Iyo ndio roho ya utu Sasa mungu azidi kumfunguli milango ya kheri zuhura
@QuincyMarion-iv9cm
20 күн бұрын
N vizuri kujieleza .....mwanadada huyu nampenda bure...zuchu siku zote❤❤❤🎉
@kemmymartine4884
20 күн бұрын
Congrats ccy Mungu akubariki piaa zuchu❤
@JoabJacob-wn7hg
9 күн бұрын
Sister Zuu congratuation ,,,,, nakupa pigUp🎉❤❤❤❤
@IreneLuvanda-t9v
12 күн бұрын
Zuchu azidishiwee sanaaa na mungu amenifurahisha sanaa amenibarikii mnoo
@JamalKhan-le9ud
20 күн бұрын
Hongera kwa Zuchu❤❤❤❤
@FurahaEdimond
20 күн бұрын
Mungu akuzidishie zuchu
@user-nq8il4cn8u
20 күн бұрын
Mashaa Allah mungu am barikii zuchuu wetu
@bonfacemadangi3744
18 күн бұрын
God bless this lady, Angela amefanyia konde kazi na hakumsaidia but zuchu ako na ubinadamu
@user-gv2un4jl3m
20 күн бұрын
Zuchu, mwanetu MUNGU Akutangulie kila jema liwe jema mara Saba wa sabini, na baya liwe nyuma mgongoni kwako lisikufike ABADAN🤲🤲
@user-si9oi8uj8s
5 күн бұрын
Yupo vizuli sana zuchu mungu amjalie sana
@AnsifridaProtas-h4b
20 күн бұрын
Ubarikiwe ulipo toa uzidishiwe
@user-lq4mq7rz6h
18 күн бұрын
Wewe dada myangazaji wa Mbendo Tv acha uchonganifu. Wewe ni mtu mbaya sana hata Mungu hapendi watu wachonganifu. Heri wapatanishi maana hao wataitwa Wana wa Mungu. Umekalia kumuuliza aongee vibaya.
@sautikaliitz934
20 күн бұрын
Hongera zuchu
@tegemeakyangenyenka6111
19 күн бұрын
Zuchu baraka zitazidi kumiminika kwako,wewe ni bint wa kipekee,Mungu azidi kukufungulia milango
@zaitunikivike4720
17 күн бұрын
Mungu akuzidishie kila la heri ulipotoa mungu akuongezeee zuchu
@JamesPaliya-x6y
13 күн бұрын
Zuchu mungu akuongezee,,,, una roho nzuli sana kati ka wasanii wengi
@MasumbukojumaKazimoto
4 күн бұрын
Mungu akuzindishie ulipo toa na uendelee na moyo huo
@ZaituniZaituni-v4i
20 күн бұрын
Hongera sana zuchu
@Victoria-bv6xu
20 күн бұрын
God bless you zuchu💕🙏
@MageuziSinkala
20 күн бұрын
❤❤❤❤zuchu apewe maua yake
@user-od2jh3cn2g
17 күн бұрын
Zuuu apewe mauwa yake 🎉🎉🎉
@MasumbukojumaKazimoto
4 күн бұрын
Mungu akuzindishie ulipo toa na uendelee na moyo huo 4:07
@ClarisseMla-s5g
14 күн бұрын
mungu ahendeleeh kumlinda zuhura kwakuwa kutowa ni moyo, hata kama ukiwa nakidogo ukiwa na moyo wa kupana utapana tuh
@ghhhhy1812
20 күн бұрын
Zuchu mungu akulip dad
@dullahman8673
20 күн бұрын
Mi huw nauliza hao wandishi huw wanatokag wapi
@monicasimpilu6257
20 күн бұрын
Muheshimu aana Zuchu ni zaidi ya ndugu peace
@user-fo8yc8xo8s
19 күн бұрын
Hayo mafuta sasa😂😂😂 inakunywa maguta Kama bia
@LukusaFrank-dg1ib
20 күн бұрын
Thank you zuchu
@AbasHussein-l2i
19 күн бұрын
Congrats zuchu
@TabithaHamis
18 күн бұрын
Uwe na moyo huo zuuu
@dullahman8673
20 күн бұрын
Kwni hao waandishi huw wanatoka wapi
@zepinashatibu5149
20 күн бұрын
Wcb washamchukua huyo
@ArabiDua-ct8bl
20 күн бұрын
Mbona hatujalyona kadi anakabiziwa au kakopeshwa
@user-qb4qp7xj7d
20 күн бұрын
Ila waandi wa habari 😅😂
@abdulkabalundi3212
20 күн бұрын
Kiukweli ni jambo nzur but ume cha gua gar mbaya
@Rose-ue2ho
20 күн бұрын
Bado asaidiwe Hawa Nitarejea pia maskini ana sauti mzuri na anahitaji msaada
@Shuu.A
20 күн бұрын
Hee huyo msaidie weye wabongo mmezidi tena kila anachofanya hamna kheri
@Rose-ue2ho
20 күн бұрын
@@Shuu.A mbona umepanic bibi shuu?? Mimi nasema asaidiwe na Hawa pia na yeye anahitaji msaada.. Kama umekusudia wabongo hamna kheri hilo neno lako kuwasema wabongo.
@Shuu.A
20 күн бұрын
@@Rose-ue2ho hawa asaidiwe na dimond wala sijapanic
@agneshishi5242
20 күн бұрын
Kweli kabisa na Hawa anahitaji msaada
@DianaHenry-x1h
16 күн бұрын
Nimefurahi kuliko wote
@pastorjully3657
20 күн бұрын
It was arranged
@user-so7iy3uj4y
10 күн бұрын
Sio hela. Ya kuchezea huo ni upendo tu
@khadjamhozya
4 күн бұрын
Umeonae kauri mbaya
@kemmymartine4884
20 күн бұрын
Roho mt,😅😅😅😅ila dd
@AnsifridaProtas-h4b
20 күн бұрын
Kuna watu wanaitaji msahada zaidi
@fatmaally7252
20 күн бұрын
Kwaiyo unataka kusemaje ndugu yangu
@AnsifridaProtas-h4b
20 күн бұрын
@@fatmaally7252nasi watuone
@Detopnotch256
20 күн бұрын
Kila mtu na bahati yake
@AnsifridaProtas-h4b
20 күн бұрын
Sema ndoivo kipenzi
@graceamadi1096
19 күн бұрын
Naomba uwe wakwanza kusaidia hao wanaohitaji msahada zaidi
@MrSaimoni
20 күн бұрын
Uyo dem anapend kusaidiwa 3:32
@graceamadi1096
19 күн бұрын
Heri wakusaidiwa kuliko wakuiba. Tumuombee aweze kujitegemea maana shida inaweza kukufanya usaidiwe and why not. Chamuhimu Mungu ambariki Zuchu kwakumusaidia mwenzake
@chrisbertrandnyamusa9549
19 күн бұрын
Kama selekali yenyewe inasaidiwa , yeye ni nani asisaidiwe?
Пікірлер: 60