Huyu mutu aliegundua utube abarikiwe sanaa, humu tunajifunza mengi mema na yenye faida, hongera mamy na ahsante kwa somo
@asmahtamla4749
Жыл бұрын
Umeonaee
@fatmazullu4933
Жыл бұрын
@@asmahtamla4749 kabisaaa inatusaidia mno kwakweli, japo hii ipo huko ITV
@jacksonmkuye7739
6 жыл бұрын
Duuuuu Kochi mili siifaham, uwe unafafanua vizur basi viungo ambavyo sio maarufu sana kwene jamii zetu za mtaani uku ili tujue jinsi ya kuvipata ama mbadala wake. Asante kwa somo zuri
@irisanderson9593
6 жыл бұрын
Jackson MKUYE ni majani ya giligilani
@elizabethobege1789
Жыл бұрын
Mashaa-Alaah Dada, mimi ni shabiki wako katika vipindi vyako vya Mapishi mbalimbali
@joaskisas7765
4 жыл бұрын
Barikiwa dada,Mungu mwenyeenzi akuzidishe akupe afaya na uzima.Aminaa.
@scholasticssimoni1954
6 жыл бұрын
uko vizuri sana dada unamuelekeza mtu hadi anaelewa ukotofauti sana na wapichi wengine sehemu nyingine wanaficha unabaki ukiona wakimalizia lakini wewe nitofauti sana mungu akuzidishie mara dufu
@rosemaryngowo2327
4 жыл бұрын
Mno aisee
@khadijasalehe1356
2 жыл бұрын
Kwan bagia hauwekii Amiraa jmn naomba kufaham
@joycemwasote2959
Жыл бұрын
Asante kwa elimu nzuri nitafanya kwa biashara pia kwa familia yangu
@lauryjerry1566
3 жыл бұрын
Hello dear..love your recipe..i careless about the language!! Love from US
@FatmaFatma-xs1vy
Жыл бұрын
Asant san ❤️.mungu akubarik bwamafuzo
@florerkombe9573
3 жыл бұрын
Anafundisha vzr sanaa she's de best
@safiaothman1098
3 жыл бұрын
Maa Shaa Allah. Naomba upishi wa sambusa za nyama.
@yusufYusuf-di6wl
6 жыл бұрын
Asant kwa upishi wa bajia pia shukran kwa advice I really love u mom # long live to benefit more from u
@binwaelle1138
2 жыл бұрын
Thanks for the shearing 👍
@claudiasekwa6389
5 жыл бұрын
Nice napenda sana bagia za dengu😋😋😋
@user-hd2bh7qf7w
3 ай бұрын
I like your recipe 🥰🥰🥰
@evabikabhai1861
2 жыл бұрын
Fantastic recipe. God bless you
@mussajames8859
4 жыл бұрын
Asante dada umenifanya niwe mjasiriamali now natumia kama chanzo cha mapato.
@zenazuku5557
2 жыл бұрын
Bagia nzuri sana hizi ! Nakushukuru sana
@rhinaregina5806
7 жыл бұрын
Beautiful mom I love you from United States 👏 that true women wake up 😏😉
@rajabsuleiman4859
4 жыл бұрын
Mashaallah
@mwanahamis5487
4 жыл бұрын
Ahsante saan dada Sasa Hivi Napika bagia Nzuri saan
@kajogusafarisltd.3388
5 жыл бұрын
Thanks you sooo much Dada!I have been longing to know how to cook Bajia.Mungu abariki mkono wako.keep up amaizing People.
@fatimadalrymple669
4 ай бұрын
If you cook them quikly do potatoes get soft - message from UK enjoying your cooking
@marrykyabwazi2622
6 жыл бұрын
mama asante mm nakuunga mkono natengeza tens wikii hii nabizaa zingine nishaandaa, asante MUNGU akubarki
@evaadam2146
2 жыл бұрын
Uko vizuri dada asante
@marryclemence5820
4 жыл бұрын
Khongeran sana kwan mko vzr sanaa
@wanzueni
5 жыл бұрын
thanks for empowering women
@jamilashemndolwa6251
Жыл бұрын
So nice,I like it
@moslim89
2 жыл бұрын
Masha Allah shaida zinaonekana tamu sana
@azamtvahmed5496
3 жыл бұрын
Woooow ubarikiwe dada
@annacharles5395
5 жыл бұрын
Ahsante sana kwa mapishi mazuri,nimejaribu ni tamu sana Mungu akubariki
@maryamsalim3233
Жыл бұрын
Napenda mapishi yako rahisi sana
@maryjoseph6973
Жыл бұрын
It v mapishi ni zuri inatufunza👍
@MlzS-qq4ys
Жыл бұрын
Shania thanks for sharing.
@nancysimoni2202
6 жыл бұрын
Napenda mapishi yako hongera mama
@nyanzalakaporo2504
6 жыл бұрын
Safi sana nime jaribu zimekuwa tamu kweli, Asante sana Aunt.
@murependo163
4 жыл бұрын
Asant kwa somo.mm natengeneza za biashara ila kipmo cjapatia za sh mia nafanyj
@aureliana569
Жыл бұрын
Mashallah anafinfisha vizur mtu unaelewa hata kama kichwa yako ni ngumu😂😂😂😂
@jullyregy3057
5 жыл бұрын
Nimekupenda bure dada na nimefurahi kwa kuwapa fursa wasio na kazi mana wanawake wengne wamezoea kuomba hela kila siku kwa wanaume ndo vile inafika mahala mwanaume anakuchoka changamken kina dada achen usister du! Uzeni bajia mpate hela ya mawigi hahahahahaa
@nassrapatrickpatrick5545
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂we jamn
@giftclassic8176
5 жыл бұрын
Et apo kweny mchanganyo wa kijani sjaelew jmn
@yusranizar5269
6 жыл бұрын
Allah akujazi kheri
@rhodakulwa1774
4 жыл бұрын
Nimezipenda sana bahia dada
@lavieestbelle3263
5 жыл бұрын
Mtangazaji unaongea mno
@davidmdoe9967
4 жыл бұрын
kwa kweli
@kazumiharada3912
6 жыл бұрын
Oooh! Kumbe Chick pea kwa kiswahili ni dengu!! sitasahau...
@angelamoshi35
6 жыл бұрын
Kazumi Harada garbanzo bean Jina lingine
@bijumakassim3697
5 жыл бұрын
Mashaallah nimeapenda mapishi yko dada shukran
@fatmajezan6812
7 жыл бұрын
Very nice for sharing greeting for Yemen
@joycemagambo9414
4 жыл бұрын
Nzur umeeleweka asnte sana
@naturelle1097
Жыл бұрын
Asante kwa mapishi mazuri. Ila zingatia mavazi ya mikono mirefu jikoni ni hatari..ikishika moto?
@hafsahcletty5968
5 жыл бұрын
Mashaallah Shukran sana kwa maelezo mazuri.
@AbdurahimanElias
8 ай бұрын
Asalam aleykum dada mininaswali unanweka bekinipoda2 au na amila
@joycemhagama954
Жыл бұрын
Mama upo vizuri
@Iyoboofficial
7 жыл бұрын
nice nimependa
@niyomwungereadiella6474
5 жыл бұрын
Asante sana kutufundisha
@mwanaidinusra4248
4 жыл бұрын
So nc jamani napika kwa sauti💕💕💕💕💕💕💕
@TeamKRX
5 жыл бұрын
Mi naja kula nilipe mana jiko mmm sinaga sahau nilizonazo mara bada ya unga wadengu nikaweka ngano
@RuthEma-hm1yv
3 ай бұрын
Asante sana
@valentinanduku8718
2 жыл бұрын
Thanks for the sharing
@loycemukali2195
2 жыл бұрын
Nimefurahi sana kwa hili pish
@pelagiashiyo5493
3 жыл бұрын
Iko vizuri mama
@akidasalim3859
4 жыл бұрын
Nimependa
@neemaa.mollel6486
5 жыл бұрын
Woow asante sana hapa nimetoka kupika zimenyonya mafuta balaa sitakosea tena shukrani
@mwanakherymgaya6323
4 жыл бұрын
hata mimi nimependa sana asante mumy
@dawillygene
5 жыл бұрын
waooooooo, ninavyozioenda , leo nitapika zangu .
@halimamukhandi4916
4 жыл бұрын
Nice
@subiramrisho6882
4 жыл бұрын
mashaallah pia naomba number yake ya sim
@TeamKRX
5 жыл бұрын
Mbona ujunga jamani kasema kwa upana hamufahamu si mkate ka mimi SiO hamira 🤣🥶
@kassimmanaramalika8592
5 жыл бұрын
Maishaallah najuwa kuzipika lakini unaelekeza vizuri nimekupenda kweli Maishaallah ,natamani kweli nione jinsi unavyopika biriani
@rithatwipa-oy6ne
Жыл бұрын
Zikilala zinafaa dada yangu
@christinewilkerson1306
4 жыл бұрын
Napenda sana mapishi yako, you’re good,I’m always trying out your wonderful recipes😊
@mariamurashidi1243
2 жыл бұрын
Assalam aleykum madam ,hicho kiazi unachemsha au hauchemshi
@user-mq2fh8jv7v
8 ай бұрын
Naimani mzima mama tamani kujifunza vinzuri bangia
@mariamsaidy6623
5 жыл бұрын
Asant sana dada
@ellyyona9988
4 жыл бұрын
Naomba no yako mama MPISHI nimependa bagia zako
@JohàriHussein-p7s
6 ай бұрын
Karimati
@TeamKRX
5 жыл бұрын
Wengine wachoyo mi ata sijasikiliza wabaya mmm udenda shost unanitoka
@hassanibarahaji6640
2 жыл бұрын
Ss mm naomb kuuliza hchoo kiazi kinachemshwa au
@gracejulius5000
5 жыл бұрын
Ahsante mama akee
@janethjustin5256
5 жыл бұрын
asante mama kwa kututia moyo thank you Darling😘😘👏👏👏
@rehematawalani733
Жыл бұрын
Shukran sana nimependa inaonekana zuri
@yusraomary3170
4 жыл бұрын
Me nlikuwa nataka kuuliza unafundisha tsh ngapi
@saumsiraji9870
5 жыл бұрын
Manshaa Allah shukran momy
@nazaelmduma3060
7 жыл бұрын
Nmekipenda sana kipind ila mm nkipika bagia zangu nashndwa kutengeneza umbo zur la bagia ushaur plz
@alexmjoge
7 жыл бұрын
nice video l like it!
@user-mq2fh8jv7v
8 ай бұрын
Natamani kujifunza mengi kwako mama
@lailakibalu592
Жыл бұрын
Maashaallah
@rahmaahmad4917
6 жыл бұрын
nimependa sana many Wang asant
@evodiamhumba4764
6 жыл бұрын
asante Dada.
@munirahassan2220
4 жыл бұрын
Mashaalah
@HusnaSimba-ml5ov
9 ай бұрын
Nimekupenda bure, tengeneza na chatney tuijue dear.
@lutfiyahhumaid7477
3 жыл бұрын
Jee ukitia unga wa ngano kwenye bagia inakuwaje nishawahi kuona hivo
@MAINDAKABANYA-ne5qp
Жыл бұрын
Jmn mbona mimi nime jalibu lakini bagiya zina mara chini na mafuta ni mengi hrfu kwani kwenye bagia hakuna kuweka amira
@husseintayar699
4 ай бұрын
Unga Inakuwa mbaya Wana Tabia ya kuvhanganya wauzaji jakikisha unanunua unga mzur bora wa pakiti wa nje kuliko wa kupima weng wezi
@elminakalunga4030
5 жыл бұрын
Well done Shaida and Sunday.
@mozaali941
3 жыл бұрын
ĺ I nipo v9v
@mozaali941
3 жыл бұрын
vv
@mozaali941
3 жыл бұрын
v high v v
@halimazubeir1114
4 жыл бұрын
Mashaallah
@roselaurence1093
6 жыл бұрын
I just love the recipe
@ashabanza296
4 жыл бұрын
Mashallah badia za kunde pia
@flomaje1J
4 жыл бұрын
Asanteni sana kwa kutufundisha kidogo punguza mazungumzo maana cha maana ni kujua jinsi ya kupika
Пікірлер: 262