kipi Cha kuiga apo maana kureta mazoki umeshauriwa na yanga sasa reo uwigwe kuwaongopea wanacha
@NgasaLuhamba
3 ай бұрын
Hakuna mzee king'ang'anizi kama huyu anatukera sana wanasimba
@husseinjuma3424
3 ай бұрын
Mangungu ongea point wewe ni mwenyekiti usiongee pumba nani akuige au nani ajifunze kutoka kwako pumba mwachie Ahmed Ally tunza heshima yako au waletee manzoki
@PantaleoGululi-n4z
3 ай бұрын
Huenda aliwahonga wanachama, apumzike bana katosha waingie watu wenye kariba ya michezo huyo hamna, atazidi tu kutuangusha hana ushawishi kwanza ni mwanayanga tipically
😂😂jmn gungu boy tuige nini badala ya kufanya surprise amjaanza yushajua kinachoenda kufanyika kwa ile ya kuinvite
@Esterkomba-ef7eb
3 ай бұрын
Huyu mangungu sielewi anaongea nn
@NgasaLuhamba
3 ай бұрын
Manzoki yupo?
@victormkini2708
3 ай бұрын
Eti uzamini wa Vodacom yanga waige! Huyu ngungu ni boya kabisa
@NeemaAkyoo-s4s
3 ай бұрын
Eb waambie sis ndo tulitangulia kabla ya waoa alf yakwetu haitulazimish kuwa wafungwa wa mtandao mmoja bali tunaipata kwenye mitandao yote sasa hii yakwao kama hauna laini ya voda ni lazima ukasajili ndo upate hyo huduma
@TatuCharles-f5m
3 ай бұрын
Jaman mbona mangungu hajamtaja mtu
@NeemaAkyoo-s4s
3 ай бұрын
Sasa yanga wanaiga nin hapo wakat wao ndo walitangulia kuanzisha yakwao ambayo haina mkataba na kampuni bali inatumika kwa mtandao wowote ule sh 500 wik sh2000 mwezi jitafakari wewe baba leta hoja za maana
Пікірлер: 14