Eshe huna jipya ndugu yangu.fanya mambo yako na uache makasiriko
@lelaiddy6856
2 ай бұрын
Mi namkubali Esha,Hataivyo aende asiende kumzika hawezi kumfufua..Kikubwa wafanye kazi riziki mbona wote mnapata..
@FirdausyAbubakary-bl2wo
2 ай бұрын
Kabisaa hakukua na haja ya maneno jamaniii
@Maduga_gang
2 ай бұрын
Kama unamkubalo tv ya miladiayo like hapa
@Stellastella-yi5vu
2 ай бұрын
Mungu akikupenda inatosha dada, upendo wa Binadamu wa mda mfupi. Jiweke karibu na Mungu piga Kaz tuzo achananazo maana hamnaga haki duniani , shukuru Mungu uu mzima
@ASHAKHAMISMUSSA
2 ай бұрын
Ila wasafi nao wachonganishi 😮😮😮 mara wamwite shilole ,mara eshe
@vibetz9991
2 ай бұрын
Wanarogana dadeq😂😂
@Fevourbgodwin
2 ай бұрын
Jamani mbona sasahivi mambo ya ugomvi hakunaga sasaivi tunafuta pesa na na kuweka Sawa familia zetu hebu msituchanganye bana pikeni lisheni watu mpate pesa zihudumie familia zenu🤨🤨🤨
@christophermsekena616
2 ай бұрын
Wanawake akili zao utakuta huko kwenye ujana wao walishawahi kuchukuliana mabwana, mashabiki wanadhani wanagombea tuzo kumbe wana yao😂😂😂
@OfficialA83640
2 ай бұрын
Swali liliulizwa leo na Dida lkn Esha kajibu hakuwahi na yy Esha ndy alikuwa msuluhishaji wa mapenzi yake kuanzia kwa Nuhu Mziwanda
@rosemneney3244
2 ай бұрын
We wanawake pamoja na mamayako au mamayako dume jike
@spreadlove5300
2 ай бұрын
Sasa kwenye ujana wao kwani sasa hivi umewaweka katika age group gani 😮😮
@oman1oman179
2 ай бұрын
Mambo ni mazito kweli
@aboubakarkinemotv7169
2 ай бұрын
🎉
@givenessdavid3743
2 ай бұрын
Pole Yao
@ashurajengela3926
2 ай бұрын
Shilole alimuonea sana snura saizi amekutana nacho chuma chenzie anaropoka sana uyu 😂😂😂
@surusuru1994
2 ай бұрын
Shilole abuguze mudomo mara sinura tena nahuyu mama buguza maneno shilole
@alfredamapunda1321
2 ай бұрын
Sasa ndo Nini hivo nyie wote ni WA mama alafu munafanya hivo ata havileti maana acheni ujinga huyo ndo maana wanasema wanawake hatupendani😢😢
@LovelyOmbreSky-pu4jt
2 ай бұрын
Maisha ya duniani ni mafupi sana jamanii tuwe na hofuu ya mungu
Hana maendeleo yoyote anapewa pesa za mikopo na misaada kutoka serikalini kwa wakubwa wanamsapoti na kulia shida kila siku!
@esabelfadhili8432
2 ай бұрын
@@fatmaabdallah7709 mkopo ni kawaida sanaaaa hadi serikali inadaiwa,mfanya biashara ambae hana madeni huyo jangili...Mtu unakopa unafanya marejesho that it..Halii shida kwa wakubwa mpumzisheni huyo dada anapambana,Kujulikana na wakubwa isiwe loop of hole ya kusema analia shida.
@fatmaabdallah7709
2 ай бұрын
@@esabelfadhili8432 kama anapambana awaache na wenzie wapambane kujuana na wakubwa isiwe shida ya kudharau wenzie kamkuta mwenzie anapika wala hana vishindo!
@shyfettymtunda4619
2 ай бұрын
Mnazidi kutufanya watu wanene tuonekane hatunaga akili.😂😂
@yassinmrishoyassinmrisho6573
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@husseinshabani9522
2 ай бұрын
Mambo madogo tu....mnaapizana kihivyo....
@OmanOman-ru4eu
2 ай бұрын
Kwa hiyo mmeamua kuzima sanda zetu au 😂
@LindaMbilinyi-n3n
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂zip Tena??
@shyfettymtunda4619
2 ай бұрын
Ubaya Ubwela😂
@LindaMbilinyi-n3n
2 ай бұрын
@@OmanOman-ru4eu 🤣
@OmanOman-ru4eu
2 ай бұрын
@@LindaMbilinyi-n3nile Jerse yetu ya ubaya ubwela😂😂
@LucyNgowi-m5z
2 ай бұрын
Basi unajua kupika tumekubali maneno mengi ya nini?Esha
@farhannahkulishwaburekunam5360
2 ай бұрын
Tunataka mashindano y upish nani mkali kura zianguke tutapia kwa mtandaoni halafu mama samia atahesabu
@SwahiliSister-o5v
2 ай бұрын
Mtihani huu binaadamu wamekua dhaifu sana kuwaona watu wamesimama kwenye biashara mnagombanisha watu
@Samwelkhan-v4m
2 ай бұрын
Kwani VAR ndo itakionjaa hicho chakula na kuamua maamzi naomba Kujibiwaa
@hellenmassawe7284
2 ай бұрын
Weeee dada pika Achana na kuchafuwa moyo
@mwanamisimwangaro8001
2 ай бұрын
Hii ni dunia sote niwa kupita ndugu zangu na zote starehe za dunia ambazo hazina faida yyote ....ssa mmefika mbali kwa 7bu ya dunia acheni ugomvi na mabishano ...daa esha wasema makosa hivyo
@hellenmassawe7284
2 ай бұрын
Tafuta Ela Achana na mambo ya kufa
@farhannahkulishwaburekunam5360
2 ай бұрын
Shishi roho mbaya ndi ya roho anatoa mpaka ya kuwa wewe sio tz yote yanini ni inamaana anatamani hapo kijito nyama awe pekebyake ana choyo pua kumuona mwenzio anauza chakula yaani anachuki ndani ya roho
@tatuaamuuinyi9633
2 ай бұрын
Tuzo ni vita kumbe
@lunangabenjamin3121
2 ай бұрын
Kwanini wateja wao wasipige kura tuone nani mkali ,kwenye jiko kweli,kweli.vema mzidi kushindana kibyashara msipendane hakunaga udugu kazini,ili tupate mshindi,lakini msipigane hatutaki mashindano ya ngumi,tunataka.mkali jikoni.
@najmahamisi3511
2 ай бұрын
Esha mkali Sana anajuwa kupika kuliko shishi bwana
@MarthaMoris-zg2bj
2 ай бұрын
hawa niwalabu wapemba wajuana kwavilemba mda utaongea
Пікірлер: 45