Hujambo mpenzi mpishi 😍❤
Leo nimaweletea mapishi kabambe ya katlesi. Nimezipaka katlesi zangu unga wa ngano wa dola @ungawadola na hazikupasuka hata kidogo, kusha nikazikaanga kutumia mafuta safi kabisa ya kukaanga kutoka @ungawadola. Je unapenda katlesi za nini😋 za nyama, kuku, mayai, samaki, kamba au papa 😀😂😂
MAHITAJI/INGREDIENTS
Viazi kilo 2(2kg potatoes)
Chumvi (salt)
Limau (lemon)
Manjano (tumeric)
Kuku (chicken)
Chumvi (salt)
Limau (lemon)
Kitunguu maji 3 (3 onions)
Pilipili boga 1 (1bell pepper)
Dania (coriander)
Karoti 2 (2 carrots)
Pilipili manga kijiko 1 (1tsp black pepper)
Mdalasini kijiko 1 (cinnamon 1tsp)
Bizari nyembamba kijiko 1(cumin) 1tsp)
Unga wa ngano wa dola
Mafuta ya kupikia ya dola
Негізгі бет Mapishi ya katlesi za kuku
Пікірлер: 5