اللهم اغفر لها وارحمها، وعافها واعف عنها، وأكرم نزلها، ووسع مدخلها، واغسلها بالماء والثلج والبرد، ونقها من الخطايا كما نقيت الثوب الأبيض من الدنس، وأبدلها دارا خيرا من دارها، وأهلا خيرا من أهلها، وزوجا خيرا من زوجها، وأدخلها الجنة ونجها من النار ـ أو قال ـ: وأعذها من عذاب القبر "
Yaaa Rabby, twakuomba uwasameh vipenzi vyetu vilivyotangulia mbele ya Hakki, tupe subra ktk nafsi zetu tuweza kuikabili misiba inayotufika, jaalia Makaburi yao yawe bustani katika mabustani ya Peponi na yasiwe mashimo katika mashimo ya Motoni.
Ameen
"Usisikitike Mola alilokaqiri, usihuzunike, asaa kheri itajiri"
Daima tutamkumbuka Ukhty Sakina Juma Mshana kwa utu, uungwana, imani yake kwa Allah, ihsani, wema, adabu, kauli njema, Elimu aliyokua anatupatia, kujitolea kwake dhidi ya harakati za Kiislamu, mapenzi yake kwa Mtume Muhammad Swallah Llah Aleyhi Wasallam, kuunga udugu kwa yeyote amjuae.
Umkumbukapo marehemu wako muombee wepesi huko aliko, maana faraja yake ni wewe kumuombea kwa Allah!
"Ewe nafsi tubia, hakika mauti imetufikia, mauti ni hakki, mauti ni glass, mauti ni mlango, hakuna wakuyakwepa, Allah atujaalie.na sisi mwisho mwema"
Ameen.
Негізгі бет MANENO YA FARAJA KTK KUJIFARIJI KWA KIFO CHA UKHTY SAKINA JUMA MSHANA "USISIKITIKE MOLA ALILOQADIRI"
Пікірлер: 4