ᢰLYRICS REIMAGINED & COVER IMAGE PROMPT - AKILI MNEMBA :
[Start]
(Guitar Musical Intro)
(Pre-Chorus)
Wanafki-nafki watu wa kupakazia,
Yasiyo-wahusu wao kuingilia,
Maneno yao ni kama ya simba - ukiyasikiliza lazima utaaminia!,
Wanoook-nok,
Watu wa kusingizia,
Na vya watu - washkaji wanavirukia!,
Wamejaa uongo - Ni wao wenyewe ndio waliopotea!,
(Guitar short Melodic Interlude),
(Chorus)
Huu nii usawa wa ukweli na uwaaazi!,
(Ukikorofishana na mtu!),
Uki-korofishana na mtu! bwana!,
Semezana naye,
Na-sio Maisha kumpotezea!,
Huu nii usawa wa ukweli na uwaaazi!,
(Ukimchukia mtu bwana!),
Ukimchukia mmmtu!,
Semezana naye,
Na-sio Maisha kumpotezea!,
(Guitar short Melodic Interlude),
(Verse)
WVP,
pale kwa mdosi nakumbuka ndipo tulipokutana,
Nikapata heshima ya kuediti video yenu sana,
Sanaa, ndio ilikua mtoko wetu vijana,
Tukaendelea kukutana tena na tena dantauni sana, sijui kilichokupata mwana, ila nilichosikia hakina maana, najua ni Chuki tu, Najua ni Adui tu, Wakiona mtafutaji unakaza sana, huwa zinaanza sababu na lawama, Najua - najua kaka ukweli anaujua Maulana!,
(Pre-Chorus)
Wanafki-nafki watu wa kupakazia,
Yasiyo-wahusu wao kuingilia,
Maneno yao ni kama ya simba - ukiyasikiliza lazima utaaminia!,
Wanoook-nok,
Watu wa kusingizia,
Na vya watu - washkaji wanavirukia!,
Wamejaa uongo - Ni wao wenyewe ndio waliopotea!,
(Guitar short Melodic Interlude),
(Chorus)
Huu nii usawa wa ukweli na uwaaazi!,
(Ukikorofishana na mtu!),
Uki-korofishana na mtu! bwana!,
Semezana naye,
Na-sio Maisha kumpotezea!,
Huu nii usawa wa ukweli na uwaaazi!,
(Ukimchukia mtu bwana!),
Ukimchukia mmmtu!,
Semezana naye,
Na-sio Maisha kumpotezea!,
(Guitar short Melodic Interlude),
(Bridge)
Itakuwa huzuni kwa ndugu na masela,
Safari yangu itapofika kwenda ahera X2,
Mtabaki mnaniomboleza,
(Alazwe pema peponi kamanda)
Alazwe pema peponi kamanda
Mtabaki mnaniomboleza,
(Alazwe pema peponi kamanda),
Alazwe pema peponi kamanda,
Itakuwa huzuni kwa ndugu na masela,
Safari yangu itapofika kwenda ahera X2,
Mtabaki mnaniomboleza,
(Alazwe pema peponi kamanda)
Alazwe pema peponi kamanda
Mtabaki mnaniomboleza,
(Alazwe pema peponi kamanda),
Alazwe pema peponi kamanda,
(Guitar short Melodic Interlude),
(Pre-Chorus)
Wanafki-nafki watu wa kupakazia,
Yasiyo-wahusu wao kuingilia,
Maneno yao ni kama ya simba - ukiyasikiliza lazima utaaminia!,
Wanoook-nok,
Watu wa kusingizia,
Na vya watu - washkaji wanavirukia!,
Wamejaa uongo - Ni wao wenyewe ndio waliopotea!,
(Guitar short Melodic Interlude),
(Chorus)
Huu nii usawa wa ukweli na uwaaazi!,
(Ukikorofishana na mtu!),
Uki-korofishana na mtu! bwana!,
Semezana naye,
Na-sio Maisha kumpotezea!,
Huu nii usawa wa ukweli na uwaaazi!,
(Ukimchukia mtu bwana!),
Ukimchukia mmmtu!,
Semezana naye,
Na-sio Maisha kumpotezea!,
(Guitar Grande Finale Melodic Bridge),
(Outro)
•••
SUNO OPERA CRY SONG :
suno.com/song/...
🎶
IMAGE PROMPT :
African rap artist commands a grand opera stage, facing the camera with fierce determination. His black Yankees cap, worn backwards, glistens under spotlights. Behind him, a diverse African violin ensemble in crisp tuxedos fuses hip-hop rhythms with classical melodies. Hyper-realistic style captures
•••
#africanunity #boldvisions #breakingbarriers #tanzania #tanzaniayetu #africaeducation #africanprogress #gospel #clubhouse
Негізгі бет MAN-DOJO! - RIP / SONG CRY 🎶
Пікірлер: 1