Kusema ukweli mimi tangu nipate ufahamu sijawahi kusikia yeyote zaidi ya Yesu akiponya watu kufungua watu na kuokoa zaidi ya Yesu kristo. Ingawa dini ziko nyingi duniani ukweli hadi sasa hakuna Mungu yeyote au mtume yeyote aliye karibu na wanadamu kama Yesu kristo. Mimi nampa big up sana.
@tahirnephessalum3678
Жыл бұрын
shtuka usingizini wew... Wew yesu umemuona wapi anaponya?
@nyambochristelle7640
Жыл бұрын
@@tahirnephessalum3678 pole sana😭🤦😭🤦
@elpidiusezekiel2729
Жыл бұрын
Yesu ni Mungu, ana uzima wa milele usiokoma, ametuhadi makao mapya baada ya dhiki zoote za dunia, ata ivi leo anakupenda mpokee awe mwokozi wako.
@Teacher_01
Жыл бұрын
Tupo pamoja Mr. Everything. ❤️❤️
@stejasatv7349
Жыл бұрын
Love you ma'am
@wazomyakinifu2301
Жыл бұрын
Davista pokea maoni ya watazamaji. Kila mara umeombwa uondoe hizo sauti za muziki kwenye background. Ni unasikiliza kidogo tu halafu bado unazirudisha. Kulikoni unapenda sana hiyo miziki inaleta distraction ujue. Kwani una maagano ya kuziweka hizo kwa lazima!?
@princesysilivester5662
Жыл бұрын
Hakuna kama yesu mwokozi wa wanadam
@carolinekazi7467
Жыл бұрын
Leo mtumishi sauti imekuwa chini sana, japo mama ana jitahidi kuongea kwa nguvu
@violinenyakara5028
Жыл бұрын
Tumefika
@skeeteranderson375
Жыл бұрын
Mbavu wa dar yuko wp??mbn umakatisha
@Teacher_01
Жыл бұрын
Sheby angetujibu hili jaman.. mr Golden boy tuambie.. 🙏
Пікірлер: 15