Big up sana ndugu zangu mafunzo mazuri sana munatufundisha❤🇧🇮🇸🇦
@halimaamini8015
2 ай бұрын
Kwaiyo karim mmmemuacha tu 😅😅 aendelee kualibu ndoa zingine😂😂 angepewa hata kishipaa
@dorcasmueni2290
Жыл бұрын
Nzuri sana, ila sio wanaume wengi wanaeza kukudhamini tena
@user-ql6jr4tz4m
3 ай бұрын
Mashallah movie nzuri ❤❤❤
@user-cr4ku8jh4d
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢 ongereni sana wapenz kwa mafuzo mazuri sana ubarikiwe wote
@FreedahSonga
2 ай бұрын
Jamani shilling shilling shilling
@Lucy-bn1tz
Жыл бұрын
Tunataka Shilling 😢😢😢😢😢😢😢
@سميةالشرياني
3 ай бұрын
Tunataka shilingi bhana
@rahimaaaaa5682
11 ай бұрын
Latifa ww unamakosa kbs yn penzi ndio uvunje ndoa yako Pole Medi😥😥😥😥😥😥
@HOJAMANENO-zj5zr
11 ай бұрын
Nanyie wanawake muwe na hakili Kuna muda mnawachosha waume zenu ko umiolewa jieshimu ,,tamaaa ndo mbaya Sana huleta ushetan
@Fumbini_Arts
11 ай бұрын
Hiyo beat n poa sana
@user-oj1dv7ci1v
11 ай бұрын
Daah linafuza huna mbambambaaaa ❤❤❤
@shakilabakari6928
Жыл бұрын
Hapo hakuna mapenzi hiv kufanyiwa had mimba mchezo 😢😢ushauri huo citaki labda nicjuwe
@zabibushauri3244
11 ай бұрын
Jaman mm sinaaman shilingi nahitaji
@roudhamahmoud763
Жыл бұрын
Hata mimi ningempa talaka mana angeyakuta yaliyomo yamo ktk mechi alocheza inamana ndo angekuwa mchipuko wake daima dawamu
@CharlyKanduki
Жыл бұрын
Hatuna hamu ya iZi muvi zenu tunataka shilling
@ndikumanaismail5419
Ай бұрын
Karim wewe ulitaka mzigo sasa chukuwa mzigo peleka kwako ndo uendeleye na ubezema wako
@ZachariaKoroso
2 ай бұрын
Leta shillingi Duuh
@AbubakarySemkuya
3 ай бұрын
Shilingi ishapotea tena
@user-fy4op1sw2f
Жыл бұрын
Minaona Dj kama ameishiwa
@mauwabanda2746
Жыл бұрын
Shida so dj walio igiza ndo wameishia hapo si ilikuwa inalushwa sinema zetu ndo ilipo ishia mpaka wakashuti tena mwaka 2047
@kazungumwiru5170
11 ай бұрын
Vipi tena shilingi
@VailethSanga-h8v
7 ай бұрын
Bonge la move
@user-iu1qj8uu1t
Жыл бұрын
Leo sina raha sijaona shilingi
@juliadade4621
Жыл бұрын
Hiiiii kali
@hamsodady9815
Жыл бұрын
Shillingi hatujui Michael kafa Wala vp na jee David almuona tna Edna na shangazi nae je aljua ukwli mwatuacha na mshangao
@user-hk5db7pq2e
11 ай бұрын
Msipoendeleza shilingi sisi wakenya hatuangalii tena movie zenu
@nemahk2361
Жыл бұрын
Movie kali❤❤
@puritykalasinga371
Жыл бұрын
Meddy love your part such Amazing, Amazing movie great lesson learnt keep up the good work ❤️❤️❤️ love watching
@Nahdiya-nr3de
Жыл бұрын
Km umkali mbona ustafute wakwako ndo uoneshe io mechi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AminaMshirazi
3 ай бұрын
Mama Dini haijasema ivo kitanda hakizai haram sio kweli
@hamsodady9815
Жыл бұрын
Nawatuambie kma shillingi imeisha ama vp
@mwanaishakama3381
Жыл бұрын
Mambo mwayafanya mengi mbona msitumalizie shilingi kwanza jamani
@كامليا-ر7ز
Жыл бұрын
Kwan shilingi ndio akuna tena ama
@nasrahassan2260
4 ай бұрын
Huyu jamaa anajuwa sana ❤❤❤
@MkasiabdalahTwaha
Жыл бұрын
Mpaka lini jaman
@سميةالشرياني
3 ай бұрын
Washakula shilingi zoteeeee😅😅
@LilianAchieng-bo9xo
Жыл бұрын
Aisee mpaka nmetokwa na chozi inauma sana 😭😭😭
@سميةالشرياني
3 ай бұрын
Tunataka shilingi nn hii mana leta toeni shilingi ata zigke episode lakn lakn sio izo
@fatumashehe361
Жыл бұрын
Kaka wa shilingi❤❤❤❤❤❤❤
@AishaMunga-wn3pd
Жыл бұрын
Mpaka mda gani brother shilingi
@AishaMunga-wn3pd
Жыл бұрын
Mpaka mda gani brother shilingi
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Mkiact halafu mkiingiza na mambo ya kiisilam basi ni bora muwaulize masheikh! Kitanda hakizai haram lkn mnakosea kusema ati muishi na musahau yaliopita kwa kua tu ati wazee mlikosana na mkaishi nakuzikana. Zinaa ya ndani ya ndoa m’ke haruhusiki hata kukaa eda namna Allah anavyoichukia zaidi.
@lilyprince8941
Жыл бұрын
Tutaacha kuyangalia haya maana move zenu hazifiki mwishoo shilingi umeishia njiani
@magrethsarwat103
4 ай бұрын
Funzo Zuri Sana Kwa Jamii,
@ukhtyzainab7254
Жыл бұрын
Daah inataka moyo sana
@Asia-vc9em
Жыл бұрын
Jama shilingi ndio furaha yetu
@maryamtanzania9743
Жыл бұрын
Hemedi usikatishwe tamaa mvi tamu sana koment zisikuvunjishe moyo
@DullaMzee
Жыл бұрын
Safi 2
@user-oi2qc7gr2d
Жыл бұрын
Shilingi jamaniiii😂❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉ikowap?
@user-oj6qq8up7f
Жыл бұрын
Pole michael wa shilingi ndo hali ya ndoa ina misuko misuko
@user-qt6uc7ps5c
Жыл бұрын
Sauti yako iko vzr bro
@user-tk3jy2lu2x
Жыл бұрын
Tunaka shilingi
@user-cq7hm4tw1e
11 ай бұрын
Tunataka shilingi sisi
@mahsenali8668
Жыл бұрын
uyu Michael kumbe ni mjinga kistep ,
@roudhamahmoud763
Жыл бұрын
Na pengine kwa shoo angepewq ange Msaliti mume zaidi
@saidahmed9688
11 ай бұрын
good movie
@yohanashabani-eq9zm
Жыл бұрын
Yaani nikweli shilingi ndo filamu tamu teeni shilingi jamani mbona mnatuumiza mioyo
@roudhamahmoud763
Жыл бұрын
Mama kama dini inasema ivo kwq nini mtt akizaliwq nje ya ndowa akiolewq huo zeshwa na wajomba yani kwa mama?na akifa huzikwa umamani? Na huwa hamrisi huyo baba wa ndowa?watu wa dini mashekh hem tuekeni sawa hapa kweli hakuna upotoshaji kwa huyu bibi?😢
@kenedymlinga5316
10 ай бұрын
Ni upotoshaji mchana kweupe peeee hapo hkuna dini labda dini ya mashia au mabanyani
@abdulahmanmahalufu9524
Жыл бұрын
Mzee toa tamuko kuusu shilingi
@kingmediatz5243
Жыл бұрын
Inaendelea ... azam tv boss ila KZitem itaendelea pia bos wetu ila Michael movie zake zitakuwa hapa endelea kufatilia upate burudani boss karibu sana
@سميةالشرياني
3 ай бұрын
Shiling mshainunua mihogo
@Nahdiya-nr3de
Жыл бұрын
Hyu mschana Hana mana kbcaaa aliokutuma nnani utembee n Karim mwanakulitafuta mwanakulipata
@NyanjeAliTembe
11 ай бұрын
Keteni shilingi hatutak ngonjera
@roudhamahmoud763
Жыл бұрын
Nahadiya namimi nashangaa
@user-hu9ne1ie5w
Жыл бұрын
Jmn shilingi tunatak muendelezo
@uwitonzedorcas
4 ай бұрын
Tumalizieni shilingi kwanza 😢😢😢😢
@user-dl5kt7tj9k
11 ай бұрын
🎉🎉🎉
@latifamohamed7692
Жыл бұрын
Huku wapi tena shillingi haijaisha mwatuletea nyingine loh hebu njoo kule utumalizie ndio mambo mengine yaendelee
@mariamcrispo8296
Жыл бұрын
Khaa Latifa wewe hapana
@IssaOmulama
Жыл бұрын
ningependa kujua,je nialali jamaa kuendelea kushiriki tendo la ndoa nae
Пікірлер: 188