Young mabingwa tenaa <a href="#" class="seekto" data-time="141">2:21</a>
@nshishiponsian8853
2 ай бұрын
Nane shekh
@sabatoongara8763
2 ай бұрын
Yanga ni tanuru acheni wafanye kazi
@mishlay8164
2 ай бұрын
Kwakweli Haji huwa anaongea vizuri kuliko Ali
@silasjacob-j2l
2 ай бұрын
acha kutembelea nyota ya ally kamwe
@kassimbawazir8300
2 ай бұрын
oya acha kashfa kwa manara yeye ndiyo kazi iliyomwajiri na ally kamwe alikaimu baada ya kufungiwa kama hujui uliza uambiwe , ally kamwe amefanya vizuri sana apewe kazi nyingine ili awepo yanga
@mahamedally5129
2 ай бұрын
Upo sahihi manara n shida
@Michaelmhina-rt3kp
2 ай бұрын
Big team
@awazioga1823
2 ай бұрын
Bugati kama bugati ally kamwe pamoja wote waaajiwa wa yanga
@JuliusiMasanja
2 ай бұрын
KAMA ALI KAMWE HAYUPO HATUJI
@noelmbise9157
2 ай бұрын
😂😂😂mzee wa madem huyo
@waziriwaziri4330
2 ай бұрын
Hi
@JumaJuma-g5e
2 ай бұрын
Arrbaah. Bin. Sufuurr
@timetravellor5367
2 ай бұрын
Naona Leo hajaja na twiga
@akilipeter1660
2 ай бұрын
haji manala ni influencer na ally kamwe ni msemaji
@JohnGoryo
2 ай бұрын
We rudi simba umeanza kumuchokonoa ally kamwe wetu
@ShalomChamgeni
2 ай бұрын
🎉🎉🎉
@SiemreTz
2 ай бұрын
Ha ha h..yanga..raha sanaaaaa
@LucyMbwambo-w4d
2 ай бұрын
Manara atafutiwe kazi nyingine ndani ya yanga,saiz amwachie dogo kamwe aendeleze alipoishia
@josephlorri431
2 ай бұрын
Yanga waanzishe kurugenzi ya wanachama/wanachama/wapenzi, na iongozwe na haji manara. Usemaji wa mambo timu abaki Ally kamwe
@richardmrosso976
2 ай бұрын
Haji ni na pale yanga?
@maarufumustwapha3055
2 ай бұрын
Acha stori nyingi maelezo marefu
@husseinbachwa8372
2 ай бұрын
Mmechemka mmetafta kibonde hamna lolote...
@ShukurkollAngel
2 ай бұрын
Manara ana uzoefu na umahiri mkubwa. Ni mtu mwenye uwezo wa kujibadili badili. Kwa mfano kuonekana Mzee na kuonekana kijana tena kijana mtukutu akaleta furaha kwenye kadamnasi. Kwa ukweli ni Mahiri sana. Huyu ana kipaji kikubwa sana. Lakini Ally Kamwe naye ni mzuri ana staili zake. Basi wote wawe pamoja tutakuwa na Klabu kubwa siyo tu kwa wachezaji bali hata wasemaji.
@mrsab303
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@AwardHakimu
2 ай бұрын
Manara hii ni karama yake.
@omaryshabani3480
2 ай бұрын
Huyu ndio mtu nilikuwa namsubiri mnoo..arudi kwenye hili soka letu sasa baasiii..mmekwishaaa..😂😂😂🙌🙌
@LindaMbilinyi
2 ай бұрын
Kaisha nan?
@mcgabby
2 ай бұрын
Mashine ya kuongea hiyoo😂
@AwardHakimu
2 ай бұрын
Namkubali sana huyu jamaa akiamia timu yoyote na Mimi ni bendera fuata upepo
@MunsiCosmas-tg2df
2 ай бұрын
Ww ni simba sema wana kusaka tonge wezako
@philemornmutta1597
2 ай бұрын
Kaizer amesha potea ndiyo anajitafta kurudisha makali yake nafasi ya 10 msim uliopita wamedrop sana
@Marjeby
2 ай бұрын
Daah wee jamaa mkariakoo mwenzangu nakupenda kama binadamu mwingine yoyote yule but sipendi hata kigodo kukuona ndani ya YANGA yetu hata kidogo. Ally Kamwe anatosha sana kwanza wewe umri wako umeisha kwenda aiseee ona aibu
@rajabumtuga7372
2 ай бұрын
Kila mtu amesimama kweny cheo chake.. unataka ukienda hela ukirud mke hawez kuw wako?
@joycemlay5762
2 ай бұрын
Kama umeona pua kama matundu ya choo like hapa
@mamboshepea8888
2 ай бұрын
Pua zako kama za kiboko!!! Acha kutukana wewe ndo umemuumba😣😣
@bahi_bay24
2 ай бұрын
Haji nakukubali sana… unaongea kwa mpangilio 🎉
@motivation-ic3nf
2 ай бұрын
Wote awa wanashindana na mtu mmoja au basi
@NasriMalogo-iz2tb
2 ай бұрын
Manara bhn linajua
@lydiamartine7970
2 ай бұрын
Sàsa kama waliwaita waandishi why wasiwaulize maswali? Hakukua na ulazima wa kuwaita hao waandishi
@GoodluckNjau-km3ym
2 ай бұрын
Broo mwachie dogo usemaji bakia na ile biashara ya kuoa na kuacha
@gabrieldoseti5729
2 ай бұрын
Mimi yanga damu awe Ali kamwe au Dila Boss Bugatti wote vyuma
@sulemanaman605
2 ай бұрын
Nilidhan kombe kumbe kikombe😂😂😂
@mashakalukinda2350
2 ай бұрын
Kiti ndo kinazuguka au mara ndo anazungusha
@MassoudAbdalla-v9g
2 ай бұрын
Inshallah kwa uwezo wake rabuka tutafika huko
@ItangoMsabila
2 ай бұрын
kamwe mic u sana mzeee nakukubal
@JummaSammata-ny5xf
2 ай бұрын
Du hii NI dhambi
@juchaonline4084
2 ай бұрын
Kichwa cha habar unauliza?au unatuambia
@silasjacob-j2l
2 ай бұрын
wanachama wanamsikiliza mwana chawa manara huko hutakiwi wala hawakuelewi mwachie ally kamwe mtoto huyo usimtoe roho baba acha kupanda gari la watoto
@allythabiti8150
2 ай бұрын
umepoteza muelekeo manara😂😂
@Shebbytvs
2 ай бұрын
Kwahyo hapo anaongelea mapishi ama yupo chooni kama kweli amepoteza muelekeo?? Je ww ulishawah kuwepo hapo alipo?
@HafidhSuty
2 ай бұрын
Maneno umemaliz simba huna la kuongea muachie mwenyewe kamwe kitu chke uto ww
@enockabumba7513
2 ай бұрын
Kabisa
@LukasIbramovic
2 ай бұрын
Sanaaaa mabingwaaas
@mrafm7285
2 ай бұрын
Mbona kama kaamka na faida
@halidimsuya-cy9bl
2 ай бұрын
Napenda haji akiongea
@HappyGrant
2 ай бұрын
Muludishe dogo kamwe Hilo
@AhmedAdan-q9l
2 ай бұрын
Kamwe mbona hajielewi jamani
@GULIELMAS
2 ай бұрын
Dawa yenu inawiva.
@HASSANBAKARI-q9c
2 ай бұрын
Ali pale kivuli tu..habar zote unazsema ww
@MohamedHamsini
2 ай бұрын
HATAKIWI ANANG ANG ANIZA BAFASI ATA ISIYOKUWEPO YANGA.... ATAKUWA MC TU HABARI TUNAZO
@abumuhammad9615
2 ай бұрын
Huna jipya mzee retire upishe watoto waendeleze gurudumu
@DavidMbwilo-qk1bz
2 ай бұрын
Mzee wa kufungiwa 😂😂😂😂 tibua tibua
@exaverysimon1064
2 ай бұрын
❤❤❤ KUMBE MANARA BADO N FIRE WANASIMBA KAZ MNAYO TUNAWAGONGA KUANZIA KWA WASEMAJ MPAKA UWANJAN😂😂😂
Пікірлер: 200