Mungu akusimamie Gwajima Baba yetu, kaka yetu, wew ndio njia ya Tanzania namba moja tunakili kutoka mioyoni mwetu tuvusheeeee
@neemakwanama3370
3 жыл бұрын
Ameen
@frenkmsembe1662
Жыл бұрын
ameeeen
@dmpstudiosmeshackpascal1340
3 жыл бұрын
Safi sana... Ila amekatisha hapo mbele tunatamani iendelee 🙏
@protamwenyegzaketv7408
3 жыл бұрын
Eeeh Mwenyezi mungu utufanyie huyu GWAJIMA KUWA RAIS WETU
@neemakwanama3370
3 жыл бұрын
NDO MKOMBOZI WETU🕊️
@ednaJF1028
3 жыл бұрын
Unakitu ndani yako ambacho wajinga na wapuuzi hawaoni mana macho yao yametiwa ukungu wa giza na washindwe kwa jina la Yesu
@alkebulanb5929
3 жыл бұрын
🇧🇮❤️❤️❤️❤️❤️🇧🇮 J.P.M 2 Bdi tunakupendo.
@godsonmanasse9027
3 жыл бұрын
MUNGU akulinde BABANGU walio upande wako niwengi kuliko walio upande waMaadui kusudi laMungu ndio litakalosimama Daima
@zahorokasentisenti6761
3 жыл бұрын
Gwaji boy pambana tupo nyuma yako
@ashudahiza7871
3 жыл бұрын
Mungu atuwekee.weww zaidi.ili Tukupigie.kura utuongoze hata miaka 30 tukiwa mikono salama
@loner_wolf
3 жыл бұрын
Yaani watu waliotudanganya fuvu la binadamu wa kwanza liliigunduliwa Tanzania, kisha wakasema binadamu wa kwanza ni Adam, alafu adam huyo ni white, that means lile fuvu huenda ni la Adam mathematically maana hesabu hainaga chenga chenga, wakaenda wakarudi wakasema zamani tulikuwa nyani, sasa hivi wanasema wanatupenda kuliko kitu chochote🙄🙄🙄 Ikumbukwe hawa hawa ndio waliogundua kila kitu hapa, maziwa, milima, njia za barabara hadi bahari, lkn wakati wanasema wamegundua walikuta watu wanaishi na ndio waliwapokea 😀😀😀.... TUJIFUNZE KUHOJI, SIO KILA UNACHOAMBIWA LAZIMA UKIKUBALI
@gabriellyadam9415
3 жыл бұрын
J.p.m.aliacha jembe
@JKQGAME
3 жыл бұрын
Mwanyezi MUNGU azidi kukupa uzima na kukulinda asikofu kupitia neno hili nimejifunza mengi sana barikiwa sana
@rumariletimba4481
3 жыл бұрын
God bless you,Mtumishi wa Bwana,nakupenda nakupenda nikiwa kenya
@elishavicentmhina3545
3 жыл бұрын
Gwajima nakukubali sana bishop wewe ndio mkombozi wetu
@loner_wolf
3 жыл бұрын
Nimeanza kuelewa "NILETEEANI GWAJIMA, NILETEENI GWAJIMA, NILETEENI GWAJIMA" ilikuwa na maana kubwa sana.🙄🙄🙄
@urbanmission3072
Жыл бұрын
AMINA SANA BABA YETU GWAJIMA
@ISAACMBAGO
4 ай бұрын
Yaani gwanyima ni 100% president, na aanze kufanya kazi na ROHO MTAKATIFU kuwa fukuza friimason wote, na kuketa utukufu wa MUNGU ndani ya dunia yote. Tu mchagueni gwanyima, au mnasrma je?
@rajabumkumba4834
3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu unasitaili kua mkuu Wa ichi
@josephmutemi7494
3 жыл бұрын
BWANA Yuko pamoja nawe Askofu songa mbele , baba yetu.
@gracemedan5580
3 жыл бұрын
Damu ya yesu ikufunike mtumishi wa mungu.nitaendelea kuomba na wewe baba yetu.kwani mungu atatenda tu.
@missmwayway4704
3 жыл бұрын
Allah azidi kukupa Afya njema na maisha marefu Mzalendo wa kweli Gwaji boy 😍😍😍😍🤲🤲🤲🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@Bam268
3 жыл бұрын
Mungu yupi na yeye ndie mungu anaejitia anafufua mwizi huyu
@missmwayway4704
3 жыл бұрын
@@Bam268 jibu hilo pigia nstari bro
@gastonponera7962
3 жыл бұрын
@@Bam268 Chanjo ni hiari mamaaaa 😂😂😂😂
@gastonponera7962
3 жыл бұрын
@@missmwayway4704 Chanjo ni hiari babuuu 🤣🤣🤣
@missmwayway4704
3 жыл бұрын
@@gastonponera7962 Umeonaeee ebu mwambie huyo Maybe atakuelewa my dear......Anaejifanya kumkashfu Gwaji boy 😆😆😆
@tiberykitiga2322
3 жыл бұрын
Mungu hashindiwi chochote
@aderanderwa7623
2 ай бұрын
HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MALAIKA WA GIZA ANAFANANA NA MALAIKA WA NURU TUWE MACHO YESU KRISTO YUKO MALANGONI TUJIANDAYE KUMLAKI MAWINGUNI SHALOOM SHALOOM MARNATHA
@kombozimbwilo4289
3 жыл бұрын
UKWELI UTA BAKIA UKWELI TU KIKUBWA WAJISHUSHE TU MAISHA YAENDE LE
@josephmysononline5919
3 жыл бұрын
Ongera sana askofu ng'wajima
@suzukisimba8393
3 жыл бұрын
Tupo pamojà askof gwajima👍👍
@jansamwankanda2368
3 жыл бұрын
Hongera sana pacha wang masanja,namuelewa sanaa gwajimaa.
@fatopigagolkymtz8776
3 жыл бұрын
Amen
@omanss268
3 жыл бұрын
Amen 👏👏 ubarikuwe Sana mtumishi wa mungu
@hermannyakunga8417
3 жыл бұрын
amen
@mafuja1991
3 жыл бұрын
Masanja maneno ya kihuni yamezidi,je yesu alikuwa na maneno ya kihuni au biblia haina maneno ya mizaha,
@ednaJF1028
3 жыл бұрын
Amen Amen Baba 🙏
@aminalimu5150
3 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
@mostshareking3051
3 жыл бұрын
Tangaza nia mkuu tutakuchagua 2025 tuvusheeeeee
@johnmalembo6464
3 жыл бұрын
Marudio eti.... Amina
@ednaJF1028
3 жыл бұрын
Simamia hapohapo baba usimuogope mtu yeyote simamia kweli yako Baba
@masanjajirani5306
3 жыл бұрын
Nakukubali gwajiboy
@rogersrenatus6454
3 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akutunze bishop🙏.wee Genius sana. Nakukubali sana🔥
@rogersrenatus6454
3 жыл бұрын
🙏
@christamazara1266
3 жыл бұрын
Mungu akulinde sn mtumish wa Mungu na kukutia nguvu
@sebastianemily2241
3 жыл бұрын
Waadventista wasabato sio wafuasi wa Ellen G White.Ni wafuasi wa Yesu kristo.
@gastonponera7962
3 жыл бұрын
Ni Yesu ndiye alianzishq dhehebu la SDA? Acha uongo. Kila kitu lipo kwee rekodi, huwezi kubadilisha hata ukila kokoto!
@gastonponera7962
3 жыл бұрын
Ni Yesu ndiye alianzishq dhehebu la SDA? Acha uongo. Kila kitu lipo kwee rekodi, huwezi kubadilisha hata ukila kokoto!
Пікірлер: 61