Iwepo tume huru ya uchaguzi,mfumo huru wa mahakama na matokeo ya uchaguzi kuhojiwa mahakamani na ipitishwe ile katiba ya Warioba,tuone kama CCM itatoboa.
@user-gw4jj5nn2n
23 күн бұрын
Yarabi iangamize ccm kama ulivyomuangamiza firauni na jeshilake amin
@user-ty3df8wv1t
20 күн бұрын
Amiin YARABY
@allynassoro8448
10 күн бұрын
zAamin
@jumabonge8577
24 күн бұрын
kutoka huku kuingia huku ni uongo tusiambiane uongo jmn
@jumabonge8577
24 күн бұрын
ss ww si umetoka ccm uko uko leo hii inakuajee hmna kitu apo mkuu
@MakameAbdallah-wn3hc
Ай бұрын
Leo hii
@saidakiwale9227
Ай бұрын
Jamani wanajipa matumaini hawa watu nawapa pole maana wamejazaa uwañja hongera zao na pole zao
@Rukaiya-lt3hm
Ай бұрын
Kwani hayo maccm bila gari bure inakuaje
@jumabonge8577
24 күн бұрын
si mzima ww
@MuzneOthman-l7i
16 күн бұрын
MIONGONI MWA WATU WALIOENDA KINYUME NA MISINGI NA WEWE PIA UMO PAMOJA NA SHEMEJI YAKO WEWE NDIO FOUNDER WA JANJAWIRI HAPA ZANZIBAR TENA ULIKUWA KATIBU WA FEDHA, MIPANGO NA UCHUMI. SHEMEJI KAACHIA NGAZI HUNA NAFASI TENA MUASISI WAJANJAWIRI UMEJICHANGANYA KATIKA JAHAZI UKIWA ULEDI
@Rukaiya-lt3hm
15 күн бұрын
@@MuzneOthman-l7i misingi gani
@khatibal-zinjibari6956
Ай бұрын
ALIZIKA AFRO-SHIRAZI ZIKENI CHAMA CHA MAPINDUZI Abeid Karume alikataa hadharani ombi la Nyerere la kuvunja Afro-Shirazi. Baada ya kuuliwa, Nyerere alivunja na kuzika Chama Cha Afro-Shirazi bila ya Ridhaa ya Wazanzibari na alilazimisha Chama Cha Mapinduzi kuwa Dodoma.
@knight6757
Ай бұрын
🤔
@mohammedhamad9392
Ай бұрын
Maneno yako matamu kuliko Kawa 😊😊😊
@EliasPaul-qs2ib
29 күн бұрын
Huijui historia vizuri Kaa utulie
@khatibal-zinjibari6956
29 күн бұрын
@@EliasPaul-qs2ib Hujakosea kwa sababu sina maradhi ya NYEREREPHILIA au NYEREREISM baada ya Muungano wa Karume, Mzaliwa wa Nyasaland na Nyerere, Mzaliwa wa Tanganyika. Wote hawakuzaliwa Zanzibar na siku chache baada ya Crusade (Mapinduzi Matukufu), Nyerere alipeleka Jeshi Zanzibar kumlazimisha na kumtisha Karume akubali Muungano wa Zanzibar na Tanganyika.
Пікірлер: 26