Mungu naomba ufute mihuri ya kichawi niliowekwa, huwa nachanjwa usiku na pia huwa napaa na hujiona nipo juu ya anga, na naona miji mizuri chini nami nipo juu. Naomba mtumishi uniombee 🙏 09.01.24.
@gkoejohnkkzlsbbrj6303
7 ай бұрын
Mungu wamazaboa ya mutumushi pasteur Dominique kiboko ya wachawi naomba unguse tumbolangu naminiitwe mama kwa jina la yesu christu Amen
@BernadettarKalama
11 ай бұрын
God bless u more pastor
@HellenLucia-qs4hx
4 ай бұрын
Mungu wa paster Dominic naomba ufungue maisha yangu,ufungue nyota yangu kwajina layesu amen
@RoseKimaro-o6n
9 ай бұрын
Amina nabii lazima nifike buzz kwa uwezo wa Mungu
@MargaretKanini-q1e
8 ай бұрын
Nabii wa mungu.naomba mke mwenye analalia kitanda changu na mume wangu aondoke leo. Na mwenye aliotutenganisha na mume wangu kama ni kiuchawi akufe fefefe!!! Ndio watoto wangu wapate furaha.
Bwana Yesu naomba ufute laana mikosi balaa mizimu na mauti za kuonewa na wachawi
@HellenLucia-qs4hx
4 ай бұрын
Ni chanel gani kwenye azam?
@perrymagitta7783
9 ай бұрын
Mungu teketeza waganga na wachawi wote duniani"Amina"
@eliaikangui6543
10 ай бұрын
Naomba Bwana Yesu watoto wa maadui zangu wanitunxe
@sabinaboas6760
2 ай бұрын
Amen 🙏 God is good
@JeskaKimanda
4 ай бұрын
Naomba Mungu aendelee kukutunza kwa ajili yetu
@MargaretKanini-q1e
8 ай бұрын
Woi mutumishi.i wish i knew you before my mum cold be alive and my brother😭😭😭😭😭and also my family could not be like this.but God will help us.Amen
@anitababyderickwasike7872
3 ай бұрын
Barikiwa sana Nabii Dommy
@rahmahersi6584
9 ай бұрын
Pastor naomba namba yako ya simu na mahali Unaishi. Asante.
@MerryElias
8 ай бұрын
Amina mtumishi tafika buza kwajina la mungu naamin mateso yangu ya ameishaa🙏🙏
@IssaZungu
4 ай бұрын
Nabii mm asha omari. Naomba unikomboe maisha yangu mm na familia yang
@1997Filee
2 ай бұрын
Amen 🙌
@SifaMwashite-dg3bl
9 ай бұрын
Eee mungu nisaidie mimi niko marekani nateseka saana na chumaulete nateseka nakukosa kazi nataka mungu wa kiboko ya wa chawi nataka nifunguliwe nipata kazi mwezi huu yakudomu kwa Jina la yesu kristo
@arafasaidi2723
7 ай бұрын
Mungu. Nipe. Maono. Ysmsrazi. Ysngu
@juliambatha7485
9 ай бұрын
Pastor Niko na shida chungu mzima,nimeteseka sana .Mimi ni mkenya nsaidie nabii
@elishaathumanathuman16
9 ай бұрын
Powerful powerful
@marykisaka-m7o
4 ай бұрын
Mungu naomba urejesho wa familia
@Calvin-h9c
4 ай бұрын
Mungu nikumbuke na mimi
@HappyRaphael-i5b
4 ай бұрын
nabiiii mme wangu mwezi watatu sasa amevujika mkono na bado haja pona naomba maombi yako mtume
@AnethRitte
11 ай бұрын
Naomba Bwana Yesu aniponye kichwa
@sabinaboas6760
2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥×7
@BIGSTAROGTZ
8 ай бұрын
Nice🎉🎉🎉❤
@KazKaz-k5f
4 ай бұрын
Ameni ameni
@sabinaboas6760
2 ай бұрын
Jesus Jesus 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Jesus Jesus
@SarahKelvin-w7z
7 ай бұрын
Naomba yoyote anaecheza na afya yangu afr
@ComasOgiro
9 ай бұрын
Amina amina
@winfridakalinga-vy2hb
4 ай бұрын
Baba nabii Mimi winfrida mponye mama ulimuombea jumamos ulisema Leo tukupe mrejesho anaumwa sana msaidie baba
@EmmaShaban-m8u
11 ай бұрын
Baba naomba na mimi siku mungu akuguse unione unisaidie maana sio kwa taabu hizi ninazopitia
@jasmineomary4325
7 ай бұрын
Na mimi ndowa yangu naami itafunguka tu haijarishi mume wangu anaowa owa ila kupitia mungu wa kiboko ya wachawi mume wangu atafunguliwa na mimi nampambania kimaombi kwa sadaka na kwa kutoka Zanzibar kuja kwa nabii kiboko kwa mwezi mara 1 naamini ipo siku virivyo silini vitafunguka
@MariamSabuni
6 ай бұрын
Baba naomba maombi yko nateseka sana na kansa nmetibiwa lkn bd imeniludia apa nlipo cna ata ela nmefilisika kbs naomb watu walionifanyi hv wateketeze wote kwn nateseka sna pia naomb uponaji baba
@emmyandrew8670
11 ай бұрын
Mambo ya.Mungu makubwa sana
@MargaretKanini-q1e
8 ай бұрын
My Name is margaret came from kenya
@mwizanchuroeustace9302
6 ай бұрын
Nabii nitabirie maisha yangu yamekuwa magumu bila mafanikio Mimi na familia yangu
@SifaMwashite-dg3bl
9 ай бұрын
Eee mungu nisaidie unapogusa wengine na mimi nigusa
@jasmineomary4325
7 ай бұрын
Mimi nabiii siachi kuja kwako japo nakuja kwa mwezi mara moja natokea Zanzibar mimi lucy ipo siku nitafunguliwa tu na mimi
@JayMusic-fd7dm
3 ай бұрын
Nabitabir juuyangu🙏🙏🙏
@MargaretKanini-q1e
8 ай бұрын
Naomba uniombee kabula ni lundi kwetu niwe nimefunguriwa na nyumba yangu yote na familia yetu yote.
@DamasjoachimPetro
6 ай бұрын
God of kiboko ya wachawi nikumbuke
@SifaMwashite-dg3bl
9 ай бұрын
❤😂
@AgnessNjoz-ex2mp
11 ай бұрын
Nabii ubarikiwe Sana
@ItonIsack-yj6me
9 ай бұрын
Nabii naomba uniombee matokeo yangu ya kidato cha nne npate ufaulu mzuri na mkubwa
@NeemaMkami
8 ай бұрын
Mimi mtumishi nateseka tangu niingie kwenye ndoa ni shida na misiba na sielewi nisaidie baba
@maryinyas9320
8 ай бұрын
Naomba Mungu aniponye tumbo langu la uzazi kwa annointing ya nabii huyu.
@ngenabuloze9984
5 ай бұрын
Baba nisadie namimi
@niyiesther6571
8 ай бұрын
Na sisi wanao tutesa baba tuwaone na wafe Kwa JINA la YESU KRISTO wa NAZARETH MUNGU MKUU ALIE HAI
@JoanithaPhirbet
4 ай бұрын
Endelea kutuponya babaa
@niyiesther6571
8 ай бұрын
BWANA YESU KRISTO tuponaye nasi bwana
@DominicaKimario-di7ux
3 ай бұрын
naomba baba umuombee mwanangu dorice anaenda arusha kufanya itavfwuu arusha anaomdoka nabasi sasaivi kesho asubui anaenda tren bemdoni
@neemamwanga5447
3 ай бұрын
Hamna uchonganishi ndio ukweli Tanzania hatupendi ukweli tumezoea Kona kona
@MeshakShedrack
5 ай бұрын
Kiboko.niombee nipate pesa.kila Siku Wachawi.wafe Wote
Пікірлер: 80