Mashallah Allah akuhifadh sheikh bachu vizur sana kuwaumbua Hawa watu maana wamekosa hikma hujiona wao ndio watu wa pepon na wengine wote wamepotea . Mtihan sana Hawa watu Allah awape dini inshaallah!
@mussamtupa
2 жыл бұрын
Sawa sawa hawa wanajifanya wao wamemaliza kilakitu Tena wanafika mbali zaidi Na kusema mtu akikosea huyo sio Shekhe Wanaunganisha picha za Mashekh mbalimbali Na kutaka kuwaaminisha watu hao sio Mashekh Mungu mkubwa leo mmekutana na kiboko Chenu Allah ampe nguvu Shekhe Mohammad Bachu Na aendelee kuwafichua hawa wanao jifanya wao wamemaliza Pia namuombea kwa Allah marehemu SHEKHE Nasoro Bachu Allah amrehem SHEKHE wetu. Usiwaache hawa mpaka wakome kutukana watu. Allah akupe nguvu Allah akupe nguvu Allah akupe nguvu Allah akupe nguvu Allah akupe nguvu SHEKHE Muhammad Bacho.
@omarmuhamud3302
Жыл бұрын
Masha allah sheikh mohamed mungu akuhifadhi na killa sharri za dunya. Aaaameeen
@mtawasimbonde4562
2 жыл бұрын
Maashaallah Al marhum shkh Nassoro Bachu ametuachia mbadala wke.Maashaallah
@Raissaabdoul
3 ай бұрын
Sheikh Allah akuifazi akulinde na bitu bibaya byote Allah akuifazi
@thedon8467
3 ай бұрын
ALLAH AKUHIFAZI MASHAALLAH TABARAKALLAH
@mohammedsalim974
2 жыл бұрын
Kwa yoyote anaetafuta haqqi bas ma sha Allah all hamdulillah haki tunaiyona kwa kijana wetu Muhammad bachu... Mpaka watakaa sawa hawa majadida
@AbuRumeysa-yz6xt
4 ай бұрын
Jazaaka'llahu khayran
@user-sf7by1cr5h
2 ай бұрын
Hakika Allah ametuletea mbadala wa shek Nasor bachu Allah awape kheri nyingi
@abdul8378
2 ай бұрын
Allahumma baarik❤
@uledihassan6065
2 жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad Bachu. Nimeamini sasa kwamba hawa wengi wanaojiita masalafy wengi wao ni majahili
@user-sf7by1cr5h
2 ай бұрын
Shek Allah akuzidishie elmu na ujuzi zaidi uzidi kutufundisha
@zebusdaughter8158
2 жыл бұрын
Ndo hapo unakaa mwenyewe unasomewa Rukya na shehe anakosea Quran namna hiyo jmn. Nyie kina mama jueni mashart ya Rukya. ni bora mtu urudi kwa Allah kwanza. The most important thing is your 5 daily prayer first . Hii imenifungua macho. Mwenyezi Mungu akupe ulinzi Mwalim na Tuache ushabiki inabidi tuelewe tu haina jins. Wanaokasirika ni mashabiki hatari sana. Yaani uko tayari makosa yaendelee ili tu uwe comfortable duuh. hapana. Subhanallah.
@ShekiyaoHussein-ki4ty
4 ай бұрын
Sheghe bachu hawa ndugu zetu wanao jiita Masalafi ni mtihani sana kwa umma kazi yao kuwatukana wanawachuoni kuwa tukana waislamu wenzio kuwaritadisha ni mtihani mkubwa
@AbubakaliShabani
4 ай бұрын
nataman nipate namb ya bacho nampenda sana
@captainissa1356
2 жыл бұрын
Ma sha Allah huyu kijana mwingi sana na anajua kujenga hoja. Allah amzidishie elimu
@saidimadzumba2266
Жыл бұрын
Kijana yupo sawa hata amenisisimua sana! Ukweli uko uchungu,mwenye kibri hawezi kukubali kukokosolewa! Allah amlinde insha Allah!
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
Allah akuhifadh Sheikh Muhammad Machu
@mwaramimwarami1479
2 жыл бұрын
Asante sheikh wetu kwa kutufundisha, Allah akuhifadh, baaraka llahu fik
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Shukran sana yaa sheikh,ujumbe huu umfikie sheikh hanein maana alisema hujui ata kutaja jina la masheikh.
@cishahayoali1136
2 жыл бұрын
Asante sheikh wetu kwakuweka wazi makosa hata mimi nimeshuhudia makosa kutokana na ilimu yangu ya nahwi na
@jamaldineali3228
2 жыл бұрын
Wallahi daima nakuombea sheikh wango Allah akupe umry mrefo....wallahi natamani nikuone sheikh wango ili nipate kunufaika na elimo alie kujaalia Allah
@tamatama1136
2 жыл бұрын
Alhamdulillah. Sheikh Mohammed bachu basi inatosha kiukweli unawavua nguo masalaf jadida wasamehe niwaislam wenzako hao
@adenifuyuush4991
2 жыл бұрын
HAO MASHEKH WATAJE UNAVYOWEZA MUHMD BICHWA ILA JIHADI YAO KUPAMBANA NA UHIZB NA KUWACHARAZA WALOPINDA. UMMA WA KISALAF EAST AFRICA ALHAMDULILLAH WANAWAELEWA
@abubakarmuhammadsaid3244
2 жыл бұрын
Huu ni ugomvi ambao mimi siuungi mkono na wala siufurahii, kwa sababu nyote nyie ni walimu wangu. Lakini hapa umenisomesha, umenipa elimu, Alhamdulillah Rabbil Al'Aalamiyn. Namuomba Allah Subhaanahu waTaala akubarikini nyote.
@user-ke6os1ur2s
11 күн бұрын
Assalamu aleikum watu sikuhizi daawa ni kuiita watu kwake yeye sii kuita watu kwa ALLAH s.w
@ahmedmalick2862
2 жыл бұрын
Mashallah
@talibabdalla5684
2 жыл бұрын
Wew Simba wa salafi ALLAH akuhifadhi.sahihisha Ivo Ivo kwa hikma
@shehemrefu283
2 жыл бұрын
Baraka allah fika ya sheikh usitusahau tuendelee na darsa yetu ya lugha nahwu itatusaidia sana miezi imepita bila bila
@fatumajamali2757
2 жыл бұрын
Allah Akuhifadhi Al Akh Muhammad Nassor Bacho, juhudi kubwa, mola akukinge na Shari za Majadida na Vitimbwi vyao.
@muhammadomar85
2 жыл бұрын
آمين
@maraboutravel6158
Жыл бұрын
Amiin
@kassimajmus2010
2 жыл бұрын
Sh.Muhammad nakuomba usisitishe somo la nahwu tunavunjika moyo kiukweli kadhalika na fighi almuyassaru
@shukurually8769
2 жыл бұрын
Shekhe upo makini sana mungu akulipe kila lenye kheri
@sulaimaanunda2840
Жыл бұрын
maashaAllaah kaka yetu... hawa wanaojinasibisha na ufuasi huwa wanajidai kujipa ukamilifu kisha wakakosoa hata ahli sunna waljamaa'a.... sasa ona Allah anavyowafedhehesha kwenye mim'bar na ujuaji wao huo.... Allaah akubariki sana kaketu kwa faida hizi.... aamiyn
@ameirameir4349
2 жыл бұрын
Huyu kijana anawasumbua sana majadida. Kiboko ya majadida Muhammad Bachu
@sudikisebengo8414
2 жыл бұрын
na abdallah umeid alipomwita mpubavu kipozeo suf ili ujaliona mbona mxhabiki ww kipozeo sio mkubwa kwake pia ili ataulizwa na Allah
@sudikisebengo8414
2 жыл бұрын
au kipozeo akumzdi umri
@masanjachekatv7311
2 жыл бұрын
Makosa katika qr an hayatakiwi kufumbiw macho shekh mohamed baraka llah fik
@pavillioncry5241
2 жыл бұрын
Mnajuwa nyie majadida Huyu muhammad bachu hamumuwez Kwa sababu anachokieleza Kina hoja na mantiki ndani yake Halafu ana dalili Anajuwa kujenga hoja mazbut Kaeni pembeni nyie Majadida
@AliNdunde-oq4rh
Жыл бұрын
Sheikh Muhammad Nassor Bachu lazima hao uwafundishe kwa dalili wakiwacha kufahamu sisi wanafunzi tunakuwelewa vizuri mno kutokana na utowaji wako wa dalili tu.
@user-uq5hu7tq5g
8 ай бұрын
Maasha llah
@saidjuma4547
2 жыл бұрын
Allah akuhifadhi jazaaka llahu kher
@allymshamu5109
2 жыл бұрын
Shekh Muhammad ,,ahsant sana kwa kutujenga waislaam ,,Allah azid kukupa umri mref tupate kustafiid insha Allah,,nakupenda sana kwa ajir ya Allah,,
@shabankabarisa8785
Жыл бұрын
Naomba jamani nambaza shehe bacyu tumpeda kwa ajiliya ALLAH. SABABU HABABAISHI.
@pavillioncry5241
2 жыл бұрын
Asante shekh muhammad bachu Uteteeeee huu umma
@abuurayyaan4306
2 жыл бұрын
Kwa lipi hapo alilo tetea هو ما زال علب ...... إذا كبر سيترك الطفولية .........
@saidimadzumba2266
Жыл бұрын
Kiboko chao!
@allycomm1553
Жыл бұрын
Hujielew ww
@Naam807
2 жыл бұрын
Allaah akuzidishie Elmu sheikh Muhammad Bachu, Tunakupenda kwa Ajili ya Allaah
@magrammagreens3873
Жыл бұрын
Shukran sheikh Muhammed mwenye akili ataelewa tu darsa.
@wafaumelikolinji7151
2 жыл бұрын
shekh M bachu Allah akuhfadh, Kazi ya daghwa inachangamoto kubwa ndaniake, ila acha nikufariji kwamaneno yafuatayo, AKH ww si pesa kwamba kila mtu atakupenda, lkn pia vlvl ww si kinyesi kua kila mtu atakuchukia. hujasimm ktk hoja illa kwadall. Kunafaida nyingi tunazipata matullab kupitia kwako
@OmarAli-lm9sf
2 жыл бұрын
MashaAllah Allah Akuhifadhi Nakila Lashari Nakukupa Umri Twawili Wenye twaa Namwisho Mwema
@suleymansalim5732
2 жыл бұрын
Hakika upo sahihi japo kuna watu hawawezi kuelewa kama kukosea kwa ulimi kupo na niudhaifu wetu. Kimsingi kurekebisha hoja nasio viherufi .shukran
@issasaidi1812
2 жыл бұрын
Unakuwa mashuhuri kupitia kazi nzuri aloifanya baba yako .. Ila wewe speed yako mbaya na njia yako mbaya hutofanikiwa mdogo Wangu. Jirekebishe
@maraboutravel6158
Жыл бұрын
kwani wewe ndie mwenye kutoa ufanisi
@mwaramimwarami1479
2 жыл бұрын
Baaraka llahu fik
@MB-yq3ty
2 жыл бұрын
Nakushangaa sana Muhammad Bachu hivi rad zipo ngapi unaperuzi ambazo umeulizwa maswali hujibu ukija unakuja na jambo jipya. Huu ni mwendo wa Malumbano.
@abuuluqmaantv
2 жыл бұрын
Hajielewi huyu ana ruka ruka tu ni mtu wa kupuuzwa
@abubakaromaryonlinetv6333
2 жыл бұрын
Sasa ww m b unamshangaa Muhammad bachu au huyu shekh wako anayezisoma Aya za Allaah kwa makosa acha ushabiki kwenye dini utaangamia
@abubakaromaryonlinetv6333
2 жыл бұрын
Kweli hawa jamaa ni shida eti ni mtu wa kupuuzwa basi tutakusikiliza ww
@MB-yq3ty
2 жыл бұрын
@@abubakaromaryonlinetv6333 Siafiki yeyote atakaesoma makosa kwa kukusudia katika Qur an ama makosa ya kilugha hata hivyo haya yote hayatakusaidia katika kujua mfumo sahihi wa dini sina ushabiki wa kidini ndo maana nasema ajibu maswali na hoja aloulizwa watu wapate faida.
@MB-yq3ty
2 жыл бұрын
@@abubakaromaryonlinetv6333 Haiwezekani unaulizwa mbuzi anamasikio mangapi unakimbilia unajua nyama ya kuku ni tamu sana sana, kunaalokuuliza hilo?. Mfano yeye anaona ni aibu kusema Mtume hajui jambo la kidunia alishajibiwa kwa hoja si aibu kwa Mtume kutojua mambo ya kidunia kuliko yeyote Bali ni mjuzi wa Elimu ya Kisharia kuliko yeyote. Lingine alishaambiwa William Ruto alishawahi kutangaza Kenya ni Taifa la Kikristo havunji hoja na alete majibu yake kila siku kuja na jipya ndo maana utaona kuna mambo mengi mtandaoni kuhusu bachu, bachu, bachu asimame na moja liishe aingie lingine kisha lingine. Huenda hufuatilii pande zote ndo maana umekuwa shabiki.
@hashimiddi4789
2 жыл бұрын
Mashallah Allah akupe afya uzidi kutufahamisha
@abuuyunusnassor446
11 ай бұрын
Nimepata faida kwa hii video Alhamdulillah
@ibrahimseif7742
2 жыл бұрын
Nakupenda shekh kwaajili ya allah
@twaibumikidadi7377
2 жыл бұрын
jaman tuacheni ushabiki na umimi mohamnad Bachu n kigogo kwa kweliii cio siri Allah amuhifadhi
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
@@zanlec7357 wapo alipo tusi? lete ushahidi.
@khalidsuleiman2374
2 жыл бұрын
Muhammad bachu mche Allah umumeita Abu umeir Abu firiun na mmeandika hivo firiauni
@sultansaidsalehe3805
2 жыл бұрын
حفظك الله
@yunussadik1202
2 жыл бұрын
naam swadaqta shekh nilitaka kukusikia mana huyo abdallah humed alishindwa hoja akakimbilia hutoa maneno yasiyo na maana na wengi tulijua atajibu hoja mwisho wa siku abakimbilia kwe kuhukumu matamshi kukose katika herfi nikitu cha kawaida mana ulimi hauna mfupa mashallah nimeshiba kwa jinsi ulivyo waelekeza kadhia za kuteleza
@KamandaYesu
6 ай бұрын
muogope Allah kumsingizia sheikh uwongo utaulizwa na Allah, unasema usiyoyajua bado elimu yako ipo chini acha kutafuta kick mtandaoni sheikh abdillah humeid ni qariii, alafu acha kuwachafua masheikh wa haramu, kijana huna adabu Allah akuongoze kijana mpuuzi sana we
@mtawasimbonde4562
2 жыл бұрын
Maashaallah mambo ya Nahwu.
@shamsuddin4582
2 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh Allah akuzidishie i'lmu
@masudmohhamed3146
2 жыл бұрын
Allah awahifadhi mshekhe zetu Sheikh Abuu Hashim na Sheikh Abul Fadhil Qassim awape thabat katika haqqi. Huyu kijana Hizby hajui nini anazungumza
@mussafakiu5322
2 жыл бұрын
Hujajua sasa hap alichozungumza
@albassambakili3757
2 жыл бұрын
Sikiliza kwanza video ata masaa m2 haijafka tena video enyewe inasaa zima na dakika ushacommet 😁
@abuuarmanali6319
2 жыл бұрын
Sasa hapo kaongea chauzushi kipi?.hebu achen chuki zisizonamsingi..lete hoja z kielimu.. Kwan hao masheikh zenu wanapoleta rad unachukuliaje..acha chuki zisizofaida utakuw n roho mbaya
@abuuarmanali6319
2 жыл бұрын
Kaakitako usome usileta chuki
@muslimmassoud2673
2 жыл бұрын
amiin
@rosemery542
2 жыл бұрын
Sheikh achana kuwajibu hao. Watu wamewaelewa. Unaheshimiwa wasikuharibie ibada Yako.
@hafidhomar1271
2 жыл бұрын
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, jamani Masheikh hebu sikizeni haya maneno kuna mama mmoja hajasoma dini utotoni na yy ni mskilizaji2 aliwahi kuwauliza Masheikh wawili suala moja la kidini, majibu yakapinzana huyu mama akaniulza kwa kusema " kwani QUR'AN zipo ngapi?" jamaniii Masheikh tusiouja tupo wengi hata kusoma QUR'AN hatujui sura chache mno tunazozijua, huyu mama ananiumiza maneno yake sababu majibu ya Masheikh wawili. Masheikh mtambue tunaosikiliza wengi hatujasoma mnatuacha dailema, MTUME (SAW) hayupo, nani atatufahamisha Allah na Mtume, jamani salama yetu ss kwa maneno kama ya huyu mama ipo wapi? 😰
@deathrow8004
2 жыл бұрын
NIMEKULEWA AKHYL KAREEM
@zaburionlinetv6245
2 жыл бұрын
Wale ambao hatuna ushabik kwenye dini tumekuelewa na hakika umeongea usahihi Ila wale wenye ushabik kwenye dini hapo watajifanya Ni Vichwa ngumu
@kavumohemedi871
2 жыл бұрын
shukran sheikh
@user-zy7wj7nc7u
2 жыл бұрын
Muhammad waskitisha sana. Mumekua mwashindana badali ya kufundishana mema.
@user-sc3jc7nn3g
8 ай бұрын
Mm mwenyew mtu wa sunna lkn hpa mbn ypo shh
@sharkiiy236
2 жыл бұрын
Nilichoelewa kuwa abuu hashim amesema kuwa HAYO MANENO NI YA KIHZIB... na yule muulizaji kasema maneno mengi kwamba... Mashekh ni walewale vitabu ni vilevile na mengine mengi kwaiyo abuu hashimu hakusema elimu ya seculr ni uhizb hata kidogo...
@moHamedHassan-qy7pm
2 жыл бұрын
Akhiy sikiliza audio vizuri inaonesha hujasikiliza Akhiy wacha kupenda watu penda dini Allah atuongoze Aamiin
Mashaa Allah kukosea kupo Allah akulinde na akusamehe pale unapokosea lakini ukwel lazima usemwe
@abuufaatwimah9956
2 жыл бұрын
Hahaha Yan (kasuku wa Zanzibar) ukishikwa sehemu fulani unarukia sehemu fulani hakika (kitanda ulichokilalia kina chawa wengi) Yan masheikh zetu wana kazi kubwa sio ya kukujibu we. Wapo wanfunzi wao ndo wanakujibu
@alfaroukshabani6445
2 жыл бұрын
Masalaf wa kwel hawakuwaga na midomo michafu Kam ww,,sas tumebak kujinad ss n salaf,,,masalaf wa kwel walkuw wakiambiwa maneno mabaya na makfr huwajib kwa kwa maneno mazur
@abuufaatwimah9956
2 жыл бұрын
@@alfaroukshabani6445 unamjibu Mohammed Bachu (kasuku wa Zanzibar) au?. Make yy ndo ana mdomo mchafu kwa watu sawa na baba ake na anajiita salafi wa kweli Hahaha hyo n radd kwa kasuku wa Zanzibar ahsante sana Akhy kwa radd hyo
@user-sc3jc7nn3g
8 ай бұрын
Ww sio salafii bli unenda walimu wko kupindukia
@abuufaatwimah9956
8 ай бұрын
@@user-sc3jc7nn3g ungeanza kwanza kujifunza kuandika kabla hujaanza kuko-comment mitandaoni
@ABUU_SAAD-ut4fd
21 күн бұрын
Waoneshe wanafunzi basi waje jibu😂 wakiweza kufuta maneno yalotoka nitakulipa nakupa ahadi.. au kuna njia ya kinahau walopita hapo ? Qiraati fulani wamepitia kukisoma hapo . Nakuahidi fanya kujibu hili nitakutafuta ukitaka.😂 mshahara..
@ahmedsaid6842
2 жыл бұрын
Tatizo ww muhammad bachu kinachokusumbua unatafuta umaarufu na umaarufu hauji kwanjia hiyo, allah akuongoze
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Ikiwa mtu akibainisha ukweli maana yake anataka umarufu basi umarufu kanza nao mtume maana mtume ndio kanza kutufundisha mema na tuache mabaya.acha ushabiki ndugu fuata hak ilipo ili uikomboe nafsi yako
@mahfoudhcalender2747
2 жыл бұрын
ahmed hujielewi, hivi mtu akikosea kwenye Quran ndio aachwe? tena hakuna wa kumkosoa.
@saidyussuf2291
2 жыл бұрын
Kwa iyo aachiwe tuuu acheze na kitabu cha Allah, na huna haki ya kumhukumu mtu ya moyoni mwake
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
@@saidyussuf2291 hujahukumiwa la m/mungu anasema ktk Qur'an kua zimefichuka chuki zao ktk midomo yao na yaliokuemo ktk mioyo yao ni makubwa mno.kwaio na ww umebainisha chuki yako kwaio yalio ktk kifua chako ni mazito zaid.
@eng.saalim8646
2 жыл бұрын
Mwendo unaoenda nao utakufikisha pabaya. Unakujaga na mada kwa jazbaaa ukishajibiwa unakaa kmyaaaa mada unairuka kama hujasikia vleee. Nukta muhimu zote unaziacha ukiona huna majibu. Umefanya hvo hvo kwa abul abbaas, hanein na abuu fawzaan na wengneo wengi hapo kablaaa. Sasa hii ni dini, ukikusudia kufata haqqi basi wacha mwendo wako huo. Na kama utaendelea hvo basi nakubashiria mwisho mbaya katka daa’wa yako. Utaanguka vby sana nakuahidi basi utaendelea hvo. هدانا الله وإياك
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Anatafuta views huyu sio Diyni, au hajui Jarhi na taadil misingi yake.
@@mahfoudhcalender2747 hebu naww acha kuropoka. Alosema ya moyoni hapa ni nini. Mtu anahukumiwa kwa dhwaahiri yake. Ww mtu anakuja na hoja na anatoa challenge ajibiwe kisha akishajibiwa anakaa kmy na kuruka madaa na kuja na nyngne. Na bado hadii hii naamini atajibiwa tena na abuu fawzaan na ataruka tena. Kisha anaambiwa kuwa mwendo huo sio sawa na sio dini wala sio misingi wa jarh wat taadil kisha ww unakuja kuropoka ati ujadida. Hebu kaa kmy kama hujui unaropoka ktu gani
@rahmahsaidomar9111
2 жыл бұрын
Mashekhe wetu mnajikosesha adabu na hadhi kwa kujibishana. Twataka mafunzo ila sio majibishano. Allah awaongoze nyote na sisi sote na atupe faida wala sio kukimbilia kundi hili au lile. Allah atujaalie nasi masomo ya kuelewa dini ili tukisomee tujielewee bila ufafanuzi wa huku au kule kwa kuwa twachanganikiwa hatujui kwa kwenda. Allah mustaan.
@farijala1
11 ай бұрын
Leo BWANA BACHU NAWE UMEKOSEA. BADALA YA SAAD UNAANDIKA SIN. PUNGUZA UJUAJI HAPA ULIJIFANYA UNAWAKOSOA ,ASHEIKH LEO KWENYE MUNAQQSHA MOMBASA SAKINA ZILIKUWA KOMESHA KABISA
@user-sc3jc7nn3g
8 ай бұрын
Ndio kakosea lkn hwa ndio walio mkosoa alipokosea hv na yy anawaonesha kukosea kwa mwandm kawaida
@Jumahally
9 ай бұрын
Allah akulipe khery🎉🎉
@harithsaid1567
2 жыл бұрын
Allah tuongoze
@islamicreligiontv2718
2 жыл бұрын
Muhammad bachu wewe ni bakora ya majadida... Allah akupe ithbaat
@maraboutravel6158
Жыл бұрын
Amiin
@jamalsaid7475
14 күн бұрын
Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh Tunapata faida kubwa sana Alhamdulillah
@jamalsaid7475
14 күн бұрын
Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah. Neema hio.
@Team-t6k
2 жыл бұрын
Wa umbuwe kwa sababu elimu zao ni finyu kisha mazara yao kwa jami ni mengi zaidi Allah awaongoze kwenye ufahamu maana wamekuwa majiona niwajuku wa Rasurull'Allah swallalahu alayhi wa salam mbaya zaidi iyo yakuruka Ayah njoo imeni cost japo wenye kukoseya kwenye kiarabu tunawapa uzra maana sio lugha yao ila Ahsante
@blacknature3691
2 жыл бұрын
Amesomea kimakosa kwakweli 😔 mwalimu lazima awe bora kuliko mwanafunzi
@abdulazizijolo8700
2 жыл бұрын
Muda mwingine kijana anatafuta comment. Mtandaon tu baba yake salafy Mtoto kavukia sehem mbaya Allah akuongoze mohamed bacho
@ibrahimjumaa538
Жыл бұрын
Ndo hoja hii weka wazi sehemu alipokose. Hii ni dini na sio siasakaka
@AminiDjuma
23 күн бұрын
Nalingine shekh بغياkasoma باغيا
@Abutwaibah001
2 жыл бұрын
Allah akupe kila kheri akh mohamed nassor wallahi ume somesha somo zuri sana, na hao mahasidi waki selfie sio salafy allah awaongoze na hizo ndimi zao za chuki na sumu walizo katika akili zao.
@sngrafx
2 жыл бұрын
Mtihani sana vijana mnafatilia haya suala La manhaj ya Mtu libakie kwake kikubwa fikisheni Haki aliyotuachia Mtume wetu
@drabuuzaid11
Жыл бұрын
Haki ipi unayo ijua
@ahmedrageahmedrage9134
2 жыл бұрын
Mche Allah
@jumahabibu4343
10 ай бұрын
Kwani nynyi mashekhe wote si waislamu kwanini musipigiane simu kuelimishana na kutanabaishana kuliko kupigizana kelele mtandaoni,,,hii inasaidia nini kama si kuongeza chuki katika jamii.
@mambohashim9346
2 жыл бұрын
Huelewi wewe sijui unashida gani,ALLLAH akuongoze
@sultansaidsalehe3805
2 жыл бұрын
Unaweza ukanionesha pale ambapo haelewi kutokana na hayo mazungumzo hapo au ndo chuki na ushabiki umekujaa
@swalehemusakiluwa9405
2 жыл бұрын
@@sultansaidsalehe3805 yule mtu karadiwa kwa kusema vitabu ni vilevile na masheikh ni walewale halafu akataja mf sharti za kalimatu ttauhid Ndio sheikh abuu haashim akasema hayo maneno ni maneno ya kihizbi
@sahimtourstravel2156
Жыл бұрын
Acha ujinga mpuuzi wew Mudy kujifanya unajua sn kenge wew utawabubusa hao wapuuzi wenzio. Nasour Bachu alikua na elim zaid yako kenge wew na hakufikia kejeli hiyo mpuuzi wee. Na huna ambach unakipata kwa ALLAH kwasababu huna hekima katika uislam mpuuz wew
@midohamsik7613
Жыл бұрын
Mbona matusi? Si ni nyinyi mlikata kumpa udru kwa kuteleza ktk lugha. Lengo lake ni kukufahamisha kwamba yeyote anaeza kosea na kutafuta makosa ktk hayo ni kutokuwa na hoja
@allymuhamed7295
2 жыл бұрын
wepe mzee baba wape. Wanadhani wao ni kama maswahaba wanasahau kuwa wao ni wao na hawajakamilika pia yaani huyo hata mimi naweza kumsomesha tena vizuri Allah amswamehe.
@shanimpenike7568
Жыл бұрын
suokraan bachu okoa mioyo ya waabudia viumbe wanasumbua sana mtaan
@daudsalafiy3004
Жыл бұрын
Mbona humalizi sauti ewe muhammad bachu
@user-sc3jc7nn3g
8 ай бұрын
Ili iweje ss
@adenifuyuush4991
2 жыл бұрын
KWANI HAWA MASHEKH WAMEMFANYA NINI HUYU? HASA SHEKH ABDALLA... AU KISA ANASOMA QUR'AN NA SAUT YAKE MASHALLAH NZUR WATU WANAIPENDA. HATA AKISEMWA NA WENGINE WOTE DUNIAN. ATAMSEM TANGA SHEKH QASSIM MOMBAS ABUL KHATWAB NA ABUU HASHIM NA ZANZIBAR ABUU UMAYR. WAMEMFANYA NINI HAWA?
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Kwani ww hujui sababu wa mzozo huu
@abuumuawiya6625
2 жыл бұрын
Muhamad bachu usibabaishe mbona unapo jibiwa nukta muhimu hujibu?
@allymshamu5109
2 жыл бұрын
Qasim,,mjinga hajui nn faradhi kifaya,au laa anakichwa cha kuku anasahau nn kinasemwa na jadida mwenzake,
@ShekiyaoHussein-ki4ty
4 ай бұрын
Umma leo ukowapi umma uko mbali na amri za Allah unatakiwa ubembelezwe warudi kwenye amri za Allah kinyume chake ndoo kwanza wana waritadisha
@abdullahaji8421
2 жыл бұрын
وارنا الباطل باطلا ورزقنا اجتنابة
@abdallahsaid1968
Жыл бұрын
Ao wengine nimegundua sio masalafi bali nikikundi kimetengenezwa kuja kuaribu akkida ya ahlsunna waljamaa Allah akulipe kher shekh bachu mtoto simba nasoro bachu
@binseifalsuleimaniy503
2 жыл бұрын
Dah alhamdulillah kiukwli raha sna dawa imefikaa hiyoo
Пікірлер: 536