Na hawa ni wale wenye ujasiri wa kusema bado wale wanaosema namuachia Mungu RIP JPM😢
@omarykitenge8283
Жыл бұрын
Huyu Mama ni Mtu na Nusu, how does she get such massive power in business.... An example to keep learning..
@catherinecostantino2034
Жыл бұрын
Mtu na nusu nimeipenda hii
@mwalimumstaafu8529
Жыл бұрын
Kwa kweli Magufuli alikuwa jembe. Ndoo maana maafisa wengi serikalini hawakumpenda. Tutamkumbuka sana Magufuli.
@zuenakimbago9545
Жыл бұрын
Wallah magu angekuepo hao tra wote kaz hawana na huyo mwigulu angejiuzulu bila kupenda. Ooooohh R.l.P mwendazake😭😭😭😭
@mhinahalfan2694
Жыл бұрын
Haya matatizo yalianzia kwa huyo mwendazake, ukiwa sio mfanyabiashara huwezi kulijua hili. TRA wakati ule walichukua fedha za wafanyabiashara kwa nguvu na hakuna aliyepewa nafasi kama hii ya kuhoji. TRA iliua watu kwa pressure kufuatia kufunga account zao na kuwabambikia madeni,, ukienda tofauti unapewa kesi ya uhujumu uchumi.. Msiongee kishabiki
@malandojames5151
Жыл бұрын
Waziri mkuu ukiona watu wanafunguka kiasi hiki, ujue watu wanaimani Sana na wewe. Kiukweli mamulaka ya mapato mh!!!!
@emmanuelmorris5083
Жыл бұрын
Angekuwa magu TRA Jana kazi wangekosa hapohapo bila mjadala
@EdinaRaphael
Жыл бұрын
Ndio mjue kwamba Magufuli Alikuwa Raisi😢
@lidyakisoka-is4ru
Жыл бұрын
Tatizo sio Magu tatizo ni uzalendo wa Kiongozi,alikuwa anasema matajiri anataka waishi kama mashetani?yy ndo mwanzilishi wa ili
@hawahabibu3881
Жыл бұрын
@@lidyakisoka-is4ru Hujui ulisemalo
@robertmasule4819
Жыл бұрын
Kaka hujui ulisemalo, magu alikuwa yupo vzr Sana kuweka nidhamu
@dianakalimba1109
Жыл бұрын
Kbsaaaa huu uozo usingekuwepo
@mohammedsururu4047
Жыл бұрын
Tuulizeni cc wakulima wakorosho kuhusu magu
@EdithaDickson-ob5yw
Жыл бұрын
Kwakweli TRA inatunyanyasa sana yaani wafanya biashara tumekua kama watoto wa kufikia Kwa mama wakambo asiye na moyo wa Imani hataaaa.
@winifridakasibu2900
Жыл бұрын
Yaani ata ss bukoba ni hivyo2 wanatukomoa
@kazumbelive1987
Жыл бұрын
ukiona mwanamke ana ndevu ujue ana akili sana.
@willykaovela5485
Жыл бұрын
ndevu na akili nini 😅😅😅 bro hii ni hormone za kiume tu
@JAYSON.J.KILAPILO-pi1yl
Жыл бұрын
Umenenaa mubashara sanaa Ndugu yangu @kazumbelive1987. Mungu akujalie maisha marefu damu yangu.
@pendo8082
Жыл бұрын
@@willykaovela5485 mbona mie ninazo😂😂😂
@himidijenga535
Жыл бұрын
Ni kweli haswa
@MwanaidiRulimbiye-uf1mr
Жыл бұрын
Hakika hujakosea ila zinakera sana tunakuwa kama wanaume
@festohaule9716
Жыл бұрын
Hivi Hawa ni Wazawa kweli eheeee!!! Mbona kama sisi ni Wakimbizi tu..Kwanini Tanzania..R.I.P. Magufuli... Tanzania itakulilia Daima milele!!!!!!
@damianimarusu721
Жыл бұрын
P Pp
@shabanialfani5394
Жыл бұрын
Hii Nchi kuna Watu unaweza kuwadharau kumbe ni Mabilionea. Wewe mbona bado Msichana hayo Mabilioni umefanyaje kuyapata? Kweli riziki ya Mtu
@umubyeyisandra
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kwa kweli
@mozaaly3487
Жыл бұрын
Riziki anatoa mungu usijadili kapataje unakufuru .mungu humpa amtae na kwa muda wowote .umasikini na utajiri yote ni mitihani ya mungu anakuangalia utashukuru au utakufuru Mwenyezi mungu(s.w) atujajalie wenye kufanikiwa na mitihani aliotujaribu
@pendo8082
Жыл бұрын
Wenye pesa wakogo kawaida sana
@mwitaagness455
Жыл бұрын
Wala huwa hawaonyeshi, na ukimuona hapo wala huez jua, sas wewe uwe na vimilion vyako unatembea kwa maringo hatari
@shabanialfani5394
Жыл бұрын
@@mwitaagness455 😜😜😜😜
@stanleynombwe4865
Жыл бұрын
Mwanamke Sasa awe jasili Kama huyu sio Kama Hawa nguchilo wahuku kitaa wa kutuma na yakutolea ❤❤❤❤❤
@jrrashidi8955
Жыл бұрын
Sisi wa Tanzania niwashenzi sana atuoneani uruma atakidogo
@RIZICKZEBEDAYO-fy6gm
Жыл бұрын
Wazili mkuu mheshimiwa wetu kiukweli liangalieni Hilo hawa tra wanawavuluga sana wafanyabiashala.pamoja na polisi nao wanakelo sana
@nicodemuswidambe5132
Жыл бұрын
TRA Wamekuwa miungu watu. Utaratibu wa kudaiwa kodi wakati muda kampuni au jina la biashara inaandikishwa ni upuuzi mkubwa.
@jamilajamila4572
Жыл бұрын
Mama bonge anahera lak8n nchi ya tz inzazambi sana
@BunjuBase
Жыл бұрын
Hivi mwingulu si ajiuzulu tuu.huyu mamaake nahisi hajiwezi kwake
@lailalaila8206
Жыл бұрын
Harafu wabunge wanasema mama hanaupiga mwinyi kwa sitairi hii kweri kupga mwinyi kwa kuwaibia wananch kweri haki itemdeke
@shaabanramadhan6770
Жыл бұрын
Hii nchi ya kishenzi sana inaviongozi washenzi walafi
@wanguwangu34
Жыл бұрын
inatisha mpaka unatoa machozi, huyu dada ni mfanyabashara
@lameckmbele5901
Жыл бұрын
Mungu awasamehe sn hawa viongozi kwani nimataperi sn ugumu wa maisha tunaopitia watanzania ni kwasababu ya TRA
@abednego3876
Жыл бұрын
Magufuli angewaita ikulu chap, bi fulan yupo bize na mambo ya hovyo
@injilinjeyakutazakanisa
3 ай бұрын
Hii ndio nchi yetu, Mimi sijutii hata kdg kutoka huko. Tunawaambia mnawaumiza watu hawasikii. Na kushauriwa hawataki
@alexanderdustan8872
Жыл бұрын
Chadema njooni huku mseme maana mlikuwa mnasema Jpm alikuwa anaonea wafanyabiashara je haya yametoka wapi ?
@PhilipoBukombe-qs9or
Жыл бұрын
Yaani hii nchi Kuna watu wananyanyasika kama wakimbizi
@mwitaagness455
Жыл бұрын
Yesu wangu nyie...
@petromsomba4523
Жыл бұрын
Pole mama mungu atasimama upande wako
@maganeyxasan8768
Жыл бұрын
Kweli noma
@sheryphamwenevalley6124
Жыл бұрын
nchi imeoza rushwa rushwa.kila ukicha
@HellenLemilya
3 ай бұрын
Waziri mkuu wetu ana busara ya kutosha umeenea kiti chako
@helencyprian8745
Жыл бұрын
Yaan TRA TRA TRA sijui kama watamwona Mungu siku ya mwisho
@arqaammsongelwa7567
Жыл бұрын
Oko sahihi boe,ila kwawakati huu hakuna atakaekuelewa kwakua wote wana perpressure juu ya yanga yao
@othumanomari1589
Жыл бұрын
TRA mhu lnna Lillah wainnaillaihi Rajiun 😭😭
@issamagambo1879
Жыл бұрын
Rest in peace magu
@jumamavind7713
Жыл бұрын
Hawa wafanya kazi wa TRA inaelekea baazi yao niwatoto wawakubwa ndiyo mana wanakuwa vibiri sana kwwafanya biashala
@allyfutto8763
Жыл бұрын
Aibu aibu aibu kwa serikali ya Tz kushindwa kudhibiri RUSHWA kanakwamba inaruhusiwa rushwaTz🇹🇿
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Mhmm hichi chombo TRA ni hatari sana mtu anamkopo bank mzigo umezuiliwa yani sijui watu waishi vipi
@KabijSaib
Жыл бұрын
Bilion 10 sasa hata upewe huo mzigo jaman ufanye biashara,itapatikana?????
@princekarani7836
Жыл бұрын
Haiwezi kurudi,labda useme urudishe pesa kiasi basi tu
@idrissaomba8803
Жыл бұрын
nazani Marehemu angekuwepo hawa jamaa wangelala ndani
@laurentraphael5470
Жыл бұрын
Watanzania wanapitia mambo magumu sana.
@umbaliche
Жыл бұрын
Hii story haijakamilika, CD imeruka sana. Kuna shida kubwa zaidi.
@hilmialjahdhami9787
Жыл бұрын
Huyu mama anasema aja fanya biashara miezi minane pesa ya kununua nyumba mtaa wa nyamwezi na aggrey bilioni 10 kapata wapi? Huyu mama anatakiwa achunguzwe kiundani sanaa. Hujafanya kazi miezi minane alafu leo ukanunue nyumba bilioni kumi aaaaaahhhhh jamani kweli Tra wanazingua ila watu kama hawa tuwe makini nao
@swalehemrombo9301
Жыл бұрын
@@hilmialjahdhami9787..Kila biashara inauendeshaji wake na inajitegemea we mbn una chuki na mama wa watu.!? Kwahiyo asizungumzie changamoto za biashara ya nguo aliko wekeza kwa sbb ana Mali nyengine.!? Au wewe sio mfanya biashara.!? inamaana hujui km Kila biashara Ina mtaji wake na ili ikiwemo inatakiwa ijiendeshe kutokana na kile ulichowejeza.!?
@annahmwakabenga3877
Жыл бұрын
Hongera sana kipenzi
@petermwanyondo5370
Жыл бұрын
Hawa tra wa Tanzania inatakiwa cku moja wapewe maduka yakuuza hata miez miwili alafu wafatiliwe mapato maan wao wananyang'anya hela zawatu hachukui kod nais vile2 masomo yao yakikodi hayako saw igen nchi jilani
@yasinichankanda2090
Жыл бұрын
Yaani hiki kikao laiti magu angekuepo idara ya TRA wote wangepigwa chini wote na waziri wa fedha angetenguliwa hapo
@FekiHappy
Жыл бұрын
TRA jamani watumbuliweeee
@muharamiesther5908
Жыл бұрын
TRA Wapendwe zaidi na Mungu
@KabijSaib
Жыл бұрын
Hata huo mzigo wako hauendani na hio pesa walizokutajia
@RIZICKZEBEDAYO-fy6gm
Жыл бұрын
Mh wazili mkuu Kuna wakati Hawa tra wengine wawajibishwe tunatengtena roho za watu wanao Anza kuvaa roho za ujasili
@kamrudinelias3922
Жыл бұрын
TRA wanaonea na Wanaonewa vilevile, sasa uangalie hawa wakubwa kwa sababu wakubwa wanatumia mgongo la wadogo kuhalalisha mamboz zao....na walarushhwa ndo wanadidimiza uchumi na haki.....
@suzanamwangingo2995
Жыл бұрын
Jamani jamani wazili msaidie huyu mama
@isaiahthomas3059
Жыл бұрын
Huyu nae wazir mkuuu siyupo hapoo
@احمدالتميمي-س5ق
Жыл бұрын
Ndomaana Maisha yanakuwa magum njia zakuingizia pesa wameziharibu
@theodagharo3069
Жыл бұрын
Yaani mbn tunateswaa hv
@linuskhamsonda9206
Жыл бұрын
watu wanauliza hivi Term Kuubiga mwingi kwa hali hii Bungeni liendelee kutumika?
@yassinhamza1969
Жыл бұрын
Tanzania nchi ya hovyo kweli kwenye madini wageni mnawasamehe Kodi wazawa sasa wanavyokabwa
@RichardKafwa
3 ай бұрын
Pole mm
@farajiissa560
Жыл бұрын
Mm sina iman na hii serikal ya dhaifu ya majangili magendo
@emmanuelbonifas2804
Жыл бұрын
Nchi yetu lkn tunaishi kama watumwa jaman hv watu wenye dhaman serikalin kwnn mnaona wasio na ajira kama machizi tu
@amenyemwansile6919
Жыл бұрын
Hayo ni manyanyaso ya serikali kwa raia wake
@shijathedon5453
Жыл бұрын
Dah 😢
@suzanamwangingo2995
Жыл бұрын
Watu wanabuliwa jamani .ila naimani na majaliwa atawasaidiq
@allyfutto8763
Жыл бұрын
Dhurma imeshika hatam rushwa shikamoo 🇹🇿
@kiehbhzh7044
Жыл бұрын
Duuh mtihan sn wallah tz wanatia aibu kwa tabia zao chafu😢
@annasamba8478
Жыл бұрын
Mama pole mungu ata simama
@emanuelsamson-hq2jv
Жыл бұрын
Waambiee mamaanguu 😢😢
@KiongoziMwandamizi
Жыл бұрын
Mi naona TRA watafute namna nzuri ya kukusanya kodi ambayo ni fair na sio kuwindana km panya road. Hafu ni aibu polisi kujifanya TRA kwani kazi zao zimeenda wapi?
@humphrehnkya9370
Жыл бұрын
Hatari jamani
@estermwakatundu3028
Жыл бұрын
Na ambao hatuwez kuongea inakuaje?
@rabwarab574
Жыл бұрын
🇹🇿INASIKITISHA SANA😭
@masaimollel2525
Жыл бұрын
Mwigullu apumzike tuu jamani
@elizaberthbenard6413
Жыл бұрын
Hao mbwa tra hao siku yakihama wakwanza kutupwa motoni wanasiasa baadae tra
@user-pd8gx8ff6w
Жыл бұрын
Tra inahujumu uchumi wa nchi hii, hii ni hatari sana serikali inauwa wafanyabiashara wake
@fridamwamposalivemakitele2583
Жыл бұрын
Ndo mama wafanya biashara wanafunga maduka kwa sababu hiyo
@lidyakisoka-is4ru
Жыл бұрын
Yaani mzalendo ananyimwa TENDA anapewa mkenya na mzambia? Bongo viongozi ni hovyo
@kondoatown8765
Жыл бұрын
Huyu mama anapei aisee
@leopardkomba8434
Жыл бұрын
Kwa nn mkurugenz wa tra asisimamishwe!!!?
@kondoatown8765
Жыл бұрын
@@leopardkomba8434 tutamsimamisha
@mkambaselemani-ej7np
2 ай бұрын
Mbona wasomi wapo wengi fukuza haya magumegume yanayotesa watu!
@fidelfidel-jz4iw
Жыл бұрын
Tanzania wamachinga wanadaiwa billions kodi duuh sasa kama zambia ni wapo lockland bado chini hii ni aibu
@zainabubalama8869
Жыл бұрын
Tanzania inatia aibu uchafu mwingi Sana. Mwigulu na jop lako mtalaaniwa
@albertratera9096
Жыл бұрын
Wameshalaaniwa tayari
@jumambarale699
Жыл бұрын
Magufuli baba sijui nisemeje ....
@mekumeku2484
Жыл бұрын
10b???????
@josephwilliammnyune5464
3 ай бұрын
Ya wafanya biashara ni hayo. Tusubiri ya wakulima.
@ManaseManase-in3bg
Жыл бұрын
Pole mama angu 😭😭
@harithimahmoud1577
Жыл бұрын
Dah hawa TRA ndio mafisadi wakubwa wa nchi
@kasomishedrack5027
Жыл бұрын
Hii nchi ni hovyo mno.
@josephkafumu3006
Жыл бұрын
Daaaa hakyamungu tra no nyoko kabisa
@stevenemwakasimba-pt8er
Жыл бұрын
Yaani watu wako na shida maskini sasa bilion kumi vitenge hiyo haki kweli?kwan viongozi kazi yenu nini hamuwatembelei watu wa chini?bila mgomo ina maana waziri mkuu usingefichuliwa hayo
@raismalingumutz8473
Жыл бұрын
Tenda haki muongo mungu dunia mapito
@TumainiMaseta-t4u
Жыл бұрын
Rip magufuli mtetez wawanyonge
@fadhililihinda6491
Жыл бұрын
Daa
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
Now nchi wanakla wakbwa t dadeki
@bonifasiemanueli21
Жыл бұрын
Inatia Huruma kabisa,TRA wanakera
@abdallahkassim318
Жыл бұрын
Haya yote si kwamba serekali hawajui, wajanja ndio wataelewa
@mashabdulrahman1699
Жыл бұрын
10billion, ni TZS au dollar ya Zimbabwe, huu mzigo anakuwa ameununua kwa kiasi gani?
@anniemallagi
Жыл бұрын
,,,😂😂😂 eti dollar Za zimbambwe nimecheka kifala sana
@4hestatecompany20
Жыл бұрын
Tunakutaman uwe rais
@robertphilip385
Жыл бұрын
Katiba mpya nilazima
@jitabojilala6162
Жыл бұрын
Kuna watu wanateswa sa hivi
@NardhisMhagama-sy3eq
3 ай бұрын
Anadaiwa bajeti ya nchi hata bahresa halipi hivi
@DeboraJackson-p2n
Жыл бұрын
Naimani na Majaliwa oya oya2
@abednego3876
Жыл бұрын
Mfanya biashara atakayenunua ilo contena hapo kariakoo ni mpumbavu
@PeterMpejiwa-gz2oy
Жыл бұрын
Mahubili
@samwellwiza1098
Жыл бұрын
Hatuna wasomi....
@muhamedjaffar5653
Жыл бұрын
Kiukweli nchi yetu Inaonesha dhahiri wizi unaongezeka na akuna haki.akuna uadilif wa kazi.mtu akiwa na wazifa kidogo.anakua m pigaji.serikali mbovu.polis wizi. Viongoz wizi
Пікірлер: 168