Chumvi nyingi gang ni mkali wa hivi vitu Kama unamkubali weka like yako tujuane Mana chumvi nyingi ni 🔥
@masoudrashidmohammed4124
Yaani chumvigang ni nouma zaid ya kilo 10 wapo kwa ajili ya wa Tz na East Africa na Africa nzima hivi nauliza hua munalala saa ngapi maana kule goma la Mtaani kwetu nimeliacha epsd ya 16. Huku sasanako tena rahaaaaaa. Thnx my Team CHUMVINYINGI GANG. GOD BLESS
@user-cr8cs2qc8f
Daah.mama ashura we kiboko kumbe una maneno kungwi😂😂😂
Пікірлер: 22