Tuliokuja kuisikiliza baada ya kusikia mandojo kafarik leo gonga like huku tukimuombea apumzike kwa amani🙏🙏
@joycebenjamin6017
Ай бұрын
Nimejisikia vibaya baada ya kusikiliza gona lake apumzike kwa amani😭🙏
@januarykapinga179
Ай бұрын
Malegend wa bongo fleva😢
@CharlesWanyeche-er6rw
Ай бұрын
Inauma aicee
@luciasoko9026
Ай бұрын
Dahhhh nimeumja sana
@JenipherKangu-ik9zm
Ай бұрын
Daaah😢
@saidwilsonnyabikwi.8242
Жыл бұрын
Ukimpenda mtu, mwambie ukweli na sio kumpakazia❤
@OderaLaw
Ай бұрын
Rest in Peace Mandojo. The circumstances surrounding your death are painful. May the prayers that our families make shine upon your soul and keep you safe. Say hello to Joni Woka, MezB wa Area C, Mr. Ebbo, Sam Wa Ukweli, NI, Ngwair to mention but few
@fahmyzicoify
Жыл бұрын
This is a blockbuster. Production & Vocals one of the best. Listening to the current music, I feel that TZ music has degressed. I don't mind paying $ for the single
@flinchclassic1531
Ай бұрын
Dojo dojo 😢😢😢😢rip
@kissamwamunyange1018
Ай бұрын
Rest in peace kaka😭😭😭😭
@ewhite2806
6 ай бұрын
2024 still here
@daudimasawa1781
8 ай бұрын
Jidee.😊
@JohnsArt.
Ай бұрын
Tulio rudi baada ya kusikia kifo chake , let show love hapa.. R.I.P nigga
@gallousgosbert4993
Ай бұрын
2024 BAADA YA KUSIKIA MSIBA GONGA LIKE KAMA UMEONA COMMENT HII.
@kaporosalum6123
Ай бұрын
Tugonge like kwa ajili ya msiba ilituonyeshe tumelike taarifa ya msiba au vipi
@kuvetamzazi8689
Жыл бұрын
Tulioirudia rudia hii nyimbo kwa sababu ya utamu wa verse ya kwanza tujuane.
@newtonvicent8694
6 ай бұрын
Daah we acha tu nakumbuka kipindi nipo darsa la Saba
@RioIpo
6 ай бұрын
Ebabaa
@dstrings508
3 ай бұрын
Here🇹🇿
@RenatusMatungwa-o7c
Ай бұрын
Verse ya kwanza kali mno
@MkundeLugula
2 күн бұрын
❤❤❤❤ wengi
@geraldkm9771
7 ай бұрын
2024 na Bado...vile hii wimbo unaanza unajipata umetengeneza clip ndio ushinde ukiskiza...hio piano is a killer
@japhetmnyeta1076
5 ай бұрын
Sanaaaaa😂
@AshuraMahamudu
2 ай бұрын
🎉♥️♥️
@jackytuyi8899
Ай бұрын
Balaaa
@marymwasiga
Ай бұрын
Sanaaa,,, Kabisa'''
@Lilmbunah
Ай бұрын
Don’t cry because he died, smile because he was here. R.i.p legend 😒
@Joseph-lu4yj
Ай бұрын
Alafu walio muuwa lazima ni vitoto vya 2000+ Mandojo hakuwa wa kufanyiwa huo unyama ulio fanyika r.i.p
@jeanclaudecitegetse7591
6 ай бұрын
Hawa ndo wasanii kabisa .sio kama kina Diamond. Truck miaka 20 bado IKO kwenye chati. From Burundi.2024
@mtaostephen3660
3 ай бұрын
Usimbeze simba,naye kafanya yake mengi sana
@francismwangi4597
Жыл бұрын
Hii dhahabu mumeficha wapi miaka yote hio? Hii hit naipenda sana. Kutoka kenya 🇰🇪
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Pamoja sana mwanangu 🙏🙌
@claymwaifwani6451
Ай бұрын
May Mandojo’s Saul Rest in Eternal Peace.
@thadeusmathiews2564
8 ай бұрын
Nime miss nyumbani kwetu jamani 😢😢REST IN PEACE washikaji tulio kua nao wakati wa hizi hits
@kevykhally4359
Жыл бұрын
Gonga like hapa kama bado unaikubali hii ngoma
@vinnynjoro4100
Жыл бұрын
Madojo domokaya na jaydee
@nundamalickofficial9538
Жыл бұрын
SASA HII APA WANANGU NDIO MY FCKN FAVORITE TRACK TANGU LONGTIME...#WANOK NOK JIDE ALIKALISHA SANA.. MAWEEEE BABA
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Salute zote
@JohnsArt.
Ай бұрын
Leo tarehe 11- 8-2024 R.I.P mandojo
@frankkajoba8372
Жыл бұрын
Muziki ulikuwa zamani, hawa kizazi cha kina diamond wamechafua muziki wetu pendwa. Nachukia sana
@frankkajoba8372
Жыл бұрын
Diamond, Baba levo, Mboso, Zuchu, Lavalava, wozu, chino, Bill nas, na wapumbavu wengine wametuletea ushenzi mwingi sana muziki haufai hata kusikiliza uchafu mtupu😢
@jasonwatz7457
Жыл бұрын
@@frankkajoba8372is why sisikilizi tena, identity ya bongo fleva imepotea kias kwamba hawaeleweki wanaimba nn
@emmanuelmichael4508
8 ай бұрын
Akili finyu hizi si urudi miaka hiyo... au umelazimishwa kuwasikiliza hao kina diamond
@japhetmnyeta1076
5 ай бұрын
❤❤❤❤nakubali hii comment yako
@frankkajoba8372
5 ай бұрын
@@emmanuelmichael4508 hata ww hujalazimishwa kujibu msg yangu kasikilize nyegezi🤣
@tonsakimwely5913
Ай бұрын
Tatizo wale walikuwa mashabiki ndio leo wamekua wasanii sema bado madogo leo awawez kufata nyayo za madingi zao respect legend
@mzeewajambo8293
Ай бұрын
Daah jamaa umekoment juzi tu
@user-suleiman71
Ай бұрын
Ladha ile ile since day one 2024🚩🚩....
@marcksonmleka4908
Ай бұрын
da!😭😭😿😿🙉🙉....hizi nyimbo nilikiwa nazipenda ila skuwah kujua nani kaimbaa...
@georgeomondi8406
Жыл бұрын
Loved this song in my teens. And out of nowhere it kept playing in my head today. Its funny how human brain can surprise you. I had to search for this song.
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙏
@nadiaamisha2958
Ай бұрын
Aisee hii dunia tunapita😭😭😭😭😭pumzika kwa amani legend mandojo
@ciphertz
Жыл бұрын
2023 still the best combo ever, good job ..thank you
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
🙏🙌
@mariammakunganya-tm4pc
10 ай бұрын
@@mandojonadomokayaĺ😊ĺlllĺ000
@ciphertz
Ай бұрын
@@mandojonadomokaya still listening 2024, nyiee nomaaa
@lenardMasota
Ай бұрын
RIP man ndojo... Daah kifo chako kimenikumbusha ngoma ya king Crazy GK..Ntakufaje but all in all rest in peace man
@nelsonmsafiri3693
7 ай бұрын
Ezi hizo kutongoza tunasema kutokea we achaa tu 2002
@makausalim1365
Жыл бұрын
Lady jaydee best forever
@gumbabruce8453
Жыл бұрын
I don't know for how many yrs have been looking for this song....but finally it's here.Shukran🤜🤛
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Karibu 🙌
@ericrakamba7572
2 күн бұрын
@@mandojonadomokayanani kafariki jamani
@shabanikhamisi4183
Ай бұрын
RIP kaka mungu atalipa kwa kifo chako
@FridaPaul-i7o
Ай бұрын
😢kwel kabisa...Allah ailaze roho yak pema pepon
@salvatorybuha4328
Ай бұрын
Just Say R.I.P MADOJO ukimpenda mtu mwambie ukweli sio kumpakaziaaa
@japhetmnyeta1076
5 ай бұрын
Kitambo Sanaa,hili goma linanikumbusha physics yote ya form two
@johnmwandule3851
Ай бұрын
Nimeumia Sana na msiba wa Man dojo kiukweli umeniuma Sana lkn hakuna namna Ni mapenzi ya Mungu
@johnmwandule3851
Ай бұрын
Mbele yetu nyuma yake
@thestonetown3302
Жыл бұрын
Dahhh nyie watu hatari sana mulikua wapi mbona mumechelewa siku zote!!!! Ila imani kila kitu na wakati wake muda wenu umefika tafuteni kolabo na mr blue unyama kama wote!!!
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Sure kabisa eeeh baba
@victornjwango9683
Жыл бұрын
The store town mambo vp Hawa wazeee kwenye game kitambo sana Toka 2003 ila umechelewa kuwajua tu
@thestonetown3302
Жыл бұрын
@@victornjwango9683 Asante kwa taarifa 🤝❤️❤️❤️imepokelwa!!much respect
@jeffintabo90
Жыл бұрын
big up jaydee for the vocals👍👍👍🙏
@jeffintabo90
Ай бұрын
Rip mandojo...bado siamini umetuacha
@habiburamadhani236
Жыл бұрын
Mafundi Wapo kazin nawakubali sana
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia mwamba
@jovinruta9572
Жыл бұрын
It's 2023 and still rocking
@AmjjadMustafa-bh4uc
9 ай бұрын
Many years of this truck but hadi kizazi cha watoto wangu wanaozaliwa 2023 watasifia kazi nzuri ya sanaa hii....GOOD MUSIC ALIVE👑👑👑
@ronaldreagan7772
5 ай бұрын
Ulimwengu huu una mambo eti nawe waijua dini 😂😂😂😂
@brightonchedego8100
Жыл бұрын
Wekeni na video zake,mashabiki wenu tupo na nyimbo zenu kwetu zinaishi akilini na moyoni milele
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Much love 🙏
@mpandukagracempanduka3601
Ай бұрын
KAMA UKO HAPA 2024 UNASIKILIZA NGOMA HII KWA HISIA KALI UKI REWIND ENZI ZA KUHIT HII TRACK..WATOTO WA 2000 HAWAIJUI HII
@MariamJuma-x8x
Ай бұрын
RlP mandojo
@raphaeloloo9641
9 ай бұрын
@jide rudisha huu mziki kama zamani akuna mtoto wakike East Africa anaeweza kutwa legacy yko please
@MwinyiSalim-d4j
4 ай бұрын
Zuchu c uko
@ImaniMunishi-tn6fh
8 ай бұрын
UTAMU UKO PALE.PELE 🤌🏾
@mandojonadomokaya
8 ай бұрын
🙏🙌
@badenneyz9056
Ай бұрын
Hii Ngoma walivyokua wanaiimba live ilikua inakua Kali zaidi utamu unaongezeka marehemu alivyokia akiimba na mwenzie live
@rogerasifiwe6394
Ай бұрын
Rest in peace bro 😢😢
@mellapnafula1071
Жыл бұрын
where is the lyrics of the song? i used to love this song
@kevinevans9923
Жыл бұрын
the song hits the nerves differently been looking for this vibe for so long
@eliasmbise4328
Жыл бұрын
Respect old music 🎶🎶🎶
@maureenandrew
Ай бұрын
Days when music was real. Hii ndo Bongo Fleva sasa. RIP MANDOJO
@musttz
Ай бұрын
Rest in peace mandojo
@barakamikidady360
4 ай бұрын
Am not that old, but this song imenigusa Old is Gold tukutane alliance France wanangu tareh 8
@selemanivanmkungu4637
Ай бұрын
Wanoko wamempakazia Mwamba wakaamua kumuua 😢😢😢😢
@Denislyamuya
Жыл бұрын
Cha kale ni dhahabu❤️
@mandojojoseph1665
Жыл бұрын
Aminia sn eeeh baba
@tafsirichai2405
Жыл бұрын
Mavi ya kale hayanuki....yaani vitu vya kikweli....mziki Wa Zama unahit Hadi milele....mistari ndio usiseme!!!
@AlfanAthuman
5 ай бұрын
Mademu za watu washikaj wanarukia... mlitisha sana legends
@lilianwilliam7053
Ай бұрын
Among my favourite old songs...RIP legend 😢🕯🙏🏼
@lynahasiko6454
Ай бұрын
Nmetoka pale facebook am so sad haki,ifeel bado lala pema peponi bro😢😢😢😢
@georgenyoni9879
Жыл бұрын
Tusaidieni verse ya kwanza ,Kila nikisikiliza sielewi ✋✋✌️✌️
@mandojonadomokaya
Жыл бұрын
Ulimwengu huu una mambo heti nawe waijua dini/ Uishi kutamba maskani kuwa umiss ukosi msikitini/ Ni mmoja Kati ya wakaliao mambo poa/ Nikipita mkosoa kodoa kisha sogoa mimate ikupalie kohoa/ Ndo ushavumbua jipya na hili jingine halijakwisha/ Kakatika wa aibu mshipa haufai hata kwa service/ Unamtambulisha kwa dem wako leo kesho amewahi kufika/ Si ana faham ratiba msela huwa anaenda saa tisa / Ana tia tim saa sita kuyakaanga na kuyapika/ Usifate hisia zake mnoko atakuumiza kichwa/ Kwa sifa akizidisha Domokaya hakufai kabisa/ Ndo mkunja ndita asiye vumilia furaha ya mfa haki/ Nna kiu nisiguse mtungi hata tone la mvuke wa bati Unoko staki Katia VAT Wengine wa mama watu wazima/ Wenye kuchamba wima wamezaliwa wanasema / Si Safi sa kusema hat naigiza act za kid/ Heti nyimbo ya kaka poa huyu jamaa inamuhusu naaanii.....
@emmanuelmwambogha1088
3 ай бұрын
@@mandojonadomokayamlipotelea wapi rudini kwenye game aisee
@mosesmwangi1718
Жыл бұрын
The real Bongo Sound
@lemtipizzy1985
Ай бұрын
1:46 “wakina mama watu wazima, wenye kuchamba wima, wamezaliwa wanasema” but RIP #Mandojo
@bibletruethstudy2895
3 ай бұрын
from Kenya... i remember this hitsong back in 2005 when i was in class 2.... i love it
@MohamedBakari-n6o
Күн бұрын
Lady jaydee. Ni hatari sana kwenye kiitikio daaah old is gold . Hakuna kama hizi nyimbo tena. Rudini jamani tumewamisi sana. Sasa akina pididy wanatuharibia mziki wetu.
@JsMitimingi
Ай бұрын
Inauma sana ulale salama katika nyumba yako ya milele na sie tuko njia twaja😭😭😭😭
@eddyboy1719
Ай бұрын
Mwamba katuacha tu ivyo kirahisi,inauma sana
@salumumohamed4532
Ай бұрын
Daaah kwa mara ya kwanza 2003 naingia DSM from Mtwara ndo nikaiskia hili goma R.I.P Mandoji
Пікірлер: 326