo yako yananipandisha sana kiimani nimejua kuomba mwenyewe.
@RIZIKISEMUNAOFFICIAL
4 жыл бұрын
Asante sana pastor Nime kupata vizuri sana nikiwa hapa Australia 🙏🙏🙏🙏
@msafirisaidi4705
3 жыл бұрын
Amen
@babychizaa1925
4 жыл бұрын
Nashukuru
@shayoshayoizm9090
4 жыл бұрын
I love your teaching. Am in Nairobi
@gracekapisha8954
4 жыл бұрын
Somo zuri sana linafundisha.
@laylasuliman5805
4 жыл бұрын
Yaani k ila neno kwako ni point hongera xna
@jefferogoti9420
4 жыл бұрын
Message inaeleweka mia kwa mia...
@mosesisaji2373
4 жыл бұрын
Bwana asifiwe
@donatienbest6043
4 жыл бұрын
Nimekuelewa
@eriantawumenya3257
4 жыл бұрын
Nashkuru sana kwa mafundisho yenu napendasan huyo muchungaj
@bathromeojoseph3698
4 жыл бұрын
Kutoka chuo kikuu mzumbe nawapata vizuri
@gileadgabriel8279
4 жыл бұрын
BABA YANGU BWANA YESU ASIFIWE YAANI UNANIPIKA NA MIMI NAPIKIKA NINAPATA HESHIMA KUPITIA HEKIMA YAKO HAKIKA MUNGU AKUBARIKI
@biblepowerstories
3 жыл бұрын
Kama mimi hapa hapa ni kijana wa miaka wa miaka 21 naweza kufanya nini ili nipate mchumba au mwanamke sahihi atakaye kuja kuwa mtu muhimu kwangu na familia nzima yangu? Nahitaji msaada wamajibu kutoka kwako mchumgaji.
@jonasamuri8454
4 жыл бұрын
Nahomba kuhuliza swali fupi tu.. Lakini litahenda tofahuti na somo... Nivema mtumishi kuhinga ali ya mchungaji wake???
@michaelramadhan9466
4 жыл бұрын
Je *1. Unasumbuliwa na Presha ya kupanda (B.P) ?* *2. Unateseka na Vidonda vya tumbo (Ulcers) ?* 3. Una U.T.I sugu ? 4. Umepungukiwa na Damu mwilini ? 5. Una Kisukari (Diabetes) ? 6. Umepungukiwa na Kinga ya mwili ? 7. Una tatizo la Homoni (Hormonal Imbalance) ? 8. Unashida ya kupata maziwa ya mtoto kwa mama anaenyonyesha ? 9. Una shida ya mifupa ? 10. Una aleji (Allergy) ? 11. Una matatizo ya macho ? 12. Una mafuta mengi mwilini / lehemu (Cholestrol) ? 13. Una shida kwenye mmeng'enyo wa chakula tumboni (constipation) ? 14. Una tatizo la nguvu za kiume ? 15. Je, mayai ya uzazi hayapevuki kwa wanawake? 16. Huwezi kupata mtoto kwa shahawa kutoka ikiwa nyepesi mno kwa wanaume (low sperm count) ? Piga0629280027 WhatsApp+255629395655
@vumiliailomo5574
4 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji
@anitharichard4892
4 жыл бұрын
Umegusa penyewe baba jaman kama vile umeniona
@gloriacynthia4699
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tmmcsHiih4qIh44 bonyeza link 👈
Пікірлер: 33