Tupo Pamoja Mzee nasubiri nafasi ya interview. Asante kwa fursa na vijana tupo wengi
@machingadsmsaccosltd.3029
2 жыл бұрын
Naomba na kushauri kuwa waambieni hao wasairi kwamba Tanzania kuna vijana waliopo kwenye kundi la “Machinga” ambao wanazidi umri huo wa miaka 35 na ni Darasa la saba lkn nao wanahitaji ajira angalieni namna ya kuwagusa kupitia nafasi hizi na nyingine #Keki ya Taifa tushiriki wote Best Regards Namoto Yusuph
@nassirmohamed8114
Жыл бұрын
Asalamu aleykum vipi hali tulofanya interview hii wengine mpaka leo hatujaondoka sijui kwa nn
Пікірлер: 5