Simba SC imemtambulisha rasmi Elie Mpanzu ambae alikua anahusishwa na Simba kwa muda mrefu sana tangu dirisha kubwa la usajili,
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22 anauwezo mkubwa sana wa kufunga na kutengeneza mabao
Heavyweight Dullah anatupitisha katika Mambo usiyoyafahamu kuhusu Fundi huyo mpya wa Simba SC
Kama unahitaji kuungwa kwenye Group letu la Simba Pro tuma ujumbe kwa namba 0626629644 ili tuweze kukuunga kwenye group letu
Негізгі бет MAMBO MATANO (05) USIYOYAJUA KUHUSU ELIE MPANZU/FUNDI MPYA WA MSIMBAZI
Пікірлер