Kwa wenye kutaka kuomba msamaha ni muhimu kuzingatia mambo yanayofungamana na tawba.
Kwanza kuwa na yakini katika kuomba msamaha kwamba utapata kukubaliwa dua yako.
Pili, mola hakubali dua kwa moyo uliyoghafilika, moyo na ulimi wako lazima kuambatana na uwepo wako.
Негізгі бет ''Mambo MAWILI yanapelekea DUA kukubaliwa na Allah!'' Sheikh Jamaludin osman
No video
Пікірлер: 1