maa shaa Allah kwa ufafanuz nzuri Allah akulipe khery kwa ukumbusho. lakin pia masufi mrekebishe yafuatayo 1. miguu yenu haigusani wakati wa swala❌ swalini kama mtume na masalafy✅✅ 2. miguu msielekeze mashariki na magharibi❌ elekezeni qiblah kama mtume na masalafi ✅ 3. msiswali mahala bila sutrah❌❌ 4. msiswali miskiti yenye makaburi❌❌ ama ondoeni msikiti au kabur✅✅ 5. mkiswali nyoosheni swafu zenu vizuri kama mtume na masalafi ✅✅ 6. mkimaliza kiswali imamu asielekee mashariki❌❌ awaelekee maamuma✅✅ 7. mkimaliza swala mdhukuruni Allah ✅✅ wala msiombe dua ❌❌ 8. kama nimekuudhi usinitukane❌❌ malaika wanaandika kila unachosema✅✅ 9. sijaandika yote kwa ajili ya kuleta mzozo❌❌ bali nawapendelea kheri✅✅ #nuru_ya_sunnah @nuru_ya_sunnah
@saidtembele3070
3 ай бұрын
Allah akulipe kila la kher akhy
@user-om7ov3ji3r
2 ай бұрын
Baarakallah akhy
@sadru5710
2 ай бұрын
Allah akubaarik akhy...
@kitosio
2 ай бұрын
Jazaaka الله خير
@bagalucha
2 ай бұрын
Usufi ni mwenendo wenye makosa mengi,yalitengenezwa na watu fulani,kwa maslahi zaidi ya dunia,usufi umeleta madhara mengi,zidi ya Uislamu aliokuja nao mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalam,sehemu kubwa ya usufi inachukua fiqh ya imam Shafii kisheria ,lakini hapo hapo,ikienda kinyume na Imam Shafi katika mambo mengi iliyoyabeba ya bidaa,ambayo wameyachukua kutoka kwa mashia katika karne za nyuma,kama maulidi/birthday,arobaini,hitma na kadhalika,haya yote ni wigo,uliotokana na mashia,pamoja na makundi ya baadae ya Qadiria,Shadhilia,Tariqiya,Tijania na kadhalika,hapo ndipo kulipotiliwa nguvu mambo ya makarama,na kuwapa nguvu mawalii ,wao kwa kuwazulia na kutengeneza ibada tofauti ,ambazo mtume hakuyafundisha hayo,na masahaba zake Hawa kuyafanya hayo,wala kuyaamrisha,bidaa hizi hazikuamrishwa na mtume,na nyingi ya hizi,zimefikia katika daraja ya shirki,yapo mengi ambayo ya makosa ambayo masufi wameyatengeneza na kuyaadhimisha kama ibada,kwa mfano wa Tenzi za Barzanji,ambazo zimeandikwa karne moja tu iliyopita,ambazo zimekuwa zimepewa utukufu mkubwa,kwa sehemu nyingi kusomwa sana zaidi ya Quran majumbani ,na misikitini na sehemu mbali,ikiwa kama ibada,jambo ambalo mtume na masahaba zake,hawakuifahamu dini ya Allah na utukufu wake Subhana Allah katika njia hiyo,hilo ni moja tuu ya uzushi wa masufi,uhalisia usufi,imo katika upotoshaji,na ni manhaj yenye matawi yaliyopopotoka,kutoka katika njia aliyokuja nayo mjumbe na mtumwa wa Allah,Mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalam,Allahu Masalli Alaa Muhammad waalaa Ahliyh wasahbihi waajmain,sababu kubwa ya masufi kuwachukia wasaudi,ni sababu ya kupingwa manhaj zao zenye bidaa/mambo mapya,na shirk,na mahambali wa Saudia,na wao wakaungana na mashia,maibaadhi na kadhalika,na kuwabandika jina la mawahabi,hizo ndio chuki zinazotiliwa nguvu kila upande,kurejesha makundi ya upotoshaji katika ardhi tukufu ya Makka na Madini,wengi ni wafuata mkumbo
@salahhddindasuvic6447
2 ай бұрын
Usikosoe wanazuoni.
@huseinomary808
2 ай бұрын
Mmh jmn tumche Allah tabaraka wataala
@ShukriShakir-pb3zc
2 ай бұрын
Yataka angalau ufanye Safari yakwenda Makkah alafu uende kwao huko ummul Quraa uwaeleze hao mashekhe utawapata na uwaeleze makosa Yao na insha'Allah watakusikiliza
@kariukihassandawah447
2 ай бұрын
Unatafuta umarufu na maimamu wa makka pole sana!
@AbuuUmary
2 ай бұрын
Namna ziko tatu unaweza Anza kitendo kisha takbeer ama takbeer kisha kitendo ama kitendo na takbeer kwa wakati mmoja NJIA zote ni sawa nenda ukatazame swift swala ya shaykh Alban sherhe ya shaykh bazamuul
@AllySalim-ov3jn
3 ай бұрын
Ahsante mwalimu shukran
@hythamhashiem4458
2 ай бұрын
صدقت استاذ حاج
@massoudomar9651
3 ай бұрын
Shukran sana Sheikh... Tunahitaji pia kujua ni wakati gani maamuma anatakiwa kumfuata imamu wake.
@HashimBilemile
2 ай бұрын
Yule ni doctor sawa eeeee maimam wa pale wanaelimu kubwa
@selemaniayubu115
3 ай бұрын
MashaALLAH,upo sahihi, tatizo watu wengi wavivu kuisoma Swala matokeo yake wanafata mkumbo Tu, ALLAH Akulipe Kheri nyingi
@dhaham1547
2 ай бұрын
Kasomeni wacheni kuwakosoa wanazuoni
@AbuuUmary
2 ай бұрын
Nenda ukasome bado sana mzee
@user-jr1qd8nt7g
7 күн бұрын
Asslm alykm: hivi ww haji upepo umesoma lini ww kazi yako unasbr mtu akosee upate kumkosoa hivi ndivo alivofundisha allh na mtume hauna elimu na ww pia so mkamilifu unakosea makosa ya kusoma na uandishi wako pia Rudi usome vzr
@RamadhaniRasuli-s2b
Күн бұрын
wew ni mjinga ktk uislam wako
@user-zs7eq8up5s
2 ай бұрын
Kwann usingetumia maimam wa mtambani na kichangani lengo lako ni kudhalilisha watu ambao allaah amewapa utakufa kwa husda haji ushuzi
@AnsabMahmoud
2 ай бұрын
Jamaa watafuta Kiki kwa nguvu
@MubarakaKambale
2 ай бұрын
Sheikh Ina kubaliwa
@DiudaKozi-qu8sl
Ай бұрын
Uyo Haji upepo hajui kusoma Kur ani
@IdrisMwayama-hf2dx
2 ай бұрын
MashaAllah
@kaonekakaoneka9815
2 ай бұрын
Na siku ukipata nafasi utuletee na mazuri Yao
@salimhamad4363
3 ай бұрын
sio samia hemu kasome lugha kwanza
@saidkipalo4427
2 ай бұрын
Wewe lugha Unaijua lkn au ndio mihemko Uyu Ustadh Lugha anaijua vizuri mno au tufanye battle kati yako na yeye tumjue Nani anae ijua Lugha Vizuri...........
@hamishasan7737
2 ай бұрын
Kwa sisi tunaojua mifumo ya audio simuelewi anazungumzia nini maana spika ndio zinachelewa kutoa sauti yeye aliishasema kabla ,nenda makka kaa nyuma ya imam usikie ndio utakuja kuongea uyasemayo
@bagalucha
2 ай бұрын
Huyu hujamjua bado?,analake alilolikusudia,yeye anatengeneza farka, zake zipo kwa masheikh wa kisaudia siku zote,kubwa zaidi huwa anatafuta umaarufu,elimu haswa haipo,iangalie kwa makini,utaona vipande vya kuunga unga unga vya klipu,kuna Al Basalam Shafii,ambaye ni mpotoshaji wa kishia,wanafanana hulka zao.
@TpPt-do5vg
2 ай бұрын
Wew ndio mwenye makosa jiangalie Bila hivo utapazw
@saidyissa8539
2 ай бұрын
Usiseme sababu za kipuuzi tumia kauli zenye busara na ulinganie kwa hekma na maneno mazuri.
@zainabzanzibar1518
2 ай бұрын
Sasa huyu anawakosoa mashekhe yeye mwenyewe ata kutamka Bismillah kwa ufasaha hawezi 😢
@SalumHamad-vr2je
2 ай бұрын
Nasaha baada ya fatwa au mawaidha vema sema Allahu Aalam
@user-sr5kd5kd5j
3 ай бұрын
Usiseme halina ikhtilafu kijana moja kwa moja sema hujaona wanawachuoni wamesemaje kwenye Hilo
@ayyanabdi5307
2 ай бұрын
Nenda ukasome zaidi wewe hauna ilmi kuliko maimamu wa Makkah hawa maimamu wanafaa kuheshimiwa sana kwa hii dunia sasa wewe sheikh unasema makosa yao mbele ya watu hata hauisi aibu ama nini walahi maimamu wa makkah hawana makosa hata kidogo unataka kusema ukona ilmi kuliko sheikh Saudi al shurema amh sudais amh yasser al dowsary usiwai rudie hivo tena sheikh haji upepo🙏🙏
@IbrahimNtirenganya
2 ай бұрын
Allah Akbar Akbar Masufi wamepindukiya Ilimu chache mpaka wamefikia kuwakosowa maulama mbona nivyema kama wataka thawabu wakosowe masufi wenzako makosa yao nimakubwa tena yaaibu
@rahakesho
2 ай бұрын
Wacha kukosoa mashkhe kwa matamanio ya mafsi yako kwa sababy ya madh'hab na chuki za mashkhe wa saudia
@jumaothman9449
3 ай бұрын
Upepo!
@abdul-rahmanfakijuma1879
3 ай бұрын
Maa Shaa Allwah, swaddakta limaa taquul.
@abdurrahmanali9733
2 ай бұрын
هداك الله
@ahmadmzoa74
3 ай бұрын
Mmh.....!!!
@ismailomar9248
2 ай бұрын
Hawa ndo wale wakisoma kdog2 wnajiona wao nd wamebobea katika kila fani acha ria shee kasome ach kutafta umaaruf a kpumbav hna elimu mzushi mkubw
KWA HILI TUKO PAMOJA MAANA HATA SHEIKH HASSAN SALMAAN (ABUU UBAIDA) Rahmatullahi ilaihi., Amelielezea vzr sana ktk kitabu chake KAULU LIMUBIIN FII AKHTWAI LIMUSWALLIIN
@planetanimals9547
2 ай бұрын
Umekosea hapo kutaja watu au mataifa tu umetoa mafunzo lkn mafunzo yko yatachochea chuki baina yawaislam, hakika hao nimashekhe wakubwa kuliko ww
@AllyAhmad-zg2yp
2 ай бұрын
Hata mtume angekuwepo ungemkosoa wkt yeye ndio swahib sharia
@user-nr3uw7bq1r
2 ай бұрын
We fyatu kweli, samiya au sami a, kalale huko
@NassoroJuma-xg8ky
2 ай бұрын
We shekh fyatu kaa chini usome cyo kitabu kimoj ndy uwaanze uwadui
@shahamzanda5857
2 ай бұрын
Kwahiyo Sudais Hana swala mpaka leo au unatuambiaje msomi wetu wa Afrika Mashariki
@Hawanalugha255
Ай бұрын
Ww haji upepo unahekma sana katika maongozi lkn pia unatakiwa usome uwe katk njia ya hakk una matatzo kdg Allah akuongoze ktk njia ya sawa sawa
Tunajua unatafuta kufahamika mitandaoni ndo ujifanye kuwakosoa maimam wa makka
@musaomar4184
2 ай бұрын
Nenda ukasome zaidi hawafuati mic bali akisema Allahu Akbar akiwa chini wengi watamuhalifu imamu ambalo ni kosa kubwa
@abdulazizabuu
2 ай бұрын
Swadakta
@abdulqaadrilaurian3700
2 ай бұрын
Hivi hajui kuwa akimtaja Allah tabarakah akiwa hajanyoka wengi watatofautiana na imam
@user-wf8tp8vw4h
2 ай бұрын
n
@user-wf8tp8vw4h
2 ай бұрын
Haj upepo elimu huna ivo ndio sahihi asiende maamuma nanimam acha ujinga uwo Sunnah ipo ivo
@kingsaid3260
2 ай бұрын
Tumeambiwa tufuate kitendo baada ya takbira ya imamu, sasa imamu hana kosa wala kusema udhuru kuleta takbira baada ya kitendo ili tu akwepe maamuma asimuhalifu isipokuwa sisi maamuma tuache pupa na tujifunze kuwa na adabu katika ssala haswa safu za kwanza, badala ya kusikiliza na kuifuata takbira tunaangalia vitendo vya imamu.
@salimabddala3758
3 ай бұрын
UST. UKIFANYA HIVYO utawakuta maamuma WAKO washakutangulia zamaani
@kingsaid3260
2 ай бұрын
Tumeambiwa tufuate kitendo baada ya takbira ya imamu, sasa imamu hana kosa wala kusema udhuru kuleta takbira baada ya kitendo ili tu akwepe maamuma asimuhalifu isipokuwa sisi maamuma tuache pupa na tujifunze kuwa na adabu katika ssala haswa safu za kwanza, badala ya kusikiliza na kuifuata takbira tunaangalia vitendo vya imamu.
@issaabdallah7660
2 ай бұрын
Sikuhizi vijana mkisha soma vitabu viwili vitatu mnakuwa watoa fatwa na kuwakosoa wanazuoni
@salmaabdulrahman5512
2 ай бұрын
Mhh unakosoa maimamu
@Ibrahim-st3uo
3 ай бұрын
Wewe kweli chizi kabisa
@JannatTahmid
3 ай бұрын
Mbona unamtukana,vp tena Shekhe!
@Ibrahim-st3uo
3 ай бұрын
@@JannatTahmidHivi pale makka afanana na nani chizi huyo
@JannatTahmid
3 ай бұрын
Ata kama ww unaona anakosea sio kumtukana mana ayo masomo ni ya uhakika haswa na ametumia Msikitini wa Makka utafahamika haraka,si kosa ji mifano Hai tu.
@Allybinamour
3 ай бұрын
wakipatikana watu km nyinyi 10 tu, uislamu itakua ni dini ya mipasho kila siku,ikiwa kila afanyae kosa mwenziwe amkosoe kweny vyombo vya hbr km ww. ni vizur ungewauliza wamekamata hoja gani wangekueleza. muogopeni mola wenu jamani na acheni riyaa
@MteleShadia-lc6gi
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-sr5kd5kd5j
3 ай бұрын
Swali je hayo makosa yanaharibu swala?
@user-lu5vg9kc7y
2 ай бұрын
Allah mtukufu akupe mwesho mwema shehk 🎉🎉🎉
@nassorokusyoka
2 ай бұрын
Kisomo chako kidogo.Kasome kwa Wenye kisomo
@rashidichuri1149
2 ай бұрын
usianze kazi yakipuuz kama hii usione umesoma sana eimu nibahari
@MteleShadia-lc6gi
3 ай бұрын
Haoo NI mashekh wakubwa ,,elimu yao NI kubwa kuliko wew kwhy wew usiwah kuwakosoa Hao mashekh wakubwa wa makha,, wa dunia,, elimu yao NI pana,,kuliko ww ,,Kama kweli we unajiweza ,,tengeneza mjadala nao ,,Kama kweli we NI bigwa wa kukosoa,,,ndo tukujuwe
@mussamohamed5662
22 күн бұрын
Dini ni kusoma si ushabiki, na kusoma kuna kuzidiana pamoja na ukweli kwamba hakuna ajuae kila kitu, ila lililodhahiri ni kuwa, mtu ambae elimu yake ya dini haina shaka imethibitika ukubwa wake na utaalam wake ni lazima umuheshimu hasa unapomkosoa, isije mwisho wa siku ukajaonekana hujui ukisemacho, umemaliza primary unataka kushindana na mwenye phd! Elimu ya dini haibahatishwi, ni lazima usome kweli kweli..
@user-ot2dk9kt6k
2 ай бұрын
Bado huja maliza kunyonya kanyonye tena miaka miwili ndio uje ujifunze kusema
@mazruqmohammed4108
2 ай бұрын
Wewe unataka umaarufu wala hupati
@KhalidMkubwa-x3g
6 күн бұрын
Aslm aykm mwalim ningelipend kuongea kiarab ili wenyew wakufaham sio tu kutufahamish ss ss tushafaham bad wao
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
3 ай бұрын
Shukran
@Mwarahani
2 ай бұрын
Shekh achakutafuta kiki kwa kuwa kosoa mashe wenzaki
@allymtito8117
3 ай бұрын
Hii yote kwako ndugu yaonyesha waongea bila elemu, sas km waona maimamu wa maqah wanakosea, kwani uliambiwa ufuate maqah au ufuate quruan na suna kwa ufahamu wa maswahaba!!!
@royal2991
2 ай бұрын
Apa umefeli
@uthmanmaluja7005
2 ай бұрын
Nimegindua kuwa hata wewe mwenyewe elimu yako ndogo sanaaa katika hizo takbiraati za intiqalali Kuna riwaya zaidi ya moja hiyo unayesema wewe pia ukinyenyuka unasoma takbira ukiwa juu imethibiti pia soma kijana usikurupuke
@finestabuu
2 ай бұрын
Sitaki kukujudge ila hivi umesoma Sana kuliko sheikh sudai 🤔🤔🤔mungu akusamehe ila kama wewe umesoma Sana wachana na mungu ahukumu makosa ya binadamu na wewe utupee hutuba sio kujaribu kukosoa
@ahmedchoden9970
3 ай бұрын
Sw but hamna asiekosea katka huu ulimwengu sheikh
@JannatTahmid
3 ай бұрын
Ndio,Kuna makosa ya kuto kujua na makosa ya Bahati mbaya.
@KhamisHamad-gk7eh
3 ай бұрын
usiwe kama bacho usikosowe wanawachuoni wakosowe wanaokufuru kwanini ukosowi wailamu wanaoingia madukani na masanamu kwani mtume alinua kwa kelele mbona husemi
@mazruqmohammed4108
2 ай бұрын
Kosoa waswahil wenzako pengine unaweza kupata umaarufu si mashekh kama hawa wewe elimu wenyewe mtihan
@fatimasaid9469
3 ай бұрын
Alhamdulilah. Ustadh Ahsante kwa kutujuza ila kwa khekima na busara ni bora ungefanya mpka ukakutana nao hao maimau ili tujue kma yye mwenyewe amekosea na ajirekebishe kuliko kutoa tu fatua na wee ni viongozi w umma hapo ndio tunapovurugana ssi kwa ssi .me nadhani tumia hikimakwanza ya kuuliza na ssi utupe faida kuliko kujirikodi tu na kutoa makosa . Huu utakua mpasuko mkubwa.
@user-zs7eq8up5s
2 ай бұрын
Hana nafas ya kukutana nao labda amtume sheikh wake mufti hivi huyu ni upepo hana adabu hawez kupata watu wa kumpokea
@bagalucha
2 ай бұрын
Tupe hizo dalili zenye ushahidi wa hayo unayoyasema,kwa reference,si utuoneshe video,bila ya kutupa reference,kwa hili ungetuonesha mfano wewe binafsi
@musaomar4184
2 ай бұрын
Huna hoja za kimsingi rudi usome
@dhwahiqudumila3894
3 ай бұрын
Wajibu wako ni ufundishe watu sio kuonyesha makosa ya watu Sasa na hao pia wana hoja zao ambazo wewe huzijui au huziitaki
@SheikhYussuf-iv6lo
3 ай бұрын
ww kwel mjinga soma kwanza alaf ndo uje uweleze unaonekana una chuki t na mashek wa haram sasa znethibit kwa Mtume S.A.W aina zote mbili nakunasih soma kwanza alaf ndo uje uongee kwan muda mwengine mtu mjinga hujulikana anapoongea km ivi sasa tumefaham ww ni mjinga juu ya ilo
@HashimBilemile
2 ай бұрын
Ahahahahaha kasome kwanza kijana huna elimuuu
@AbdallahFaki-rd5qd
2 ай бұрын
Acha kupotosha watu
@AbdallahFaki-rd5qd
2 ай бұрын
Acha kipotoaha watu
@user-ws6jq4in7q
3 ай бұрын
Mtume sw amesema kila binaadam anakosea kwaivo sudesi akiwa kama maadamu lazimaakosee mtume hasemiuongo shekh
@bindawoodahmed9666
2 ай бұрын
Ikiwa imamu ataleta takbir wakati yupo chini pia ni kosa kwa sababu Maamuma watamtangulia ni Sawa kuleta takbir karibu ya kufika juu . Kutafuta makosa kwa mashekhe wa juu ni kosa kwa mtu mdogo mwenye elimu chache
@RamadhaniMsukuma
3 ай бұрын
Naomba unitumie namba yako pls
@abughaneem9220
2 күн бұрын
Wewe unaelimu gani ya kukosowa maimamu wa maka kama umeshidwa kupata umarufu kwenu unataka upate umarufu makah acha utoto
@ameirameir4349
3 ай бұрын
Si kweli hawafuati maik. Mbona akitoa salamu maik sauti inatoka na wakati kakaa kitako na inawezekana kuna mpishano wa sauti
@arifali3942
3 ай бұрын
Sasa salam atawez vp kuifata maik na ndio kashakaa chini
@muhammadjuma8457
2 ай бұрын
Hapana hakikisheni ikiwe kuna makosa wacha yasemwe kua Maka sio kigezo twende kunako usahihi
@user-hw5zu2vc3m
2 ай бұрын
Weee ni mpuuz upo tu
@user-sx8rq9ku8u
2 ай бұрын
Sasa sisi tunafaidika nn apo shekhe…? Kama makosa ni ya kwao then unatuambia sisi how?😂
@shabanihugo8332
3 ай бұрын
Wew ni mchanga ktk elimu bwana mdogo
@mzeerajab9154
3 ай бұрын
Uchanga na upevu haviwi hoja katika dini.Dalili ndio inayotakiwa.
@isaliisu3408
2 ай бұрын
Naona hawapingi hoja wanakupinga wewe ukiona hivyo ujuwe umewashika na kwasababu limefanywa saudiya masafi utagombana nao
@khalifakyabitara4761
3 ай бұрын
Dogo soma kwanza vizuri ndo uje ufundishe
@abuuhumaidsalumassalafiyy3688
2 ай бұрын
Nenda ukasome vizuri babu mana sio shekhe kasome aina za kuleta takbira
@dullahsaleh8507
2 ай бұрын
Wewe uliesoma tupe elimu.
@KombHaji-dr5pd
3 ай бұрын
mashalahw mwalimu haji hatamim nimesoma hovyo hivyo ktk mazihab ibazi unaleta takib paletu unapoleta takibr unapoham ktk nguzo
@faridfrefre35
2 ай бұрын
Ibadhiya nibkundi potovu
@AhmedZahor
2 ай бұрын
Potofu km wewe
@hafidhbakari6529
3 ай бұрын
Lakini hayo maneno ukiyatamka yakiendana na kitendo si yatatoka maana yake.mfano Aallaahuu akbaar ni sahihi hivi
@user-hl6ct9gc1x
2 ай бұрын
Rudi ukasome! bado sana.
@ChamaChaMapinduzi-qz5ni
2 ай бұрын
Huyu nae anataka kiki
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
2 ай бұрын
Huwez kumkosoa mtu wa makka kina na wew mwalimu wako wew ni nan? Kama hajatkea huko Madina? Nenda kasome chenga wew au unataman kunifurahisha kuzungmza wew?
@huseinsuleiman1580
2 ай бұрын
Acha ria elimu yako haijafikia kuwakosoa viongozi wako wa dini alafu inaonyesha huwaheshimu hata wazazi wako
@user-uj2ym8ku8p
3 ай бұрын
Umepatia fedhuli wewe
@salehkhamis-ob8ln
3 ай бұрын
Nilicho gundua watoto wa sahivi wakisha kupata elimu wanajifanya wakosoaji wakubwa kwa masheikh wetu
@ttyyyyuuuuuu
Ай бұрын
Comments nyingi zinaonesha kuwa baadhi ya watu hawajapendezewa kukoselewa Maimamu wakubwa wa Haram, kwanza tujue kuwa Allah pekee ndie aliyekamilika, huyu Ustadh hapa katoa Hadithi inayothibitisha makosa yanayofanyika kutoka kwa Maimamu wakubwa yanayosabisha wengine kuiga bila ya elimu, maana makosa yanayofanyika katika Haram yanasababisha kuonekana sio makosa. Tupokee haki hata ikiwa kutoka kwa aduwi yetu, haina maana ukimpenda mtu ndio mkamilifu, hamna ruhusa ya kumkosoa.
@MomadeAnli-tx6uw
3 ай бұрын
Ahsante
@ibrahimjumaa538
2 ай бұрын
Alimradi na yeye kakokosoa au kaongea😂
@RashidAbdallah-xz1hi
2 ай бұрын
Nenda kasome kwanza halaf em jifkirie una akili timamu kweli ww
Пікірлер: 242