LYRICS
VERSE 1
Mhh mh mh aah !
Uuh lalala leh !
Aah aah ah mh !
Madharau manyanyaso, mbona kwangu yamenizidi
Najiuliza mimi nashindwa pata majibu aah
Kisa mi yatima, sina baba wala mama (aah mama)
Kutwa wa kuteswa, usiku nalala njaa (aah mama)
Sijui nilie, sijui nifanyeje, na wapi niende mama
Huenda pagumu uliponiacha
Kutwa nasota maisha magumu napitia aah
Tongwe napokonywa, nanyimwa hata maji ya kunywa
Sijui nilie, sijui nifanyeje
Na wapi niende mama
Mana pagumu uliponiacha
CHORUSE
Mi nawamiss, Mi nawamiss, Mi nawamiss
Baba na mama
Mi nawamiss, Mi nawamiss, Mi nawamiss
Baba na mama
VERSE 2
Uuh yeeh
Ola lala lala ola ola
Prince again
Huku mama mlipo niacha
Mwenenu yatima mi nateswa
Huku kuishi bila wazazi, mchana kutwa mimi nateswa
Najua hunisikii, ila mama mimi wacha niseme
Maji yamezidi unga, ila acha mama nikwambie
Kazi ngumu mi ndo ninazifanya (nanyanyaswa sana)
Kipofu wa watu sina hatia (naonewa mama)
Mimi sijui nilie, sijui nifanyeje
Na wapi niende mama (mimi natamani niwafuate)
CHORUSE
Mi nawamiss, Mi nawamiss, Mi nawamiss
Baba na mama
Mi nawamiss, Mi nawamiss, Mi nawamiss
Baba na mama
Mama is Solo Music which tell about ophan kids left by their parents, whose come to surffer from step-mother who treat them badly and harsh, then children after a long suffering decide to move out from home and run away to street and be the street children.
This story give us a lesson to not give the suffering to such kind of kids.
WE HOPE YOU LEARN A SOMETHING FROM THIS SONG
For more, give your oppinion at comment section or contact us through:
+255763489924
Негізгі бет Музыка Mali stars - MAMA (Official Video) by Frenxion &Chris boy
Пікірлер: 24